fit_focustz

fit_focustz TUNASAIDIA
•KUPUNGUZA UZITO, NYAMA UZEMBE & KITAMBI. •ONDOA SHIDA YA NGUVU ZA KIUME NA TEZI DUME.

Habari njema kwa wewe uliyekuwa unatafuta suluhisho la UZITO MKUBWA pamoja na KITAMBI.Nimekuandalia darasa la BUREEEE am...
20/11/2023

Habari njema kwa wewe uliyekuwa unatafuta suluhisho la UZITO MKUBWA pamoja na KITAMBI.
Nimekuandalia darasa la BUREEEE ambalo ntakuwa natoa kupitia whatsapp group nikikuelekeza jinsi ya kuondokana na changamoto hiyo. Ili kupata mafunzo hayo bonyeza link kwenye bio au tuma ujumbe kupitia namba +255 693270602


🚨DON’T SCROLL…READ⬇️⬇️🚨SABABU 6 KWANINI HUPUNGUI UZITO JAPOKUA UNAFANYA SANA MAZOEZISiku zote unapopungua uzito mwili na...
20/11/2023

🚨DON’T SCROLL…READ⬇️⬇️🚨

SABABU 6 KWANINI HUPUNGUI UZITO JAPOKUA UNAFANYA SANA MAZOEZI
Siku zote unapopungua uzito mwili nao hupambana kuurudisha katika hali yake ya awali. Kwahiyo unaweza kupungua uzito haraka siku za mwanzo lakini mbeleni kadri unavyoendelea utaanza kupata shida kupungua, utakua unapungua kidogo sana.
Sasa fuatilia kwa makini ni sababu zipi zinaweza kukufanva usipungue uzito k**a unavyotarajia au usipungue kabisa.
1. Hauzingatii na Hujizuii Katika Ulaji Wako
Kutambua nini ule na nini usile ni kitu cha msingi sana kukizingatia unapokua na nia ya kupunguza uzito.
2. Hauli Vyakula Vyenye Protein ya Kutosha
Protein ni moja ya vyakula muhimu sana kwa wat wanaotaka kupungua uzito.
3. Haufanyi Mazoezi ya Kunyanyua Vitu Vizito
Moja ya vitu vya msingi ambavyo hutakiwi kukosa ukiwa unataka kupungua uzito ni kufanya mazoezi kinzani, k**a kunyanyua vitu vizito. Hii itakusaidia baada ya kupungua uzito
usiwe na nyama uzembe.
4. Bado Unatumia Wanga Mwingi
K**a una uzito mkubwa sana na pia una magonjwa k**a kisukari, basi ni muhimu kupunguza wanga katika mlo wako.
5. Hupati Usingizi wa kutosha
Usingizi ni muhimu sana kwa afya mwili lakini pia katika punguza uzito.
6. Unafikiria Zaidi Mchakato wa Kupungua Kuliko Kupungua Uzito Kwenyewe
Kuna msemo unasema "anza na mwisho na sio mwanzo", kwamba sikuzote peleka mawazo yako katika matokeo ya mwisho ya kitu ukifanyacho, acha kuwaza namna gani utapata matokeo.
Nyongeza:
7. Haujafanya Body Cleansing (Kusafisha Mwili) Kabla ya kuanza kupunguza uzito

Miili yetu inaingiza sumu na takataka nyingi sana mwilini kuputia njia mbalimbali, mfano ni kupitia vyakula tunavyokula, maji, hewa na kadhalika. Kwa wastani binadamu huingiza takribani lita mbili za sumu mwilini kwa mwaka. Hizi sumu na takataka sio Salama kabisa kwa afya zetu. Lakini pia huchangia kwa kiasi kikubwa sana kuongezeka uzito.
Kwasababu Mwili ukiwa mchafu hupelekea mafuta kuzalishwa kwa wingi mwilini uli kutoa ulinzi kwa Mwili dhidi ya sumu hizo. Na hivyo kujikuta umeongezeka uzito. Na pia sumu hizi hupelekea mwili kuwa na tabia ya kupenda au kuvutiwa na vyakula au vinywaji vyenye sumu nyingi k**a vile soda, keki, chips n.k vyakula na Vinywaji ambavyo vinaongeza uzito kwa kasi sana.
Hivyo basi ni muhimu kufanya Body Cleansing kabla ya kuanza Safari yako ya kudhibiti uzito.

MUHIMU
Unafanya sana
Natambua umejifunza mengi kupitia elimu hii
Lakini najua unawaza namna gani unaweza kuandaa mpangilio wa ulaji na mazoezi ambao utakua rafiki kwako kuandaa na kufuata bila kuathiri ratiba zako zingine. Hi ni changamoto kwa wengi sana, na imepelekea wengine kukata tamaa kabisa ya kupungua kutokana na kua na majukumu mengine mengi ya kifamilia na kitaifa, na hivyo kuona k**a ni watu ambao watabaki kua na uzito wao huohuo, ingawa hawafurahii.

Sasa, nina habari njema kwako, kwasababu hi changamoto itaendea kutatulika. Kuna mango mzuri wa ulaji pamoja na mazoezi ambao umeandaliwa. Ulaji (diet plan) imeandaliwa kwa kuzingatia uwiano sahihi wa protein, wanga na mafuta na pia madini na vitamins za kutosha. Diet hii ipo katika mfumo tofauti tofauti, kuna virutubisho, kuna juice na baadhi ya vitu muhimu kukusaidia upungue uzito bila kuathiri ratiba yako lakini muhimu zaidi pasipo kuathiri afya yako. Na pia diet hii itakusaidia kufanya cleansing ya mwili wako. Nitakusaidia mwanzo hadi mwisho wa program.
Kupata ☎️: 0693270602.

*fahamu uhusiano wa kitambi au uzito mkubwa na upungufu wa nguvu za kiume**MZUNGUKO WA DAMU*Kitambi kinaenda bega kwa be...
15/02/2023

*fahamu uhusiano wa kitambi au uzito mkubwa na upungufu wa nguvu za kiume*

*MZUNGUKO WA DAMU*
Kitambi kinaenda bega kwa bega na upungufu wa nguvu za kiume. Kwa nini? Kwa sababu kitambi huharibu mzunguko wa adamu. Tunahitaji mzunguko wa damu wenye afya kwa ajili ya damu hiyo kuingia ndani ya uume na kujaa. K**a damu ya kutosha haingli kwenye uume nguvu za klume pia hupotea.
Uume hauwezi kusimama vizuri.

*HOMONI*
Kibaya zaidi ni kwamba kitambi hubadilisha homoni ya kiume itwayo "testosterone" kuwa homoni ya k**e, "estrogen". Hili hutokeaje? Ni hivi. Mafuta ya kwenye kitambi huzalisha kimeng'enya kiwatcho aromatase, na hiyo aromatase ndiyo inayobadilisha homoni ya kiume ya testosterone kuwa homoni ya k**e estrogen moja ya dalili ni mtu mwenye uzito mkubwa kuota matiti kifuani k**a va mwanamke

*MISHIPA YA NEVA*
Mafuta yaliyo kwenye kitambi hudhuru mishapa laini inayohusika na usimamaji wa uume. Uzito mdogo hata wa shilingi kutokana na mafuta yaliyo kwenye kitambi huweza kudhuru mishipa ya neva inayosimamisha uume.

*TEZIDUME*
Mafuta yaliyo kwenye kitambi pia huaharibu utendaji wa tezidume (prostate gland) kwa sababu uzito wa mafuta havo huleta shida kwenye tezi hiyo muhimu katika nguvu za kiume.

*MISULI*
Pia uzito wa mafuta ya kwenye kitambi hudhuru misuli twayo
"pelvic floor muscles". Hii ni misuli muhimu sana, iko chini ya nyonga. Inafanya kazi nyingi, baadhi ya kazi zake ni kusaidia kusimamisha uume kuwa imara kabisa, na pia kuzuia kufika kileleni haraka. Mafuta ya kwenye kitambi huidhikisha na kuidhoofisha misuli hii na hivyo kusababisha upungufu wa nguvu za kiume. Naam, tumbo lako linaonekana kutuna na kutengeneza mkunjo. Linaonekana kwamba linaweza kuchukua muda mrefu sana kuwa katika hali hiyo, inaweza kuwa miezi au miaka; au linaweza lisishe kabisa!
Hivvo epuka kuwa na kitambi au uzito mkubwa kwani itakusababishia matatizo mengi ya kiafya
_kitambi sio ufahari kitambi ni maradhi_

Tuma neno BORESHA afya kwa whatsapp 0693270602
kupata elimu na muongozo juu ya afya.

Karibu nyote kwenye page yetu,mjifunze kuhusu afya zenu.Na utajifunza kuhusu changamoto zifuatazo na namna sahihi ya kuz...
16/11/2022

Karibu nyote kwenye page yetu,
mjifunze kuhusu afya zenu.
Na utajifunza kuhusu changamoto zifuatazo na namna sahihi ya kuzitatua kupitia lishe na virutubisho.
-Kisukari
-Shinikizo la damu
-Uzazi
-Pumu
-Bawasiri
-Uzio (Allergies)
-Figo
-Nguvu za kiume
-Tezi dume
-Homoni kuto balance (Hormone imbalance)
-UTI sugu
-Maumivu makali wakati wa hedhi
-Kifua kikuu (TB)
-Chunusi sugu
-Utapia mlo
-Tumbo kujaa gesi
-Mifupa
-Maumivu ya mwili na misuli
-Seli mundu (Sickle cell)
-Uzito wa kupitiliza
-Kukosa hamu ya kula
-Kukosa uroto
-Uvimbe tumboni
-Macho
-Vidonda vya tumbo
-Tonsils
-Shida ya choo kigumu (constipation)
-Infection za mara kwa mara
-Shida ya masikio

K**a utakuwa na swali unaruhusiwa kuuliza na k**a utakuwa na shida yeyote unaruhusiwa kuingia messenger kwa maelezo zaidi AU
Tuma kwa whatsapp neno AFYA kwenda namba +255 +255 693 270 602 karibu sana!

Address

Victoria
Dar Es Salaam
0101

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when fit_focustz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to fit_focustz:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram