Healthy_linetz

Healthy_linetz If YOU belive your HEALTH is your first WEALTH follow me.My post are to educate not medical advice.

Ikiwa HEDHI yako  imetoka  leo tarehe 11 mwezi Desemba na una mzunguko wa HEDHI wenye  urefu wa siku 25, siku yako ya ov...
11/12/2025

Ikiwa HEDHI yako imetoka leo tarehe 11 mwezi Desemba na una mzunguko wa HEDHI wenye urefu wa siku 25, siku yako ya ovulation itakuwa tarehe 21 Desemba.

Siku ambazo mwili wako uko katika nafasi kubwa ya kushika mimba na urutubishaji kutokea ni kati ya tarehe 18, 19, 20, (21 siku ya ovulation), 22 na 23 ya Desemba.

Ikiwa hautaki ujauzito epuka kuahiriki tendo katika kipindi hiki.

Whatsapp +255766856450

#

KWA WANAWAKE :kuto kuona hedhi au kukoma hedhi mapema wakati bado upo katika umri wa kuzaa hali  hii  inaweza kuathiri u...
11/12/2025

KWA WANAWAKE :kuto kuona hedhi au kukoma hedhi mapema wakati bado upo katika umri wa kuzaa hali hii inaweza kuathiri uzazi.

Ikiwa hujaona hedhi kwa kipindi cha mkezi 3 na zaidi ni mwili wako unatoa taarifa kuwa kuna jambo haliendi vizuri usikilize mwili wako sababu unawepoteza uwezo wa kuzaa kwa kupuuza hiyo taarifa.

Kuna sababu nyingi hupelekea kukoma hedhi ila chanzo kikuu ni kukosekana kwa usawa wa homoni na magonjwa ya homoni k**a PCOS, shida ya tezi ya shingoni (Thyroid dis order), mitindo ya maisha ,uzito kuwa mdogo sana au kuwa mkubwa.
Matibabu ya matatizo ya hedhi hutegemea chanzo cha tatizo.

Whatsapp +255766856450

#

Kuna hadithi nyingi za wanawake husumbuka na uzazi    sababu ya maambukizi ya fangasi na bakteria .Vimelea wa fangasi na...
11/12/2025

Kuna hadithi nyingi za wanawake husumbuka na uzazi sababu ya maambukizi ya fangasi na bakteria .

Vimelea wa fangasi na bakteria wabapo enea kwenye mlango wa kizazi huanza kushambulia kuelekea kizazi,mirija na vifuko vya mayai hali inayo pelekea ugumba kwa wanawake wengi.
Usione haya kutafuta msaada wa kimatibabu

WhatsApp +255766856450

UMRI huathiri uzazi kwa wanawake na wanaume ...lakini kwa wanawake suala la umri huathiri uwezo wa uzazi kwa namna tofau...
11/12/2025

UMRI huathiri uzazi kwa wanawake na wanaume ...lakini kwa wanawake suala la umri huathiri uwezo wa uzazi kwa namna tofauti.
Mwanamke unapo ongezeka nafasi ya kushikq mimba hupungua sababu ya ubora wa mayai kupungua,idadi ya mayai kupungua ,na homoni kuvurugika.

Mwanamke umri unapo ongezeka pia nafasi ya kupata magonjwa ya uzazi k**a uvimbe huongezeka zaidi.
Kwa namna moja mwanamke kuzaa kwake ni dawa pia.

Whatsapp +255766856450

#

Funga  ni dawa kwa baadhi ya hali za kiafya na husaidia kutibu na kubadili  matatizo k**a upinzani wa insulini (mzizi ha...
11/12/2025

Funga ni dawa kwa baadhi ya hali za kiafya na husaidia kutibu na kubadili matatizo k**a upinzani wa insulini (mzizi halisi wa unene na kitambi) PCOS, matatizo ya homoni k**a uvimbe ,ugumba ,ugonjwa wa sukari, n.k)

Wacha tuivunje hii ila ieleweke .

Kila wakati unapokula - haswa carbs, mwili wako huzaliaha insulini.

Insulini inatoa amri kwa seli zako kuwa
"Hifadhi sukari hii iliyo zidi na seli zinafunguka na kutunza sujari katika muundo wa mafuta "

Ikiwa unaendelea kula kila baada ya masaa machache (hata chakula "cha afya"), insulini inabaki kuwa juu.

Mwishowe, seli zako zinachoka kupokea taarifa ya innsulini na zinaacha kujibu.
Zinachoka zinaanza kupuuza amri ya insulini.

Kwa hivyo mwili wako hutawaliwa na insulini
Huo ndio upinzani wa insulini.

Na nadhani unataka kujua ni nini upinzani wa insulini? Basi upinzani wa insulini ni
- huo unene na kitambi chako

- PCOS

- ugonjwa wa kisukari (Aina ya 2 ya kisukari)

-skin tags

- Tamaa ya kula hovyo

- uchovu usio isha kila wakati

Sasa hapa ndipo kufunga hutumika k**a dawa:
Wakati hautakula, insulini yako inashuka.

Mwili wako unapata mapumziko.
Seli zinaanza kusikiliza tena.

Ndio jinsi kufunga kila wiki huwa dawa .
Funga sio kwa ajili ya uzito tu bali kutibu mzizi wa tatizo

Usisahau kuniumia ujumbe ili kupata mpango wa lishe ,matibabu ya homoni,uzazi magonjwa ya lishe na sukari.

Kwa msaada na ushauri zaidi

Whatsapp +255766856450.

#

“Nimewaona wanawake wenye miaka  27 ,30, 40, 46, hadi 48 wakipata watoto kwa njia ya asili  .walio wengi walifanikiwa  k...
10/12/2025

“Nimewaona wanawake wenye miaka 27 ,30, 40, 46, hadi 48 wakipata watoto kwa njia ya asili .walio wengi walifanikiwa kwa kuanza matibabu ya uzazi yanajumuisha matumizi ya dawa za uzazi (herbals ) ,virutubisho vya uzazi (fertility supplement pamoja na maboresho ya mtindo wa maisha na lishe
Na ushauri wa kitaalam.
Usikate tamaa. Safari ya uzazi inaweza kuwa ndefu, lakini mwanga wa mafanikio upo. Usisahau: wewe ni jasiri!”

Whatsapp +255766856450.

#

Usione haya kutafuta msaada wa kupata mtoto.Kila mwanamke ana safari yake, na yako ni ya kipekee...Matatizo ya uzazi una...
10/12/2025

Usione haya kutafuta msaada wa kupata mtoto.
Kila mwanamke ana safari yake, na yako ni ya kipekee...

Matatizo ya uzazi unapo kaa nayo muda mrefu hupelekea kujitokeza changamoto nyingine mfano inaweza kuanza PID baadae ukaambiwa unashida ya mirija au ukaambiwa una uvimbe maji kwenye mayai.

+255766856450

Kwa wanawake:kupata damu ya hedhi kiduchu k**a vitone (Spotting) inaweza kusababishwa na vitu vingi, lakini sababu kuu n...
10/12/2025

Kwa wanawake:kupata damu ya hedhi kiduchu k**a vitone (Spotting) inaweza kusababishwa na vitu vingi, lakini sababu kuu ni
▪︎Matatizo ya homoni kukosa uwiano,
▪︎matumizi ya dawa za udhibiti uzazi kwa
▪︎Matatizo ya Tezi ya shingoni ( Thyroid dis orders) hadi hali ya tezi (37),
▪︎ endometriosis na PCOS
▪︎kukalibia kukoma hedhi perimenopause ( miaka 35 na zaidi)
▪︎Inaweza kuwa dalili ya mimba . Matibabu ya hizi hali yapo sababu ni mwili wa mwanamke unatoa taarifa kuhitaji msaada.

Whatsapp +255766856450.

.

Hedhi ya mwanamke hueleza mengi kuhusiana na afya yake ya kijinsia kuna baadhi ya hali zinapojitokeza  ni mwili wako una...
10/12/2025

Hedhi ya mwanamke hueleza mengi kuhusiana na afya yake ya kijinsia kuna baadhi ya hali zinapojitokeza ni mwili wako unalalamika kuomba msaada usipuuzie dalili ambazo hazijazoeleka madhara huwa ni makubwa.

Kwa msaada na ushaudi binafsi
WhatSapp +255766856450.

SOMA HAPA K**A UNAHITAJI UJAUZITO...👇lli mwanamke uwe na uwezekano mzuri wa kushika mimba na kubeba ujauzito salama, una...
09/12/2025

SOMA HAPA K**A UNAHITAJI UJAUZITO...👇

lli mwanamke uwe na uwezekano mzuri wa kushika mimba na kubeba ujauzito salama, unahitaji kuwa na sifa zifuatazo za afya ya yako ya uzazi

1️⃣ Afya bora mji wa mimba( UTERUS)

Uterasi inapaswa kuwa na mazingira yanayofaa ili kiinitete (embryo) kipandikizwe vizuri. Magonjwa k**a fibroids kubwa, polyps au matatizo ya umbo la uterasi yanaweza kuathiri uwezo wa kubeba mimba

2️⃣ Afya bora ya Shingo ya kizazi (cervix)

Shingo ya kizazi inapaswa kuwa na ute wa kawaida unaosaidia mbegu za kiume kusafiri kuelekea kwa yai.

3️⃣ Lishe bora na uzito unaofaa

Uzito wa mwili wa kupindukia (obesity) au kuwa chini ya uzito sana vinaweza kuvuruga homoni na ovulation.

Virutubisho k**a Folic Acid, chuma na vitamini mbalimbali ni muhimu kwa uzazi.

4️⃣ Afya ya akili na mwili

Msongo wa mawazo uliopitiliza unaweza kuvuruga homoni.

5️⃣ Mazoezi ya kawaida na kutopitiliza, kulala vizuri,

na kuepuka sigara, pombe na madawa ya kulevya huimarisha uzazi na utulivu zaidi

6️⃣ Hakikisha Hakuna maambukizi ya njia ya uzazi, yaani (P.I.D)

Magonjwa ya zinaa k**a chlamydia na gonorrhea yanaweza kuathiri mirija ya uzazi na kusababisha ugumba

7️⃣ Mzunguko wa hedhi wa kawaida, na usioyumba yumba

Mzunguko wa kila mwezi unaodumu kati ya siku 21-35, unaoashiria kwamba yai linapevuka na kutolewa (ovulation).
Ovulation Lazima itokee!

Uwepo wa yai linalopevuka na kutolewa kutoka kwenye ovari. Bila ovulation, mimba haiwezi kutokea.

8️⃣ Afya bora ya Mirija ya uzazi (fallopian tubes) iliyo wazi

Mirija ya uzazi inahitaji kuwa wazi ili kuruhusu yai kusafiri kutoka kwenye ovari hadi kwenye mji wa mimba (uterus). Kuziba kwa mirija huweza kuzuia mimba.

9️⃣ Mfumo wa homoni ulio sawa

Homoni k**a Estrogen, Progesterone, FSH na LH zinahitajika kwa ajili ya kudhibiti ovulation na maandalizi ya uterasi kwa ujauzito.....

JE UNASUMBULIWA NA TATIZO GANI
LINALOKUNYIMA USINGIZI? Nipo Hapa Kukusaidia, Niandikie Kupitia DM/ Inbox Yangu

Whatsapp +256766856450.

Watoto ni zawadi kutoka kwa Mungu,Watoto ni tuzo ya mwenyezi Mungu kwa wanandoa  baraka ya watoto wazuri ikaingie ndani ...
09/12/2025

Watoto ni zawadi kutoka kwa Mungu,
Watoto ni tuzo ya mwenyezi Mungu kwa wanandoa

baraka ya watoto wazuri ikaingie ndani mwako🙏
Dada mwemye uhitaji .....

Dhamira yetu ni kuwasaidia wanandoa zaidia ya 50 kuzishinda changamoto za uzazi na ugumba kila mwezi .Inawezekana umefanya majaribio mengi bila mafanikio usione aibu kujaribu tena kwa sababu hili linaweza kuwa jaribio la mwisho na lenye kufanikiwa
Jiunge na mpango wa matibabu ya uzazi kwa kutuma ujumbe whatsApp +255766856450.
❤️ .

Wanawake wenye matitizo ya HEDHI  husumbuka na uzazi ikiwa unasumbuka  na uzazi fuatilia hedhi yakoWhatsapp +25576685645...
08/12/2025

Wanawake wenye matitizo ya HEDHI husumbuka na uzazi ikiwa unasumbuka na uzazi fuatilia hedhi yako

Whatsapp +255766856450.

Address

Africana Mbezibeach
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Healthy_linetz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Healthy_linetz:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram