Afya ni Utajiri

Afya ni Utajiri Tunatoa ushauri na tiba kwa magonjwa ya mfumo wa Uzazi kwa mwanaume hasa TEZI DUME NA NGUVU ZA KIUME. MkwayaClinic-Afya Yako Ni Utajiri No 1
wa.me/255657045331

13/02/2026

VALENTINE SPECIAL OFFER 🔥
MKWAYA T-MAX SYSTEM

Program ya:
✔ Kuamsha homoni za kiume
✔ Kuimarisha tezi dume
✔ Kurudisha stamina & hamu

Valentine hii,
usiwe mshiriki wa mapenzi —
kuwa mhusika mkuu. 😎

👉 Piga sasa: +255657045331
Muda ni mchache. Nafasi ni chache.

11/02/2026

Wakati wengine wanaongeza nguvu, stamina na kujiamini… wewe bado unasema ‘nitapanga’?
Wanaume 7 wameamua leo. Wewe unaogopa nini?”

T-MAX SYSTEM –
Amsha Homoni.
Rudisha Nguvu.
Rudisha Kujiamini.
AFYA YAKO NI UTAJIRI NO 1.”
+255657045331.

10/02/2026

BASI T-MAX SYSTEM NI YA LAZIMA, SIO HIARI.”

“K**a una miaka 25–45 na una:
– Kuchoka bila sababu
– Hamu ndogo ya tendo
– Tumbo linazidi kujaa
– Unajisikia ‘sio k**a zamani’

“T-MAX SYSTEM –Ina
Amsha Homoni.
Rudisha Nguvu.
Rudisha Kujiamini.
AFYA YAKO NI UTAJIRI NO 1.”
+255657045331.

06/02/2026

K**a una kitambo na homoni zako ziko Chini,Unahitaji support ya Mfumo utakaokurejeshe uwezo wa uzalisheaji wa homoni yako Mwanaume na kurudisha uimara wa Nguvu za kiume.

Ndo Maana Mfumo huu wa Mkwaya T-Max System umeanza lies kwa ajili ya kumtetea Mwanaume
Chukua Namba piga simu nikusaidie kutambua tatizo lako na kukupa program sahihi kulingana na. Tatizo lako.+255657045331.

05/02/2026

Mkwaya T-Max Systems ni program ya kitaalamu inayolenga kurejesha homoni ya kiume (testosterone), kuboresha mzunguko wa damu, kupunguza kitambi na kurudisha nguvu za kiume kwa njia salama na ya asili.

Inafaa kwa wanaume wanaopata uchovu, kukosa hamu ya tendo, uume kusimama kwa shida, mbegu chache au kupoteza kujiamini.

AFYA YAKO NI UTAJIRI NO 1
MKWAYA T-MAX SYSTEMS
📞 +255657045331.
# healthyMen




#

29/12/2025

USIPOWEZA KUPATA MKOJO/KUKOJOA?
Hii hali kitaalamu huitwa kushindwa kukojoa (Urinary Retention).
Ni pale ambapo kibofu kinajaa mkojo lakini mkojo hautoki au unatoka kidogo sana, hata k**a unahisi haja kali.



Sababu Kuu Zinazosababisha Kushindwa Kukojoa
1. Tezi dume kuvimba (kwa wanaume)
Tezi dume ikiongezeka ukubwa, hubana njia ya mkojo na kuuzuia usitoke.
2. Maambukizi ya njia ya mkojo (UTI)
Huleta uvimbe na maumivu yanayozuia mkojo kutoka.
3. Mishipa ya fahamu kuathirika
Kisukari, kiharusi au ajali huathiri mawasiliano kati ya ubongo na kibofu.
4. Dawa fulani
Dawa za maumivu, usingizi au mzio zinaweza kusababisha mkojo kushindwa kutoka.
5. Mawe kwenye kibofu au figo
Mawe yanaweza kuziba njia ya mkojo.

Dalili za Onyo (Usizipuuze)
• Haja kubwa ya kukojoa lakini mkojo hautoki
• Maumivu makali ya tumbo chini ya kitovu
• Tumbo kujaa na kuwa gumu
• Mkojo kutoka matone matone
• Maumivu ya mgongo au kiuno
• Kichefuchefu au jasho jingi kutokana na maumivu

Hatari za Kuchelewa Kutibiwa
• Uharibifu wa figo
• Maambukizi makali ya mkojo
• Maumivu yasiyovumilika
• Kibofu kushindwa kufanya kazi tena
• Upasuaji wa dharura
Wası alışma nasi kwa huduma ha haraka na rahisi
+25(657045331.
゚ #255657045331

28/12/2025

27/12/2025

Ni hali ambayo kibofu cha mkojo kinashindwa kuuzuia mkojo kwa muda unaotakiwa, au mtu anahisi mkojo mara kwa mara lakini unapotoka unatoka kidogo au kwa shida. Wengine huhisi kibofu kimejaa, lakini mkojo haupati kutoka vizuri.



Dalili Kuu
• Kuhisi haja ndogo mara kwa mara
• Mkojo kutoka kidogo kidogo
• Kujikojolea bila kutaka (hasa kwa wazee au baada ya kujifungua)
• Kuhisi kibofu kimejaa lakini mkojo hausogei
• Maumivu chini ya tumbo au kwenye kibofu
• Kuamka usiku mara nyingi kwenda kukojoa



Sababu Zinazoweza Kusababisha

Kwa wanaume:
• Tezi dume (prostate) kuvimba au kuongezeka
• Maambukizi ya njia ya mkojo (UTI)
• Misuli ya kibofu kudhoofika
Usichukulie poa hali ni Mbaya kwa Afya ya uzazi kwa Mwanaume.

Wasiliana nasi kwa huduma na ushauri wa kitabibu
+255657045331.
゚ #255657045331

26/12/2025

🚨 USIPUUZE DALILI ZA HIZI ZA TEZI DUME 🚨

❌ Unakojoa mara kwa mara hasa usiku?
❌ Mkojo unatoka kidogo kidogo au kwa kusita?
❌ Unahisi kibofu hakimalizi mkojo?
❌ Una maumivu ya kiuno, mgongo au chini ya kitovu?
❌ Nguvu za kiume zimepungua ghafla?

⚠️ Dalili hizi zinaweza kuashiria tatizo la tezi dume (Prostate).
Kadri unavyochelewa kuchukua hatua, ndivyo tatizo linavyozidi kuathiri afya na ndoa.

✅ Habari njema:
Tezi dume inatibika bila upasuaji endapo utachukua hatua mapema.

📞 Wasiliana nasi leo
📲 0657 045 331
🏥 Mkwaya Clinic
💬 AFYA YAKO NI UTAJIRI NO 1
゚ #255657045331

25/12/2025
Afya yako Njema ndo furaha Yetu Mkwaya Clinic, Wahi punguzo kubwa la Christmass Ambalo halijawahi kutokea na la kufungwa...
24/12/2025

Afya yako Njema ndo furaha Yetu Mkwaya Clinic, Wahi punguzo kubwa la Christmass Ambalo halijawahi kutokea na la kufungwa mwaka.

CHRISTMASS OFFERS;
1.Discount 30%
2.Free Consultation
3.Christmass Gift
Usikoseee Offer hizi wahi mapema
Tarehe 24-27 Siku 4 tu na kwa watu 10 tu wa kwanza
Piga 0657045331.

19/12/2025

TEZI DUME SIO JAMBO LA KUONEA AIBU.

Wanaume wengi wanateseka kimya kimya.
Kuamka usiku kukojoa,
mkojo kutoka kidogo kidogo,
maumivu ya chini ya tumbo,
kupungua nguvu za kiume…

Lakini bado unasema, “itaisha tu.”

👉 Ukweli ni huu:
Tezi dume ni suala la afya, sio udhaifu.
Kujitunza mapema ni ujasiri, sio aibu.
Kuchelewa kutafuta msaada ndiko kunaleta madhara makubwa.

👨‍⚕️ Mwanaume wa kweli:
✔ Anasikiliza mwili wake
✔ Hachukui dalili poa
✔ Anachagua tiba mapema

Usinyamaze. Chukua hatua leo.
Afya yako ni heshima yako.

📞 Wasiliana nasi: +255657045331
🏥 Mkwaya Clinic
✨ AFYA YAKO NI UTAJIRI NO 1.
゚ #255657045331

Address

Makumbusho Bus Stand
Dar Es Salaam
255657045331

Opening Hours

Monday 08:00 - 18:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 18:00
Saturday 09:00 - 18:00
Sunday 08:00 - 17:00
21:00 - 18:00

Telephone

+255763377079

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ni Utajiri posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram