Afya Bora

Afya Bora , ,, kwenye kizazi,, ya uzazi,, magonjwa mengine katika mfumo wa uzazi yanatibika karibu upate huduma Bora.

Tatizo la maumivu ya tumbo wakati wa hedhi limekusumbua muda gani Leo Nina habari njema kwako
11/03/2022

Tatizo la maumivu ya tumbo wakati wa hedhi limekusumbua muda gani

Leo Nina habari njema kwako

SIRI YA KUPONA TATIZO LA MAUMIVU Wakati wa hedhiHabari             K**a wewe Ni muhanga wa tatizo Hilo Leo Nina habari n...
04/03/2022

SIRI YA KUPONA TATIZO LA MAUMIVU Wakati wa hedhi

Habari
K**a wewe Ni muhanga wa tatizo Hilo Leo Nina habari njema kwako gusa link hii kupata taarifa kamili👇👇
https://wa.me/255689715054

Kwa kutumia virutubisho tatizo lako LINAPONA KABISA
Karibu ujielimishe

02/03/2022
 **a ww Ni muhanga wa matatizo haya fuatana nami katika jukwaa langu whatsàppWeka namba yako ya simu kwa kujielimisha za...
02/03/2022

**a ww Ni muhanga wa matatizo haya fuatana nami katika jukwaa langu whatsàpp
Weka namba yako ya simu kwa kujielimisha zaidi

       #0689715054
25/02/2022




#0689715054

 #0689715054Je wajua Mfadhaiko katika penzi sio powa?,Umekosa hamu ya tendo la ndoa kwa mwenzi wako?Sio kawaida kabisa k...
23/02/2022

#0689715054
Je wajua Mfadhaiko katika penzi sio powa?,

Umekosa hamu ya tendo la ndoa kwa mwenzi wako?
Sio kawaida kabisa kwani unakosa amani na raha uliyoitamani kuipata

Njoo upate ushauri na tiba sahihi kwako

  sugu 0689715054Je wajua?,hivi unajua kuwa hauko salama unapoona UTI imejirudia rudia ?,Umetumia njia gani kutibu tatiz...
22/02/2022

sugu 0689715054

Je wajua?,hivi unajua kuwa hauko salama unapoona UTI imejirudia rudia ?,
Umetumia njia gani kutibu tatizo lako?

Njoo Sasa ujielimishe na matibabu sahihi,ubaki salama

 #0689715054PID inatibika vizuuri sana
21/02/2022

#0689715054
PID inatibika vizuuri sana

10/02/2022


0689715054

  SUGU NA FANGASI UKENI Wanawake wengi wamesumbuka Sana kutatua changamoto ya UTI wametumia Sana sindano,na Dawa nyingi ...
07/02/2022

SUGU NA FANGASI UKENI

Wanawake wengi wamesumbuka Sana kutatua changamoto ya UTI wametumia Sana sindano,na Dawa nyingi lkn bila mafanikio

Habari njema leo

K**a wewe Ni muhanga wa UTI sugu na miwasho ukeni karibu upate suluhisho, ushauri na suruhisho la kudumu.

 Changamoto ya PID (pelvic inflammatory desease),Ni maambukizi ya bakteria wabaya katika via vya uzazi wa mwanamke,Maamb...
07/02/2022



Changamoto ya PID (pelvic inflammatory desease),Ni maambukizi ya bakteria wabaya katika via vya uzazi wa mwanamke,

Maambukizi haya yanaweza kusababishwa na kuugua UTI kwa muda mrefu, kuweka vitu visivyotakiwa ukeni,nk

Hivyo wanawake wengi wamesumbuka Sana K**a wewe Ni muhanga wa changamoto hiii karibu ufahamu tatizo,lako na utatuzi wa changamoto yako.

Piga simu au njoo WhatsApp 👇
0689715054

https://wa.me/255689715054

Karibu sana upate kujua tatizo lako

  la uzaziHIVI UNAJUA MAGONJWA YANAYOSABABISHA WANAWAKE KUWA WAGUMBA? JE UNAJUA SULUHISHO LAKE?  FUATANA NAMI NIKUELEZEE...
30/01/2022

la uzazi

HIVI UNAJUA MAGONJWA YANAYOSABABISHA WANAWAKE KUWA WAGUMBA? JE UNAJUA SULUHISHO LAKE? FUATANA NAMI NIKUELEZEE*_ 👇👇👇👇👇

P.I.D(pelvic inflammatory disease) na FIBROIDS inavyotesa wanawake na kuwasababishia ugumba.

P.I.D NI NINI ?

P.I.D ni maambukizi kwenye via vya uzazi wa mwanamke. Ugonjwa huu unaweza kupelekea uharibifu mkubwa kwenye mayai,mfuko wa uzazi,mirija ya uzazi nk . Pia ugonjwa huu ni moja ya UGUMBA kwa mwanamke. Huu ni ugonjwa unaosababishwa na kutotibu magonjwa ya zinaa kwa ufasaha na kuacha wale bakteria kuendelea kusambaa kwenye via vya uzazi wa mwanamke.

Je utajuaje kwamba huenda umeathirika na ugonjwa huu wa P.I.D ?

DALILI ZA P.I.D
👉Maumivu ya tumbo sehemu ya chini au ya juu upande wa kulia
👉Kutokwa kwa uchafu ukeni usio wa kawaida na harufu mbaya(wengi hudhani ni fangas kumbe sio)
👉Maumivu makali na kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa
👉Maumivu wakati wa kukojoa
👉Kutapika na homa
👉Uchovu
👉Kutokwa kwa damu nyingi isiyokuwa na mpangilio wakati wa hedhi au wakati sio wa hedhi( hii dalili kubwa na huwa inafanana sana na fibroids)
👉Ugumba( unatafuta mtoto kwa muda mrefu na hupati)
👉Kukojoa mara kwa mara

FIBROIDS NI NINI ?
FIBROIDS ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambapo uvimbe huu unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi au nje kwenye ukuta wa kizazi

Je utajuaje k**a una fibroids ?? Hebu angalia dalili zake

DALILI ZA FIBROIDS
👉Kutokwa damu nyingi kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi au wakati wa hedhi
👉Kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya(wengi wenu huwa mnakimbilia kwamba mna fangas)
👉Maumivu ya kiuno hasa wakati wa hedhi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe
👉Tumbo kuuma sana chini ya kitovu
👉Hedhi zisizokua na mpangilio na damu hutoka nyingi mpaka kupelekea wengine kupungukiwa damu na kutakiwa kuongezewa damu
👉Maumivu wakati wa tendo la ndoa(hii hupelekea achukie tendo la ndoa)
👉Kukosa kwa choo kikubwa au choo kuwa kigumu(constipation. )
👉Maumivu wakati wa kukojoa
👉Kukojoa mara kwa mara
👉Ugumba(kuchelewa au kutokupata mtoto)
👉Mimba kutoka mara kwa mara

KWANINI NIMEAMUA KUELEZEA KUHUSU P.I.D NA FIBROIDS????

Yote yanawezekana,magonjwa yanatibika, matatizo mengi kiafya yanalo suluhisho la kudumu

 HIVI UNAJUA MAGONJWA YANAYOSABABISHA WANAWAKE KUWA WAGUMBA? JE UNAJUA SULUHISHO LAKE?  FUATANA NAMI NIKUELEZEE*_ 👇👇👇👇👇P...
30/01/2022



HIVI UNAJUA MAGONJWA YANAYOSABABISHA WANAWAKE KUWA WAGUMBA? JE UNAJUA SULUHISHO LAKE? FUATANA NAMI NIKUELEZEE*_ 👇👇👇👇👇

P.I.D(pelvic inflammatory disease) na FIBROIDS inavyotesa wanawake na kuwasababishia ugumba.

FIBROIDS NI NINI ?
FIBROIDS ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambapo uvimbe huu unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi au nje kwenye ukuta wa kizazi

Je utajuaje k**a una fibroids ??

26/01/2022
*TIBA INAYOAMSHA KINGA YA MWILI*Kusudi lake Ni kuongeza Kinga ya mwili ili mwili ujikinge na maambukiziLeo nipo naww ten...
23/01/2022

*TIBA INAYOAMSHA KINGA YA MWILI*

Kusudi lake Ni kuongeza Kinga ya mwili ili mwili ujikinge na maambukizi

Leo nipo naww tena kukujulisha umuhimu wa unachokula na kunywa kila siku kina manufaa gani mwilini mwako

Fata link hii 👇
https://wa.me/255689715054
Kushiriki madasa yangu kuhusu afya

Mfumo wa Kinga mwilini unaundwa na mtandano unaohusisha viungo vingi,mfano bandana,kongosho,tonsili,kidole tumbo,tishu,mfano vifundo vya linfu na chembe chembe nyeupe kwa Aina zake.

Vyote hinvi hushirikiana kutambua kitu kinachoingia mwilini kwa Mara ya kwanza,iwe Ni virusi bakteria au kitu chochote kigeni,na kuvishambulia kwa kutumia chembe maalumu au kwa kutumia molekuli ziitwazo Kinga ya mwili

Zaidi ya hayo mfumo wa Kinga hutunza kumbukumbu ya vitu hivyo vilivyowahi kuingia mwilini na kuvitambua vinapoingia tena mwilini utunzaji wa kumbukumbu hizi unahitaji viini lishe maalumu.

Vitamin ,madini na vidhibiti oksijeni Ni viinilishe muhimu Sana katika mwili wa binadamu ili kuupatia mwili viini lishe vingi katika namna nyingi ya kuburudisha mwili,

Kinga ya mwili ikishuka magonjwa. Mengi yanaandama afya ya mwili

Hivyo viini lishe hivi huwafaa zaidi watu wote na zaidi Sana👇

🔑watu wenye Kinga ndogo ya mwili
🔑Watu wanaomeza Dawa za kuua vimelea jamii ya bakteria

🔑Baada ya kutumia tiba ya Dawa za saratani.

Ahsante kwa Kushiriki pamoja nami katika kuijua afya yako usione shida kuzungumza changamoto yoyote inayokupa shida kiafya leo
Ukisoma vizuri utagundua kuwa kila ugonjwa unatibika Cha msingi tunaangalia chanzo chake ndipo tunaanzia kupata Kinga ya mwili

Ni Mimi

*Jandwa mwenye kujali afya yako*

TATIZO LA MIFUPA NA MAUNGIO, NA  SULUHISHO LAKE mawasiliano  Hii ni kwasababu umri unavyozidi kwenda mwili unashindwa ku...
14/01/2022

TATIZO LA MIFUPA NA MAUNGIO, NA SULUHISHO LAKE

mawasiliano


Hii ni kwasababu umri unavyozidi kwenda mwili unashindwa kuzalisha ute ute katika viungio vya mifupa,na hivyo kupelekea misuguano ya mifupa,ambapo husababisha maumivu makali sana na kupelekea mtu kushindwa Kukaa,Kuinuka,Kukimbia au Kutembea Kabisa!!

CHANZO CHA TATIZO LA VIUNGO (JOINTS TEAR AND WEAR)

-Mara Nyingi Ugonjwa Huu Huitwa ARTHRITIS, Unasababishwa na hitilafu yoyote katika sehemu hizo za maungio ya mifupa.

📲Inaweza kuwa cartilage inalika,upungufu wa synovial fluid(Maji Maji Katika Maungio),maambukizi ya vijidudu katika moja ya maeneo hayo au mchanganyiko wa matatizo Mbali Mbali,Ikiwemo Uzito mkubwa.

📲Tabia kuu ya magonjwa haya ni maumivu kwenye maungio ya mifupa (joints) ambayo ni endelevu na ambayo hutokea eneo hilo hilo moja.

⏸️Chanzo Cha Arthritis Ni Nini...?

Ili Upate Kuelewa Vyema Chanzo cha ugonjwa huu,hebu kwanza tutazame muundo wa joint au sehemu mifupa miwili inapokutana(Maungio).

👉🏻Mfano Goti ambapo mifupa miwili mmoja wa paja na mwingine wa mguu vinapokutana:

👉🏻Maungio ya mifupa-Ligaments;

-📲Ndicho kitu kinachoshikilia mifupa hii miwili pamoja,hii ni k**a utepe wa plastiki au mpira unaonyumbuka uliozunguka eneo hilo kwa nje,ukikunja goti inanyumbuka na ukinyoosha mguu inarudi.

📲Cartilage;Huu ni utando unafunika eneo ambalo mifupa hugusana ili kuzuia mifupa hii isisuguane moja kwa moja,Utando huu ambao kwa kiswahili tunauita gegedu huyawezesha maungio hayo kufanya kazi kiulaini pasipo kusababisha maumivu.

📲Capsule;Hiki ni kitu kinachofunika maungio haya kikizunguka pande zote,ndani ya mfuko huu wa capsule kuna synovial fluid ambayo huzalishwa na synovial membrane.

📲Synovial fluid ni ute ute wa kulainisha sehemu hiyo ya maungio na synovial membrane ni utando ulio kwenye kuta za ndani za capsule.

📲K**a nilivyoeleza hapo juu,kuwa kuna aina zaidi ya 100 za ugonjwa huu wa joints au arthritis.

USHAURI na *SULUHISHO
Mawasilian*0689715054

Address

Makumbusho Bus Stop
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Bora posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya Bora:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram