Mwanamke-Afya-Point

Mwanamke-Afya-Point Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mwanamke-Afya-Point, Medical and health, makumbusho, Dar es Salaam.

🩺a dedicated reproductive healthy consultant.

🤰 kwa afya Bora ya mfumo wa uzazi wa mwanamke.

🤦‍♀️ solution of depression in women

📚 Author of reproductive books

🌎 visit YouTube for educational vedios

Mungu akafungue Tumbo lako la uzazi likapokee baraka hii🙌Tunaendelea na SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM,program iliyo wasai...
06/11/2025

Mungu akafungue Tumbo lako la uzazi likapokee baraka hii🙌

Tunaendelea na SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM,program iliyo wasaidia wanawake wengi kushika ujauzito kiasili na kupata watoto waoo..,

Program hii Ina kuongezeka nafasi ya kushika ujauzito 🤰,Mara mbili zaidi…

K**a wewe ni mwanamke na upo kwenye makundi hayaaa

💧unataka kushika ujauzito kirahisi.

💧umetumia dawa nyingi bila mafanikio..

💧unahisi umri wako umekwenda..

💧unataka ukafanyiwe upandikizaji,

Basi JIUNGE na SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM,kupata maelekezo zaidi bonyeza link hii 👇👇
https://chat.whatsapp.com/Hvrg85LFpsrBzSSK5w2HKg?mode=wwt

Au piga simu /whatsapp no:+255763205376

Alikaa miaka 3 bila mtoto.Vipimo vilionyesha ana PID (maambukizi kwenye mfumo wa uzazi) na mvurugiko wa homoni,tatizo li...
05/11/2025

Alikaa miaka 3 bila mtoto.
Vipimo vilionyesha ana PID (maambukizi kwenye mfumo wa uzazi) na mvurugiko wa homoni,tatizo lililozuia mayai yake kupita kwenye mirija na kuzuia ujauzito na mayai kupevuka

Lakini hakukata tamaa. 💪
Alichukua hatua, akaamua kujiunga na SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM
program inayosaidia mwanamke kusafisha mwili, kutuliza homoni, na kuandaa tumbo la uzazi kwa njia ya asili.

Baada ya miezi michache ya kufuata program, aka pona pid na leo hii, ni Mjamzito

Huu ni ushuhuda wa kuwa, mwili unapopewa mazingira sahihi, huweza kupona na kutengeneza maisha mapya.

Mungu akafungue Tumbo lako la uzazi likapokee baraka hii🙌

Tunaendelea na SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM,program iliyo wasaidia wanawake wengi kushika ujauzito kiasili na kupata watoto waoo..,

Program hii Ina kuongezeka nafasi ya kushika ujauzito 🤰,Mara mbili zaidi…

K**a wewe ni mwanamke na upo kwenye makundi hayaaa

💧unataka kushika ujauzito kirahisi.

💧umetumia dawa nyingi bila mafanikio..

💧unahisi umri wako umekwenda..

💧unataka ukafanyiwe upandikizaji,

Basi JIUNGE na SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM,kupata maelekezo zaidi bonyeza link hii 👇👇
https://chat.whatsapp.com/Hvrg85LFpsrBzSSK5w2HKg?mode=wwt

Au piga simu /whatsapp no:+255763205376

05/11/2025

Mwanamke mpendwa
Kipindi cha ovulation ndicho moyo wa uzazi wako ❤️
na nyuma ya tukio hilo zuri kuna homoni tatu muhimu zinazoshirikiana kwa ustadi wa kipekee:

1️⃣ FSH (Follicle Stimulating Hormone) – inasaidia ukuaji wa mayai ndani ya ovari.

2️⃣ Oestrogen – inapoongezeka, inaandaa ukuta wa kizazi (uterus) kupokea mimba na kuashiria yai kukomaa.

3️⃣ LH (Luteinizing Hormone) – inapopanda ghafla, ndiyo inasababisha yai kupevuka na kutoka — hii ndiyo ovulation day yako!

Ndiyo maana kuelewa mzunguko wako ni muhimu sana ukiwa unatafuta ujauzito.

Homoni hizi zinahitaji uwiano sahihi ukivurugika kidogo tu, ovulation inaweza kuchelewa au kutotokea kabisa.

🩷 Ndani ya SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM,
tunasaidia mwili wako kurudisha usawa wa homoni kwa njia asilia kupitia:
💧detox sahihi ili kuondoa sumu

💧lishe bora na virutubisho vinavyosaidia uzalishaji wa homoni,

💧na utulivu wa akili na mwili.

💧kisha unatumia virutubisho lishe sahihi kwa kuweka homoni zako sawa…

Kupata maelekezo zaidi kuhusu SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM,bonyeza link hapo chini👇👇

https://chat.whatsapp.com/Hvrg85LFpsrBzSSK5w2HKg?mode=wwt

Au piga simu /whatsap no:+255763205376

05/11/2025

Mungu akafungue Tumbo lako la uzazi likapokee baraka hii🙌

Tunaendelea na SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM,program iliyo wasaidia wanawake wengi kushika ujauzito kiasili na kupata watoto waoo..,

Program hii Ina kuongezeka nafasi ya kushika ujauzito 🤰,Mara mbili zaidi…

K**a wewe ni mwanamke na upo kwenye makundi hayaaa

💧unataka kushika ujauzito kirahisi.

💧umetumia dawa nyingi bila mafanikio..

💧unahisi umri wako umekwenda..

💧unataka ukafanyiwe upandikizaji,

Basi JIUNGE na SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM,kupata maelekezo zaidi bonyeza link hii 👇👇
https://chat.whatsapp.com/Hvrg85LFpsrBzSSK5w2HKg?mode=wwt

Au piga simu /whatsapp no:+255763205376

04/11/2025

Uvimbe kwenye mji wa mimba (fibroids) unaweza kuwa kikwazo kisichoonekana ,lakini chenye nguvu kubwa ya kuzuia ujauzito.

Uvimbe Unapokuwa mkubwa au katika sehemu fulani, unaharibu umbo la mji wa mimba, kufanya mayai yasipandikizwe vizuri au mimba kushindwa kukua.

Wengine hutafuta mimba miaka mingi bila kujua tatizo lipo kwenye umbo la mji wa mimba lilioharibika kwa sababu ya uvimbe.

Lakini habari njema ni kwamba 🌿 mwili unaweza kutengenezwa tena!
Kupitia detox sahihi, lishe ya uzazi, dawa na mpangilio mzuri wa homoni, mji wa mimba unaweza kurejea katika hali yake ya asili na kuruhusu upandikizaji wa mimba kutokea.

💜 Ndiyo maana ndani ya SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM, tunaanza kwa kusafisha mwili na kurejesha mazingira ya uzazi kabla ya chochote kingine.

program iliyo wasaidia wanawake wengi kushika ujauzito kiasili na kupata watoto waoo..,

SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM ,Ina kuongezeka nafasi ya kushika ujauzito 🤰,Mara mbili zaidi…

K**a wewe ni mwanamke na upo kwenye makundi hayaaa

💧unauvimbe na hautaki kufanyiwa upasuaji..

💧unataka kushika ujauzito kirahisi.

💧umetumia dawa nyingi bila mafanikio..

💧unahisi umri wako umekwenda..

💧unataka ukafanyiwe upandikizaji,

Basi JIUNGE na SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM,kupata maelekezo zaidi bonyeza link hii 👇👇

https://chat.whatsapp.com/Hvrg85LFpsrBzSSK5w2HKg?mode=wwt

Au piga simu /whatsapp no:+255763205376

Alikaa miaka 10 bila mtoto.Tatizo la mvurugiko wa homoni lilimtesa,Ndoa ikaanza kuwa changuu😢Lakini hakukata tamaa. 💪Ali...
28/10/2025

Alikaa miaka 10 bila mtoto.
Tatizo la mvurugiko wa homoni lilimtesa,Ndoa ikaanza kuwa changuu😢

Lakini hakukata tamaa. 💪
Alichukua hatua, akaamua kujiunga na SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM —
program inayosaidia mwanamke kusafisha mwili, kutuliza homoni, na kuandaa tumbo la uzazi kwa njia ya asili.

Baada ya miezi michache ya kufuata program na kutumia dawa,mwili wake ulianza kujibu tofauti…
na leo hii, ni Mjamzito 🥳🥳🥳🥳🤰🤰

Huu ni ushuhuda wa kuwa, mwili unapopewa mazingira sahihi, huweza kupona na kutengeneza maisha mapya.

Mungu akafungue Tumbo lako la uzazi likapokee baraka hii🙌

Tunaendelea na SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM,program iliyo wasaidia wanawake wengi kushika ujauzito kiasili na kupata watoto waoo..,

Program hii Ina kuongezeka nafasi ya kushika ujauzito 🤰,Mara mbili zaidi…

K**a wewe ni mwanamke na upo kwenye makundi hayaaa

💧unataka kushika ujauzito kirahisi.

💧umetumia dawa nyingi bila mafanikio..

💧unahisi umri wako umekwenda..

💧unataka ukafanyiwe upandikizaji,

Basi JIUNGE na SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM,kupata maelekezo zaidi bonyeza link hii 👇👇
https://chat.whatsapp.com/Hvrg85LFpsrBzSSK5w2HKg?mode=wwt

Au piga simu /whatsapp no:+255763205376

#

Kabla ya kuanza kutumia dawa au virutubisho, hakikisha kwanza umetengeneza mazingira safi ndani ya mwili wako kwa maana ...
28/10/2025

Kabla ya kuanza kutumia dawa au virutubisho, hakikisha kwanza umetengeneza mazingira safi ndani ya mwili wako
kwa maana mwili uliojaa sumu haupokei vizuri chochote kipya.

Uondoaji wa sumu,ni hatua ya kwanza ya uponyaji wa uhakika
Unaposafisha mwili, seli zako zinaanza kufanya kazi kwa ufanisi, homoni zako zinatulia, na virutubisho vinapata nafasi ya kufanya kazi ipasavyo.

Ndiyo maana ndani ya SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM, tunaanza na kuondoa sumu mwili mzima kabla ya hatua nyingine yoyote ya matibabu.

SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM, Ina kuongezeka nafasi ya kushika ujauzito 🤰,Mara mbili zaidi…

K**a wewe ni mwanamke na upo kwenye makundi hayaaa

💧unataka kushika ujauzito kirahisi.

💧umetumia dawa nyingi bila mafanikio..

💧unahisi umri wako umekwenda..

💧unataka ukafanyiwe upandikizaji,

Basi JIUNGE na SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM,kupata maelekezo zaidi bonyeza link hii 👇👇
https://chat.whatsapp.com/Hvrg85LFpsrBzSSK5w2HKg?mode=wwt

Au piga simu /whatsapp no:+255763205376

28/10/2025

Mwanamke mpendwa
Kila siku jinenenee mema — maneno yako yana nguvu kuliko unavyofikiri….

Ukisema “Ninaamini nitashika mimba,” mwili wako unaanza kujibu kwa imani hiyo….

Lakini ukisema “Sijui k**a nitapata mimba,” unavunja nguvu ya mwili na akili yako polepole.

Kumbuka: Kila kitu kinaanza kwenye fikra zako, halafu kinafuata kwenye mwili wako.

Ndio maana ndani ya SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM, tunaanza safari kwa kusafisha mwili, kutuliza akili, na kujenga imani ya ndani,ndipo unapo tumia dawa zako za uzazi

Tunakusaidia kuungana na mwili wako tena ,kimwili, kihisia, na kiroho ,ili mwili uwe tayari kupokea ujauzito.

🩷 Jinenenee leo:

“Mimi ni mwanamke mwenye uwezo wa kushika mimba.”..

“Mwili wangu unafanya kazi kwa ufanisi.”..

“Niko karibu kuwa mama.”

Kupata maelekezo zaidi kuhusu SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM,bonyeza link hapo chini👇👇

https://chat.whatsapp.com/Hvrg85LFpsrBzSSK5w2HKg?mode=wwt

Au piga simu /whatsap no:+255763205376

Alikaa miaka 7 bila mtoto.Kila mwezi alikuwa na matumaini,Vipimo vilionyesha ana PID (maambukizi kwenye mfumo wa uzazi) ...
27/10/2025

Alikaa miaka 7 bila mtoto.
Kila mwezi alikuwa na matumaini,
Vipimo vilionyesha ana PID (maambukizi kwenye mfumo wa uzazi) ,tatizo lililozuia mayai yake kupita kwenye mirija na kuzuia ujauzito.

Lakini hakukata tamaa. 💪
Alichukua hatua, akaamua kujiunga na SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM —
program inayosaidia mwanamke kusafisha mwili, kutuliza homoni, na kuandaa tumbo la uzazi kwa njia ya asili.

Baada ya miezi michache ya kufuata program, mwili wake ulianza kujibu tofauti…
na leo hii, anabeba mtoto wake wa k**e mwenye afya njema mikononi! 🧑‍🍼

Huu ni ushuhuda wa kuwa, mwili unapopewa mazingira sahihi, huweza kupona na kutengeneza maisha mapya.

Mungu akafungue Tumbo lako la uzazi likapokee baraka hii🙌

Tunaendelea na SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM,program iliyo wasaidia wanawake wengi kushika ujauzito kiasili na kupata watoto waoo..,

Program hii Ina kuongezeka nafasi ya kushika ujauzito 🤰,Mara mbili zaidi…

K**a wewe ni mwanamke na upo kwenye makundi hayaaa

💧unataka kushika ujauzito kirahisi.

💧umetumia dawa nyingi bila mafanikio..

💧unahisi umri wako umekwenda..

💧unataka ukafanyiwe upandikizaji,

Basi JIUNGE na SHIKA MIMBA KIRAHISI PROGRAM,kupata maelekezo zaidi bonyeza link hii 👇👇
https://chat.whatsapp.com/Hvrg85LFpsrBzSSK5w2HKg?mode=wwt

Au piga simu /whatsapp no:+255763205376

Address

Makumbusho
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mwanamke-Afya-Point posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Mwanamke-Afya-Point:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram