Healthy_linetz

Healthy_linetz If YOU belive your HEALTH is your first WEALTH follow me.My post are to educate not medical advice.

Safari ya uzazi sio rahisi kwa kila mtu   ni safari inayo chosha  hisia ,uchumi na akili .... uvumilivu ,subira na kumtu...
15/02/2026

Safari ya uzazi sio rahisi kwa kila mtu   ni safari inayo chosha  hisia ,uchumi na akili .... uvumilivu ,subira na kumtumaini mwenye Mungu ni nguzo muhim  .madaktari tunatibu na kutoa dawa lakini Mungu ndiye mwenye hatima ya mwisho katika hii safari.



Whatsapp +255766856450

Kuharibika kwa mimba sio kila wakati sababu ni kutoka kwa mwanamke, afya ya mbegu inaweza kuwa sababu ya mimba hizo kuha...
15/02/2026

Kuharibika kwa mimba sio kila wakati sababu ni kutoka kwa mwanamke,
afya ya mbegu inaweza kuwa sababu ya mimba hizo kuharibika pia.
Wanaume wanahitaji kusawazisha homoni zao pia

Whatsapp +255766856450.

Sikilizeni, wanaume.Udhaifu Katika kusimamisha uume  sio jambo la bahati nasibu.Kukosa hamu ya  ngono sio sababu ya  umr...
15/02/2026

Sikilizeni, wanaume.
Udhaifu Katika kusimamisha uume sio jambo la bahati nasibu.
Kukosa hamu ya ngono sio sababu ya umri.
Kukosa Stamina sio kwa sababu hujajaaliwa.
Na kutumia visisimua misuli havitakuokoa milele.
Uwezo wa wewe kushiriki tendo ni jambo linalojumuisha
mtiririko wako wa damu.
Nguvu yako ya fupa nyonga au pelvic
Homoni zako.
Utumbo wako.
Na nidhamu yako.

Wanaume chukueni uwezo wenu wa kuhili tendo kwa uzito.
Linda nguvu zako kwa umakini.
Rudisha heshima yako

Huna haja ya kuteseka kimya ukimya.
Huna haja ya kuendelea kusema uwongo kwamba ni STRESS au "umri tu."
Unahitaji kuamka na kula lishe ya kuinua testosterone yako sababu homoni ndiyo msingi wako

Usisahau kunifikia ili kupata mpango wa matibabu na chakula ili kurejesha uwezo wako wa ngono na utendaji kitandani.

Whatsapp +255766856450
Mtag mwanaume anayehitaji kuacha kutegemea visisimua misuri na kuanza kujenga stamina halisi

Dhamira yetu ni kuwasaidia wanandoa zaidi ya 50 kila mwezi kutimiza malengo yao ya uzazi kwa njia ya asili iwe kwa ushau...
14/02/2026

Dhamira yetu ni kuwasaidia wanandoa zaidi ya 50 kila mwezi kutimiza malengo yao ya uzazi kwa njia ya asili iwe kwa ushauri wa kitaalam,maboresho katika lishe usaidizi wa dawa za uzazi na virutubisho lishe.

Usione haya kutafuta msaada nishirikishe hadithi yako kwa kunitumia ujumbe
Whatsapp +255766856450

Kwa wanawake ni kweli uvimbe kwenye kizazi haukuzuwii kubeba mimba...unaweza kuzuwia mchakato wa mimba inategemea na kub...
14/02/2026

Kwa wanawake ni kweli uvimbe kwenye kizazi haukuzuwii kubeba mimba...unaweza kuzuwia mchakato wa mimba inategemea na kubwa wa uvimbe na sehem gani umejitokeza

Lakini kuna usumbufu ambao hujitokeza kwa wanawake wenye fibroids ,mfano mimba kuharibika ,maumivu ya tumbo,kuathiri ukuaji na maendeleo ya mtoto ,ugumu wa kijifungua.

Muhim ni kushauriana na daktari wako namna sahihi ya kulikabili hili tatizo sababu suluhu zipo.


Whatsapp +255766856450.
.

My heart goes out to couples struggling to have a child.May God answer your prayers and wipe away your tears🙏🙏We are com...
14/02/2026

My heart goes out to couples struggling to have a child.

May God answer your prayers and wipe away your tears🙏🙏
We are committed to helping more than 50 couples to conceive naturally within this month of January.

You might have tried so many times without any success

It’s your final but successful attempt!
Join our program today WhatsApp +255766856450

May God answer your prayers and wipe away your tears🙏🙏We are committed to helping more than 50 couples to conceive natur...
14/02/2026

May God answer your prayers and wipe away your tears🙏🙏
We are committed to helping more than 50 couples to conceive naturally within this month of January.

You might have tried so many times without any success

It’s your final but successful attempt!
Join our program today WhatsApp +255766856450

Shuhuda zenye nguvu zaidi.
14/02/2026

Shuhuda zenye nguvu zaidi.

Mirija ya uzazi kuziba suluhu lipo habari njema unaweza kushika mimba kadri uwezavyo ukiwa na mrija mmoja wenye Afya.Wha...
14/02/2026

Mirija ya uzazi kuziba suluhu lipo habari njema unaweza kushika mimba kadri uwezavyo ukiwa na mrija mmoja wenye Afya.

Whatsapp +255766856450.

UZAZI KATIKA MIAKA YA 40: BADO KUNA TUMAINI.Wanawake wengi wanaamini kwamba kufikisha miaka 40 na zaidi moja kwa moja hu...
13/02/2026

UZAZI KATIKA MIAKA YA 40:
BADO KUNA TUMAINI.
Wanawake wengi wanaamini kwamba kufikisha miaka 40 na zaidi moja kwa moja hufunga mlango wa uzazi. Hiyo sio kweli kila wakati.

Ni kweli kwamba uwezo wa uzazi hupungua umri unapoongezeka. Idadi ya mayai hupungua, na ubora wa mayai hauwezi kuwa sawa na ulivyokuwa katika miaka ya ishirini au thelathini . Viwango vya homoni pia huanza kubadilika. Wasiwasi kwa wanawake wengi kipindi hichi ni AMH kushuka hii ni homoni inayo onyesha akiba ya mayai uliyo nayo.

Lakini AMH kushuka haimaanishi hakuna tumaini. Inamaanisha tu kwamba unahitaji mwongozo sahihi, usaidizi unao faa, na mpango mahususi wa uzazi.

Wanawake wenye umri wa miaka 40 bado wanaweza kushika mimba, hasa wanapo:
• Fuatilia ovulation yako kwa makini
• Kusaidia ubora wa yai kupitia lishe na mtindo wa maisha
• Dhibiti viwango vya msongo wa mawazo
• kufanya kazi kwa karibu na mtaalamu wa uzazi..Msimu huu unahitaji kuwa na nia, sio hofu nipo hapa kukusaidi.

Kwa wanawake wenye umri wa miaka 40 na zaidi wanaoshughulika na upungufu wa AMH pakiti ya uzazi iliyoundwa mahususi kwa wanawake walio na miaka ya 40 na zaidi iliundwa ili kusaidia usawa wa homoni, afya ya yai, na ustawi wa jumla wa uzazi. Lengo ni kulisha mwili kwa njia inayoendana na hatua hii ya maisha.

Umri wako ni sababu.

Nipigie
Whatsapp +255766856450.

Umri wa kukoma hedhi  ni  kati ya miaka 39-55 wapo wanao koma hedhi mapema na wapo wanao chelewa kukoma hedhi  hutegemea...
13/02/2026

Umri wa kukoma hedhi ni kati ya miaka 39-55 wapo wanao koma hedhi mapema na wapo wanao chelewa kukoma hedhi hutegemea na akiba ya mayai .
Usione AIBU kutafuta msaada wa kutibu changamoto zako za uzazi na kurejesha usawa wa kijinsia.
Kaa nasi hatua moja baada ya nyingine.

Usione AIBU kutafuta msaada wa kutibu changamoto zako za uzazi na kurejesha usawa wa kijinsia.Kaa nasi hatua moja baada ...
13/02/2026

Usione AIBU kutafuta msaada wa kutibu changamoto zako za uzazi na kurejesha usawa wa kijinsia.
Kaa nasi hatua moja baada ya nyingine.

Address

Africana Mbezibeach
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Healthy_linetz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Healthy_linetz:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram