30/01/2024
Chango la uzazi ni miongoni mwa magonjwa yanayoshambulia viungo vya uzazi vya mwanamke, ambapo husababisha maumivu makali ya tumbo na kushindwa kupata ujauzito, au mimba kuharibika kila zinapoingia.
Kuna aina nyingi za chango, zinaweza kujitokeza peke yake au kujikusanya na kujitokeza kwa pamoja, hali hyo hujulikana k**a Ovulation Disorder (O.D).
tatizo la chango la uzazi hutokana na vifuko vya mayai ya uzazi (ovaries) kutokuwa na uwezo wa kuzalisha mayai na kufanya yakue kwa wakati sahihi.
Hivyo hupelekea Mwanamke mwenye tatizo hili ashindwe kuwa na walau siku za hatari za kunasa ujauzito, au zipo lakini hazina mpangilio unaoeleweka.
hata Ubongo pia huchangia tatizo hili, kwasababu sehemu inayohusika na uzalishaji wa homoni hushindwa kufanya kazi vizuri hivyo kushindwa kudhibiti uzalishaji wa homoni za Follicle Stimulating Hormone (FSH) na Lutenizing Hormone (LH) zinazohusika na uzalishaji na uchavushwaji wa mayai ya mwanamke.
Matumizi ya tumbaku, kuziba kwa mirija ya uzazi, maambukizi katika via vya uzazi (PID) na kufunga kwa shingo ya kizazi ni sababu nyingine zinazopelekea mvurugiko wa homoni hizi pia
au hali ya Hyperplo-lactinemia ambapo mwili wa mwanamke huzalisha homoni ya Prolactin kwa wingi, pia kusababisha tatizo hili.
hata Wanawake wenye uzito mkubwa wanaweza kuwa kwenye hatari kubwa zaidi ya kupatwa na chango la uzazi.
Ishara hizi ni za wazi kuwa una Chango la uzazi...
Maumivu wakati wa kuingia katika siku za hedhi, Maumivu wakati wa tendo la ndoa, Homa kali kabla ya siku za hedhi, Uchovu mkubwa anapokaribia siku za hedhi, Mzunguko wa hedhi usio wa kawaida.
changamoto hii ina madhara kadhaa lakini hutibika kwa urahisi pia
Madhara yake ni pamoja na ugumu wa kupata ujauzito, mimba kuharibika, na kushindwa kufurahia tendo la ndoa.
Ni rahisi zaidi kutibu kwa njia za asili ugonjwa huu...
Kwa kutumia mchanganyiko wa ndulele
hospitali huwa hakuna dawa za moja kwa moja, zilizopo ni kwa ajili ya kurekebisha mfumo wa homoni mwilini (dawa za uzazi wa mpango), kuondoa uvimbe au kutatua maumivu ya hedhi kwa muda na Upasuaji unaweza kufanyika kulingana na hali ya mwanamke.
Nicheki sasahivi whatsap 0757656594 tumalize tatizo hilo au nipigie kwa namba hiyo pia