AFYA INFO Clinic

AFYA INFO Clinic PATA SULUHISHO LA MAGONJWA SUGU KWA JINSI ZOTE NA KWA WATOTO
TIBA ZETU NI ASILI
0767967454 we dealing with food suplements
call 0767967454

*FAIDA ZA PURE AND BROKEN GONADEMA LUCIDIUM SPORES*⏺ Huongeza Kinga mwilini⏺ Ni nzuri kwa wenye shida ya homa ya ini⏺ Ni...
18/12/2024

*FAIDA ZA PURE AND BROKEN GONADEMA LUCIDIUM SPORES*

⏺ Huongeza Kinga mwilini
⏺ Ni nzuri kwa wenye shida ya homa ya ini
⏺ Ni nzuri kwa waliokuwa na shida ya kutanuka kwa Moyo
⏺ Huongeza nguvu Mwilini
⏺ Nzuri kwa wenye shida ya shinikizo la damu
⏺ Nzuri kwa wenye shida ya Kisukari
⏺ Huondoa Sumu mwilini
⏺ Huondoa uvimbe mwilini
⏺ Huondoa goita ikitumika na Zaminocal plus
⏺ Huondoa Maumivu makali ya viungo mwilini
⏺ Huongeza uwezo wa mwili kutengezeneza damu
⏺ Huimarisha seli za ubongo hivyo hudhibiti hali ya kusahau
⏺ Huimarisha macho
⏺ Huongeza nguvu za kiume
⏺ Huondoa vimelea vya Saratani
⏺ Huimarisha ngozi yako
⏺ Hutibu magonjwa katika mfumo wa upumuaji
⏺ Hutibu Ugumba
⏺ Huondoa changamoto ya kukosa hedhi
⏺ Huondoa hernia Aina zote ikiwa na Yunzhi pamoja na ( novel au Prostatrelax capsules) kulingana na eneo ilipo na kwa jinsia husika
⏺ Hujenga Kinga ya mwili dhidi ya magojwa mbalimbali
⛔Uwe unaumwa au huumwi pure ni kitu sahihi na Ni muhimu kuitumia
☎️0️⃣7️⃣6️⃣7️⃣9️⃣6️⃣7️⃣4️⃣5️⃣4️⃣

BAWASILI [HEMORRHOIDS]Hili ni tatizo ambalo usababishwa kwa kuvimba na mishipa ya vena ilioko katika njia ya haja kubwa ...
18/09/2024

BAWASILI [HEMORRHOIDS]
Hili ni tatizo ambalo usababishwa kwa kuvimba na mishipa ya vena ilioko katika njia ya haja kubwa na kupasuka na hatimaye kutoka kinyama katika maeneo ya haja kubwa au kiuvimbe ambacho kitaalamu ndio kinaitwa hemorrhoids.

Kwa kawaida bawasili aichagui rika, mtoto au mkubwa hutokea kwa rika zote ila uchunguzi wa kitaalamu unaonesha waathilika wakubwa wa tatizo hili la bawasili ni watu wazima lakini pia kuna bawasili za aina mbili ya nje na ndani.
CONSTRLX hii ni dawa nzuri sana kwa matatizo ya bawasiri, imetengenezwa kwa BAWASILI [HEMORRHOIDS]
Hili ni tatizo ambalo usababishwa kwa kuvimba na mishipa ya vena ilioko katika njia ya haja kubwa na kupasuka na hatimaye kutoka kinyama katika maeneo ya haja kubwa au kiuvimbe ambacho kitaalamu ndio kinaitwa hemorrhoids..

Sisi info _herbal_clinic ni wataalamu wa tiba tiba asili tunashugulika na kutibu magonjwa sugu k**a.

Magonjwa ya Kisukali, Vidonda vya tumbo, Presh, Uzazi, PID, Hedhi, Pumu, Bawasili, UTI sugu, Maralia sugu, Uvimbe tumboni, fangasi, N.K.

Kwa ushauri au matibabu fika katika clinic yetu
DAR ES SALAM
0767967454
0672008687

Ushawahi kujiuliza kwanini umekuwa muhanga wa  kutumia dawa na sindano kupambana na utokwaji wa uchafu wenye harufu mbay...
28/08/2024

Ushawahi kujiuliza kwanini umekuwa muhanga wa kutumia dawa na sindano kupambana na utokwaji wa uchafu wenye harufu mbaya ukeni, miwasho isiyoisha pamoja na maumivu ya kiuno na tumbo lakini huponi..?

🇹🇿 Leo nakupa siri ndogo tu utaelewa ukifuatilia mpaka mwisho...

Fahamu kwamba:

➡️ Kinachofanya uchafu wenye harufu utokee ni uwepo wa MAJERAHA pamoja na WADUDU kwenye njia ya uzazi wako.
Sasa Nini hutokea..??

🇹🇿 JERAHA pamoja na WADUDU hao ni mazingira yanayozalisha uchafu wenye harufu kutokana na Maisha ya bacteria na fungus katika njia ya mfumo wa uzazi.

🇹🇿 Si kawaida unafanya hivi: unanunua dose (antibiotics) ambazo kazi yake ni kuua WADUDU na kinachobaki ni JERAHA.

🇹🇿 JERAHA .... Ama kidonda kikibakia huruhusu WADUDU tena kuja kuishi, ndio maana wakati unatumia antibiotics kutatua changamoto ya kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya ukeni utajiona unaendelea vizuri ...

🇹🇿 Hutokea hivyo kwa sababu kazi ya antibiotics imetimia, imeua WADUDU kwenye MAJERAHA huoni utundu wao kuzalisha uchafu...

🇹🇿 Baada ya siku chache kumaliza dawa shida hii hapa tena, hujiulizi kwanini ijirudie ???

🇹🇿Nguvu ya antibiotics imeisha, hivyo JERAHA huruhusu WADUDU wapya kuja kuendeleza kazi yao....

Unaweza kujiuliza sasa nifanye nini daktari ili kupata suluhisho la kudumu ????

🇹🇿 Suluhisho ni kuhakikisha unapata dawa asilia ya UROGETIX yenye sifa hizi utakuwa umekomesha: 🔽

UROGETIX

Ni dawa asilia ambayo ni broad spectrum yaani ina uwezo mkubwa wa kutibu aina nyingi za Bacteria ambao wanaosababisha magonjwa mbalimbali katika mfumo wa uzazi na mkojo (Urogenital system)

kujifunza zaidi kuhusu PID ni kuelewa jinsi ya kutambua dalili zake mapema ili kuchukua hatua za haraka. Ingawa dalili za PID zinaweza kutofautiana kulingana na ukali wa maambukizi, baadhi ya dalili za kawaida ni pamoja na:

1. Maumivu ya chini ya tumbo au eneo la pelvic.

2. Kutokwa na uchafu wa kizazi wenye harufu mbaya au wa rangi isiyo ya kawaida.

3. Maumivu wakati wa kukojoa au kujamiiana.

4. Kuhisi maumivu au presha wakati wa tendo la ngono.

5. Kutokwa na damu nje ya mzunguko wa hedhi.
6.Miwasho sehemu za siri
7. Kutokwa na maji maji ukeni kupita kiasi.

Ni muhimu kutambua kwamba si kila mwanamke mwenye PID atakuwa na dalili zote, na wakati mwingine dalili zinaweza kuwa dhaifu au zisizo dhahiri. Kwa hiyo, ni muhimu kuwa macho na kutafuta matibabu mapema

🔴Tafakari, Chukua hatua. Tupo MIKOA YOTE TZ

Utabonyeza hapo Chini ya tangazo hili maneno yanayosomeka WHATSAP 🛷🥌0️⃣7️⃣6️⃣7️⃣9️⃣6️⃣7️⃣4️⃣5️⃣4️⃣ uingie whatsap yetu kwa maelekezo zaidi tafadhali. popote ulipo usijali karibu sana

ya kupona PID
# namna ya kujiepusha na PID
za PID
# vichochezi vya PID
# dawa ya kutibu PID

Tiba mubashara kwa kutibu vidonda vya tumbo Wasiliana nasi 0767967454
28/08/2024

Tiba mubashara kwa kutibu vidonda vya tumbo
Wasiliana nasi 0767967454

TEZI DUME INATIBIKA BILA KUFANYIWA UPASUAJI 𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗩𝗜𝗠𝗕𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗘𝗭𝗜 𝗗𝗨𝗠𝗘 👇🍀 Kukojoa Mara kwa mara.🍀 Kubakiza mkojo kw...
24/08/2024

TEZI DUME INATIBIKA BILA KUFANYIWA UPASUAJI

𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗩𝗜𝗠𝗕𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗘𝗭𝗜 𝗗𝗨𝗠𝗘 👇
🍀 Kukojoa Mara kwa mara.
🍀 Kubakiza mkojo kwenye kibofu.
🍀 Kukojoa sana hasa Nyakati za usiku.
🍀 Maumivu wakati wa kukojoa na mkojo usioenda mbali.
🍀 Kupungukiwa nguvu za kiume.
🍀 UTI ya Mara kwa mara.
🍀 Mawe kwenye kibofu kutokana na Mrundikaniko wa Mkojo.
🍀 Figo kujaa maji.
🍀 Kupoteza fahamu.
🍀 Maumivu ya Mara kwa mara ya kiuno kwa nyuma ya mgongo na mapaja.
🍀 Uume kushindwa kusimama vizuri.
🍀 Kuwa na wakati mgumu wakati wa kukojoa na kuzuia mkojo.

𝗔𝗧𝗛𝗔𝗥𝗜 𝗭𝗔 𝗧𝗘𝗭𝗜 𝗗𝗨𝗠𝗘 𝗞𝗔𝗠𝗔 𝗛𝗔𝗜𝗧𝗔𝗪𝗔𝗛𝗜 𝗞𝗨𝗧𝗜𝗕𝗜𝗪𝗔 👇
✍️ Kushindwa kabisa kukojoa.
✍️ Kupatwa na maambukizi ya UTI.
✍️ Kupatwa na vijiwe kwenye kibofu.
✍️ Uharibifu wa kibofu unaweza kutokea.
✍️ Figo inaweza kuharibika.
✍️ Saratani ya Tezi Dume (Prostate Cancer)
✍️ Kifo 😥

𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗡𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜 𝗭𝗔𝗜𝗗𝗜
Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Nchi Nzima au Tupigie Sasa Kupitia
0767967454

🔥🔥 Mfanye Mwanamke Wako Atabasamu Tena Na Kumaliza Unyanyapaa Wa Kutokwa Na Manii Haraka; Pata Uume Kubwa, Imara, Mrefu ...
20/08/2024

🔥🔥 Mfanye Mwanamke Wako Atabasamu Tena Na Kumaliza Unyanyapaa Wa Kutokwa Na Manii Haraka; Pata Uume Kubwa, Imara, Mrefu Kwa Chai Hii Ya Asili Ya Mimea Isiyo na Madhara.🔥🔥

👉𝐒𝐚𝐲 𝐁𝐲𝐞 𝐁𝐲𝐞 𝐭𝐨 𝟐𝐌𝐢𝐧𝐬 𝐌𝐚𝐭𝐜𝐡.
👉𝐆𝐨 𝐅𝐫𝐨𝐦 𝟐-𝐌𝐢𝐧𝐬 𝐓𝐨 𝟒𝟓-𝐌𝐢𝐧𝐬 𝐀𝐧𝐝 𝐌𝐨𝐫𝐞...
👉𝐁𝐢𝐠𝐠𝐚, 𝐋𝐨𝐧𝐠𝐚, 𝐒𝐭𝐫𝐨𝐧𝐠𝐚 𝐀𝐧𝐝 𝐋𝐚𝐬𝐭 𝐋𝐨𝐧𝐠𝐚...
👉𝐈𝐭 𝐇𝐚𝐬 𝐍𝐨 𝐒𝐢𝐝𝐞 𝐄𝐟𝐟𝐞𝐜𝐭𝐬.
👉𝟏𝟎𝟎% 𝐍𝐚𝐭𝐮𝐫𝐚𝐥.
Call 0767967454

UTAJISKIAJE UKIPONA KABISA VIDONDA VYA TUMBOTiba MPYA Ya VIDONDA VYA TUMBO Yapatikana Hivi Unajua Juice Ya Cabeji Ni Daw...
10/08/2024

UTAJISKIAJE UKIPONA KABISA VIDONDA VYA TUMBO
Tiba MPYA Ya VIDONDA VYA TUMBO Yapatikana Hivi Unajua Juice Ya Cabeji Ni Dawa Ya Kuondoa Acid Mwilin,
Soma Hii K**a Unataka Kutibiwa Vidonda Vya Tumbo…
K**a Unasumbuliwa Na Dalili Zifuatazo Basi Utakuwa

Unasumbuliwa Na Vidonda Vya Tumbo
📌gesi Na Mingurumo
📌kiungulia
📌Acid Reflux/Asidi Kuwa Nyingi.
📌 H Pylori.
📌tumbo Kuwaka Moto
📌Kupumua Kwa Shida
📌kuchefuchefu
📌mgongo ,Kiuno, Na Maumivu
📌hofu Na Kukosa Usingizi
📌kukosa Hamu Ya Kula
📌ganzi
📌kupungukiwa Nguvu Za Kijinsia
📌Choo Kukatika K**a Mbuzi
📌kuharisha Na Kukosa Choo
📌vichomi Na Kuhara Damu
📌kutapika

Hata K**a Umeshajaribu Kuwatafuta Matabibu Wengi Ili Kutibiwa Vidonda Vya Tumbo Kwa Muda Mrefu Bila Mafanikio Basi Soma Mpaka Mwisho Ili Kugundua Utofauti Wa Tiba Hii Na Zingine…

Mimi Ni TABIBU WA VIDONDA VYA TUMBO Ambaye Nawasaidia Watu Wanao Sumbuliwa Na Vidonda Vya Tumbo Kwa Kuwapatia ELIMU, USHAURI NA TIBA. Nimewasaidia Zaidi Ya Watu 200 Ndani Ya Mwaka Huu 2024

Kwa Upande Wa Tiba Yetu Ni Inatibu Aina Zote Na Hatua Zote Za VIDONDA VYA TUMBO Na Ni Dozi Ya Siku Kumi Na Nne Tu Baada Ya Siku Chache (Tisa Ama Kumi) Ya Kutumia Tiba Yetu Utaweza Kula Kila Kitu Kilichokuwa Kinakusumbua Bila Matatizo Yeyote.

Hivi Hapa Ni Sababu Kubwa TANO (5) Kwanini Utumie Dozi Hii
1- Inauwa Bacteria Wanaosababisha Vidonda Vya Tumbo, H.Pylori.
2- Inaweka Ulinzi Kwenye Kuta Za Tumbo Kuzuia Athari Za Asidi.
3- Inaponesha Vidonda Vya Tunbo Aina Zote Na Hatua Zote.
4- Inaondoa Kiungulia Na Matatizo Yote Yaliyotokana Na Vidonda Vya Tumbo.

5- Badaada Ya Muda Mfupi Wa Matibabu Unaweza Kula Vyakula
Vyote Na Ukaendelea Na Shuguli Yako Za Kutafuta Riski.

K**a Unasumbuliwa Na VIDONDA VYA TUMBO Na Unataka Kutibiwa Haraka Iwezekanavyo Nina Habari Njema Sana Kwako… Hivi Unajua Juice Ya Cabeji Inaondoa Uric Acid Kwa Kiasi Kikubwa Sana Namna Ya Kuipata Nichek Nikupe Maelekezo Mazur
Nina DAWA Inayotokana Na Mimea Tiba Maalumu Kwa Ajili Ya Kumaliza Kabisa Vidonda Vya Tumbo Na Vitu Vyote Vilivosababishwa Na VIDONDA VYA TUMBO.

Ambayo Gharama Yake Ni NI NNE NA THEMANIN Ni Kwamba Ndani Ya Mwezi Huu Tu Utaipata Kwa Tshs 280000 Tu NA HAPA Hii Ni OFFER YA MWEZI HUU TU.

Unaweza Kubonyeza SEND MESSAGE Kuwasiliana Namimi Kwa ELIMU, TIBA Na USHAURI Au Kunipigia Kwa Namba Hizi Hapa Chini. Tunapatikana – Dar Mbeya Arusha Moshi Iringa Mwanza Morogoro Dodoma
NB:
WAHI MATIBABU VIDONDA VYA TUMBO VINATIBIKA…
Wasiliana nasi 0️⃣7️⃣6️⃣7️⃣9️⃣6️⃣7️⃣4️⃣5️⃣4️⃣

TEZI DUME.Tezi dume ni nini?Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa mtu mwenye jinsia ya kiume. Tezi hii inakazi ya kutengen...
19/07/2024

TEZI DUME.
Tezi dume ni nini?
Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa mtu mwenye jinsia ya kiume. Tezi hii inakazi ya kutengeneza majimaji meupe mepesi. Majimaji haya husaidia mbegu za kiume kutembea kwa haraka.

✔Tezi dume ipo wapi kwa mwanaume?.
Tezi dume ipo nyuma ya kibofu cha mkojo pia inazunguka mrija unaounganisha kibofu. Ipo mbele ya utumbo mpana ndani ya mfupa wa nyonga.

VISABABISHI VYA TEZI DUME.❓❓
- Umri mkubwa kwa zaman ilikua kuanzia miaka 50 ila kwa sasa ni kuanzia 35 na kuendelea
- Nasaba au ukoo wenye historia ya saratani.
- Lishe hatarishi.
- Unene kupita kiasi nk.
-kufanya kazi kwenye viwanda vya kuzalisha chemical
-uwepo wa vimelea vya kansa

DALILI ZA TEZI DUME. 🔴🔴
1 Mkojo kuwa dhaifu.
2 Kukojoa mara kwa mara.hasa nyakati za usiku unaweza kwenda haja zaidi ya mara nne
3 Damu ndani ya mkojo.
4 Maumivu makali ya kiuno.
5 Kushindwa kumaliza mkojo.
6Mamivu chini ya tumbo au chini ya kitovu
7Maumivu wakati wa kukojoa
8Mkojo kushindwa kuruka mbali

⛔MADHARA YA TEZI DUME ⛔
💥Kupelekea kupoteza nguvu za kiume kabisa
💥Kupelekea kifo baada ya kuwa saratani
💥Kushindwa kutoa spam
💥Mkojo kushindwa kutoka
💥Madhara katika figo au kibofu
💥Shinikizo la damu

✅✅Ukiona dalili hizi basi jua kuwa wewe una tatizo la tezi dume haraka tafuta matibabu
WASILIANA NASI KUPATA TIBA
AMBAYO UNAPEWA DAWA YA KUTIBU BILA OPARESHEN NI DOSE YA MIEZI MITATU
💊☎️0️⃣7️⃣6️⃣7️⃣9️⃣6️⃣7️⃣4️⃣5️⃣4️⃣

◾Je una tatizo lolote la mifupa, Tendoni,Misuli,au Mishipa ya fahamu?Usipitwe na ofa hii.◾Karibu sana tunatibu Matatizo ...
17/07/2024

◾Je una tatizo lolote la mifupa, Tendoni,Misuli,au Mishipa ya fahamu?Usipitwe na ofa hii.
◾Karibu sana tunatibu Matatizo yafuatayo:
1.Pingiri za uti wa mgongo kupishana
2.Pingiri za uti wa mgongo kuvimba
3.Pingiri za uti wa mgongo kusagika
4.Matatizo ya magoti yote
5.Nyonga aina zote
6.Matatizo ya Mishipa ya fahamu
7.Stroke na Paralysis
8.Misuli kukaza
9.Enka aina zote
10.Mabega
11.Tendoni
12.Unyayo kuwaka moto
13.Ganzi mwilini
14.Uti wa mgongo
WASILIANA NASI 0767967454

TIBA YA KUPONA KABISA VIDONDA VYA TUMBO(ULCERS) AINA ZOTE KWA 100%             (JOMA  ULCER SUPER FORMULA)       SIMU/Wh...
15/07/2024

TIBA YA KUPONA KABISA VIDONDA VYA TUMBO(ULCERS) AINA ZOTE KWA 100%

(JOMA ULCER SUPER FORMULA)

SIMU/Whatsapp:0767967454

HABARI NJEMA KWA WOTE WANAOSUMBULIWA NA VIDONDA VYA TUMBO SUGU
Kwa kutumia Tiba hii ambayo imetengenezwa kwa kutumia mimea asilia na kufanyiwa utafiti kwa zaidi ya miaka 10, utaweza kupona kabisa aina zote za vidonda vya tumbo kwa 100%.

Tiba hii ya kipekee imeshawaponya mamia ya watu walioitumia na kusahau kabisa shida hizo.

Dawa hii hutibu na kuponya kabisa yafuatayo:
1. Inaponesha kabisa Vidonda vya tumbo vya aina zote ndani ya muda mfupi.
2. Inaua Bakteria wanaosababisha Vidonda Vya Tumbo (H.pylori)
3. Inaweka Ulinzi Kwenye Kuta Za Tumbo Kuzuia madhara ya Asidi.
4. Inaondoa kiungulia na matatizo yote yaliyotokana na vidonda vya Tumbo.
5. Utaanza kuona matokeo makubwa kuanzia siku saba za kutumia dawa hii
6. Inatibu kabisa tatizo la choo kigumu na hivyo kukinga pia na ugonjwa wa bawasir

OFA YA PUNGUZO KABAMBE
Kwa mwezi huu tu utaipata kwa bei ya OFA ya Tshs 196,000/= badala ya bei yake halisi ya 400000

Wahi kabla OFA hii haijaisha ili uweze kupona na kusahau kabisa vidonda vya tumbo

Kwa tiba na ushauri wa kupona kabisa vidonda vya tumbo na magonjwa mbalimbali wasiliana nasi
Simu/whatsapp:0767967454

SABABU, MADHARA YA KUKOSA CHOO AU KUPATA CHOO KIGUMUSababu, madhara ya kukosa choo ‘Constipation’Tatizo la kukosa choo (...
09/07/2024

SABABU, MADHARA YA KUKOSA CHOO AU KUPATA CHOO KIGUMU

Sababu, madhara ya kukosa choo ‘Constipation’
Tatizo la kukosa choo (constipation) ni tatizo ambalo limekuwa likiwakumba watu wengi sana katika dunia, watu wamekuwa wakiteseka bila kujua nini chanzo cha tatizo hili na vipi kuliondoa tatizo hili na wengine wamekuwa wakilipuuzia bila kujua madhara ambayo wanaweza kuyapata kutokana na tatizo hili.

kukosa choo hutokea pale mtu anakula vizuri lakini unakata siku tatu hadi nne bila kupata choo. Ukiona unakula kutwa mara tatu na unakaa siku mbili hadi tatu huendi chooni au unatoa choo kigumu k**a mbuzi hilo ni tatizo kwako.

Tafiti zinaonyesha mtu anaweza kupoteza maisha k**a atakosa choo kwa siku tano hadi saba mfululizo. Watu wengi hulidharau tatizo hili lakini linamadhara makubwa tofauti na wanavyofikiria.

Zipo sababu za kukosa choo, k**a ifuatavyo

Kupenda kula saana vyakula vilivyokobolewa k**a vile ugali wa sembe, mikate.

Ukosefu wa mbogamboga za majani na matunda ya faiba k**a machungwa huongeza tatizo hili,

kila mtu unatakiwa kula matunda aina mbili na mboga za majani aina mbili kila siku.

Matumizi makubwa ya pombe na sigara.

Unywaji mdogo wa maji, Kila mtu anapaswa kunywa maji kwa kiwango cha chini lita 3 kila siku na usinywe maji wakati unakula, kunywa maji nusu saa kabla au baada ya kula.

Matumizi mabaya ya madawa. Mfano dawa za presha, aleji n,k.

Kuugua kisukari au ugonjwa wa misuli.

Kansa ya utumbo mpana.

Yafuatayo ndiyo madhara yatokanayo na kokosa choo;

Unaweza kuugua saratani ya utumbo mpana.

Unaweza kupata tatizo la tumbo kujaa gesi.

Figo yako inaweza isifanye kazi vizuri.

Unawezasababisha magonjwa ya moyo.

Unaweza pata tatizo la kukak**aa mishipa ya damu ambapo utasababisha miguu kuwaka moto na ganzi miguuni au mikononi

Unawezasababisha magonjwa ya ini

Unawezapata kisukari.
Tatizo hili linatatulika na Kwisha kabisa.Tuwasiliane.

Kwa mawasiliano nipigie simu 0767967454
゚viralシ ゚viral

VIUNGO NA MIFUPA)+255 0767967454Matatizo ya mifupa na viungo yamekuwa changamoto Sana kwa watu wengi na hasa wanapofika ...
17/05/2024

VIUNGO NA MIFUPA)
+255 0767967454

Matatizo ya mifupa na viungo yamekuwa changamoto Sana kwa watu wengi na hasa wanapofika umri was miaka 30 na kuendelea.Hapa Sasa mtu ataanza kuhisi maumivu makali kwenye magoti,pingili za mgongo,nyonga na shingoni pia wapo ambao viungo vyao huuma mwili nzima kutokana na upungufu was madini muhimu K**a vile zink na calcium

Kitaalamu matatizo haya yamegawanyika katika makundi makuu manne (4) nayo ni_
1:osteoarthritis- ambayo viungo vinasagana kutokana na kulika kwa gegedu(cartilage) na Ute kuisha kwenye maungio

2:Rheumatic Arthritis--hii ni ile Hali ya Kinga ya mwili kutafuna gegedu(cartilage) hii hutokea kwa watu wa umri wowote

3:Osterporosis--hii ni ile Hali ya mifupa kuwa dhaifu na kuwa rahisi kuvunjika na hutokana na upungufu wa madini ya calcium

4:Gaut Arthritis--hii inasababiswa na uric acid (kemikali inayotokana na protini ya nyama)

Dalili za matatizo ya mifupa kwa ujumla

@ . Maumivu kwenye maungio
@ .Viungo kushindwa kujikunja
@ .kusikia milio ya kusagana Viungo
@ .Kukaza kwa Viungo
@ . Kushindwa kuinama au kuinuka baada ya kukaa kwa mda flani
@ .Kuhisi ganzi kwenye miguu na kuwaka Moto kwa miguu

Sababu zinazoleta haya matatizo ya mifupa

@ .Uzito uliopindukia
@ .Historian ya familia
@ .Ajali
@ .kutumikisha viungu kupita kiasi mfano mazoezi makali
@ .Kisukari pia huleta madhara kwa mifupa na Viungo


Changamoto katika kutibu haya matatizo

@ .Watu wengi wanatumia dawa za kutuliza maumivu
*Dawa za maumivu hutuliza maumivu tu kwamda na baadae Maumivu hurudi Tena maana hazisaidii kuongeza Cartilage (gegedu) Wala uteute

wengi wanafanyiswa mazoezi
*Mazoezi huwasaidia watu kwa muda mfupi na baadae hurudi Tena tatizo

*Kwahiyo watu wengi wenye tatizo la viungu kulika na kusagana huishia kufanyiwa upasuaji wa Viungo kwa gharama kubwa Sana

Madhara ya kukaa na tatizo hili kwa mda mrefu

@ . Kushindwa kukunja Viungo kabisa
@ .Kuvunjika kwa urahisi kwa mifupa
@ .Kushindwa kutembea kabisa
@ . Kushindwa kupanda ngazi
@ .kupata maumivu makali Sana Kila siku
@ .Miguu kuwaka Moto na kufa ganzi
@ .Kuvimba kwa miguu na sehemu zingine za mwili

Matibabu ya uhakika kwa matatizo ya mifupa na Viungo

✓ Kuna virutubisho maalum kutoka nchini (India ,China,Korea na America) ambavyo hurudisha uteute na gegedu kwa haraka na kukufanya urudi katika Hali yako ya kawaida
✓Pia huondoa maumivu ya Viungo na mifupa
✓Huimarisha mifupa kwa kuongeza madini ya calcium na zinc

Tunapatikana Dar es salaam.
Kwa mawasiliano zaidi tupigie kupitia

Tell.+255 767967454
Karibu kwa ushauri na Tina ya uhakika

Address

Mwenge
Dar Es Salaam

Telephone

+255767967454

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA INFO Clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram