24/10/2025
Mimba kuharibika sio kila wakati ni tatizo la kiroho.
Acha kuamini kila hasara unayo ipata katika maisha basi "watu wa kijiji kwenu wamehusika " Wakati mwingine sio ushilikina bali , ni upungufu wa virutubishi muhim. Manii dhaifu. Mayai yako ni dhaifu na yako Lishe dhaifu.
Wakati mwili wako umedhoofika na seli zako hazina afya basi tumbo lako haliwezi kushikilia mimba
Je! Unatarajia kupata mtoto wakati mwili wako unaulisha mwenyewe vyakula vinavyo ubomoa ?
Junks foodbhaziwezi kufanya mwanadamu akue tumboni
Biskuti na tambi haziwezi kujenga mji wa mimba. Mtoto hajengwi kwa kufanya sala peke yake, mimba inajengwa na madini ya chuma, folate, protini, mafuta yenye afya, na madini ambayo mwili wako lazima uyapata.
Ikiwa mwanaume wako amezama katika pombe na sukari, manii zake tayari zinakuwa dhaifu kabla ya kukufika kwenye yai
Ikiwa lishe yako imeondolewa virutubishi, mayai yako yatakuwa dhaifu kabla ya ovulation kufanyika.
Hali k**a hizo huo sio vita vya kiroho, ni kilio cha kibiolojia.
Ili kiumbe hai kiweze kukua inahitajika. Mchuzi wa mfupa, mayai, mboga, mafuta ya mazuri, samaki, mmea isi na shida, hizi ndiyo malighafi kwenye kubeba mtoto.
Hauwezi kupanda mbegu kwenye mchanga tupu na unatarajia kuvuna mazao mengi
Mpaka sahani yako itakapobadilika, tumbo lako litaendelea kubeba mimba zinatoka wa na machozi yako yataendelea kumwagika.
Usisahau kunitumia ujumbe ili kupata mpango wa lishe na matibabu ili kuboresha afya ya uzazi ,mwili na usawa wa kijinsia.
Whatsapp +255766856450.