Bf_suma

Bf_suma Kila mmoja anahitaji maisha Bora akiwa na afya bora

FAIDA ZA DETOXILIVE*Bidhaa Hii ni Muhimu sana Kwa kila BINADAMU kutokana na kazi zake MWILINI hasa katika organs muhimu ...
29/10/2022

FAIDA ZA DETOXILIVE

*Bidhaa Hii ni Muhimu sana Kwa kila BINADAMU kutokana na kazi zake MWILINI hasa katika organs muhimu K**a vile Figo ,Ini ,Mapafu ,Kongosho ,Ubongo na nk ,

Tunatumia vyakula ,Vinywaji na Madawa yenye kemikali na Sumu lakini hatuli vitu vinavyo toa sumu mwilini habar njema ni kwamba DETOXILIVE ni suluisho

Hizi ni Baadhi ya Faida za DETOXILIVE

1.Huondoa sumu mwilini.

Inaimarisha ubongo na kutunza kumbukumbu
3.Inaondoa madhara ya pombe kwa wanywaji na kulinda INI na FIGO

4.Inaondoa mafuta yaliyozidi mwilin, baada ya kula hutumiwa Kuzuia kuota vitambi,

Inaondoa sukari iliyozid mwilin Na ni nzuri kwa wenye shinikizo la damu (presha)
6.Huondoa hali ya uzee wa sura na mwili kabla ya wakati

7.Ina ondoa URIC ACID ilio zidi mwilini

8.Huondoa maumivu ya viungo hasa kwenye maungio kwan unbalance kiwango cha uric acid

9.Inaimarisha UTENDAJI KAZI MZURI na kuzuia madhara kwenye FIGO,INI,KONGOSHO,mapafu

10.Inaleta usingizi Mzuri sana

11.Huondoa hali ya uchovu uchovu usio na sababu

Tunapatikana

Dar es salaam

Wasiliana nasi kwa ushauri na tiba 0659581462


Ni sabuni iliyotengenezwa kwa asali mwitu ,green tea,liwa na mbegu za zabibu asilimia mia asili hakuna kemikali* Hupamba...
21/04/2022

Ni sabuni iliyotengenezwa kwa asali mwitu ,green tea,liwa na mbegu za zabibu asilimia mia asili hakuna kemikali
* Hupambana na uzee na kuondoa mikunjo
* Huifanya ngozi kuwa na unyevu unyevu
* Huondoa mapunye, chunusi na mafuta yaliyozidi kwenye ngozi
* Huondoa tango tango za muda mrefu
* Huondoa mabaka meusi kwenye ngozi
* Hutumiwa na lika lote na jinsia yoyote , watoto, wanaume ,wanawake
Kwa ushauri na tiba wasiliana nasi 0659581462

CHEMBE YA MOYO HUTOKEA WAKATI GANI...!???????Chembe ya moyo hutokea pale misuli ya moyo inapohitaji damu ya kutosha zaid...
21/04/2022

CHEMBE YA MOYO HUTOKEA WAKATI GANI...!???????

Chembe ya moyo hutokea pale misuli ya moyo inapohitaji damu ya kutosha zaidi kuliko kawaida, mfano wakati unafanya mazoezi, au unapokuwa na msongo wa mawazo. Unapokua umetulia mfano umekaa kwenye kitu kiwango cha hewa ya oksijeni kinachohitajika ni kdiogo, lakini unapokuwa kwenye shughuli k**a kupanda mlima au kukimbia moyo unahitaji kiwango kikubwa cha hewa na ndio matokeo ya chembe moyo.
Pamoja na maumivu na kubana kwa kifua dalili zingine za chembe ya moyo ni k**a

1️⃣Kushindwa kupumua vizuri
2️⃣Kupata kichefuchefu
Mwili kukosa nguvu na kupata ganzi
3️⃣Kutokwa na jasho
4️⃣maumivu ya bega na shingo hasa upande wa kushoto.

MAZINGIRA NA TABIA HATARISHI ZINAZOPELEKEA KUPATA CHEMBE YA MOYO.

🔹Kuwa na uzito mkubwa na kitambi

🔹Kuwa na historia ya kugua magonjwa ya moyo

🔹Kuwa na kiwango kikubwa cha cholesterol au shinikizo la damu kuwa juu

🔹Mgonjwa wa kisukari
🔹Uvutaji wa sigara

🔹Kutofanya mazoezi au kushugulisha mwili
🔹kula Milo mizito( wanga) hasa nyakati za jioni.

Karibusana BF Suma Ipokwajiliyako
21/04/2022

Karibusana BF Suma Ipokwajiliyako

01/04/2022

Address

Mwenge
Dar Es Salaam
222

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bf_suma posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Bf_suma:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram