07/04/2023
USIPUUZIE NDOTO YAKO ULIYOIOTA LEO. MATATIZO NA MAGONJWA NA CHANGAMOTO UNAZOPITIA LEO NI KWA SABABU ULIPUUZIA NDOTO ULIO IOTA SIKU ZA NYUMA
LEO UNA HANGAIKA NA
NDOA YAKO, HUJAPATA KAZI NI MDA SASA...UMEHALIBIKIWA MIPANGO YAKO
MUNGU ALIKUJULISHA KATIKA NDOTO UKAPUUZIA AU HUKUJUA
LEO UNATESEKA ...
*JE UNAOTA MAMBO HAYA*
1.Ndoto chafu ya mapenzi
2.Ndoto chafu ya kukumbizwa
3.Ndoto chafu ya kulishwa vyakula vya KICHAWI
4.Ndoto ya Kuwa darasani au mazingira ya SHULE
5.Ndoto ya kuumwa na nyoka au nyuki
6.Ndoto ya Kuwa makorongoni au kwenye misitu
7.Kuwa chooni au dampo
HIZO NI NDOTO HATARI SANA NI WACHAWI NA MAJINI NA MAPEPO KUTOKA KWA SHETANI WANAPANDIKIZA MAROHOO KWAKO
*KATIKA JINA LA YESU KRISTO LILO JUU YA MAJINA YOTE NAKUOMBEA USIKU WA LEO USIOTE NDOTO CHAFU YA MASHETANI*
*LEO NATOA MAANA YA NDOTO 10*
*(1) KUOTA UNANUNUA VITU KWENYE NDOTO*
maana yake fedha kwako zinatumika vibaya ukipata hua hazikai
*(2) KUOTA UNAOKOTA FEDHA*
Jua utaangukia uhitaji wa fedha, utakosa hata fedha ya kujikimu
*(3)KUOTA UNAENDESHA GARI THEN UNAYUMBA NAYO*
Jua kitu unachokifanya, inaweza ikawa kazi, kampuni, project au biashara au huduma unaiendesha vibaya
*(4) KUOTA UKO UCHI*
Adui yaani shetani amepanga kukuaibisha, kuna jambo lenye fedheha litakukuta
*(5) KUOTA WATU WALIOKUFA*
Jua ipo roho ya umauti inafatilia maishani mwako.
*(6) KUOTA UNASHINDWA KUVUKA MTO*
Kuna jaribu mbele yako litakushinda, utahitaji msaada
*(7) Kuota unaumwa*
Omba Mungu kuna ugonjwa kweli unakunyemelea
*(8) KUOTA UNAPIMA UNAGUNDULIKA UMEATHIRIKA*
Tambua hiyo sio HIV bali ni laana ya ukoo ambayo iko kwenye damu
*(9) KUOTA UNAONA ALAMA YA HIV AU AIDS🎗*
Basi Mwombe Mungu Akuepushe na magonjwa yasiyotibika
*(10), KUOTA UNAPAA UKIWAKIMBIA MAADUI*
Huo ni ushindi dhidi ya maadui zako, Hivyo tambua maisha yako yana maadui
*LEO NAENDELEA NA MAOMBI NA MAOMBEZI, NAKUTOA TAFSIRI ZA NDOTO MBALIMBALI, ANDIKA NDOTO YAKO TUMA KWA NAMBA HIZO CHINI NITAKUAMBIA MAANA YAKE NA KUKUOMBEA UBARIKIWE SANA
0765502671
.....0678502671 pastor Dr luka