AFYA TIBA UZAZI

AFYA TIBA UZAZI PATA SULUHISHO LA UZAZI KWA WANAWAKE NA WANAUME, BAWASIRI, PRESHA, KISUKARI, VIDONDA VYA TUMBO n.k.

💊𝐌𝐕𝐔𝐑𝐔𝐆𝐈𝐊𝐎 𝐖𝐀 𝐇𝐎𝐌𝐎𝐍𝐈 ,(𝐇𝐎𝐑𝐌𝐎𝐍𝐄 𝐈𝐌𝐁𝐀𝐋𝐀𝐍𝐂𝐄 🩺💊).🔘Mvurugiko wa homoni za mwanamke ni kitendo cha kuongezeka au kupungua kwa ...
29/07/2023

💊𝐌𝐕𝐔𝐑𝐔𝐆𝐈𝐊𝐎 𝐖𝐀 𝐇𝐎𝐌𝐎𝐍𝐈 ,(𝐇𝐎𝐑𝐌𝐎𝐍𝐄 𝐈𝐌𝐁𝐀𝐋𝐀𝐍𝐂𝐄 🩺💊).
🔘Mvurugiko wa homoni za mwanamke ni kitendo cha kuongezeka au kupungua kwa vichochezi katika mwili wa mwanamke pale anapo pata hedhi, hivyo kufanya mwili kubadilika. Mvurugiko huo huathiri kila mwanamke kwa zaidi ya 80%

𝐕𝐘𝐀𝐍𝐙𝐎 𝐕𝐘𝐀 𝐌𝐕𝐔𝐑𝐔𝐆𝐈𝐊𝐎 𝐖𝐀 𝐇𝐎𝐌𝐎𝐍𝐈
⏺️Uwepo wa sumu mwilini
⏺️Unbalanced Lifestyle (mfumo mbovu wa maisha).
⏺️Umri ukienda sana Kukoma kwa hedhi
⏺️Uzito mkubwa.
⏺️Mabadiliko ya mazingira
⏺️Msongo wa mawazo
⏺️Upungufu wa lishe mwilini.
⏺️Matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango.
⏺️Utoaji wa mimba
⏺️Ongezeko la homoni ya Androgen (Kuota ndevu, sauti k**a mwanaume)

𝐃𝐀𝐋𝐈𝐋𝐈 𝐙𝐀 𝐌𝐕𝐔𝐑𝐔𝐆𝐈𝐊𝐎 𝐖𝐀 𝐇𝐎𝐌𝐎𝐍𝐈
▶️Uke kuwa mkavu
▶️Maumivu wakati wa tendo la ndoa
▶️Maumivu makali chini ya kitovu wakati wa hedhi.
▶️Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa.
▶️Mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7. (heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja).
▶️Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi.

Call/Whatsapp 0713537181

PART 2KUSHINDWA KUSHIKA UJAUZITO KWA SIKU ZA BAADAE BAADA YA KUTOA MIMBA1.Kutokana na athari ya magonjwa k**a PID kwenye...
22/03/2023

PART 2

KUSHINDWA KUSHIKA UJAUZITO KWA SIKU ZA BAADAE BAADA YA KUTOA MIMBA

1.Kutokana na athari ya magonjwa k**a PID kwenye kizazi na mirija, inaweza kupelekea mwanamke kushindwa kushika mimba kwa siku za baadae.

2.Kwa mwanamke aliyetolewa mimba hospitali kutokana na changamoto za kiafya, hatari ya kukosa mimba kwa siku zijazo ni kubwa hasa k**a mwanamke husika ana changamoto za kisukari, magonjwa ya figo, ini, moyo na mapafu na kuchanika kwa kizazi.

3.Kushindwa Kushiriki Tendo la Ndoa ipasavyo

BAADA YA KUTOA MIMBA WANAWAKE HUWEZA KUPATA CHANGAMOTO KWENYE TENDO KUTOKANA NA;

1.uke kuwa mkavu sana
2.kupungua kwa hamu ya kushiriki tendo
3.kushindwa kufika kileleni na
4.maumivu makali wakato wa tendo.

⚠️ K**a unapata dalili hizi na uliwahi kutoa mimba wasiliana nasi kwa ushauri na tiba 0713537181

PART 1JE KUNA MADHARA YA KUTOA MIMBA⁉️Kabla hujafiria kutoa mimba, ni muhimu kufahamu matokeo mabaya kiafya yanayoweza k...
22/03/2023

PART 1

JE KUNA MADHARA YA KUTOA MIMBA⁉️

Kabla hujafiria kutoa mimba, ni muhimu kufahamu matokeo mabaya kiafya yanayoweza kujitokeza siku za mbele baada ya kufanya kitendo hichi, hasa kwenye swala zima la uzazi.

NINI KINATOKEA BAADA YA KUTOA MIMBA?

Wanawake wengi hupata dalili hizi siku chache baada ya kutoa mimba, dalili ambazo zinaweza kuchukua mpaka siku 21 kuisha

1. ```kutokwa damu kwa week 2 mpaka 4
2.muumivu ya nyonga
3.mwili kukosa nguvu na kusinzia ovyo
4.kutapika na kizunguzungu```

MADHARA MAKUBWA YANAYOWEZA KUJITOKEZA BAADA YA KUTOA MIMBA NI PAMOJA NA:

🔆 ```majeraha kwenye mlango wa kizazi na kizazi
🔆kutokwa damu kupita kiasi mpaka kuishiwa damu
🔆mimba kushindwa kutoka yote(incomplete abortion) na hivo kuhitaji upasuaji mwingine
🔆maambukizi sugu kwenye via vya uzazi(PID)
🔆makovu kwenye tumbo la uzazi
🔆kufanyika kwa mashimo ndani ya kizazi
-mgonjwa kufariki```

MADHARA YA MUDA MREFU BAADA YA KUTOA MIMBA

🔆 ```kujifungua mtoto kabla ya muda wake kutimia(pre-term deliveries
🔆kutoa mimba husababisha kulegea kwa mlango wa kizazi na hivo kuongeza hatari ya mimba zijazo kutoka ama kujifungua kabla ya wakati yaani chini ya week 37.
endapo mtoto atazaliwa chini ya muda wa week 37 anaweza kupata madhara ya kiafya k**a matatizo ya ubongo.
🔆saratani ya matiti: Tafiti zinasema kwamba kutoa mimba kunaongeza hatari ya mwanamke kupata saratani ya matiti.
kuugua magonjwa sugu k**a chlamydia na PID

🔆kupata magonjwa ya akili:
tafiti zinasema kwamba waawake wengi hupata matatizo ya akili baada ya kutoa mimba na dalili k**a
kujutia kutoa mimba
sonona na msongo mkubwa wa mawazo
kupata wasiwasi k**a je watashika tena ujauzito mwingine
kuona aibu na kujihisi wakosaji
kupata mawazo ya kujiua
K**a ulitoa mimba na unaanza kupata dalili hizi hapa juu, chukua hatua mapema, onana na mtaalamu wa afya ya akili kupata ushauri wa kina.````

☎️0713537181

PART 2 JE MAUMIVU YA CHINI YA KITOVU YANAASHIRIA NINI KWA WANAWAKE?✅Maambukizi Katika Via Vya Uzazi,Hali ya kuvimba kwa ...
21/03/2023

PART 2

JE MAUMIVU YA CHINI YA KITOVU YANAASHIRIA NINI KWA WANAWAKE?

✅Maambukizi Katika Via Vya Uzazi,
Hali ya kuvimba kwa kuta za mji wa mimba na kuta za mirija ya uzazi inaweza kutokana na maambuki ya magonjwa hasa ya zinaa (Pelvic Inflammatory Disease au PID)

MUHIMU:Mwanamke anayesikia Maumivu chini ya kitovu katikati na pembeni kwa wakati mmoja na wakati huo huo akawa anatokwa na uchafu mzito mithili ya maziwa mtindi, kuna uwezekano akawa na PID hasa k**a amewahi kukumbwa na tatizo la kuharibika kwa mimba kabla haijafikia miezi mitano

✅Afya Mbaya Ya Kibofu Cha Mkojo,
Hali hii mara nyingi huwa inaambatana na matatizo ya maambukizi kwenye mfumo mzima wa mkojo(UTI),Maumivu chini ya kitovu yanayohusisha afya mbovu ya kibovu cha mkojo huambatana na magonjwa kutoa haja ndogo sana ila mara kwa mara

NB ■ k**a una dalili yeyote hapo juu unaweza wasiliana nasi kwa namba 0713537181

PART 1FAHAMU CHANZO NA DALILI ZA MAUMIVU CHINI YA KITOVU KWA WANAWAKE  👉Tatizo hili huwakumba wengi katika jamii yetu la...
21/03/2023

PART 1

FAHAMU CHANZO NA DALILI ZA MAUMIVU CHINI YA KITOVU KWA WANAWAKE
👉Tatizo hili huwakumba wengi katika jamii yetu lakini kwa bahati mbaya watu wengi huchukulia ni jambo la kawaida kitu ambacho baadaye hupelekea watu wengi kuingia kwenye matatizo makubwa ya kiafya hasa kwenye mfumo wa uzazi wa mwanamke na mfumo wa chakula kiujumla

AINA ZA MAUMIVU CHINI YA KITOVU!
Yapo yale ya chini ya kitovu katikati, kushoto na kulia.

Kwa wanawake Maumivu ya kushoto na kulia yapo ya aina mbili.

✅Kuna yale ambayo yanakuwa upande mmoja lakini husambaa na inaweza ikawa upande mmoja au pande zote mbili lakini yapo mengine chini ya kitovu ambayo yanaweza yakawa upande mmoja au pande zote mbili bila kusambaa

✅Kuna Maumivu mengine chini ya kitovu huwapata wanawake wakati wanaposhiriki tendo la ndoa kwa ndani ya uke au chini ya kitovu

✅Pia yapo ambayo huwapata wanawake wakati wameinama, wakati wa kunyanyua vitu vizito, wakati wa kucheka au kukimbia na wakati mwingine wakiwa wamelala kifudifudi


JE MAUMIVU YA CHINI YA KITOVU YANAASHIRIA NINI KWA WANAWAKE?
Kwa kawaida Maumivu chini ya kitovu huwa yanaashiria mambo yafuatayo:
✅Mirija Ya Uzazi Kujaa Maji Machafu,
Maji haya huwa machafu tena mazito ambayo huzuia yai kutembea kwenye mirija ya uzazi,Mwanamke ambaye amewahi kuambiwa na daktari kwamba anatakiwa asafishwe kizazi chake au mirija ya uzazi na wakati huohuo anasikia maumivu chini ya kitovu na kulia au upande mmoja kuna uwezekano akawa na tatizo la mirija ya uzazi kuziba kutokana na kujaa maji machafu

✅Kutokukomaa Kwa Mayai Ya Uzazi,
Hali hii husababisha vifuko vya mayai ya uzazi kuvimba (ovaritis) na kumletea mwanamke maumivu chini ya kitovu mithili ya kichomi, Mwanamke ambaye ana maumivu chini ya kitovu na wakati huo huo ana matatizo ya hedhi, mfano, hedhi kukoma au kutokuwa na mpangilio maalum, kuna uwezekano mkubwa akawa na tatizo la vifuko vyake vya mayai ya uzazi kutokomaza mayai na hivyo mayai kutotoka kwenye vifuko hivyo na kusababisha kuvimba na hatimaye kumsababishia mwanamke maumivu makali mithili ya kichomi

📲0713537181

DERMA REPAIR LOTION NI NINI🧴🧴🧴Ni lotion ambayo imetengenezwa takriban na mimea asili 7 isiyo na kemikali na ni chakula K...
21/03/2023

DERMA REPAIR LOTION NI NINI🧴🧴🧴
Ni lotion ambayo imetengenezwa takriban na mimea asili 7 isiyo na kemikali na ni chakula Kwa ngozi💯

Mimea hiyo inaifanya DERM EVER kuwa mafuta Bora ya mwili na uso na kukupa faida zifuatazo👇🏾👇🏾👇🏽👇🏽

🧴🍒Inaongezwa unyevu kwenye ngozi, Kwa asilimia 53%

🧴🍒Inarudisha uwezo wa ngozi kutanuka na Kusinyaa Hivyo huondoa makunyanzi kwenye ngozi.

🧴🍒inaleta mng'ao wa ngozi Inamfanya mtumiaji kuwa na ngozi yenye rangi Moja mwili mzima.

🧴🍒inasaidia kuondoa uchakavu wa ngozi kwa watu wote.

🧴🍒inasaidia ngozi kujilinda na kujitibu na magonjwa ya ngozi, k**a vile mabalango.

🧴🍒huondoa cell zilizokufa kwenye ngozi na kuchochea uzalishaji wa cell mpya kwenye ngozi.

🧴🍒inarekebisha ngozi iloyo ungua na cream zenye kemikali..

We care you're Skin Health

📲0713537181

21/03/2023
KWANINI MIMBA INATUNGWA NJE YA MFUKO WA KIZAZI?Kwa kawaida mbegu za kiume na yai la k**e hukutana katika mirija ya uzazi...
11/03/2023

KWANINI MIMBA INATUNGWA NJE YA MFUKO WA KIZAZI?

Kwa kawaida mbegu za kiume na yai la k**e hukutana katika mirija ya uzazi (Fallopian Tube) na mimba hutungwa

👉Kiinitete husafiri pole pole kwenda kwenye mji wa mimba (Uterus) ambapo hujipandikiza kwenye ukuta wa mji wa mimba na kuanza kukua
👉Katika tatizo hili la mimba kutunga nje ya kizazi yaani (Etopic Pregnancy) mbegu ya kiume na yai huungana na kutengeneza kiinitete kwenye mirija ya uzazi (Fallopian tube) badala ya kupandikizwa kwenye mji wa mimba (Uterus)
👉Kwamaana hiyo k**a mimba ikijipandikiza kwenye mirija ya uzazi inakua na hatari ya kupasuka kadri mimba inavyokua
👉 Kwasababu mirija hushindwa kutanuka ni mara chache sana mimba zinazotunga nje ya kizazi kukua mpaka mwisho nyingi huishia kupasua mirija ya uzazi na kuondolewa kwa upasuaji

ZIPO SABABU ZINAZOCHANGIA MIMBA KUTUNGA NJE YA KIZAZI K**A IFUATAVYO;
👉 Infection k**a PID, Fangasi na UTI
👉K**a Mwanamke amewahi kutoa mimba zaidi ya mara tatu anauwezekano mkubwa wa kutunga mimba nje ya ufuko wa uzazi
👉Uvutaji sigara kwa mwanamke
👉 Upasuaji wa mirija ya mji wa uzazi
👉Matumizi ya njia za uzazi wa mpango
👉Kupata mimba katika umri wa zaidi ya miaka 40

K**a unapitia changamoto hii tafadhali wasiliana nasi kwa msaada zaidi ☎️0713537181

DR COW SMART GUMMIES Ni kirutubisho kilichotengenezwa katika mfumo wa p**i ndani yake kina mafuta ya SAMAKI, MAZIWA, MAT...
11/03/2023

DR COW SMART GUMMIES

Ni kirutubisho kilichotengenezwa katika mfumo wa p**i ndani yake kina mafuta ya SAMAKI, MAZIWA, MATUNDA YENYE MCHANGANYIKO WA VITAMINI C, kwa matumizi ya watoto na watuwazima.

KAZI ZAKE:
1).INAONGEZA HAMU YA KULA.

2). INASAIDIA KATIKA UKUAJI WA MIFUPA NA UBONGO.

3). INASAIDIA WATU WENYE MATATIZO YA MACHO KUTOKANA NA VITAMIN C KWA WINGI ILIYO NDANI YAKE.

4).INAONGEZA MADINI YA CHUMA.

5).INASAIDIA UKUAJI WA MIFUPA NA KUONDOA CHANGAMOTO ZA ULEMAVU KWA MTOTO.

6). INAMSAIDIA MAMA MJAMZITO KUKUZA VIZURI KIUMBE TUMBONI KUTOKANA NA WINGI WA MADINI YA CHUMA.

7).INASAIDIA KUSHIKIRIA MJI WA MIMBA MAMA ASIWEZE KUJIFUNGUA KABLA YA WAKATI( MISCARRIAGE)

8).HUSAIDIA watoto ambao viungo vyao VEMEKAK**AA au KULEGEA sana isivyo kawaida

9).Husaidia Kuimarisha KINGA YA MWILI ya MTOTO na kufanya asishambuliwe na MARADHI ya Mara kwa mara

10).Husaidia watoto ambao UKUAJI WAO sio Mzuri,HAWAONGEZEKI UZITO kulingana na Umri wao

☎️0713537181

KIBOKO YA NGOZI WALIO ATHIRIKA NA CREAM MUWASHO,MAKOVU SUGU🙍🏽🙍🏽🙍🏽MATATIZO YA NGOZI KWA WANAWAKE👩🏽‍🦰👩🏽‍🦰👩🏽‍🦰 Wanawake wen...
11/03/2023

KIBOKO YA NGOZI WALIO ATHIRIKA NA CREAM MUWASHO,MAKOVU SUGU
🙍🏽🙍🏽🙍🏽MATATIZO YA NGOZI KWA WANAWAKE👩🏽‍🦰👩🏽‍🦰👩🏽‍🦰 Wanawake wengi wamekua wakihangaika na matatizo mbalimbali ya ngozi,k**a vile; .
➡Chunusi sugu usoni na mgongoni.
➡Mabaka,makovu upele na harara
➡ngozi kuwa kavu na inayotoa jasho sana.
➡ngozi iliyoungua kutokana na matumizi ya vipodozi .
➡Kukosa unyevu katika ngozi .
➡Madoa meusi yasiyoisha(black heads)
➡Makunyanzi na ngozi iliyozeeka

Kwa kawaida ngozi ya mwanamke tofauti na mwanaume,inatakiwa kuwa laini, nyororo na isiyo na madoa wala ukavu...hii ni kutokana na uwepo wa hormone ya oestrogen inayozalisha vichocheo kwa ajili ya ngozi nzuri

Tatizo la ngozi hutokea pale tunapokutana na changamoto za kawaida katika maisha ya kila siku k**a vile vyakula,matumizi ya vipodozi na mtindo wa maisha kwa ujumla...tatizo huwa haliishi kwa sababu hutibiwa nje tuu sehemu inayoonekana,na sio chanzo cha tatizo yaani ndani, .
🍇🍇SULUHISHO NI FEMINERGY🍇🍇 FEMINERGY ni bidhaa maalum iliyotengenezwa kwa mimea asilia ya zabibu kwa ajili ya mwanamke yoyote na huanza kutibu tatizo kuanzia ndani mpaka nje,feminergy; .
➡Hutibu tatizo la chunusi usoni kuanzia ndani mpaka nje .
➡Huondoa madhara yatokanayo na uzee(anti aging) .
➡Huondoa madoa meusi na mabaka usoni
➡Hulainisha ngozi iliyokosa moisture na kurudisha hali ya kawaida .
➡Hutibu ngozi iliyoathirika na matumizi ya vipodozi .
➡Huondoa harara na upele na harufu mbaya.
➡ni nzuri kwa wanawake wenye tatizo la kukosa hisia za mapenzi

Pendeza kiasilia pasipo madhara kwa ngozi yako!

☎️0713537181

09/03/2023

☎️0713537181

08/03/2023

Happy International women's day... Mwanamke wa thamani tunza afya yako ya via vya uzazi na Femicare, Maisha ni Afya

☎️0713537181

PROGRAM MAALUM YA KUPUNGUZA KITAMBI NA NYAMA UZEMBEProgram hii imepewa jina maalumu na ina virutubisho vya aina tatu tof...
05/03/2023

PROGRAM MAALUM YA KUPUNGUZA KITAMBI NA NYAMA UZEMBE

Program hii imepewa jina maalumu na ina virutubisho vya aina tatu tofauti vikiwa Vinne kwa idadi yake yenye jina la SUPER DETOX

program hii itakusaidia mambo kadhaa k**a yafuatayo 👇
🟢 Kuondoa sumu mwilini
🟢 Kuondoa mafuta yaliyozidi mwilini
🟢Kupunguza sukari iliyozidi mwilini
🟢 kuondoa shida ya nyama uzembe
🟢 Kusaidia kuondoa hali ya kula kula ovyo
🟢 Kuusidia mwili kupata chakula bila kuzidisha mafuta na sukari vinavyopelekea unene ama uzito mkubwa kuliko kiwango cha kawaida kinachostahili

PROGRAM HII INA VIRUTUBISHO HIVI?👇

●DETOXILIVE
-Kirutubisho kwaajili ya kuondoa sumu mwilini
- inasaidia ini kuvunja vunja mafuta yaliyo juu ya ngozi

GYM EFFECT&GYMEASY
-Inarekebisha kiwango cha sukari kwenye damu
-Huunguza mafuta yanayozidi kwenye damu
-Husaidia mwili kupunguza kasi ya ufyonzaji wa mafuta na sukari mwilini
- kinauwezo mara tatu ya kupambana na hali ya njaa ( triple satiety factor to curb hunger)

● CONSTIRELAX
- Huboresha mmeng'enyo wa chakula
- Inaponesha majeraha katika tumbo hadi kwenye utumbo
-Husaidia kuunguza mafuta yaliyozidi kwenye tumbo
- Inaboresha mazingira mazuri ya tumbo tayari kwaajili ya virutubisho vingine kufanya kazi kiurahisi
-Huzuia kuzaliana kwa bacteria wabaya tumboni

Hizi ni baadhi ya kazi ya virutubisho hivi kulingana na lengo letu la kupunguza kitambi na nyama uzembe

HATUA ZA KUPUNGUZA UZITO
💧Kuondoa sumu
💧Kutengeneza ama kuweka sawa mfumo wa chakula
💧Kuzuia ufyonzaji wa mafuta, sukari inayozidi mwilini
💧Kurekebisha utendaji kazi wa mwili na shughuli za metabolism

Kwa kufuata hatua hizi unapungua kitambi na nyama uzembe kwa saizi unayoihitaji wewe ndani ya week nne kwa gharama nafuu k**a utakosa mda wa kutumia vyakula na kufanya mazoezi ya kutosha

Ikiwa inakuhusu wewe au ndugu yako mshirikishe apate huduma hii kwa gharama nafuu kabisa

☎️0713537181

PART 2MARA NGAPI UFANYE TENDO LA NDOA ILI KUSHIKA UJAUZITO HARAKA?Pengine umewahi kusoma kwamba kufanya tendo kila mara ...
04/03/2023

PART 2

MARA NGAPI UFANYE TENDO LA NDOA ILI KUSHIKA UJAUZITO HARAKA?
Pengine umewahi kusoma kwamba kufanya tendo kila mara inapunguza wingi wa mbegu na ubora wa mbegu. Baadhi ya tafiti zinaonesha kwamba mbegu huwa na ubora zaidi k**a mwanamume akijizuia kufaya ngono kwa siku mbili mpaka tatu. Tafiti pia zinaonesha kwamba wanawake hushika zaidi ujauzito wanapofanya tendo kila baada ya siku moja ama mbili.
Kufanya tendo kila siku kwenye siku za hatari itaongeza uwezekano wa mwanamke kushika mimba. Pumzika siku zingine kisha shiriki tendo kwenye siku tano za hatari

DONDOO ZINGINE MUHIMU ILI KUONGEZA UWEZEKANO WA KUSHIKA UJAUZITO KIRAHISI

⏺️Kufika kileleni: kwa mwanaume kumwaga mbegu ni muhimu ili kumpa ujauzito mwanamke. Kwa upande mwingine mwanamke siyo lazima afike kileleni ndipo ashike mimba japo mkao wake baada ya kufika kileleni husaidia mbegu kuogelea kiurahisi.

▶️Rekebisha uzito wako: Uzito mkubwa na kitambi ama kuwa mwembamba sana kunapunguza uwezekano wa kushika mimba.

▶️Acha uvutaji wa sigara: Uvutaji sigara kwa mwanaume hupunguza idadi ya mbegu na pia kuongeza hatari ya mimba kuharibika kwa upande wa mwanamke.

▶️Punguza matumizi ya vyakula na vinywaji vyenye caffeine mfano kahawa yenye Caffeine. Zaidi ya vikombe vitano kwa siku hupunguza ubora wa mbegu.

JE, UFANYEJE ILI KUPATA UJAUZITO?

Wasiliana nasi sasa kisha Tutafatilia historia ya tatizo lako na kukuanzishia huduma ya dawalishe ili kuuandaa mfumo wa homoni zako kupata ujauzito kirahisi.

K**a unasumbuliwa na changamoto mbali mbali za uzazi tafadhali karibu📩 uweze kupata tiba na ushauri kulingana na tatizo lako
✍🏾✍🏾✍🏾✍🏾✍🏾✍🏾✍🏾 KWA MAWASILIANO WASILIANA NASI 📲0713537181

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA TIBA UZAZI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram