14/01/2026
"KUMWAGA WAKATI WA KUMUANDAA MWENZA WAKO, au MAPEMA TUU UNAPO ANZA TENDO"
Kuna matatizo mengi ambayo yanawapata wanaume na kuwafedhehesha zaidi, lakini hili ni kiboko.
......tuendelee kujifunza 👇
● Zipo changamoto mbali mbali zinazowakumba wanaume katika masuala ya tendo la ndoa au kujamiana kwa ujumla bila kujua chanzo cha changamoto na suluhisho lake.
● Moja ya changamoto ni hii ya kufika kileleni wakati wa kumuandaa mwanamke , Lakini nataka nikuongezee nyingine ambayo ni uume kusimama vizuri na hisia zinakuepo lakini ukisha fika mlangoni ili kuingia uume unalegea, inabidi urudi tena kwenye kumchezea mwenza wake , hili ni tatizo.
■ Wapo walionipigia simu na wengine wamenitumia message wakiwa na hizi changamoto, mbaya zaidi imekuwa ikiwapa wanaume HOFU SANA
■ Bila kujua kuwa hofu nayo huendelea kufanya hali ya uwezo wa mwanaume kushuka zaidi na zaidi.
● Sasa fahamu chanzo Cha tatizo na suluhisho lake 👇
● Wote walio na changamoto hizi walikiri kuwa wanajichua na kuangalia video na picha za ngono hapo hapo au k**a hawafanyi vitendo hivyo kwa sasa, waliwahi kufanya hapo awali, (wanapenda kutumia neno zamani sanaa) 😁
● wengine kuangalia video za ngono pekee bila kujichua na wengine walipiga punyeto bila kuangalia video za ngono na wengine walisha acha lakini bado wanawahi sana kufika kileleni wakati wa kumuandaa mwanamke.
● Yaani uume unasimama vizuri tu lakini akishataka kuanza uume unalegea na kushindwa kuendesha gari kabisa, ni fedheha sana. 🤦🏽♂️
● Kutokana na mchanganuo huo ni dhahiri kuwa changamoto hizi chanzo kikubwa ni punyeto na kuangalia picha za ngono.
● Lakini pia kwa upande mwingine ulaji pia unamchango mkubwa katika kumfanya mwanaume kuwa imara au kuwa dhaifu kwenye Afya nzima ya uzazi.
● Lishe mbovu hupelekea afya kudhoofika na kupelekea baadhi ya magonjwa ya mifumo ya uzazi.
■ Hakikisha unazingatia Lishe bora, Fanya mazoezi, Pia Epuka Punyeto & kuangalia video za p***o 👏
➖ Urahisi wa kumwaga (premature ej*******on) mapema hutokea pale ambapo mwili hauna uthibiti wa kutosha wa misuli ya sehemu za siri (pelvic floor) au ubongo unashindwa kudhibiti kiwango cha msisimko.
1️⃣ Fanya Kegel exercises kila siku
2️⃣ Tumia mbinu ya Stop & Start
3️⃣ Jaribu mbinu ya Squeeze
4️⃣ Jali lishe bora na mazoezi ya mwili
5️⃣ Dhibiti mawazo na msisimko kupita kiasi
Anza leo na hatua ndogo mwili wako unaweza kubadilika, stamina inaweza kuongezeka na utajiamini zaidi kitandani. 💪🔥
/ /
Kwa ushauri zaidi kuhusu changamoto za afya ya uzazi , Uwe unahitaji elimu | Swali | Suluhisho la tatizo Kuwa Huru Kunipigia Simu muda wowote Nitakusaidia.
Call | Whats'App +255 621 425 885
゚viralシfypシ゚