GreenMed International Herbal Clinic

GreenMed International Herbal Clinic The healthier you the Wealthier you are

01/07/2024

Kuna unasubiri nikwambie ndio Uanze Mazoezi, haya ndio nshasema sasa ANZA leo Uzeeke vizuri

Jiulize kitu Mwanaume, vipi kwa hali yako hiyo tukikupea wake wanne utawezana?

K**a kwa umri wako huo wa sasa unahangaika na nguvu za kiume vipi ukifika miaka 50 hivi?

Ukishajua hivyo basi amka fanya mazoezi, kula vizuri na pendelea herbal products

Una swali? Niandikie hapo,

Kwa huduma zangu piga/ Whatsapp 0628394485

Mazoezi ya mara kwa mara au kuushughulisha mwili ni jambo muhimu mno kwa afya ya moyo wakoLakini pengine kila ukifanya m...
19/03/2024

Mazoezi ya mara kwa mara au kuushughulisha mwili ni jambo muhimu mno kwa afya ya moyo wako

Lakini pengine kila ukifanya mazoezi unapata dalili hizo (kwenye hiyo poster hapo juu)

unaweza kuwa unapata hali hizo kwa sababu unakosea mambo haya matatu...

moja ni kujinyoosha au kuukunja mwili kuliko pitiliza (over straining) , mbili kufanya mazoezi kupita kiasi mfano, unafanya mazoezi masaa 5

tatu ni kutojali afya yako ya mwili kabla na wakati wa kufanya mazoezi husika

Aiseh kabla hujaanza ratiba ya mazoezi Ebu zingatia sana vipimo kujua hali yako usije bomoa badala ya kujenga

zingatia ishara hizo za matatizo ya moyo na fanya maamuzi sahihi

kwa ushauri zaidi ncheki Whatsapp 0628394485

kuna muda kuachana na Mwenza wako huwa ni sehemu kubwa ya upendo wako wa dhati na heshima kubwa kwakePengine kuendelea k...
18/03/2024

kuna muda kuachana na Mwenza wako huwa ni sehemu kubwa ya upendo wako wa dhati na heshima kubwa kwake

Pengine kuendelea kumng'ang'ania kungepelekea kuhatarisha zaidi amani yake, afya yake ya akili au mwili au kumuepusha na ushirikina au na hatma flani mbaya zaidi

hivyo unapohisi penzi hilo lina madhara makubwa kwa mwenzi wako kumuacha kwa amani, heshima japo sio kwa furaha huwa ni sehemu kubwa ya uungwana na upendo wa dhati

Unajaribu kuelewa nachokisema lakini...!?
acha nikupe mifano hii miwili...

Msanii Diamond aliachana na Zari sio kwa sababu hampendi hapana, ni dhahiri kabisa jamaa bado anampenda na anatamani arudishe penzi leo kesho...

Na wala sio kwamba hawezi kurudisha penzi la hasha
Ni kwamba hafanyi hivyo kwasababu ya heshima na upendo mkubwa alio nao kwake k**a mzazi mwenzie

Aliwahi kusema hivi... "Mimi sijatulia bado kijana na damu inatembea sana, na mama tee na mzazi wa watoto wangu, leo tukirudiana na nikaendelea na kum-cheat ntakuwa nimemkosea heshima na kuwakosea watoto wangu" huu ni upendo mkubwa sana

Upendo sio lazima tu mtu akung'ang'anie hata k**a anakupeleka shimoni! huu sio upendo wa dhati

Anayekupenda atajali afya yako, uwepo wako hata k**a uko mbali na yeye, heshima yako, utu wako na huruma yake kwako ni kubwa isiyo kifani

hivyo ikitokea leo mtu kakuacha bila sababu usihuzunike sana jua kwamba pengine anayoyafanya kwa siri Lau ukiyafahamu yanaweza kukutoa roho, au pengine akiendelea kuwa na wewe ni hatari zaidi kwako na hivyo amani pekee na usalama wako ni kuwa mbali tu na wewe

kubali ku-move on kwa amani na upendo until you meet again in the love of God

Niambie Ushawahi kuachana na Mwenzi wako kwasababu ya upendo? Ilikuwaje?

Share na mimi kwenye Comment hapo Chini

Call 0628394485
12/03/2024

Call 0628394485

Jinsi ya Kutumia Mpapai k**a tiba ya malaria na Ugonjwa wa Manjano...kwa tawi moja la mpapai  chuma jani moja zima+ mizi...
12/03/2024

Jinsi ya Kutumia Mpapai k**a tiba ya malaria na Ugonjwa wa Manjano...

kwa tawi moja la mpapai chuma jani moja zima+ mizizi mitatu yenye ukubwa wa kiasi tu+kata Malimao manne kisha yatia mazima mazima yachemke pamoja na mchanganyiko huo

acha ichemke kwa dk 8-12 kisha epua acha ipoe kisha tumia glass ndogo (MLS 250) mara mbili kwa siku asubuhi kabla ya hujala na Jioni kabla ya kula

Rudia zoezi hilo kwa siku 7 (wiki moja) na utakuwa fiti

k**a ulipo unaweza kupata mizizi ya mnazi ongeza kwenye dawa yako ichemke

Papai lina viambata tiba (phytochemicals) muhimu kwenye matibabu na changamoto mbalimbali, hivyo hatuandiki kwa hisia bali kwa tafiti zilizothibitishwa ili kukuondoa wasi wasi

kwanini papai? Kwa sababu...

1.kwenye majani na mbegu za papai, kuna _carpaine_ ambayo hupambana na malaria na Pia inaweza kuwa na faida kwa mgonjwa wa moyo.

2.Papai lina flavonoid mbalimbali, mfano wa hizo ni quercetin, kaempferol, na catechins, ambazo zina mali za antioxidant na kupunguza Inflammatory (vichochezi vya magonjwa) ambavyo ni free-radical. husaidia kulinda mwili dhidi ya magonjwa ya muda mrefu na kusaidia afya kwa jumla.

3.Mbegu za papai zina alkaloids hizi za benzyl isothiocyanate, ambazo zina mali za kupambana na saratani na kusaidia katika kuondoa wadudu (parasites) mwilini.

5. katika matunda na majani pia kuna polyphenols ina mali za antioxidant ambazo hupunguza uchochezi wa magonjwa k**a ilivyo kwa flavonoids niliyokuelekeza hapo juu. Polyphenols Zinaweza kuchangia kwa faida mbalimbali za afya, haswa kwa afya ya moyo na kusaidia kinga ya mwili.

Papai bichi na Mbegu zake pia ni tiba kubwa, soon ntawaandikia makala yake

Je umependa makala hii?

Like share na save ili ibaki kwenye simu yako

Chango la uzazi ni miongoni mwa magonjwa yanayoshambulia viungo vya uzazi vya mwanamke, ambapo husababisha maumivu makal...
30/01/2024

Chango la uzazi ni miongoni mwa magonjwa yanayoshambulia viungo vya uzazi vya mwanamke, ambapo husababisha maumivu makali ya tumbo na kushindwa kupata ujauzito, au mimba kuharibika kila zinapoingia.

Kuna aina nyingi za chango, zinaweza kujitokeza peke yake au kujikusanya na kujitokeza kwa pamoja, hali hyo hujulikana k**a Ovulation Disorder (O.D).

tatizo la chango la uzazi hutokana na vifuko vya mayai ya uzazi (ovaries) kutokuwa na uwezo wa kuzalisha mayai na kufanya yakue kwa wakati sahihi.

Hivyo hupelekea Mwanamke mwenye tatizo hili ashindwe kuwa na walau siku za hatari za kunasa ujauzito, au zipo lakini hazina mpangilio unaoeleweka.

hata Ubongo pia huchangia tatizo hili, kwasababu sehemu inayohusika na uzalishaji wa homoni hushindwa kufanya kazi vizuri hivyo kushindwa kudhibiti uzalishaji wa homoni za Follicle Stimulating Hormone (FSH) na Lutenizing Hormone (LH) zinazohusika na uzalishaji na uchavushwaji wa mayai ya mwanamke.

Matumizi ya tumbaku, kuziba kwa mirija ya uzazi, maambukizi katika via vya uzazi (PID) na kufunga kwa shingo ya kizazi ni sababu nyingine zinazopelekea mvurugiko wa homoni hizi pia

au hali ya Hyperplo-lactinemia ambapo mwili wa mwanamke huzalisha homoni ya Prolactin kwa wingi, pia kusababisha tatizo hili.

hata Wanawake wenye uzito mkubwa wanaweza kuwa kwenye hatari kubwa zaidi ya kupatwa na chango la uzazi.

Ishara hizi ni za wazi kuwa una Chango la uzazi...

Maumivu wakati wa kuingia katika siku za hedhi, Maumivu wakati wa tendo la ndoa, Homa kali kabla ya siku za hedhi, Uchovu mkubwa anapokaribia siku za hedhi, Mzunguko wa hedhi usio wa kawaida.

changamoto hii ina madhara kadhaa lakini hutibika kwa urahisi pia

Madhara yake ni pamoja na ugumu wa kupata ujauzito, mimba kuharibika, na kushindwa kufurahia tendo la ndoa.

Ni rahisi zaidi kutibu kwa njia za asili ugonjwa huu...
Kwa kutumia mchanganyiko wa ndulele

hospitali huwa hakuna dawa za moja kwa moja, zilizopo ni kwa ajili ya kurekebisha mfumo wa homoni mwilini (dawa za uzazi wa mpango), kuondoa uvimbe au kutatua maumivu ya hedhi kwa muda na Upasuaji unaweza kufanyika kulingana na hali ya mwanamke.

Nicheki sasahivi whatsap 0757656594 tumalize tatizo hilo au nipigie kwa namba hiyo pia

06/01/2024
TANGAZO HILI HUJALIONA KWA BAHATI MBAYA👋 WALA FACEBOOK HAWAJAKOSEA KUKUONYESHA WEWEnimeandika mahsusi kwa ajili Yako mwa...
16/08/2023

TANGAZO HILI HUJALIONA KWA BAHATI MBAYA👋 WALA FACEBOOK HAWAJAKOSEA KUKUONYESHA WEWE

nimeandika mahsusi kwa ajili Yako mwanaume ambaye unapitia changamoto kadhaa kwenye tendo la ndoa

hasa kuwahi sana kumaliza, kutorudia tendo, hamu ndogo na ulegevu wa msumari wako...

tatizo la rungu lako kutosimama ngangari k**a MSUMARI hutokana na damu kutoujaza vizuri huo msumari wakati wa msisimko wa penzi mubashara ,ki'uume kinasimama Legelege au unakuta pia ni kadogo.

tatizo hili hutokea k**a una moja ya hali hizi au unazote;
Moja ni mzunguko wa damu hauko vizuri (Mafuta mengi mwilini au maradhi ya moyo)

mbili, mishipa ya damu eneo la uume imeziba kiasi hivyo damu haipiti ya Kutosha ( hili ni tatizo kwa mwenye sukari au uzito kupita kiasi unaopelekea presha ya damu kuwa kubwa)

tatu, mishipa ya damu imeminyana sana kwa kusuguliwa na kujichua konki ( vijana hapa ndio kilio Chao) na mwisho ni ukosefu wa nitric oxide ya Kutosha mwilini unaosababishwa na kutokula vyakula sahihi vyenye madini ya citrulline kwa wingi k**a tikiti maji na baadhi ya vyakula...

Usikimbilie dawa yoyote Anza na Mazoezi na Lishe sahihi uone moto wake ,Kisha k**a tatizo haliishi sasa ndio utuone wataalam tukupe madini ujishindie heshima Kila game

Leo natoa ushauri wa lishe sahihi na mazoezi BURE unachotakiwa ni kunicheki Whatsapp 0757656594 Kisha utaupata

Pia tumetenga siku 3 za mafunzo ya tiba Bure, utakutana na Mbabe wa pori na pia utakutana na daktari wa binadamu (medical doctor) ambaye atajibu maswali yako k**a utakuwa na tatizo unahitaji ufafanuzi

NB: DM za insta na Facebook utachelewa kujibiwa ,tuma DM Whatsapp utasaidiwa kwa haraka

Kuna magonjwa mbalimbali yanayoweza kuathiri afya ya korodani na uume na hivyo kusababisha tatizo la kushindwa kusimama ...
14/03/2023

Kuna magonjwa mbalimbali yanayoweza kuathiri afya ya korodani na uume na hivyo kusababisha tatizo la kushindwa kusimama imara wakati wa tendo la ndoa.

haya ni baadhi ya magonjwa hayo:

🖊️Ugonjwa wa kisukari: Kisukari kinaweza kusababisha uharibifu wa mishipa ya damu ambayo hupatikana kwenye uume, na hivyo kusababisha tatizo la kushindwa kusimama imara wakati wa tendo la ndoa.

🖊️Magonjwa ya moyo: Magonjwa ya moyo k**a vile shinikizo la damu na ugonjwa wa moyo wa koronari yanaweza kupunguza mtiririko wa damu kwenda kwenye uume

na hivyo kusababisha tatizo la kushindwa kusimama imara wakati wa tendo la ndoa.

🖊️Matatizo ya homoni: Matatizo ya homoni k**a vile kupungua kwa testosterone yanaweza kusababisha tatizo la kushindwa kusimamisha imara wakati wa tendo la ndoa.

🖊️Ugonjwa wa Peyronie: Hii ni hali ambapo tishu za uume huzidi kukua na kusababisha uume kupinda au kugeuka, na hivyo kusababisha tatizo la kushindwa kusimama imara wakati wa tendo la ndoa.

🖊️Matatizo ya kiakili: Matatizo ya kiakili k**a vile msongo wa mawazo, wasiwasi, na matatizo ya kihisia yanaweza kusababisha tatizo la kushindwa kusimama imara wakati wa tendo la ndoa.

Kila hali inautaratibu wake wa kuitibu ndio maana huwa nashauri Anzia hospital kwanza k**a sababu ya tatizo ulilonalo huifahamu

Kuondokana na changamoto ya kuwahi sana na kushindwa kurudia tendo

Kukuza Uume mdogo

tuma ujumbe Whatsapp 0757656594 au piga simu

tumbo ni k**a sufuria la kupikia, linahitaji usafi Kila unapomaliza kupika chakula chakomaradhi yote huanzia tumboni hiv...
08/03/2023

tumbo ni k**a sufuria la kupikia, linahitaji usafi Kila unapomaliza kupika chakula chako

maradhi yote huanzia tumboni hivyo hata tiba ianzie huku huko

tumbo likiwa vizuri mengine yatafuata baadae

tumboni kuna bacteria na fungi maaluum na wanaishi kutokana na mazingira halisi ya tumboni kwa kutegemeana

Pia kuna uwepo wa vimeng'enyi (enzymes) kwa ajili ya kuvunjavunja vyakula na kuongeza kasi ya ufanyaji kazi wa mmeng'enyo wa chakula na mifumo mbalimbali

homoni ya thyroxine husaidia katika kuongeza kasi mmeng'enyo wa chakula na metaboliki zote mwilini

Inapotokea tumboni *uwiano wa bacteria* wazuri na wabaya ukawa chini sana au kuzidi sana au *fungi* au *enzymes* au kichochezi Cha *thyroxin* kupungua changamoto nyingi hutokea

changamoto hutokana na ulaji mbovu ambao husababisha tumbo kuwa na mlundikano wa kemikali sumu mafuta na taka nyingi ambavyo husababisha bacteria enzymes fungi na homoni kuelemewa na kushindwa kufanya kazi

Ukitaka kujua haya angalia tumbo lako k**a unapata ishara hizi

👉tumbo kujaa gesi na kuunguruma kila mara

👉kuhisi haja kubwa na ukienda choo hupati unaishia kutoa upepo

👉kupenda kula kula Kila wakati(hasa watu walionenepa mwanzo walikuwa wembamba)

👉kuhisi uchomvu Kila wakati hata k**a hujafanya kazi yoyote
👉Vichomi kifuani mara kwa mara
👉Ngozi kupauka na kupoteza mvuto
👉tiba kutofanya kazi
👉Msongo wa mawazo
👉akili kuvurugika na kukosa usingizi
👉vidonda tumbo kuzidi maumivu ambayo hupelekea kuhisi vichomi hadi kwenye mapafu

Kabla hujahangaika kutibu tatizo la nguvu za kiume tibu kwanza tumbo

kuna faida nyingi sana mwiliniza *Detox* zitakazokufanya uwe bora hata utakapofikia uzee huko baadae

Detox mwilini ni mchakato wa kuondoa sumu na uchafu mwilini kwa kula vyakula na kunywa vinywaji maalum vinavyosaidia kusafisha mwili wako.

*Faida za detox mwilini ni pamoja na*

1.Kusaidia kupunguza uzito: Detox mwilini unaweza kusaidia kupunguza uzito kwa kuondoa sumu na uchafu mwilini, na kuboresha metaboliki yako.

2.Kusafisha ini: Detox mwilini husaidia kusafisha ini, ambalo ni kiungo muhimu katika kusafisha mwili wenye sumu.

3.Kuboresha kinga ya mwili: Detox mwilini husaidia kuboresha kinga ya mwili kwa kuondoa sumu na uchafu, na kusaidia mwili wako kupigana na magonjwa.

4.Kupunguza uchovu na kuboresha usingizi:
Detox mwilini husaidia kupunguza uchovu na kuboresha usingizi kwa kusaidia kuondoa sumu na uchafu ambao husababisha uchovu na kuzuia usingizi.

5.Kusaidia kuondoa msongo wa mawazo:
Detox mwilini husaidia kupunguza msongo wa mawazo kwa kuondoa sumu na uchafu ambao husababisha msongo wa mawazo

*Je Detox ni muhimu zaidi kwa watu gani na umri upi*?

Kimsingi detox ni muhimu kwa watu wote, bila kujali umri, uzito au muundo wa mwili.

LAKINI... watu wenye uzito mkubwa ndio wanafaidi zaidi kutokana na detox kwani wana hatari kubwa ya kuwa na viwango vya juu vya sumu mwilini kutokana na lishe duni, kutumia madawa ya kulevya, mazingira yenye uchafu, na sababu nyinginezo

Vilevile, watu wenye umri mkubwa wa utu uzima wao wanapoteza uwezo wa mwili kutoa sumu kwa ufanisi, detox ina manufaa makubwa zaidi kwao.

Kwa kuongezea, wazee wana hatari kubwa ya magonjwa ya moyo, shinikizo la damu na magonjwa mengine yanayohusiana na umri, ambayo yanaweza kuongezeka na kuwa hatari zaidi kutokana na uwepo wa sumu mwilini.

Kwa upande wa mtu mwembamba, yeye anaweza pia kufaidika na detox kwani ana hitaji kujenga upya misuli na tishu zake zinazohitajika kwa utendaji mzuri wa mwili.

Aidha, mazingira anamoishi na lishe anayotumia inaweza kusababisha mwili wake kukusanya sumu ambazo zinaweza kuwa na athari mbaya kwa afya yake

*Hivyo basi Kabla hujatibu Nguvu kwanza tibu tumboni*

Varicocele ni hali ya kuongezeka kwa ukubwa wa mishipa ya damu inayotoka kwenye korodani (testicle) na kuelekea kwenye m...
01/03/2023

Varicocele ni hali ya kuongezeka kwa ukubwa wa mishipa ya damu inayotoka kwenye korodani (testicle) na kuelekea kwenye mishipa inayopeleka damu kwenye moyo.

Huweza kuonekana k**a michirizi nje ya ngozi ya korodani(scrotum) zako
TAZAMA PICHA hapo juu👆

Hali hii huathiri hasa wanaume na inaweza kuwa na madhara kadhaa, k**a vile...

👉Kupungua kwa ubora wa shahawa:Varicocele inaweza kusababisha kupungua kwa idadi ya shahawa na kusababisha shida za uzazi.

👉Maumivu na kuvimba: Varicocele inaweza kusababisha maumivu na uvimbe kwenye korodani.

👉Kupungua kwa saizi ya korodani: Varicocele inaweza kusababisha kupungua kwa saizi ya korodani na hivyo kuathiri viwango halisi vya mbegu(sperm count) zinazozalishwa

👉Kupungua kwa kiwango cha testosterone: Varicocele inaweza kusababisha kupungua kwa kiwango cha testosterone, homoni inayohusika na maendeleo ya kiume, hamu ya tendo na ukuaji wa maumbile ya kuume

👉Kutofaulu kwa matibabu ya uzazi: Varicocele inaweza kusababisha matatizo ya uzazi, na inaweza kufanya matibabu k**a vile IVF kuwa na ufanisi mdogo.

Ikiwa una dalili zozote za varicocele, ni muhimu kuwasiliana na daktari wako ili uweze kupata ushauri sahihi na matibabu inayofaa.

Au wasiliana na mimi DM yangu iko wazi, Whatsapp 0757656594

Ebu Leo fahamu ugonjwa huu na jitathmini. K**a una dalili hizi na umetumia sana tiba bila mafanikio yoyote au unapata ma...
28/02/2023

Ebu Leo fahamu ugonjwa huu na jitathmini. K**a una dalili hizi na umetumia sana tiba bila mafanikio yoyote au unapata mafanikio ya muda mfupi, basi hii ndio sababu...

Ngiri ni hali inayotokea pale tishu au viungo ndani ya mwili vinavyofunika sehemu ya ndani ya kuta za tumbo huvuta na kujikunja kuelekea sehemu ya dhaifu ya misuli ya tumbo. Kwa kawaida, ngiri hutokea kwenye maeneo ya kati ya kifua na nyonga au eneo la kati ya tumbo. Ngiri hutokea kwa wingi sana kwa wanaume kuliko wanawake.

Aina za ngiri:

Ngiri ya umbilical - Hii ni ngiri inayotokea karibu na kitovu.

Ngiri ya inguinal - Hii ni ngiri inayotokea kwenye eneo la kati la tumbo, mara nyingi kwenye eneo la kati ya kifua na nyonga.

Ngiri ya femoral - Hii ni ngiri inayotokea karibu na msimamo wa nyonga.

ANGALIA PICHA👆 kwa ufafanuzi zaidi

Dalili za ngiri:

👉Maumivu na kuvuta kwenye eneo la ngiri.

👉Kuvimba kwa eneo la ngiri.

👉Kuhisi uzito kwenye eneo la ngiri.

👉Kukatika kwa mtiririko wa damu kwenye eneo la ngiri.

👉Kuhisi haja ya kukojoa mara kwa mara.

👉Kupungua kwa uwezo wa tendo la ndoa.

Matibabu ya ngiri:

Matibabu ya ngiri hutofautiana kulingana na aina ya ngiri. Wakati mwingine, ngiri inaweza kurekebishwa kwa upasuaji au kutumia njia ya kudhibiti kwa kutumia vifaa vya ngiri.

Matibabu haya hufanywa kwa uangalifu kwa kuwa ni hatari kwa mwanaume kushindwa kuendelea na tendo la ndoa baada ya upasuaji wa ngiri.

Athari za ngiri kwenye afya ya tendo la ndoa kwa mwanaume:

👉Ngiri inaweza kusababisha maumivu makali kwa mwanaume, na hivyo kufanya tendo la ndoa kuwa vigumu na lisilo la kufurahisha.

👉Ngiri inaweza pia kusababisha kushindwa kupata au kudumisha uume wakati wa tendo la ndoa, na hivyo kusababisha tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

Hii inaweza kuathiri uhusiano na mwenzi wa kimapenzi na kusababisha wasiwasi au huzuni. Kwa hiyo, ni muhimu sana kutafuta matibabu ya ngiri mapema ili kuepuka athari hizi.

Kwa ushauri kuhusu tiba DM yangu iko wazi Whatsapp 0757656594

Ili uwe na CONFIDENCE katika ndoa Yako basi lazima pia uwe na MPINI wa maana.Sio kiMPINI kidogo kiasi ukitaka kubadili n...
28/02/2023

Ili uwe na CONFIDENCE katika ndoa Yako basi lazima pia uwe na MPINI wa maana.

Sio kiMPINI kidogo kiasi ukitaka kubadili nguo MPAKA uzime taa

K**a una kiMPINI na unahitaji kuwa na MPINI WA MAANA,

Whatsapp 0757656594 kuufanya uwe MREFU MNEE

Sababu 5 za kupungua kwa idadi ya  mbegu za kiume dunianiebu pitia ujumbe huu hadi mwisho kisha jitathmini.Kiwango cha m...
24/12/2022

Sababu 5 za kupungua kwa idadi ya mbegu za kiume duniani

ebu pitia ujumbe huu hadi mwisho kisha jitathmini.

Kiwango cha mbegu za uzazi za kiume kinachotolewa wakati wa tendo la kujamiiana kimeshuka kwa asilimia 51% katika kipindi cha miaka 50 iliyopita.

Ni moja ya matokeo makuu yaliyopatikana kufuatia uchunguzi uliofanywa na Chuo kikuu cha Hebrew cha Jerusalem, nchini Israel, na katika Chuo cha tiba cha Mount Sinai, nchini Marekani.

Watafiti walifanya mahesabu na kubaini kuwa katika miaka ya 1970, wanaume walikuwa na wastani wa uzalishaji wa seli za uzazi milioni 101 kwa mililita ya majimaji ya mbegu za uzazi.

Wastani huo umepungua hadi milioni 49 katika miaka ya hivi karibuni* .

Zaidi ya idadi, ushahidi pia unafichua kupungua kwa ubora wa seli za uzazi za kiume:

asilimia ya seli zenye uwezo wa kupenya na kuingia ndani ya yai la uzazi la k**e zimepungua sana katika miongo ya hivi karibuni.

Uwezo wa kutungisha mimba unapungua,"

anasema mtaalamu wa afya ya uzazi ya wanaume Moacir Rafael Radelli, na makamu rais wa Shirika la Brazil la madaktari wa uzazi wa kusaidiwa.

Hali hii inayoendelea kuwa mbaya inatoa dalili za hatari miongoni mwa wasomi katika sekta ya afya.

Kuanzia miaka ya 2000, kiwango hicho kilipanda hadi 2.64%: zaidi ya mara dufu.

*Na ni tatizo katika dunia nzima :*

wanasayansi waligundua kupungua kwa idadi ya majimaji yanayohifadhi mbegu za uzazi za kiume Ulaya, Afrika, Amerika ya Kati na Amerika Kusini.

*Je ni nini kinachosababisha hali hii?*

Wataalamu wanaeleza walau sababu tano.

Habari njema ni kwamba kuna njia za kuzui tatizo hili .

*1: Unene mwili wa kupindukia*

Uzito wa mwili wa kupindukia huongeza athari kwa mbegu za kiume za uzazi.

*Kuongezeka kwa ukubwa wa seli za mafuta, zinazomfanya mtu anenepe,*

husababisha majeraha mwilini -inflammatory, ambayo huathiri uzalishaji wa homoni za uzazi za kiume au testosterone,

ambazo ni muhimu sana katika kutengenezwa kwa maji maji yanayotunza mbegu za kiume za uzazi.

Daktari wa uzazi wa wanaume nchini Brazil Eduardo Miranda anasema...

uzito wa mwili wa kupindukia pia hutengeneza kile kinachoitwa *oxidative stress* , mchakato ambao huharibu seli mbali mbali za mwili.

"Kwa njia sawa na hiyo, mtu mwenye unene wa mwili wa kupindukia, *huwa na mafuta zaidi katika maeneo ya viungo vyake vya uzazi* , kitu ambacho huathiri vibaya utengenezwaji wa mbegu za uzazi za kiume ," anasema mtaalamu wa afya ya uzazi ya wanaume.

Manii, ambamo seli za uzazi hutengenezwa na kutunzwa, yanapaswa kuwa na kiwango cha joto cha cha nyuzi joto 1 hadi 2 wakati wote ili kufanya kazi vyema.

Hii ndio maana mfuko huo wa mbegu za uzazi uko nje wa mwili.

Hii inaongeza mzigo wa mafuta kwenye viungo vya uzazi, ambavyo huacha kufanya kazi yake k**a vinavyotarajiwa.

Shirika la Afya duniani linakadiria kuwa 39% ya wanaume wana uzito wa mwili wa kupindukia duniani,

takwimu ambazo zinadhihirisha sababu ya kupungua kwa mbegu za uzazi za wanaume katika miongo mitano iliyopita.

2: Matumizi mabaya ya vilevi, na madawa ya kulevya,Pombe, sigara za kawaida, sigara za kielekroniki, bangi, Co***ne na dawa zenye anabolic steroid …

Je unafahamu kuwa dawa hizi zote hutumiwa mara kwa mara? Zote huathiri viungo vya uzazi vya mwanaume.

" baadhi ya vilevi na madawa haya huharibu moja kwa moja seli za uzazi za kiume, ," anaeleza Dkt. Miranda.

Nyingine, hatahivyo, hua na madhara yasiyo ya moja kwa moja. Huathiri homoni za uzazi zinazochochea utendaji kazi wa manii(mfuko wa mbegu za uzazi za kiume)

Mfano unaotolewa zaidi miongoni mwa wataalamu ni kubadilishwa kwa testosterone kwa njia ya tembe, jeli, na sindano, ambazo hutumiwa na wanaume ili kuongeza ukubwa wa misuli.

3. Magonjwa ya zinaa K**a vile Chlamydia na kisonono ambayo husababishwa na bakteria, yanaweza kusababisha majeraha katika njia ya mbegu za kiume iliyopo nyuma ya manii- epididymis.

Njia hii huunganisha sehemu ya juu ya manii na ni sehemu inayotunza mbegu za kiume za uzazi.

Madhara yoyote kwa sehemu hiyo, husababisha hatari kwa mbegu za kiume za uzazi.

Shirika la WHO linakadiria kuwa , katika mwaka 2020 pekee, kulikuwa na visa vipya milioni 129 vya maradhi ya chlamydia na visa milioni 82 vya kisonono miongoni mwa wanaume na wanawake.

Kiwango hiki kimeendelea kuimarika na kuongezeka katika miongo ya hivi karibuni.

Radaelli anaongeza kuwa ugonjwa wa tatu ;kwenye orodha ya maradhi yanayosababisha kupungua kwa mbegu za kiume za uzazi ni : *Ugonjwa wa virusi vya human papillomavirus, unaofahamika zaidi k**a HPV.

"Pia unafahamika kwamba unaweza kuathiri uzalishaji wa mbegu au hata Vinasaba DNA ya mbegu ya uzazi ," anasema.

4: *Kompyuta kwenye mapaja* Unakumbuka kuwa manii yanapaswa kuwa katika hali ya hewa yenye kiwango cha katika ya 1-2°C baridi kuliko sehemu nyingine yoyote ya mwili ?

Tafiti zilizochapishwa katika miongo iliyopita zimefichua kuwa kubeba kipakatarishi chako au laptop kwenye paja kunasababisha hatari ya ziada katika uzalishwaji wa mbegu za kiume za uzazi.

*Hii ni kwasababu betri ya kifaa hicho hupata joto na inaweza "kupika" mbegu za kiume*

Kuweka kipakatarishi kwenye mapaja kwa saa nyingi kunaweza ‘’kupika’’ mbegu zako za kiume za uzazi

Miranda anasema kwamba tabia nyingine zinazohusiana na viwangi vya juu vya joto pia husababisha hatari kwa viungo vya uzazi.

Kwa mfano, *kuoga kwa muda mrefu maji moto au kuingia katika sauna kwa saa nyingi* .

Pia katika sekta ya teknolojia, daktari alielezea uwezekano wa mawimbi ya kielekroniki , mawimbi ya simu na hata intaneti ya Wifi.

5: *Kemikali za sumu za Endocrine disruptors*

Wataalamu wanatahatharisha pia kuhusu msururu wa kemikali za sumu zinazofahamika kwa ujumla k**a endocrine disruptors.

Kemikali hizi ni pamoja na zile zinazochafua hali ya hewa, pamoja plasiki na kemikali za kuua wadudu.

Kwa ujumla, sumu hizi zina muundo sawa na ule wa homoni katika miili yetu.

Zaidi ya mazingira na sababu nyingine zinazosababisha kupungua kwa kiwango cha mbegu za kiume za uzazi, kuna mambo mengine yanayochangia hali hii.

La kwanza ni urithi. Inakadiriwa kuwa 10 katika 30% ya visa vya ugumu katika kupata mtoto husababishwa na matatizo katika vinasaba DNA vya kiume .

Sababu ya pili inahusiana na umri na ukweli kwamba wanaume hutaka kuwa wazazi baada ya umri kuwa mkubwa, baadaye maishani mwao.

"Tunafahamu kuwa uwezo wa kutungisha mimba hupungua kadri miaka inavyokwenda* .

Ingawa kupungua kwa mbegu za kiume za uzazi miongoni mwa wanaume haulinganishwi na wanawake, huwa kuna upungufu katika homoni ambazo ni muhimu kwa utengenezaji wa mbegu za kiume ," anasema mtaalamu.

Nini la kufanya?
Kwa wale ambao wanataka kupata watoto,

👉hatua ya kwanza ya kuongeza nafasi za kupata mtoto ni *kufanya mabadiliko katika mtindo wa maisha unayoishi* na hivyo kupunguza mchakato unaodhuru manii (mfuko wa mbegu za kiume za uzazi)

Hii ni pamoja , na kwa mfano *kuimarisha au kupunguza uzito wa mwili kwa kula mlo kamili na kufanya amazoezi ya mara kwa mara ya mwili.

Kuepuka pombe, sigara na madawa mengine pia ni mambo ya msingi yanayoshauriwa uyafanye.

Watu wanaopata chanjo dhidi ya HPV katika miaka yao ya kwanza ya kubalehe pia hujikinga zaidi dhidi ya virusi hivyo na madhara vinavyosababisha kwa mwili.

*Ebu jitathmini wewe upo kundi gani?,Kisha niambie kwenye comment hapo chini 👇

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255757656594

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when GreenMed International Herbal Clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to GreenMed International Herbal Clinic:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram