Jiponye afya herbs

Jiponye afya herbs Karibu tukusaidie kutatua changamoto za afya kama uzazi , Acid, Tezi dume , Nguvu za kiume , Nk

Unapos**ia neno *DETOX* Usifikirie sumu ya panya, au ni kwa mtu aliye kunywa sumu, *HAPANA..!**Detox ni nini..?*— Ni mch...
27/10/2025

Unapos**ia neno *DETOX* Usifikirie sumu ya panya, au ni kwa mtu aliye kunywa sumu, *HAPANA..!*

*Detox ni nini..?*

— Ni mchakato unaotokea ndani ya mwili kila siku, pale ini, figo na damu zinaposhirikiana kusafisha mwili kutoka kwenye taka sumu zinazojikusanya taratibu kutokana na vyakula, hewa chafu na msongo wa mawazo.

*Lakini kuna siri ambayo wengi hawajui...*

kuna vyakula vinavyoweza kuongeza kasi na ufanisi wa huu mchakato.

Na moja ya mashujaa wa kimya katika familia ya detox ni *BEETROOT* tunda au mboga nyekundu inayong’aa k**a damu.....

*Kwa nini Beetroot..?*

↳ Ina betalains, antioxidant yenye nguvu inayosaidia ini kuvunja sumu na kuondoa haraka.

↳ Huchochea mtiririko mzuri wa damu, hivyo kubeba sumu na taka mwilini kwa ufanisi.

↳ Hupunguza oxidative stress, moja ya chanzo kikubwa cha magonjwa sugu...

↳ Huweka mwili kwenye hali ya alkaline, kupunguza mazingira ya magonjwa...

Fikiria hivi… mtu anayeishi kwenye jiji lenye hewa chafu, anakula vyakula vya haraka (junk foods) kila siku, na hana muda wa mazoezi...

Taratibu mwili wake hujaa taka na sumu, hali ambayo hupelekea uchovu wa mara kwa mara, kupungua kwa kinga ya mwili na hata mabadiliko ya homoni (hormone imbalance).

*ipo hivi...*

↳ Imbalance ya homoni k**a insulin, cortisol, testosterone, estrogen hutokana pia na sumu mwilini na mfumo wa maisha usio na usawa...

Na hapa ndipo Beetroot Detox inapoleta ukombozi — Husaidia kurejesha usawa wa homoni na nguvu za mwili....

*Lakini kumbuka*

Beetroot pekee haitoshi, Ili kufanikisha mchakato wa detox na kurekebisha homoni zako...

↳ Fanya mazoezi mara kwa mara (angalau dakika 30 kwa siku).

↳ Punguza vyakula vilivyosindikwa na sukari nyingi.

↳ Kunywa maji ya kutosha, Pata muda mzuri wa kupumzika, walau masaa 7-8 USIKU....

*NB:* Beetroot ni formula ya ukombozi wa afya yako, Ongeza kwenye juisi, au saladi yako ya kila siku....

Mwili wako utakushukuru…

Beetroot Detox, Siri ya asili ya kuondoa sumu, kurudisha nguvu na kusawazisha homoni zako.🩺

Jiponye afya herbs

25/10/2025

SULUHISHO LA MAGONJWA YA MIFUPA NA VIUNGO (BONE AND JOINT PAIN)

Maumivu ya mifupa na viungo 🦵 ni moja ya matatizo ya afya yanayowasumbua watu wengi duniani 🌍 bila kujali umri. Hali hii inaweza kujitokeza ghafla au taratibu, na mara nyingi huwa ishara ya mabadiliko katika misuli, mifupa, au tishu zinazounganisha viungo.

⚠️ SABABU KUU ZA MAGONJWA YA MIFUPA NA VIUNGO

🧓 1. Kuzeeka (Umri Mkubwa)
Kadri mtu anavyozeeka, mifupa hupoteza madini na kuwa dhaifu. Wanawake waliofika menopause hupoteza homoni ya estrogen, hali inayoongeza hatari ya osteoporosis.

🥦 2. Ukosefu wa Virutubisho Muhimu
Afya ya mifupa hutegemea virutubisho k**a:

Kalsiamu – hujenga mifupa

Vitamini D – husaidia ufyonzaji wa kalsiamu

Magnesium & Zinc – huimarisha mifupa
Upungufu wake husababisha rickets, osteomalacia na osteoporosis.

🏃‍♂️ 3. Kutofanya Mazoezi
Wasiopiga mazoezi hupata udhaifu wa misuli, upungufu wa mzunguko wa damu na uchakavu wa mapema wa viungo.

⚖️ 4. Uzito Mkubwa (Obesity)
Uzito mwingi huweka shinikizo kwenye magoti, nyonga na mgongo, na kuchochea uchakavu wa cartilage (Osteoarthritis).

🤕 5. Majeraha ya Mara kwa Mara
Ajali na majeraha husababisha uharibifu wa cartilage na mishipa, na kusababisha maumivu sugu au post-traumatic arthritis.

🧬 6. Magonjwa ya Msingi
Magonjwa k**a diabetes, lupus, sickle cell na cancer ya mifupa huathiri moja kwa moja afya ya viungo.

👪 7. Kurithi (Genetics)
Historia ya familia yenye matatizo ya mifupa k**a osteoporosis au scoliosis huongeza hatari.

💊 8. Matumizi ya Dawa Kwa Muda Mrefu
Dawa k**a corticosteroids na baadhi ya ARVs hupunguza uwezo wa mwili kujenga seli mpya za mfupa.

🍷🚬 9. Pombe na Sigara
Hupunguza vitamini D, kuharibu ini na kudhoofisha ujenzi wa mifupa.

🦠 10. Maambukizi
Bakteria wanaoweza kuingia kwenye mifupa husababisha osteomyelitis na septic arthritis.

⚖️ 11. Kutobalansi kwa Homoni
Upungufu wa estrogen, testosterone au matatizo ya thyroid huathiri uzalishaji wa seli za mfupa.

🌿 JINSI SUPER BONE SOLUTION

INAVYOTIBU MAGONJWA YA MIFUPA NA VIUNGO 💪

SUPER BONE SOLUTION ni mchanganyiko wa mimea, madini na vitamini unaolenga kuondoa chanzo cha tatizo, si dalili pekee. Ni tiba kamili kwa maumivu ya mifupa, mgongo, nyonga na viungo.

💧 1. DETOX – Kuondoa Sumu Mwilini

🩸 Husafisha mifupa na ogani kwa kuondoa:

Sumu, uric acid, damu zilizoganda na kemikali hatarishi.

Hurejesha mzunguko sahihi wa damu na kuondoa maumivu yanayosababishwa na sumu zilizozidi mwilini.

💪 2. GLUCOSAMINE & CHONDROITIN

Hii ndiyo tiba halisi inayojenga upya mifupa na cartilage:
✅ Inarekebisha mifupa iliyolika au kusagana
✅ Inazalisha ute wa kutosha kwenye viungo (synovial fluid)
✅ Inapunguza maumivu ya mgongo, magoti, nyonga, na mikono
✅ Inasaidia pingili zilizopishana kujipanga upya
✅ Inaponya waliopata ajali au kuvunjika haraka
✅ Inaongeza nguvu ya misuli na uti wa mgongo
✅ Inasaidia sana kwa wenye sciatica pain na ganzi za viungo

🧂 3. MADINI MUHIMU: Zinc, Calcium, Magnesium, Selenium

Madini haya:

Huimarisha na kulainisha mifupa

Hurejesha uimara wa cartilage

Huzuia mifupa kusagika au kupoteza umbo lake

Huchochea uzalishaji wa seli mpya za mfupa

🌼 SUPER BONE SOLUTION INAFANYA MAMBO MAKUU 3:

1️⃣ Kujenga na kuimarisha upya mifupa
2️⃣ Kulainisha viungo na kuondoa maumivu
3️⃣ Kusafisha na kuondoa sumu mwilini

✨ Usikubali kuendelea kuteseka wakati suluhisho lipo!
Kumbuka: Afya yako ndiyo mtaji wako.

📞 Tupigie au Tuma WhatsApp Leo:
👉 +255 742 251 310
👉 +255 772 228283

🌿 SUPER BONE SOLUTION – Kwa mifupa imara, viungo laini, na maisha bila maumivu!

*SIRI YA KUA MWANAUME  RIJALI HII HAPA*       ....Karibu nikuibie Siri moja kwa dakika moja...*Stamina Sio Bahati Nasibu...
23/10/2025

*SIRI YA KUA MWANAUME RIJALI HII HAPA*

....Karibu nikuibie Siri moja kwa dakika moja...

*Stamina Sio Bahati Nasibu— Ni Matokeo ya Psychology, Homoni na Nidhamu.*

Ukiifahamu siri hii, tatizo la nguvu za kiume kwako litabaki historia...

*Tuanzie Hapa...*

Kwa nini wanaume wengi wanamaliza haraka, Ndani ya dakika moja Tu...💦

Wengi hudhani tatizo ni uume... Kumbe tatizo linaanzia ubongoni.

Ndiyo, tendo la ndoa linaanza kichwani (saikolojia) kabla halijafika kiunoni...

*Sababu kuu kwa wanaume wengi Ni...*

↳ Msongo wa mawazo (Stress)

↳ Wasiwasi wa kushindwa (Kuto kujiamini)

↳ Hisia kali kupita kiasi (Pe**le Hypersensitivity)

Matokeo yake, Unamaliza kabla safari haijaanza. 😔

Na baada ya kumaliza... kwa nini huwezi kurudia haraka kwa wakati..?

*Ipo hivi....*

Baada ya mshindo, mwili huingia kwenye kipindi cha mapumziko (Refractory Period)....

*Hii inahusiana na mchakato wa...*

↳ Homoni yako ya Testosterone

↳ Hali ya kisaikolojia kwa muda huo

*Kwa hiyo…Usijilaumu...*

Lakini pia usikubali kubaki hivyo, kwani hali yako ya kisaikolojia na homoni ndiyo huamua, Uunganishe bao, au uchukue muda mrefu zaidi ya dakika 5 kuendelea...

*Ukweli wa kitaalamu ni huu...*

Asilimia 76% ya performance yako kitandani inatokana na psychology yako...

Lakini chanzo cha tatizo si ubongo peke yake… ni mfumo mzima unaohusisha...

↳ Mfumo wa neva (Psychology)

↳ Hormone ya Testosterone

↳ Mzunguko wa damu

↳ Misuli ya nyonga (Pelvic Floor Muscles)

↳ Tezi dume na viungo vingine vya uzazi

*Sasa… Siri halisi za kuimarisha stamina bila dawa bila Booster yoyote zipo tayari....* 👇

Ipo hivi...

K**a unaweza kudhibiti mwili wako sekunde 10 kabla ya kumaliza..💦 Basi unaweza kuongeza dakika 10 za furaha bila Booster..

*Na leo....*

Nakufunulia hatua kwa hatua, lakini kumbuka stamina si bahati nasibu, ni matokeo ya saikolojia yako, na Homoni ya Testosterone na Mazoezi maalum ambayo yanahitajika...

↳ Rudia kusoma elimu hii mara mbili,

↳ Tafakari ni wapi umekuwa ukikosea..?

*NB:* Ukomavu wa mwanaume ni kuisimamia homoni yake ya kiume, si kuitegemea Booster..
*_Nitakusaidia hatua kwa hatua kwakurekebisha homoni zako za Testosterone zikae sawa.._*

Usisubiri hadi hali iwe mbaya zaidi, Anza sasa hivi na ufuate miongozo tiba yenye nguvu kubadili afya yako ya uzazi....
Nipo kwaajili ya kukusaidia piga namba hii kwa msaada
*0742251310*

Jiponye afya

20/10/2025
NAMNA AMBAVYO ACID REFLUX HUATHIRI MIFUMO MINGINE YA MWILI:Acid reflux ni tatizo linaloanzia kwenye mfumo wa mmeng'enyo ...
13/10/2025

NAMNA AMBAVYO ACID REFLUX HUATHIRI MIFUMO MINGINE YA MWILI:

Acid reflux ni tatizo linaloanzia kwenye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula (Gastrointestinal system) na kuathiri mifumo mingine ya mwili.

Mifumo ya mwili inayoathiriwa na acid ni k**a ifuatavyo :⤵️⤵️

1. Mfumo wa fahamu *(Central nervous system)*
2. Mfumo wa moyo *(Cardiovascular system)*
3. Mfumo wa upumuaji *(Respiratory system)*
4. Mfumo wa mifupa na misuli *(Musculoskeletal system)*
5. Mfumo wa pua,koo na mas**io *(ENT)*

DALILI ZINAZOONESHA KWAMBA MFUMO WAKO WA FAHAMU UMEATHIRIWA NA ACID REFLUX:
1. Kusahau mara kwa mara.
2. Macho kupunguza uwezo wa kuona.
3. Kupata ganzi kwenye vidole vya mikono na miguu
4. Kuhisi kuchanganyikiwa *(CONFUSION)*
5. Mwili kuchoma choma
6. Kuwa na wasiwasi na khofu bila sababu za msingi

DALILI ZINAZOONESHA KWAMBA MFUMO WAKO WA MOYO UMEATHIRIWA NA ACID REFLUX:
1. Mapigo ya moyo kwenda mbio/kupaparika ( *Heart palpitations)*
2. Presha kupanda *(temporary hypertension)*
3. Kupata Kizunguzungu
4. Maumivu ya kifua
5. Kupata ganzi mkono wa kushoto
6. Kuhisi Mapigo ya moyo yapo chini sana

DALILI ZINAZOONESHA KWAMBA MFUMO WAKO WA UPUMUAJI UMEATHIRIWA NA ACID REFLUX:
1. Kupumua kwa shida.
2. Mafua ya mara kwa mara
3. Kupata kwikwi za mara kwa mara
4. Mafua yasiyoisha
5. Kikohozi kisichoisha
6. Maumivu makali ya kifua

DALILI ZINAZOONESHA KWAMBA MFUMO WAKO WA MISULI NA MIFUPA UMEATHIRIWA NA ACID REFLUX:
1. Maumivu makali ya mgongo.
2. Maumivu ya viungo.
3. Kuchoka mara kwa mara.
4. Sehemu za mwili kuchezacheza k**a vile chini ya macho nk.

DALILI ZINAZOONESHA KWAMBA MFUMO WAKO WA PUA, MASIKIO NA KOO UMEATHIRIWA NA ACID REFLUX:

1. Maumivu makali ya koo.
2. Kuhisi kitu kimekwama kooni.
3. Kupata Tonsillitis *(mafidofido)* mara kwa mara.
4. Kupata ugumu wa kumeza chakula.
5. Kuhisi mas**io mazito.
6. Mas**io kupiga kelele.
7. Mafua yasiyoisha.

Kwa tiba na ushauri wasiliana nasi.
0742251310

*JE UNAFAHAMU MADHARA YA SUMU MWILINI?* Asilimia kubwa ya maradhi yanayowasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizo...
08/10/2025

*JE UNAFAHAMU MADHARA YA SUMU MWILINI?*

Asilimia kubwa ya maradhi yanayowasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizopo katika miili yao.

Inawezekana umewahi kus**ia mambo mengi kuhusu sumu kwenye mwili, lakini hufahamu chazo halisi cha sumu hizi.

🍎🍎 *VYANZO VYA SUMU MWILINI*

Miili yetu imekuwa ikipokea sumu na uchafu kila siku kutokana

🍏Matumizi ya dawa mara kwa mara
🍏Matumizi ya pombe (Alcohol) na sigara

🍏Mazingira na athari kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia

🍏Ukosekanaji wa lishe na mlo kamili.
🍏Matumizi ya madawa makali.
🍏Uzito mkubwa
🍏Mitindo ya maisha
🍏Njia za uzazi wa mpango za kisasa

🥭🥭 *DALILI ZA KUWA SUMU MWILINI*

🍎Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi, vipele nk.
🍎Kuwa na uzito wa kupindukia

🍎Kutopata choo au kupata choo kigumu
🍎Kukosa usingizi Na kujihisi mchovu kupitiliza

🍎Kichwa kuuma kila mara
🍎Kupata miwasho sehemu mbali mbali za mwili

🍎Maumivu ya viungo K**a vile mgongo,goti, nyonga
🍎Kuwa na hasira mara kwa mara.
🍎Tumbo kujaa gesi nk

🥭🥭 *MADHARA YA MWILI KUJAA SUMU*

🍎Kukosa hamu ya tendo la ndoa
🍅Kupata maambukizi ya figo

🍎Kupata maambukizi ya Ini
🍎Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba)

🍎Husababisha uvimbe kwa ndani ya kizazi kwa mwanamke.

🍎Hupelekea matatizo shinikizo la damu la juu (high blood pressure)

🍎Mvurugiko wa homoni na kupelekea hedhi kuvurugika, maumivu ya hedhi na kukosa hedhi ikiwa si mjamzito.

🍎Husababisha vimbe mbalimbali mwilini.

🍏🍏 *SULUHISHO LA KUDUMU*

📌Kwa watu wenye changamoto hizo tumewaandalia tibalishe / virutubisho muhimu ili kuondokana na matatizo hayo.

🩸🩺📌💉💊Bidhaa hii ni asili iliyo tengenenzwa kwa ubora wa hari ya juu sana,,ni salama kwa mtumiaji na haina madhara kwa mtumiaji.

🌶🌶 *FAIDA ZA KUONDOA SUMU MWILINI* .

🍏Husaidia katika kuondoa matatizo ya upataji choo kigumu au mtu anayekosa choo.

🍏Husaidia katika kuimarisha mfumo wa mzunguko wa damu na upumuaji katika Mwili.

🍏Husaidia katika kuimarisha mfumo wa uzazi kwa mwanaume na mwanamke

🍏Huweka hedhi sawa na kuondoa maumivu wakati wa hedhi.

🍏Husaidia kuongeza virutubisho na kuupa Mwili afya na kulainisha Ngozi na kuifanya Ngozi kuwa ng'avu na laini.

🍏Huondoa uchovu Na kuupa nguvu.

🍏Huondoa sumu zote mwilini

🍏Inaimarisha ubongo na kutunza kumbu kumbu

🍏Inaondoa madhara ya pombe na kulinda ini na figo

🍏Inaondoa mafuta yaliyo zidi mwilini

🍏Inazuia kuota kitambi baada ya kuitumia

🍏Inaondoa sukari iliyo zidi mwilini

🍏Ni nzuri kwa wenye shinikizo la damu(presha)

Piga simu moja kwa moja uhudumiwe program ya kuondoa sumu mwilini inaanzia elfu 86,000 tu

☎️📲 *0772228283 Au 0742251310*

05/10/2025

🦴 SULUHISHO LA MAGONJWA YA MIFUPA NA VIUNGO (BONE AND JOINT PAIN)

Maumivu ya mifupa na viungo 🦵 ni moja ya matatizo ya afya yanayowasumbua watu wengi duniani 🌍 bila kujali umri. Hali hii inaweza kujitokeza ghafla au taratibu, na mara nyingi huwa ishara ya mabadiliko katika misuli, mifupa, au tishu zinazounganisha viungo.

⚠️ SABABU KUU ZA MAGONJWA YA MIFUPA NA VIUNGO

🧓 1. Kuzeeka (Umri Mkubwa)
Kadri mtu anavyozeeka, mifupa hupoteza madini na kuwa dhaifu. Wanawake waliofika menopause hupoteza homoni ya estrogen, hali inayoongeza hatari ya osteoporosis.

🥦 2. Ukosefu wa Virutubisho Muhimu
Afya ya mifupa hutegemea virutubisho k**a:

Kalsiamu – hujenga mifupa

Vitamini D – husaidia ufyonzaji wa kalsiamu

Magnesium & Zinc – huimarisha mifupa
Upungufu wake husababisha rickets, osteomalacia na osteoporosis.

🏃‍♂️ 3. Kutofanya Mazoezi
Wasiopiga mazoezi hupata udhaifu wa misuli, upungufu wa mzunguko wa damu na uchakavu wa mapema wa viungo.

⚖️ 4. Uzito Mkubwa (Obesity)
Uzito mwingi huweka shinikizo kwenye magoti, nyonga na mgongo, na kuchochea uchakavu wa cartilage (Osteoarthritis).

🤕 5. Majeraha ya Mara kwa Mara
Ajali na majeraha husababisha uharibifu wa cartilage na mishipa, na kusababisha maumivu sugu au post-traumatic arthritis.

🧬 6. Magonjwa ya Msingi
Magonjwa k**a diabetes, lupus, sickle cell na cancer ya mifupa huathiri moja kwa moja afya ya viungo.

👪 7. Kurithi (Genetics)
Historia ya familia yenye matatizo ya mifupa k**a osteoporosis au scoliosis huongeza hatari.

💊 8. Matumizi ya Dawa Kwa Muda Mrefu
Dawa k**a corticosteroids na baadhi ya ARVs hupunguza uwezo wa mwili kujenga seli mpya za mfupa.

🍷🚬 9. Pombe na Sigara
Hupunguza vitamini D, kuharibu ini na kudhoofisha ujenzi wa mifupa.

🦠 10. Maambukizi
Bakteria wanaoweza kuingia kwenye mifupa husababisha osteomyelitis na septic arthritis.

⚖️ 11. Kutobalansi kwa Homoni
Upungufu wa estrogen, testosterone au matatizo ya thyroid huathiri uzalishaji wa seli za mfupa.

🌿 JINSI SUPER BONE SOLUTION

INAVYOTIBU MAGONJWA YA MIFUPA NA VIUNGO 💪

SUPER BONE SOLUTION ni mchanganyiko wa mimea, madini na vitamini unaolenga kuondoa chanzo cha tatizo, si dalili pekee. Ni tiba kamili kwa maumivu ya mifupa, mgongo, nyonga na viungo.

💧 1. DETOX – Kuondoa Sumu Mwilini

🩸 Husafisha mifupa na ogani kwa kuondoa:

Sumu, uric acid, damu zilizoganda na kemikali hatarishi.

Hurejesha mzunguko sahihi wa damu na kuondoa maumivu yanayosababishwa na sumu zilizozidi mwilini.

💪 2. GLUCOSAMINE & CHONDROITIN

Hii ndiyo tiba halisi inayojenga upya mifupa na cartilage:
✅ Inarekebisha mifupa iliyolika au kusagana
✅ Inazalisha ute wa kutosha kwenye viungo (synovial fluid)
✅ Inapunguza maumivu ya mgongo, magoti, nyonga, na mikono
✅ Inasaidia pingili zilizopishana kujipanga upya
✅ Inaponya waliopata ajali au kuvunjika haraka
✅ Inaongeza nguvu ya misuli na uti wa mgongo
✅ Inasaidia sana kwa wenye sciatica pain na ganzi za viungo

🧂 3. MADINI MUHIMU: Zinc, Calcium, Magnesium, Selenium

Madini haya:

Huimarisha na kulainisha mifupa

Hurejesha uimara wa cartilage

Huzuia mifupa kusagika au kupoteza umbo lake

Huchochea uzalishaji wa seli mpya za mfupa

🌼 SUPER BONE SOLUTION INAFANYA MAMBO MAKUU 3:

1️⃣ Kujenga na kuimarisha upya mifupa
2️⃣ Kulainisha viungo na kuondoa maumivu
3️⃣ Kusafisha na kuondoa sumu mwilini

✨ Usikubali kuendelea kuteseka wakati suluhisho lipo!
Kumbuka: Afya yako ndiyo mtaji wako.

📞 Tupigie au Tuma WhatsApp Leo:
👉 +255 742 251 310
👉 +255 772 228283

🌿 SUPER BONE SOLUTION – Kwa mifupa imara, viungo laini, na maisha bila maumivu!

🌱K**a ulikuwa unalichukulia poa hili tunda na huu mmea kuanzia leo uache hiyo tabia, huu mmea ni tiba kubwa sana na unaw...
04/10/2025

🌱K**a ulikuwa unalichukulia poa hili tunda na huu mmea kuanzia leo uache hiyo tabia, huu mmea ni tiba kubwa sana na unaweza kukusaidia kujitibia magonjwa makubwa makubwa mfano Cancer, kisukari cha kupanda, presha ya kupanda, n.k tukiacha yale ya kawaida k**a matatizo ya hedhi, matatizo ya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula, n.k

🌱Mmea huu unaitwa Staferi (Soursop), ndani ya mmea huu kuna anti cancer properties, anti bacteria, anti inflamatory, na antioxidant nyingi ndani yake, so hata wewe ambaye una vivimbe tumboni tumia mmea huu utakusaidia sana, tafiti zinaonesha kuwa ukiwa na mazoea ya kula tunda hili au kupata chai ya majani yake kuna uwezekano mkubwa usipate maradhi ya kansa na wale ambao wana maradhi hayo watapata nafuu na wakitumia zaidi wanaweza kupona.

Matumizi kwa mtu mzima ni kuchemsha majani yake na kisha kunywa glass moja ya mls 250 asubuhi na jioni pia, tumia siku 14 mpaka 21.
Na mtoto mdogo mpe kulingana na umri wake mfano miaka 1 mpaka 5 atapewa mls 5.

Kwa mahitaji au maswali zaidi piga 07422513q0 ❤️🌱.

04/10/2025

💢 UGONJWA WA BAWASIRI (KUTOKWA NA KINYAMA AU DAMU NJIA YA HAJA KUBWA) NA SULUHISHO LAKE 💊
❓ Bawasiri ni nini?

Bawasiri ni hali ya kuvimba au kupasuka kwa mishipa ya vena katika eneo la njia ya haja kubwa.
Ni moja ya magonjwa ambayo watu wengi huona aibu kuelezea au kwenda hospitalini 😔

⚖️ Aina za Bawasiri
1️⃣ Bawasiri ya Nje

Hutokea katika eneo la mwisho kabisa la njia ya haja kubwa.

Dalili zake:

😣 Maumivu makali sana hasa wakati wa kujisaidia haja kubwa

🩸 Ngozi ya njia ya haja kubwa hubadilika rangi

💥 Kupasuka kwa misuli ya njia ya haja kubwa na kutokwa na damu

2️⃣ Bawasiri ya Ndani

Hutokea ndani ya njia ya haja kubwa na mara nyingi haiambatani na maumivu, hivyo wengi hawatambui.

Dalili zake:

👁️‍🗨️ Kinyama kutoka kwenye njia ya haja kubwa na kurudi chenyewe

✋ Kinyama kutoka na kurudishwa kwa mkono na wakati mwingine kuwa kigumu kurudisha

🚨 Dalili za Ujumla za Bawasiri

💧 Kinyesi kuambatana na damu

🎈 Vimbe katika njia ya haja kubwa

🔥 Kuwashwa au muwasho usiokwisha

🍃 Kutoka kwa kinyama kwenye njia ya haja kubwa

⚠️ Sababu Kuu za Ugonjwa wa Bawasiri

❌ Kufeli kwa mfumo wa mmeng’enyo wa chakula (Digestive System Failure) – kinyesi kigumu kupita

💩 Kuharisha kwa muda mrefu

🕒 Kushika haja kubwa kwa muda mrefu bila kwenda chooni

🚫 Kufanya ngono kinyume na maumbile

🪑 Kukaa kwa muda mrefu (hasa ofisini)

🍔 Ulaji mbaya na lishe isiyo na nyuzinyuzi

🫃 Shinikizo kwenye tumbo (kwa wajawazito au wenye uzito mkubwa)

💢 Madhara ya Ugonjwa wa Bawasiri

🩸 Upungufu wa damu (Anemia)

😩 Msongo wa mawazo (stress) unaoweza kuleta magonjwa mengine

🚽 Kushindwa kujisaidia kwa amani

🧔 Kwa wanaume, inaweza kupunguza nguvu za kiume

🌿 SULUHISHO LA ASILI – BAWASIRI SOLUTION PACKAGE

Imeundwa kwa mchanganyiko wa mimea zaidi ya 3 yenye viambata 18 🌱
Imethibitishwa kutibu na kumaliza kabisa tatizo la bawasiri bila upasuaji 🙌

💚 Sifa na Faida Kubwa za Package:

1️⃣ Huondoa chanzo cha tatizo – hasa kwa wenye choo kigumu au kukosa choo
2️⃣ Huponya majeraha na mishipa iliyoathirika ndani na nje ya njia ya haja kubwa
3️⃣ Huondoa maumivu na muwasho eneo la haja kubwa
4️⃣ Huzuia kurudi kwa tatizo la bawasiri
5️⃣ Huimarisha mfumo wa kinga ya mwili 🛡️
6️⃣ Husaidia kuondoa gesi tumboni inayosababisha shinikizo

🌿 Package hii hushambulia chanzo cha tatizo, si dalili tu!

📞 Tupigie au WhatsApp:
📱 0742 25 13 10

TIBA ASILIA ZA TONSILS (MAWE YA TONSILS)Mawe ya tonsils (tonsilloliths) ni vipande vidogo vya vitu vilivyokak**aa (hasa ...
27/09/2025

TIBA ASILIA ZA TONSILS (MAWE YA TONSILS)

Mawe ya tonsils (tonsilloliths) ni vipande vidogo vya vitu vilivyokak**aa (hasa chakula, ute na bakteria) vinavyokusanyika kwenye mifuko midogo ya tonsils, hasa za upande wa koo (palatine tonsils).

Aina 3 za tonsils:
1. Palatine – upande wa koo (ndizo wengi huziita "tonsils")
2. Pharyngeal – nyuma ya koo
3. Lingual – chini ya ulimi

Chanzo kikuu cha mawe ya tonsils: Ni chakula, ute na bakteria wanaonaswa kwenye mifuko midogo ya tonsils.

Suluhisho la Asili:
Kwa kuwa bakteria na maambukizi ndio chanzo, tiba zenye uwezo wa kuua bakteria na kupunguza uvimbe husaidia.

1. S**i ya tufaa au s**i yoyote yenye tindikali:
—Changanya na maji na tumia kusukutulia mara mbili kwa siku. Husaidia kuyeyusha mawe madogo.

2. Kitunguu saumu na tangawizi
—Pondaponda na upate paste, tumia kusukutulia

3. Vitunguu maji:
—Vinatajwa kuwa na uwezo wa kuua bakteria. Tumia kwenye chakula au k**a juisi mbichi ndogo kwa siku moja.

4. Maji ya vuguvugu, chumvi na Lamao
—Chemsha maji yenye chumvi, kamlia kipande cha limao, na tumia kusukutulia

Angalizo:
- Ikiwa una mawe makubwa au yanajirudia mara kwa mara, ni vyema kuwasiliana na daktari.
- Tumia dawa hizi za asili kwa tahadhari ikiwa una matatizo ya tumbo au mzio.

Afya yako ndio mtaji wako

25/09/2025

SULUHISHO LA KUZIDI KWA ACID AU TINDIKALI YA TUMBO - GERD
Ni kitendo cha kupanda kwa acids (tindikali) ya tumbo hadi kwenye Koo /Umio la chakula kwa muda mrefu na matokeo yake husababisha kiungulia (HEARTBURN) AU MAUMIVU YA KOO

CHANZO CHA MATATIZO HAYA NI NINI ?.
1.Kudhohofika kwa utendaji kazi wa kizuizi cha juu ya tumbo ( Lower esophageal sphincter)
2.Mfumo dhaifu wa mmeng'enyo wa chakula :-
3.Tindikali ( Hydrochloric acid) kuzidi tumboni.
4.Upungufu wa madini k**a Magnesium na Potassium mwilini
5 Uwepo wa bacteria wabaya tumboni k**a H.pyrolly na wengineo huwa ni chanzo cha magonjwa haya ya mmeng’enyo wa chakula

DALILI ZA GASTROESOPHAGEAL REFLUX DISEASE AU KUZIDI KWA TINDIKALI YA TUMBO
kupatwa na kiungulia mara kwa mara ambapo huambatana na koo la chakula kuwaka moto pia maumivu ya kifua na hali hii huzidi zaidi pale mtu anapolala kichwa kimeinama.
2 Tumbo kuunguruma na Kukosa hamu ya kula chakula na kuhisi kichefuchefu.
3 Mdomo kunuka kutokana na kurudi juu kwa chakula cha tumboni chenye tindikali.
6 Kucheuwa Maji Maji Yenye Tindikali Ukiwa Usingizini
7 Kukohoa au kupaliwa mara kwa mara ikiambatana na kuweweseka Kwa Kukosa Pumzi.
9 Kupata usingizi kwa shida kutokana na maumivu ya tumbo na Koo.
10 Kuvimba Kwa Tezi za Shingoni K**a Vile Tonses na Goita.
12 Tumbo kujaa Gesi , Kupata Choo K**a Tope Kunakoambatana na kujamba sana pia kukosa kabisa choo

𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁U TUKUSAIDIE – TUMEKUANDALIA DARASA MAALUMU LA KUJIFUNZA JINSI YA KUJIPONYA NA MAGONJWA HAYA
PIGA SIMU AU WHATSAP MOJA KWA MOJA 0742 251 310

MWANAMKE USIKUBALI CHANGAMOTO HIZI ZIKUNYIME AMANI KWENYE MAISHA YAKO➡️Je, unakumbana na:-- 👉PID sugu inayokutesa kwa mu...
23/09/2025

MWANAMKE USIKUBALI CHANGAMOTO HIZI ZIKUNYIME AMANI KWENYE MAISHA YAKO

➡️Je, unakumbana na:-
- 👉PID sugu inayokutesa kwa muda mrefu?
- 👉UTI na fangasi sugu zinazojirudia mara kwa mara?

- 👉Harufu mbaya na uchafu wa ukeni usio wa kawaida (wa rangi ya njano, kijani, kijivu, au maziwa mtindi)?

- 👉Hedhi kuvurugika na kusababisha mabadiliko yasiyoeleweka?

*➡️Changamoto hizi zinaweza kuathiri afya yako ya uzazi na hata kuzuia uwezo wa kubeba ujauzito.*
*➡️Kuna suluhisho kwa changamoto zako! Kwa miaka mingi, tumesaidia wanawake kutatua matatizo haya na kurejesha afya yao ya uzazi.*
*➡️Usisubiri, hatua ni sasa! Nitafute leo kwa ushauri na maelekezo*

*Afya yako mtaji wako!*

0742251310

Address

Makumbusho
Kinondoni

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jiponye afya herbs posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Jiponye afya herbs:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram