Healthy_linetz

Healthy_linetz If YOU belive your HEALTH is your first WEALTH follow me.My post are to educate not medical advice.

Wenza wanao kabiliana na changamoto za uzazi inawezekana kutimiza maleno ya kuwa mzazi k**a  utapata mwongozo mzuri kati...
28/10/2025

Wenza wanao kabiliana na changamoto za uzazi inawezekana kutimiza maleno ya kuwa mzazi k**a utapata mwongozo mzuri katika usaidizi wa kuchagua dawa za uzazi maboresho ya mtindo wa maisha na lishe ,pamoja na kupata virutubisho sahihi vy uzazi (Targeted fertility supplement) ...usiona aibu kutafufa msaada.

Whatsapp +255766856450.

Ikiwa una mzunguko wa siku 35 na HEDHI yako imeanza  leo tarehe  28 Oktoba basi ovulation yako itakuwa tarehe 17 ya mwez...
28/10/2025

Ikiwa una mzunguko wa siku 35 na HEDHI yako imeanza leo tarehe 28 Oktoba basi ovulation yako itakuwa tarehe 17 ya mwezi Novemba. (35-14 = 21)

Siku zako zilizo na uwezekano mkubwa wa kushika mimba ni kati ya tarehe 14, 15, 16, (17 siku ya ovulation), 18 na 19 Novemba.

Kumbuka, huweza kukusaidia kuharakisha safari yako ya uzazi kwa usaidizi wa dawa uzazi,maboresho ya mtindo wa maisha na lishe ,usaidizi katika kuchagua supplement bora (targeted fertility supplement ) na ushauri wa kitaalam.

Kwa msaada na ushauri
Whatsapp +255766856460.

πŸ‘πŸ‘

Kwa wanawake :Takriban 15-45%  ya wanandoa hupata shida ya ugumba  na wanashindwa kupata ujauzito ndani ya mwaka 1 na za...
28/10/2025

Kwa wanawake :Takriban 15-45% ya wanandoa

hupata shida ya ugumba na wanashindwa kupata

ujauzito ndani ya mwaka 1 na zaidi ) baada ya

kutumia njia za uzazi wa mpango ....

Dawa za kudhibiti uzazi kwa homoni, k**a vile

kidonge, huathiri homoni na kuzuwia ujauzito, na
kuathiri ovulation upevushaji wa yai.

Pia huathiru uzalishai wa ute wa uzazi ndiyo sababu

wengi husumbuliwa na ukavu ukeni hali ambayo

inafanya kuwa ngumu kwa manii kufikia yai.

Kumbuka, huweza kukusaidia

kuharakisha safari yako ya uzazi kwa usaidizi wa dawa uzazi,maboresho ya mtindo wa maisha na lishe ,usaidizi katika kuchagua supplement bora (targeted fertility supplement ) na ushauri wa kitaalam.

Kwa msaada na ushauri
Whatsapp +255766856460.

Mungu aliyetenda kwa huyu  kupata baraka ya mapacha basi atatenda na kwako dada mpenda MAPACHA.Kumbuka, huweza kukusaidi...
27/10/2025

Mungu aliyetenda kwa huyu kupata baraka ya mapacha basi atatenda na kwako dada mpenda MAPACHA.
Kumbuka, huweza kukusaidia kuharakisha safari yako ya uzazi kwa usaidizi wa dawa uzazi,maboresho ya mtindo wa maisha na lishe ,usaidizi katika kuchagua supplement bora (targeted fertility supplement ) na ushauri wa kitaalam.

Kwa msaada na ushauri
Whatsapp +255766856460.
#

Kwa wanawake : Usipuuzie baadhi ya dalili  mfano  Kutokwa Na Uchafu Wenye Harufu au usio na harufu ukeni  unaweza kujiku...
27/10/2025

Kwa wanawake : Usipuuzie baadhi ya dalili mfano Kutokwa Na Uchafu Wenye Harufu au usio na harufu ukeni unaweza kujikuta unapoteza kizazi bila kujua!

Najua inasikitisha, lakini wanawake wengi huanza na β€œUCHAFU MDOGO USIO NA HARUFU” kisha miaka michache baadaye wanashindwa kushika mimba sababu ya PID (Pelvic Inflammatory Disease) ni ugonjwa unaotokana na maambukizi ya muda mrefu yasiyotibiwa vizuri Huanza Kimya Kimya β€” lakini unapochelewa Kupata matibabu Sahihi kikamilifu Kwa Wakati huleta maumivu, ugumba, na kuziba kwa mirija ya uzazi.

K**a umekuwa na uchafu usioisha wenye rangi ya kahawia ,manjano au k**a k**asi, maumivu chini ya tumbo, au hedhi yenye mabonge na harufu, tafadhali usiache hadi iwe tatizo kubwa hiyo ndiyo PID..

Habari njema ni kwamba unaweza kurejesha afya yako ya uzazi kwa njia salama na asilia Kupitia Programu yangu ya FERTILITY CLEANSER & VARGINAL DETOX hurejesha uzazi kwa kusafisha kizazi na kuondoa maambukizi ya P.I.D, na kurekebisha homoni zako ndani ya siku 30–90....

Kwa msaada na ushauri binafsi
Whatsapp +255766856450.

Kwa wanandoa :Kila sindano unayo choma , kila kipimo unachofanya  na kila siku ya kusubiri ni hatua moja karibu zaidi na...
27/10/2025

Kwa wanandoa :Kila sindano unayo choma , kila kipimo unachofanya na kila siku ya kusubiri ni hatua moja karibu zaidi na ndoto yako ya kuwa mzazi. Usikate tamaa β€” kila mwili una muda wake wa kustawi... safari yako ni yakipekee
Kila sindano, kila kipimo, na kila siku ya kusubiri ni hatua moja karibu zaidi na ndoto yako ya kuwa mzazi. Usikate tamaa β€” kila mwili una muda wake wa kustawi.

Whatsapp +255766856450
#
.

DOKEZO LA UZAZI: jitahidi kupanga kuhusu ujauzito wako, maisha ya leo yamebadilika sana   sio yale ya miaka ya 1980. Kul...
26/10/2025

DOKEZO LA UZAZI: jitahidi kupanga kuhusu ujauzito wako, maisha ya leo yamebadilika sana sio yale ya miaka ya 1980.

Kula chakula kizuri, kuwa na hisia za upendo, chagua mama au baba mzuri kwa watoto wako, tumia virutibisho vya uzazi ( fertility supplementation) mwisho kabisa usifanye vitu vya kijinga vitakavyo fanya ushindwe kupata ujauzito.
Uzazi ni gharama sana na unachosha akili ,hisia na uchumi wao ....

Usione aibu kutafuta msaada ili nikupatie mpango mzuri wa kwenda kuharakisha mchakato wako wa uzazi
lolote kuhusu uzazi?
Matatizo binafsi, hupati ujauzito, Na unahitaji msaada wa haraka wakukusaidia kutatua changamoto zako za uzazi,
tupigie/ Whatsapp +255766856450 s

Kwa wanawake ;PCOS, au Polycystic O***y Syndrome, ni hali ya kiafya inayoathiri takribani mwanamke 1 kati ya wanawake 10...
26/10/2025

Kwa wanawake ;PCOS, au Polycystic O***y Syndrome, ni hali ya kiafya inayoathiri takribani mwanamke 1 kati ya wanawake 10. Hali hii husababishwa na viwango visivyo vya kawaida vya homoni, na inaweza kusababisha matatizo mbalimbali ya kiafya, ikiwa ni pamoja na ugumu wa kushika ujauzito.

πŸ‘©β€βš•οΈ **Dalili za PCOS:**
- Hedhi zisizo za kawaida au kukosa hedhi
- Nywele kupita kiasi k**a sharubu, ndevu na nywele za kifuani na tumbo la chini ya kitovu
- Uzito wa mwili kupanda
- Chunusi nyingi

🀰 **PCOS na Kushika Mimba:**
Wanawake wengi wenye PCOS wanakabiliwa na changamoto ya kushika ujauzito kutokana na kutopevusha na kudondosha mayai kwa kawaida. Lakini, habari njema ni kwamba kuna matibabu yanayoweza kusaidia..yanayohusisha usaidizi wa dawa za uzazi ,virutubisho vya uzazi na maboresho ya mtindo wa maisha na lishe.

πŸ‘©β€πŸ‘§β€πŸ‘¦ **Ushauri na Msaada:**
Ikiwa unaamini una dalili za PCOS, muone daktari wako kwa ushauri na msaada zaidi. Kukabiliana na PCOS ni safari ya kipekee kwa kila mmoja, na hakuna suluhisho moja linalofaa kwa wote.

Nipo Pamoja Nawewe:**
Kumbuka, wewe haupo peke yako, na msaada unapatikana nishirikishe hadithi yako kwa kutuma ukumbe
WhatsApp +255766856450.

Katika wenza 100  idadi ya wenza 10 -20 wanapitia changamoto ya ugumba   na  matatizo ya uzazi  ..... matatizo ya uzazi ...
25/10/2025

Katika wenza 100 idadi ya wenza 10 -20 wanapitia changamoto ya ugumba na matatizo ya uzazi ..... matatizo ya uzazi sababu inaweza kuwa shida ya kimaumbile,matatizo ya homoni,shida ya ubora wa mayai na mbegu ,mirija kuwa na hitilafu,mlango wa kizazi kushambuliwa na maambukizi k**a PID, na pengine kukawa hakuna sababu za msingi na ukasumbuka na uzazi.

Usione aibu kutafuta msaada
Whatsapp +255766856450.

Kushika mimba sio rahisi kwa kila mwanamke
25/10/2025

Kushika mimba sio rahisi kwa kila mwanamke

Kwa wanawake   yako ni kielelezo cha afya yako ya uzazi ,unaruka hedhi,haitabiriki,unakosa hedhi miezi 3 na zaidi    ni ...
25/10/2025

Kwa wanawake yako ni kielelezo cha afya yako ya uzazi ,unaruka hedhi,haitabiriki,unakosa hedhi miezi 3 na zaidi ni dalili kuwa una hitilafu kwenye mfumo wako wa homoni za uzazi hali hii huathiri upevushaji wa mayai na kupelekea ugumba.

Kwa msaada na ushauri binafsi
Whatsapp +255766856450

Mimba kuharibika sio kila wakati ni tatizo la  kiroho.Acha kuamini kila hasara unayo ipata katika maisha basi "watu wa k...
24/10/2025

Mimba kuharibika sio kila wakati ni tatizo la kiroho.
Acha kuamini kila hasara unayo ipata katika maisha basi "watu wa kijiji kwenu wamehusika " Wakati mwingine sio ushilikina bali , ni upungufu wa virutubishi muhim. Manii dhaifu. Mayai yako ni dhaifu na yako Lishe dhaifu.

Wakati mwili wako umedhoofika na seli zako hazina afya basi tumbo lako haliwezi kushikilia mimba

Je! Unatarajia kupata mtoto wakati mwili wako unaulisha mwenyewe vyakula vinavyo ubomoa ?

Junks foodbhaziwezi kufanya mwanadamu akue tumboni
Biskuti na tambi haziwezi kujenga mji wa mimba. Mtoto hajengwi kwa kufanya sala peke yake, mimba inajengwa na madini ya chuma, folate, protini, mafuta yenye afya, na madini ambayo mwili wako lazima uyapata.

Ikiwa mwanaume wako amezama katika pombe na sukari, manii zake tayari zinakuwa dhaifu kabla ya kukufika kwenye yai

Ikiwa lishe yako imeondolewa virutubishi, mayai yako yatakuwa dhaifu kabla ya ovulation kufanyika.

Hali k**a hizo huo sio vita vya kiroho, ni kilio cha kibiolojia.

Ili kiumbe hai kiweze kukua inahitajika. Mchuzi wa mfupa, mayai, mboga, mafuta ya mazuri, samaki, mmea isi na shida, hizi ndiyo malighafi kwenye kubeba mtoto.

Hauwezi kupanda mbegu kwenye mchanga tupu na unatarajia kuvuna mazao mengi

Mpaka sahani yako itakapobadilika, tumbo lako litaendelea kubeba mimba zinatoka wa na machozi yako yataendelea kumwagika.

Usisahau kunitumia ujumbe ili kupata mpango wa lishe na matibabu ili kuboresha afya ya uzazi ,mwili na usawa wa kijinsia.

Whatsapp +255766856450.

Address

Africana Mbezibeach
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Healthy_linetz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Healthy_linetz:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram