IJUE AFYA YAKO

IJUE AFYA YAKO maisha ni afya bila afya bora hauna maisha kutana na mtaalamu wa masuala ya afya ambayo anatibu mara

BAWASILI ni ugonjwa unaotokana nakuathirika kwa mishipa ya damu  ya ndani na nje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwing...
23/11/2021

BAWASILI ni ugonjwa unaotokana nakuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine kutoka kinyama au uvimbe. CHANZO CHA TATIZO LA BAWASILI 1. Kupata choo kigumu. 2. Kukaa kitako muda mrefu. 3. Gesi kujaa tumboni. 4. Magonjwa ya moyo na figo. 5. Uzito kupita kiasi. 6. Kufanya mapenzi kinyume na maumbile 7. Matumizi ya vyoo vya kukaa kwa muda mrefu. DALILI ZA BAWASILI. 1. Ngozi kuwasha katika eneo la tundu ya haja kubwa 2. Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia. 3. Kutoka na uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa. 4. Kujitokeza kinyama katika eneo la tundu la haja kubwa. 5. Choo kigumu k**a cha mbuzi. 6. Kutopata choo muda mrefu. 7 kutoka damu wakati wa kupata haja kubwa. MATATIZO YA KUKAA NA BAWASILI KWA MUDA MREFU. 1. Kupata upungufu wa damu. 2. Kupata tatizo la kutohimili choo. 3. Hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa. 4. Kuathirika kisaikolojia. 5 kukosa morali ya kufanya kazi kutokana na maumivu makali.kwa ushauri na tiba 0693417293

HERNIA (NGIRI KAVU) SI YAKUCHUKULIA POA WASILIANA NAMI KWA USHAURI NA MATIBABU   #0693417293
06/10/2021

HERNIA (NGIRI KAVU) SI YAKUCHUKULIA POA WASILIANA NAMI KWA USHAURI NA MATIBABU #0693417293

WASILIANA NAMI KWA SULUHISHO LA VIUNGO KUSAGANA 0693417293
19/09/2021

WASILIANA NAMI KWA SULUHISHO LA VIUNGO KUSAGANA 0693417293

16/09/2021

TEZI DUME NI NINI ??
(0693 417 293)

Tezi dume ni uvimbe unaojitokeza katika tezi ya mwanaume na kila mwanaume ana tezi dume hata aliyezaliwa leo sema kadili umri unavyozidi kwenda tezi dume huongezeka n kuvimba

DALILI ZA TEZI DUME
01.Kutokumaliza mkojo
02.Kupata ugumu wakati wa kukojoa
03.kushindwa kuzuia hamu ya kukojoa
04.kukojoa mara kwa mara hasa za usiku
05.Mkojo kutoka bila kutumia nguvu
06 . Kupata maumivu wakati wa kukojoa

MADHARA YA TEZI DUME
01.Upungufu wa nguvu za kiume
02.Saratani ya tezi dume na hii huambatana n damu wakati wa kukojoa
03.Figo kushindwa kufanya kazi
04.Kibofu kutanuka na kupata maumivu

SULUHISHO LA UVIMBE WA TEZI DUME LINATIBIKA BILA UPASUAJI NIPIGIE NIKUSAIDIE (0693 417 293)

0693417293
13/09/2021

0693417293

SULUHISHO LA PID WASILIANA NAMI KWA 0693417293
08/09/2021

SULUHISHO LA PID WASILIANA NAMI KWA 0693417293

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when IJUE AFYA YAKO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to IJUE AFYA YAKO:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram