Afya ni Utajiri

Afya ni Utajiri Tunatoa ushauri na tiba kwa magonjwa ya mfumo wa Uzazi kwa mwanaume hasa TEZI DUME NA NGUVU ZA KIUME. MkwayaClinic-Afya Yako Ni Utajiri No 1
wa.me/255657045331

29/11/2025

Tezi dume ni tezi muhimu sana katika mwili wa mwanaume. Kazi yake kubwa ni kusaidia uzalishaji wa mbegu za kiume na kudhibiti mkojo.
Tezi dume inapopata shida k**a kuvimba, kujaa maji, au kuziba njia ya mkojo, huathiri moja kwa moja nguvu za kiume.

Mwanaume anaweza kuanza:
• Kukosa hamu ya tendo
• Kupata kusimamisha kwa shida
• Kumwaga haraka
• Kuchoka kabla ya tendo
• Kupoteza kabisa uwezo wa kufanya tendo

Ndiyo maana wanaume wengi wanaosumbuliwa na tezi dume, pia wanasumbuliwa na upungufu wa nguvu za kiume, hata k**a hawajui chanzo.

✅ Kutibu tezi dume mapema
✅ Kunarejesha nguvu za kiume
✅ Kunaboresha mkojo
✅ Kunarudisha hamasa ya tendoK**a unapitia Changamoto hizo Wasiliana nasi kwa +255657045331.
゚ #255657045331

27/11/2025

Huduma zetu zinakufikia poppet Ulupınar ndani na nje y Dar.
✅k**a una shida ya Tezi dume
✅Upungufu wa Nguvu za kiume
✅Kushindwa kutungisha Mimba
✅Low s***m count.

Tupigie kwa Namba +255657045331 kwa huduma ya Tiba na ushauri.
゚ #255657045331

22/11/2025

Ukiona mkojo unakatika katikati, huo ni ujumbe wa mwili kwamba kuna msongamano. vipimo vya tezi dume vinaokoa muda na afya.

Fanya Vipimo mapema kujua Hali yako na kunusuru isifikie Hatua Mbaya.

Wasiliana nasi Mkwaya Clinic +255657045331 kwa Vipimo na matibabu ya haraka. ゚ #255657045331

20/11/2025

“Mwanaume anayeshindwa kukaa mbali na choo si sababu ya baridi wala maji mengi… Mara nyingi ni TEZI DUME inayoanza kutoa dalili zake za kwanza. Kukojoa kojoa, kwenda chooni mara nyingi usiku, au mkojo kutoka kwa shida sio mambo ya kupuuzwa.
Afya yako ni UTAJIRI wako – ichunge mapema kabla haijawa mzigo.”

Wasiliana nasi kwa Tiba na Punguzo kubwa katika Program zetu za Tezi dume na Nguvu za kiume.

゚ #255657045331

18/11/2025

Hamu unayo,Hisia unazo lakini kuanza au kufanya Tendo ndo ndo shida.
Kwa msaada ya harak Ibrahim Safeway Ally Laurance was

22/10/2025

Yako madhara Mengi ambayo unaweza kuyapata Ukifanya Upasuaji wa tezi dume.

⚠️ 1. Kupoteza nguvu za kiume (Erectile Dysfunction)
• Hii ndiyo athari kubwa zaidi.
• Mishipa ya fahamu inayosababisha uume kusimama hupita karibu sana na tezi dume, hivyo inaweza kuathiriwa wakati wa upasuaji.
• Baada ya hapo, mwanaume hupoteza uwezo wa kusimama vizuri au kabisa.



💧 2. Kudhibiti vibaya mkojo (Urinary Incontinence)
• Baada ya upasuaji, misuli ya kudhibiti mkojo huwa dhaifu.
• Wengine hukosa uwezo wa kuzuia mkojo na hupata hali ya mkojo kudondoka bila hiari.



🧠 3. Maumivu ya kudumu sehemu ya chini ya tumbo au kiuno
• Wengine hupata maumivu ya muda mrefu sehemu ya nyonga au mgongoni kutokana na mishipa au misuli iliyoharibiwa.



🧬 4. Kushuka kwa hamu ya tendo la ndoa
• Hali hii hutokana na mabadiliko ya homoni au kiwewe cha upasuaji.



💦 5. Kutotoka kwa mbegu (Dry or**sm)
• Baada ya upasuaji, njia ya kupitisha shahawa mara nyingi hukatwa, hivyo mwanaume anaweza kufikia mshindo bila kutokwa na mbegu.



❤️‍🩹 6. Msongo wa mawazo na kupoteza kujiamini
• Wanaume wengi hupata “emotional stress” kutokana na mabadiliko ya kimwili na kihisia baada ya upasuaji.



💊 7. Hatari ya maambukizi (Infection)
• K**a sehemu haijatunzwa vizuri baada ya upasuaji, bakteria wanaweza kusababisha maambukizi kwenye kibofu, figo au jeraha.
゚ #255657045331

22/10/2025

Upasuaji sio Tiba kamili ya kumaliza tatizo lako la Tezi dume.

Anza Tiba sahihi ambayo itamaliza Changamoto yako kuanzia kwenye chanzo cha tatizo.

Mkwaya clinic tuna Majibu ya matatizo yako ya kiafya.
Piga +255657045331.
゚ #255657045331

08/10/2025

゚ #255657045331 #

23/09/2025

Hii offer maalum Leo tu tarehe 23/9/25.
Ni offer ya watu 10 tu wa kwanza.
Piga +255657045331
゚ #255657045331

15/09/2025

゚ #255657045331

11/09/2025

゚ #255657045331

08/09/2025

Maumivu ya tumbo chini ya kitovu kwa wanaume mara nyingi ni ishara kuwa kuna tatizo kwenye mfumo wa uzazi au mkojo. Kwa wanaume wenye changamoto ya tezi dume (prostate), maumivu haya yanaweza kusababishwa na:
• Kuvimba kwa tezi dume (Prostatitis) kinachosababisha maumivu na kuwashwa.
• Shinikizo kwenye kibofu cha mkojo kutokana na tezi dume kubwa.
• Maambukizi ya njia ya mkojo yanayohusiana na tezi dume.
• Msongamano wa damu kwenye nyonga kutokana na tezi dume isiyotibiwa mapema.

Wanaume wengi hupuuza dalili hizi wakidhani ni kawaida, lakini maumivu ya mara kwa mara yanaweza kuwa ishara ya tatizo kubwa zaidi, ikiwemo saratani ya tezi dume.

💡 Tip: Uchunguzi wa mara kwa mara na huduma ya mapema inaweza kuokoa afya yako ya uzazi na nguvu zako.

Address

Makumbusho Bus Stand
Dar Es Salaam
255

Opening Hours

Monday 08:00 - 18:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 18:00
Saturday 09:00 - 18:00
Sunday 08:00 - 17:00
21:00 - 18:00

Telephone

+255763377079

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ni Utajiri posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram