SuperLife Team Kanwa Tanzania

SuperLife Team Kanwa Tanzania In God we trust

Tunasherehe th 10 mwezi wa nane.  Hii ni siku ambayo tutakua tunatimizia miaka nane ya utoaji wa huduma. Hii sherehe ita...
04/08/2025

Tunasherehe th 10 mwezi wa nane. Hii ni siku ambayo tutakua tunatimizia miaka nane ya utoaji wa huduma. Hii sherehe itafanyika pale SKY CITY MALL, karibu na mlimani city. Hakuna mchango wowote kila kitu kimelipiwa tiyari na mwanzilishi wa hizi huduma yeye ndo atakua mgeni rasmi anatoka nchini Malaysia. Mambo yatakayokuwepo ni kuelezea mafanikio ya hizi huduma toka zimeanza kutolewa ulimwenguni, kutakuwepo burudani mbalimbali, vinywaji/vyakula n.k. Pia hii sherehe itaambatana na ofa mbalimbali kwa wageni kulingana na itakavyokua imempendeza CEO. K**a wewe upo Dar es salaam nakuomba usikose sherehe hii. Nafasi ni chache nimepewa nafasi za watu 10 tu kwaiyo k**a upo tiyari kushiriki sherehe hii nambie nifanye booking na gharama nyinginezo. Natamani kwenye hili kundi kwa mliopo Dar msikose hii sherehe. Pengine inaweza kuwa sababu ya kukufungualia mwanga mpya juu ya afya yako/maisha yako. Karibu sana kufika alhamis niwe nimepata wale watakaokuwa wameconfirm kushiriki hii sherehe kwa ajili kuweka sawa BAJET.

Mama endelea kuchapa kazi na uokpe afya za watu dhidi ya magonjwa sugu. Afya ikiimarika na uchumi unakaa sawa.
14/06/2025

Mama endelea kuchapa kazi na uokpe afya za watu dhidi ya magonjwa sugu. Afya ikiimarika na uchumi unakaa sawa.

Tunaendelea kujali afya yako kwa kutoa elimu na huduma juu ya magonjwa sugu yote k**a kisukari, presha, shida za moyo, i...
14/06/2025

Tunaendelea kujali afya yako kwa kutoa elimu na huduma juu ya magonjwa sugu yote k**a kisukari, presha, shida za moyo, ini,figo , mifupa, stroke, asthma, shida za uzazi na mengineyo mengi.

Shida zote za central nervous system k**a kutetemeka, ganzi, miguu kuwaka Moto,ganzi,stroke,kifafa, mtindio wa ubongo,us...
15/05/2024

Shida zote za central nervous system k**a kutetemeka, ganzi, miguu kuwaka Moto,ganzi,stroke,kifafa, mtindio wa ubongo,usonji,misuli,pingili,mbavu,nyonga,kiuno na shida za mfumo wa mawasiliano ya mwili zote zinatika kwa hii tiba.

Namshukuru Mungu wangu Kwa kila hatua ninayoipiga katika kuelimisha watu juu ya magonjwa sugu
15/05/2024

Namshukuru Mungu wangu Kwa kila hatua ninayoipiga katika kuelimisha watu juu ya magonjwa sugu

Hakika wewe ni Ebeneza kwangu!
15/05/2024

Hakika wewe ni Ebeneza kwangu!

15/05/2024

Tupambanie afya zetu kabla hatujaishiwa nguvu na kuanza kuishi Kwa kutumia dawa za hospital kila siku.

Tutaendelea kuchapa kazi juu ya kuelimisha watu juu ya utibuji wa magonjwa sugu. Tuendelee kupambania afya
15/05/2024

Tutaendelea kuchapa kazi juu ya kuelimisha watu juu ya utibuji wa magonjwa sugu. Tuendelee kupambania afya

Address

Ukonga Madafu
Dar Es Salaam
+255

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SuperLife Team Kanwa Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to SuperLife Team Kanwa Tanzania:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram