11/09/2025
SABABU ZA UUME KUSIMAMA DEDE AHSUBUHI UNAPO AMKA
Mwanaume uliyekamilika na mwenye afya njema kwenye mfumo wako wa uzazi unapoamka lazima utaona uume wako umesimama, na sababu za uume kusimama ahsubuhi unapo amka ni hizi.
1•Homoni kuongezeka.
Viwango vya homoni ya testosterone vinakuwa juu zaidi asubuhi, haswa baada ya kuamka kutoka usingizini, ongezeko hili la homoni ya testosterone linaweza kusababisha kusimama, hata bila kusisimuliwa kimwili.
2•Ndoto za usingizini zinazo kujia ukishiriki tendo.
3•Kujaa kwa kibofu cha mkojo. Hutokea msukumo wa misuli kutokea kwenye kibofu kuzuia mkojo wa asubuhi.
🫵Kusimama imara kwa uume asubuhi kwa mwanaume ni ishara ya uwezo wa mwanaume kushiriki tendo kikamilifu na lenye nguvu.
Ukiona husimamishi asubuhi unapoamka hizo ni dalili zinazo kuonesha kuwa unatatizo la upungufu wa nguvu za kiume utaona Uume wako unasinyaa/unakosa nguvu au unalala kabisa.
Hali hii☝️hutokana na Sababu hizi
1•Umri kuongezeka
viwango vya testosterone kawaida hupungua kulingana na umri, ambapo huweza kusababisha uwezo wa mwanaume kupungua.
2•sababu nyingine ni lishe kuwa duni au ulaji wa mara kwa mara wa vyakula ving vyenye sukari nyingi/mafuta mengi, ulevu, unene, kuzid kwa uzito, Kuvurugika kwa homoni, matatizo ya kisaikojia & stress, shida ya kisukari na presha, na madhara ya Kujichua kwa mdamlefu.
unapo kuwa na hili tatizo mwanamke anaweza kukusaidia kwa kukuambia maneno yanayo weza kuamsha hisia au kukutomasa kwa mikono yake laini. kukugusisha kwenye maumbile yake ili kuziamsha hisia zako.
Iwapo ushilikiano wa mwanamke wako utagonga mwamba basi jua kabisa unaitaji msaada zaidi.
Ikiwa unakisukari, pressure, unene uliopita kiwango, tezi dume, vidonda vya tumbo, wewe utatakiwa tiba moja kwa moja bila hata Kupoteza muda wa kuhangaika huku na kule
Kupata msaada piga
Rich ☎️🥏0718 750 220
Afya-Coffee. Naimulika Afya