mencare_tz

mencare_tz ELIMU | USHAURI | TIBA

>Tunasaidia wanaume kuondokana na changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume.

Wakati mwingine matatizo ya ngono ni udhihirisho wa suala la msingi ambalo unahitaji kulitatua, hivyo usisite kuzungumza...
02/07/2023

Wakati mwingine matatizo ya ngono ni udhihirisho wa suala la msingi ambalo unahitaji kulitatua, hivyo usisite kuzungumza na daktari wako kuhusu changamoto hizi kupata matibabu, mwongozo na hatua thabiti za kuchukua.

Like if you learned something new.
Check my stories for more tips and value.


TELL ME WHAT YOU EAT AND I WILL TELL YOU WHO YOU ARE!Upungufu wa nguvu za kiume (erectile dysfunction) ni tatizo la mtin...
30/06/2023

TELL ME WHAT YOU EAT AND I WILL TELL YOU WHO YOU ARE!

Upungufu wa nguvu za kiume (erectile dysfunction) ni tatizo la mtindo wa maisha (lifestyle disease).

If you want to completely kill your ER****ON, eat these types of foods ⚠️.

Sio siri kuwa vyakula hivi sio vyakula vyenye afya zaidi ulimwenguni, lakini watu wengi hawatambu jinsi vinavyoweza kuwa vibaya.

Vyakula vya aina hii huwa na calories nyingi na mafuta mabaya zaidi kwa afya yako (trans-fat).
Pitia post hizi kwenye profile yetu kufahamu zaidi kuhusu calories na trans-fat (na aina za mafuta).

Njia ya msingi zaidi ya matibabu ya kukosa usingizi ni kupata muda wa kutosha wa kulala, kwa kawaida masaa 7 hadi 9 kila...
12/02/2023

Njia ya msingi zaidi ya matibabu ya kukosa usingizi ni kupata muda wa kutosha wa kulala, kwa kawaida masaa 7 hadi 9 kila usiku. Hii mara nyingi ni rahisi kusema kuliko kufanya.

Mwanaume jitahidi katika kipengele cha mzunguko wako wa kulala, ikiwa uko vibaya basi fanya jitihada za kuboresha mtindo wako wa maisha kwasababu hii tabia itagarimu URIJALI wako.

Tell me more in the comments.

BONUS:* Epuka chakula chenye viungo/viambato zaidi ya vitano (food with over 5 ingredients). Hutakiwi kununua bidhaa za ...
09/02/2023

BONUS:

* Epuka chakula chenye viungo/viambato zaidi ya vitano (food with over 5 ingredients). Hutakiwi kununua bidhaa za chakula zilizosindikwa sana (highly processed) na kemikali zilizoongezwa na vihifadhi (chemicals and preservatives).

kuna ubaya gani kwa vyakula vilivyosindikwa sana?

Vinajumuisha viwango visivyo vya kiafya vya ingredients zilizoongezwa, k**a vile sukari, mafuta, sodium, flavours n.k, ingredients hizi hufanya vyakula kuwa na ladha bora lakini too much of them hupelekea matatizo makubwa ya kiafya k**a Kisukari, magonjwa ya moyo, uzito mkubwa na shinikizo la juu la damu n.k

Kadiri ingredients nyingi katika chakula/kinywaji kilivyofungashwa (packaged food/drink) ndivyo kinavyochakatwa zaidi (highly processed).

No 4 above:

Punguza kula Wanga (carbohydrates) zilizochakatwa, zinajumuisha zaidi sukari na nafaka zilizochakatwa. Husababisha kuongezeka kwa kasi kwa sukari ya damu na viwango vya insulin ( hormone ).

Let me know if you have more questions!
Share to spread knowledge.


Kuwa na afya njema na kuishi na afya njema kunapaswa kuwa sehemu ya mtindo wako wa maisha kwa ujumla kwa sababu kudumish...
08/02/2023

Kuwa na afya njema na kuishi na afya njema kunapaswa kuwa sehemu ya mtindo wako wa maisha kwa ujumla kwa sababu kudumisha maisha yenye afya huzuia magonjwa sugu, magonjwa ya muda mrefu na kutembelea daktari.

Ili kudumisha maisha ya afya fanya hatua hizi:

▪️Kula mlo wenye afya

▪️Tumia chumvi na sukari kidogo

▪️Epuka/Acha kuvuta sigara

▪️Fanya mazoezi au nenda kwa matembezi ya miguu mara kwa mara

▪️Kunywa maji safi tu

▪️Check pressure ya damu yako na sukari ya damu mara kwa mara

Kumbuka daima kutunza Afya yako.

Like if you learned something new.
Share so others can learn too.


Shirika la Afya Ulimwenguni linafafanua afya ya ngono k**a hali ya ustawi wa kimwili, kihisia, kiakili na kijamii kuhusi...
05/02/2023

Shirika la Afya Ulimwenguni linafafanua afya ya ngono k**a hali ya ustawi wa kimwili, kihisia, kiakili na kijamii kuhusiana na suala la kujamiiana sio tu kukosekana kwa ugonjwa (kutokua na tatizo la kiafya).

Like and take a screenshot so you don't forget.


kwa kuwa uvutaji sigara huathiri kila mfumo wa mwili, kutafuta namna ya kuacha ni hatua muhimu zaidi unayoweza kuchukua ...
04/02/2023

kwa kuwa uvutaji sigara huathiri kila mfumo wa mwili, kutafuta namna ya kuacha ni hatua muhimu zaidi unayoweza kuchukua kwa ajili ya maisha yako.

Faida moja ya kuacha kuvuta sigara ni kwamba inaboresha mzunguko wa damu mwilini. Hili litaongeza kiwango cha mtiririko wa damu kwenye uume. Hivyo itasaidia kupata kusimamisha na kudumisha uimara wa uume.

Kwa bahati nzuri ikiwa utaacha kuvuta sigara, afya yako ya mishipa (vascular health) na ya ngono (sexual health) inaweza kuimarika.

Tell me more in the comments👇🏾


MWANAUME UNAHITAJI FIBER ZAIDI:Kwakuwa miongoni mwa sababu za upungufu wa nguvu za kiume ni kupungua kwa mtiririko wa da...
03/02/2023

MWANAUME UNAHITAJI FIBER ZAIDI:

Kwakuwa miongoni mwa sababu za upungufu wa nguvu za kiume ni kupungua kwa mtiririko wa damu kutokana na Uchochezi ( Inflammations ) ambao huathiri mishipa ya damu.

Kutokana na hilo huna budi kuchagua vyakula vyenye nyuzinyuzi ( dietary fibers ) na antioxidants kwa wingi ambavyo husaidia kukabiliana na suala hili kwasababu vinachukuliwa kuwa vya kuzuia Uchochezi mwilini ( Inflammations ).

Click save to implement later.

Ugumba si tatizo la mwanamke pekee, wanaume wanaweza pia kuwa wagumba, infact, Wanaume na Wanawake wana uwezekano wa kuw...
03/02/2023

Ugumba si tatizo la mwanamke pekee, wanaume wanaweza pia kuwa wagumba, infact, Wanaume na Wanawake wana uwezekano wa kuwa na matatizo ya uzazi.

Wanaume wenye matatizo ya uzazi wanaweza kuwa na idadi chache ya mbegu au testosterone ya chini. Hatari ya utasa huongezeka kadri umri unavyoongezeka.

Do you agree? Hit the like button.


KWANINI UFANYE MAZOEZI 👇🏾:Mazoezi huboresha afya yako ya jumla ya moyo na mishipa, ambayo ina athari ya moja kwa moja kw...
02/02/2023

KWANINI UFANYE MAZOEZI 👇🏾:

Mazoezi huboresha afya yako ya jumla ya moyo na mishipa, ambayo ina athari ya moja kwa moja kwenye uwezo wako kusimamisha na kudumisha uimara wa uume (erectile health).

Mazoezi hukupa uwezo wa kustahamili Tendo na stamina kutokana na nguvu ya misuli ( muscle strength ).

Mazoezi husaidia mfumo wako wa moyo na mishipa ( cardiovascular system ) uweze kufanya kazi kwa ufanisi zaidi, hivyo mtiririko mzuri wa damu kwenye uume huboresha afya yako ya uume.

Do you agree?
Share so others can learn too.


JIULIZE MWENYEWE :K**a Ponografia inafanya kazi ya kukuburudisha! Kwanini unahitaji kufanyia kazi malengo yako? Kwanini ...
02/02/2023

JIULIZE MWENYEWE :

K**a Ponografia inafanya kazi ya kukuburudisha! Kwanini unahitaji kufanyia kazi malengo yako? Kwanini unahitaji kuongea na mwanamke unayempenda?

Yaani : Sehemu hizi mbili za maisha yako (mahusiano ya kimapenzi na maendeleo ya maisha yako) zitavurugika utakapokuwa mraibu wa ponografia hakuna shaka juu ya hilo, kwasababu ya kuathiri afya yako ya akili.

Kaa mbali na tabia hii ili kuepuka fedheha maishani.

Tag and share with your friends.

NO MATTER YOUR AGE:Upungufu wa nguvu za kiume mara nyingi huhusishwa na kuzeeka. Ingawa mara kwa mara Frequency ya upung...
01/02/2023

NO MATTER YOUR AGE:

Upungufu wa nguvu za kiume mara nyingi huhusishwa na kuzeeka. Ingawa mara kwa mara Frequency ya upungufu wa nguvu za kiume huongezeka kulingana na umri, kuna uwezekano wa kutibika bila kujali umri wako na haiwezi kuepukika k**a unavyoweza kufikiria.

Kwa kweli changamoto hii inaweza kuwa na sababu nyingi zisizohusishwa na kuzeeka, ila umri mkubwa ni sababu hatarishi.

Share with others, you might help them.

Nini maoni yako juu ya suala hili?

Address

Victoria, Makumbusho
Dar Es Salaam

Telephone

+255747233477

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when mencare_tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to mencare_tz:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category