Mwanamke-Afya-Point

Mwanamke-Afya-Point Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mwanamke-Afya-Point, Medical and health, makumbusho, Dar es Salaam.

🩺a dedicated reproductive healthy consultant.

🤰 kwa afya Bora ya mfumo wa uzazi wa mwanamke.

🤦‍♀️ solution of depression in women

📚 Author of reproductive books

🌎 visit YouTube for educational vedios

Kwakweli hakuna Kitu kinachosha K**akutafuta mtoto,Mume anakwambia mbona ushiki mimba,mama Mkwe naye anauliza mbona mda ...
12/12/2025

Kwakweli hakuna Kitu kinachosha K**a
kutafuta mtoto,Mume anakwambia mbona ushiki mimba,mama Mkwe naye anauliza mbona mda unazidi kwenda nataka mjukuu,WiFi nao hawapo nyuma wanataka mtoto,majirani nao kwa maneno Yao ya uchokozi,huwa unafanya nini malkia ili kudhibiti hiyo hali?,….kuna mwanamke hapa hajui nini cha kufanya kabisaa😰

Wapendwa wangu Mungu anafanya,matibabu bila Mungu ni kutembea gizani,matibabu na Mungu hakika hautapoteaaaaaa🫰😁💃💃  Dada ...
12/12/2025

Wapendwa wangu Mungu anafanya,matibabu bila Mungu ni kutembea gizani,matibabu na Mungu hakika hautapoteaaaaaa🫰😁💃💃

Dada Yetu mpenzi miaka 12 kwenye ndoa yake bila mtoto,Tuli fanya maombi,akafanye program take na sasa ni mama kijacho🤰🥳

Mungu amtunzie ujauzito wake mpaka miezi Tisa ajifungue salamaaaaa🙌

Mungu akafungue Tumbo lako la uzazi likapokee baraka hii🙌

Tunaendelea na SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM,program iliyo wasaidia wanawake wengi kushika ujauzito kiasili na kupata watoto waoo..,

Program hii Ina kuongezeka nafasi ya kushika ujauzito 🤰,Mara mbili zaidi…

K**a wewe ni mwanamke na upo kwenye makundi hayaaa

💧unataka kushika ujauzito kirahisi.

💧umetumia dawa nyingi bila mafanikio..

💧unahisi umri wako umekwenda..

💧unataka ukafanyiwe upandikizaji,

Basi JIUNGE na SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM,kupata maelekezo zaidi bonyeza link hii 👇👇
https://chat.whatsapp.com/Hvrg85LFpsrBzSSK5w2HKg?mode=wwt

Au piga simu /whatsapp no:+255763205376

Mungu akafungue Tumbo lako la uzazi likapokee baraka hii🙌Tunaendelea na SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM,program iliyo wasai...
11/12/2025

Mungu akafungue Tumbo lako la uzazi likapokee baraka hii🙌

Tunaendelea na SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM,program iliyo wasaidia wanawake wengi kushika ujauzito kiasili na kupata watoto waoo..,

Program hii Ina kuongezeka nafasi ya kushika ujauzito 🤰,Mara mbili zaidi…

K**a wewe ni mwanamke na upo kwenye makundi hayaaa

💧unataka kushika ujauzito kirahisi.

💧umetumia dawa nyingi bila mafanikio..

💧unahisi umri wako umekwenda..

💧unataka ukafanyiwe upandikizaji,

Basi JIUNGE na SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM,kupata maelekezo zaidi bonyeza link hii 👇👇
https://chat.whatsapp.com/Hvrg85LFpsrBzSSK5w2HKg?mode=wwt

Au piga simu /whatsapp no:+255763205376

10/12/2025

Uvimbe sio kitu cha kuchukulia mzahaa.....

Huu ulianza na o.1—....ukaendelea kukua na kufikia hapo......

Huyu dada ulikuwa ukimuona utazani ni mjamzito kumbe ni uvimbe......

Uvimbe unakuwa kila siku....

K**a Leo utapima na kuukuta ni 2.0cm....,usitarajie baada ya wiki Moja utakuwa hivyo hivyo...💁‍♀️.....

unaongezeka kila siku....

Na kitu kibaya ni kwamba, kadri unavyo endelea kukua ndivyo utakavyo kupa ugumu zaidi kuuondoa…

Hivyo nakushauri k**a rafiki angu ni kwamba,k**a unajua unauvimbe,Hakikisha unapata matibabu Yako mapemaaa.....

Kadri unavyo kaa mda mrefu bila kuuondoa ndivyo utakavyo chukua mda mrefu kuondoka,ndivyo utakavyo tumia gharama nyingi kujitibia,na ndivyo uwezekano wa kupata mtoto utakavyo zidi kupungua....💁‍♀️

Ni vyema Kwa faida Yako kupata matibabu mapema👏

Kupata maelekezo zaidi kwa matibabu ya kuondoa uvimbe bila upasuaji bonyeza link hapo chini👇👇

https://chat.whatsapp.com/LXiDgT0mFSGKEyijBqwW7w

Au Kwa Mawasiliano zaidi tupigie 0763205376

10/12/2025

Mungu akafungue Tumbo lako la uzazi likapokee baraka hii🙌

Tunaendelea na SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM,program iliyo wasaidia wanawake wengi kushika ujauzito kiasili na kupata watoto waoo..,

Na OFA YA MWEZI WA 12 INAENDELEA

Unajiunga Program Inayo kuongezeka nafasi ya kushika ujauzito 🤰,Mara mbili zaidi…kwa gharama nafuu katika mwisho huu wa mwaka

K**a wewe ni mwanamke na upo kwenye makundi hayaaa

💧unataka kushika ujauzito kirahisi.

💧umetumia dawa nyingi bila mafanikio..

💧unahisi umri wako umekwenda..

💧unataka ukafanyiwe upandikizaji,

Basi JIUNGE na SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM,kupata maelekezo zaidi bonyeza link hii 👇👇
https://chat.whatsapp.com/Hvrg85LFpsrBzSSK5w2HKg?mode=wwt

Au piga simu /whatsapp no:+255763205376

Leo asubuhi client wetu amenitafuta na kunitumia kipimo chair cha ujauzito akiwa haamini anacho kiona 😄😄,Kumbe ndo Mungu...
09/12/2025

Leo asubuhi client wetu amenitafuta na kunitumia kipimo chair cha ujauzito akiwa haamini anacho kiona 😄😄,Kumbe ndo Mungu kasha mpendwa hivooo 🙌😍

Mungu akafungue Tumbo lako la uzazi likapokee baraka hii🙌

Tunaendelea na SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM,program iliyo wasaidia wanawake wengi kushika ujauzito kiasili na kupata watoto waoo..,

Na OFA YA MWEZI WA 12 INAENDELEA

Unajiunga Program Inayo kuongezeka nafasi ya kushika ujauzito 🤰,Mara mbili zaidi…kwa gharama nafuu katika mwisho huu wa mwaka

K**a wewe ni mwanamke na upo kwenye makundi hayaaa

💧unataka kushika ujauzito kirahisi.

💧umetumia dawa nyingi bila mafanikio..

💧unahisi umri wako umekwenda..

💧unataka ukafanyiwe upandikizaji,

Basi JIUNGE na SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM,kupata maelekezo zaidi bonyeza link hii 👇👇
https://chat.whatsapp.com/Hvrg85LFpsrBzSSK5w2HKg?mode=wwt

Au piga simu /whatsapp no:+255763205376

Je, mirija yako ya uzazi imeziba?Au umewahi kuambiwa nafasi yako ya kushika mimba ni ndogo kwa sababu ya mirija kuziba?S...
08/12/2025

Je, mirija yako ya uzazi imeziba?
Au umewahi kuambiwa nafasi yako ya kushika mimba ni ndogo kwa sababu ya mirija kuziba?

Sikiliza… huu sio mwisho wa safari yako.

Kuna wanawake ambao walihangaika kwa muda mrefu, wakapitia maumivu ya kutamani mtoto bila mafanikio lakini walipoanza kujali afya ya uzazi, kurekebisha lishe, kufanya detox sahihi, na kutumia tiba asilia tulizopendekeza, walianza kuona mwanga mpya.

Leo, baadhi yao ni mama wenye furaha, wengine wako katika safari ya ujauzito, na wengine wameanza kuona mabadiliko katika mwili wao hatua kwa hatua.

Mimi siahidi miujiza, lakini naamini katika mwili wa mwanamke unapopewa tiba sahihi na usimamizi bora,unaweza kurejea katika asili yake ya kuumba kiumbe.

Na ushuhuda wao unatoa tumaini kuwa mabadiliko yanaweza kutokea.

SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM INAENDELEA NDANI YA MWEZI HUU WA 12…

Kupata maelekezo zaidi bonyeza link hapa chini👇👇

https://chat.whatsapp.com/LXiDgT0mFSGKEyijBqwW7w

Au piga simu no +255763205376

KABLA YA 2026 Usiendelee kungoja miujiza bila kuchukua hatua …..,wakati mwingine uzazi unahitaji mpango, nidhamu na kuju...
08/12/2025

KABLA YA 2026
Usiendelee kungoja miujiza bila kuchukua hatua …..,

wakati mwingine uzazi unahitaji mpango, nidhamu na kujua nini hasa kinafanya kazi.

Mirija iliyoziba inaweza kuchelewesha ndoto ya kuwa mama, lakini leo unaweza kuanza safari ya kuzifungua taratibu… hatua kwa hatua.

Katika post hii nimekuwekea mambo 7 muhimu ya kufanya kabla mwaka kuisha, ili kusaidia mwili wako kurekebisha uvimbe, kuondoa uchafu, kulainisha mirija na kurudisha uwezo wa mayai kupita kwa uhuru.

Tumekubaliana tunaingia 2026 tu kuwa Wazima na wajawazito 🔥🔥

🔥 Save ➕ Share ➕ DM

💬 K**a unataka mwongozo wa chakula, detox salama na mpangilio wa kurekebisha mirija hatua kwa hatua, pata dawa ya kuondoa sumu kwenye kizazi na virutubisho lishe vya kuzibua mirija yako na kukuwezesha kushika ujauzito…

Kupata maelekezo zaidi bonyeza link hii👇👇

https://chat.whatsapp.com/LXiDgT0mFSGKEyijBqwW7w

Au nitafute inbox au WhatsApp.

📲 0763 205 376

Mwili wako unaweza kupona, uzazi unaweza kurejea, na mwaka 2026 ukawa mwaka wa ushuhuda wako.

Mami oo!December hii hebu tuamue kulinda miili yetu dhidi ya maambukizi ya PID,PID isiwe tena mgeni anayejirudia bila ho...
06/12/2025

Mami oo!
December hii hebu tuamue kulinda miili yetu dhidi ya maambukizi ya PID,PID isiwe tena mgeni anayejirudia bila hodi ooooh

Hakuna tena kurudi kwenye maumivu, uchafu, kuungua, na antibiotics kila baada ya miezi miwili.
Safari mpya inaanza sasa!

📌 Mambo 10 ya kufanya mwezi huu ili PID isijirudie:
1. Osha ukeni kwa njia sahihi bila perfumed washes
2. Kunywa maji ya kutosha kila siku
3. Jenga kinga ya mwili kwa chakula bora
4. Epuka nguo za ndani zinazobana
5. Safisha mikono kabla & baada ya choo
6. Tumia probiotics/fermented foods
7. Epuka multiple partners na s*x bila kinga
8. Fuatilia matibabu hadi mwisho – usikatishe dawa
9. Detox ya uzazi mara moja kwa mwezi
10. Sikiliza mwili wako – dalili zikipanda, chukua hatua mapema!

Mwaka unaisha, afya mpya inaanza.
PID haipaswi kurudia kila mara

Je, upo tayari kufanya December kuwa mwezi wa kupona PID…?

Basi karibu kwa ushauri na matibabu dhabiti,kwa maelekezo zaidi bonyeza link hii👇👇

https://chat.whatsapp.com/LXiDgT0mFSGKEyijBqwW7w

Au piga simu/whatsap no:+255763205376

Address

Makumbusho
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mwanamke-Afya-Point posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Mwanamke-Afya-Point:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram