AFYA BORA

AFYA BORA Medicines Supplements

JUMBA LA KONOKONO  Chukua yasafishe  vizuri toa uchafu wote ndani kisha yatie kwenye sifuria  pamoja na maji unachemsha ...
17/09/2025

JUMBA LA KONOKONO

Chukua yasafishe vizuri toa uchafu wote ndani kisha yatie kwenye sifuria pamoja na maji unachemsha yachemke vizuri sana

1)Baada ya kuchemka vizuri yale maji yake kunywa yanatibu pumu vizuri tu.

2) KIGUGUMIZI

Baada ya kuchemsha vizuri yale majungu ya konokono yachukue yakaushe vzr sana badae yatie kwenye chungu kile cha udongo.

Usiweke maji kwenye chungu ila weka jikoni ili yaungue yatabadilika rangi baada ya kuungua yataanza kupuputika yenyewe badae chukua kinu twanga ili upate unga laini.

Kwa mtoto mdogo ambae ana pumu na kigugumizi pia mpe nusu kijiko kimoja alambe kwa siku ×1 anapona.

Au

Chukua lile jumba uwe unatumia kunywe maji .

Pia kwa wale watoto wenye ukuaji hafifu mtoto mwenye miaka 7 lakini yuko k**a wa miaka 3 fanya ivi: Chukua unga huo changanya na sabuni yake ya kuogea itamsaidia kurudi kwenye ukuaji wa haraka lakini pia ukiwa unaendelea kumlambisha huo unga.

Kwa mtoto mwenye kifafa kuanzia miaka 5_13 mpe kijiko kimoja cha dawa atumie kila siku anapona kabisa.

Ukiwa na kidonda chochote ambacho hakiponi au umeungua chukua huu unga changanya na asali paka apo kwenye kidonda haraka sana kinapona.

Kwa wenye bawasili chukua huu unga paka na mafuta ya mnyonyo pale kwenye bawasiri.

Address


Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255753190590

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA BORA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA BORA:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram