07/04/2026
Kuna watu Wanaona dalili wasizo zielewa , wanaenda Google, na wananunua virutubisho sio vibaya kununua virutubisho kwa sababu ukija kwangu pia nitapatia virutubisho.
Lakini virutubisho sio jibu la kwanza na lakutosha
Chakula ni jibu la kwanza.
Mwili ambao hauwezi kunyonya virutubisho kutoka kwenye chakula hautachukua virutubisho kutoka kwa kidonge pia.
Ikiwa mwili wako unakuonyesha ishara mbaya swali la kwanza sio, "Ninapaswa kuchukua virutubisho gani?"
Swali la kwanza ni, "Kwa nini sahani yangu haina virutubisho muhim?"
Baadhi ya ishara hizi zinaweza kuonyesha hali mbaya za kiafya .
Usijifanyie maamuzi
Pata vipimo sahihi vya damu kutoka kwa daktari wako kabla ya kufanya hicho unachowaza.
Shirikisha chapisho hili na mtu ambaye mwili wake umekuwa ukionyesha dalili ambazo amekuwa akipuuza.
Na ikiwa uko tayari kusahihisha kile ambacho mwili wako unauliza kupitia sahani yako, nitumie ujumbe kwenye WhatsApp +255766856450 kwa mpango mzuri wa chakula unaotegengeneza mwili wako ipasavyo.