Bright future tiba asilia 100%

Bright future tiba asilia 100% SULUHISHO SAHIHI KWA CHANGAMOTO ZA MIFUPA , VIUNGO , GANZI NA MOTO MIGUUNI

15/09/2022

Yawezekana umekuwa ukiteseka na maumivu ya viungo kwamda mrefu bila kupata tiba ya kudumu na umetumia njia mbalimbali bila matokeo yoyote usiteseke tena kwa dawa za maumivu za mda mfupi tu WASILIANA NASI kupata matibabu sahihi ya kudumu ya tatizo lako mapema hivi sasa PIGA NAMBA 0652 462 523

*DALILI ZA KUWEZA KUKUJULISHA KUWA VIUNGO VINASAGANA NI K**A IFUATAVYO*

*KWENYE MAGOTI*
✔️magoti kushindwa kujikunja
✔️Maumivu kwenye magoti
✔️kushindwa kupanda ngazi kwa urahisi
✔️kusikia milio ya mifupa kugusana kwenye magoti

*KWENYE MGONGO/UTI WA MGONGO*
✔️maumivu kwenye mgongo
✔️kushindwa kuinama
✔️kusikia maumivu makali wakati wa kuinama
Kusikia ganzi kwenye mapaja au miguuni.

KWENYE BEGA(SHOULDER JOINT)
✔️kushindwa kunyanyua mkono
✔️kusikia maumivu makali kwenye bega

15/09/2022
ZINGATIA
12/09/2022

ZINGATIA

TUNAFURAHA SANA KWAKUA TUNAZIDI KUFIKA MIKOA MINGI NA WATU WANAZIDI KUPATA HUDUMA ZETU KARIBUNI SANA
12/09/2022

TUNAFURAHA SANA KWAKUA TUNAZIDI KUFIKA MIKOA MINGI NA WATU WANAZIDI KUPATA HUDUMA ZETU KARIBUNI SANA

12/09/2022

Uusiteseke tena na tatizo la mifupa au viungo kuanzia mtoto mbaka mzee tiba sahihi ipo hapa

12/09/2022

MREJESHO KUTOKA KWA TULIOWAHUDUMIA

*UGONJWA WA MIFUPA* *(OSTEOPOROSS)*Ni ugonjwa unaosababishwa na uchakavu wa mifupa,kitu kinachosababisha uchakavu wa mif...
12/09/2022

*UGONJWA WA MIFUPA* *(OSTEOPOROSS)*

Ni ugonjwa unaosababishwa na uchakavu wa mifupa,kitu kinachosababisha uchakavu wa mifupa ni ukosefu wa lishe bora mwilini,mtu mwenye mifupa miembamba mifupa yake inaweza kuvunjika na kupata nyufa kwa uraisi K**a haijalishwa vizuri,hali hii inatokea Sana katika nyonga,Mgongo na mikono.

*WATU WANAOPATA UGONJWA HUU*:
1) Wanawake waliofikia kukoma hedhi - Hii hutokana na wakati wanawake wakiwa kwenye siku zao kuna homoni inayotolewa ambayo inaitwa ESTROGEN ambayo inatengeneza madini ya Calcium ili kusaidia mifupa kuwa imara.
2) Wadada wenye maumbo madogo (Wanaokeep figure)wanaofanya mazoezi -Hali hii husababishwa na kutokupata vyakula vyenye madini ya Calcium
3) Wavutaji wa Sigara na wanywaji wa pombe -Hawapati madini ya Calcium kutokana na unywaji na uvutaji hawana muda wa kula vizuri.
4) Watu wenye uzito mkubwa

*DALILI ZA* *UGONJWA WA MIFUPA*
1)Maumivu ya Mgongo makali au ya kawaida
2) Miguu kuwaka Moto
3) Visigino kuchomachoma
4) Kuumwa na Magoti

5) Miguu kupata ganzi
6) Mikono na vidole kufa ganzi au kukakamaa wakati wa usiku
7) Mishipa kuuma na kutokeza juu ya ngozi
8) Kuumwa na magoti mpaka kushinda kuchuchumaa au kushuka ngazi
9) Matatizo ya meno kutoboka na kucha kukatika.
10) Mwili kulegea na kukosa nguvu
11) Kupata kiharusi (Strock). Wagonjwa wengi wanaopata strock wanamatatizo ya mifupa na moyo.

*N.B* Mifupa ni bank ya madini, mwili unahifadhi madini kwenye mifupa, unapotoka madini ya calcium yanapoisha upelekea kudhoofika kwa afya yako.

*BONE* *HYPERPLASIAN*- ni ugonjwa wa mifupa ambapo mifupa inakuwa miepesi sababu ya kukosa madini ya Calcium mwilini.
Mwili wa binadam unahtaji Milligram 1000 -2000 za maziwa kwa siku ambayo ni sawa na grass 3 - 4 ili kuongeza calcium mwilini
Ikiwa unachangamoto hii usisite kuwasiliana nasi kwa
WhatsApp/text/call
👇
+255652462523

12/09/2022

Feedback kutoka kwa tulio wasaidiaa

HATARI YA KULA SANA NYAMA NYEKUNDU HUSABABISHA TATIZO HILI HAPA LA GOUT
12/09/2022

HATARI YA KULA SANA NYAMA NYEKUNDU HUSABABISHA TATIZO HILI HAPA LA GOUT

Mwonekano wa vidole vya  mtu mwenye rheumatoid athrits    Uonapo dalili hizi wasiliana nasi mapema upate matibabu
12/09/2022

Mwonekano wa vidole vya mtu mwenye rheumatoid athrits
Uonapo dalili hizi wasiliana nasi mapema upate matibabu

Address

Ilala Boma
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bright future tiba asilia 100% posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram