BLN-HealthCare

BLN-HealthCare Ninawasaidia Wanawake kuondoa changamoto zao za kiafya Kwa Program Maalum

Karibu Nikuhudumie...

_*Hupotezi afya yako kwa sababu haina tiba. Unapoteza kwa sababu huoni suluhisho sahihi.*_Wanawake wengi wamepambana na ...
23/09/2025

_*Hupotezi afya yako kwa sababu haina tiba. Unapoteza kwa sababu huoni suluhisho sahihi.*_

Wanawake wengi wamepambana na tatizo la uchafu, muwasho na maumivu ya PID kwa muda mrefu. Wengine wamejaribu dawa mara nyingi, lakini bado tatizo linaendelea kurudi. Hii siyo kwa sababu matatizo haya hayana tiba ni kwa sababu hawajapata suluhisho sahihi lenye kushughulikia mzizi wa tatizo.

Package Maalum ya Afya ya Mwanamke ipo kuziba pengo hilo.

Changamoto sio wewe, sio mwili wako, changamoto ni kutopata tiba inayotibu chanzo na kuondoa maambukizi kabisa. Ndiyo maana nimekuandalia Package hii ya Kipekee, iliyoundwa mahsusi kusaidia wanawake kusafisha mwili, kuondoa vijidudu na kurejesha afya ya uzazi.

Kupitia Package hii, utapata matokeo ambayo yanakusaidia:
✅ Kuondoa kabisa uchafu usio wa kawaida na harufu mbaya ukeni
✅ Kupunguza na kuondoa muwasho unaokuletea kero na aibu
✅ Kutibu na kuponya PID (Pelvic Inflammatory Disease) ili urejeshe afya ya uzazi na nguvu zako
✅ Kujisikia huru na kujiamini tena kwenye mwili wako

Niruhusu nikusaidie kugeuza changamoto zako kuwa ushuhuda wa uponyaji na furaha.
Dr Baraka +255752927862

Namna ya Mwanamke Kujijengea Positive Mindset Kuhusu Afya Yake👉. KujielimishaJifunze kuhusu mwili wako na afya ya mwanam...
22/09/2025

Namna ya Mwanamke Kujijengea Positive Mindset Kuhusu Afya Yake

👉. Kujielimisha

Jifunze kuhusu mwili wako na afya ya mwanamke (mfano: hedhi, uzazi, lishe, usafi).

Elimu hufukuza hofu na kuongeza ujasiri wa kujitunza.

👉. Kuthamini Mwili Wako

Jikubali jinsi ulivyo, usijilinganishe na wengine.

Mwili wako ni nyumba ya maisha yako unastahili kutunzwa.

👉. Kujiwekea Malengo ya Afya

Mfano: kunywa maji ya kutosha, kufanya mazoezi mara tatu kwa wiki, au kupunguza sukari.

Malengo madogo yanapofikiwa, hujenga imani chanya.

👉. Kufikiri Chanya (Positive Self-talk)

Badili maneno ya kujilaumu kwa maneno ya kujiimarisha.

Badala ya kusema “Mimi ni dhaifu”, sema “Ninaanza hatua ndogo za kujitunza.”

👉. Kuwa na Mtazamo wa Kuzuia Magonjwa (Prevention mindset)

Angalia afya siyo tu wakati wa ugonjwa, bali kila siku.

Kila hatua ya usafi, lishe bora, na kupumzika ni uwekezaji wa afya ya baadaye.

👉. Kujizungusha na Mazingira Chanya

Kuwa karibu na marafiki au vikundi vinavyohamasisha afya.

Epuka watu au mitazamo inayokudharau au kupuuza umuhimu wa kujitunza.

👉. Kuweka Kipaumbele kwa Afya ya Akili na Hisia

Pumzika, omba/meditate, na punguza msongo wa mawazo.

Mwanamke mwenye amani ya akili hujijengea pia kinga imara ya mwili.

👉. Kusherehekea Hatua Ndogo

Ukipunguza kilo 1, ukikunywa maji kwa wiki nzima, au ukijifunza jambo jipya kuhusu afya – sherehekea hatua hiyo.

Kila hatua ndogo ni ushindi mkubwa.

Kauli ya Kukuza Positive Mindset:

_"Afya yangu ni zawadi, na mimi ndiye msimamizi wake. Kila siku nachagua kuutunza mwili wangu kwa upendo na nidhamu."_

_🎯Mambo Usiyoyajua Kuhusu Uvimbe Kwenye Kizazi (Fibroids)..._Ipo hivi — Baada ya kugundulika una fibroids…↳ Ni kawaida k...
20/08/2025

_🎯Mambo Usiyoyajua Kuhusu Uvimbe Kwenye Kizazi (Fibroids)..._

Ipo hivi — Baada ya kugundulika una fibroids…

↳ Ni kawaida kuhangaika na maumivu makali ya tumbo la chini, hasa kipindi cha hedhi...

↳ Hedhi nzito yenye mabonge mabonge ya damu hadi kufikia kuishiwa damu (anemia) ni changamoto ya kila mwezi...

↳ Kwa baadhi ya wanawake, fibroids hufanya tumbo kuvimba kana kwamba ni ujauzito wa miezi kadhaa...

↳ Wakati mwingine huchochea kutoishi vizuri kimahusiano kwa sababu ya maumivu wakati wa tendo la ndoa...

↳ Na ikizidi, huweza kusababisha ugumba au mimba kuharibika mara kwa mara...

_NB: Hayo ni machache tu kati ya athari nyingi za fibroids ambazo lazima uzifahamu mapema kabla hazijakuletea madhara makubwa…_

Fibroids zinaweza kuzuilika na kudhibitika. Siku zote kinga ni bora kuliko tiba.

👉 Badilisha mtindo wa maisha yako sasa ili kuepuka mateso ya baadaye.

Najua utaniuliza: _“Je? Nitawezaje Kuepuka au Kudhibiti Fibroids?”_

_Piga 0693786875_

17/08/2025
*Njia Mpya ya Kuepuka Madhara ya Uzazi wa Mpango wa Kisasa..*Wanawake wengi hutumia uzazi wa mpango bila kujua madhara y...
14/08/2025

*Njia Mpya ya Kuepuka Madhara ya Uzazi wa Mpango wa Kisasa..*

Wanawake wengi hutumia uzazi wa mpango bila kujua madhara yake ya muda mrefu. Kabla ya kujua jinsi ya kuepuka, kwanza tuelewe njia hizi na hatari zake.

Njia za Kisasa

1. Vidonge (pills)

2. Sindano

3. Vipandikizi (implants)

4. Kitanzi (IUD)

5. Kondomu

Madhara Yanayoweza Kutokea

🎯Kuvurugika kwa homoni

🎯Kuongezeka uzito au kupungua ghafla

🎯Maumivu ya kichwa / kizunguzungu

🎯Kukosa au kubadilika kwa siku za hedhi

🎯Kupungua hamu ya tendo la ndoa

🎯Hatari ya uvimbe au cyst

Siri ya Kuepuka Madhara
✔ Chagua njia salama zaidi kulingana na mwili wako
✔ Fanya uchunguzi wa afya kabla ya kuanza
✔ Tumia lishe na virutubisho vinavyolinda homoni
✔ Fuatilia mabadiliko ya mwili kila baada ya muda

_Kumbuka:_ Kinga bora ni ile inayolinda afya yako ya uzazi bila kuharibu mwili wako.

Chakula cha Kuimarisha Mifupa na Afya ya Uzazi wa MwanamkeAfya ya mifupa na afya ya uzazi wa mwanamke zina uhusiano wa k...
13/08/2025

Chakula cha Kuimarisha Mifupa na Afya ya Uzazi wa Mwanamke

Afya ya mifupa na afya ya uzazi wa mwanamke zina uhusiano wa karibu sana. Mifupa imara haijengi tu nguvu za mwili, bali pia huathiri moja kwa moja mfumo wa homoni na afya ya viungo vya uzazi. Wanawake hukabili changamoto k**a kupungua kwa wingi wa mifupa (osteoporosis) na mabadiliko ya homoni hasa wakati wa ujauzito, baada ya kujifungua, au kuingia ukomo wa hedhi.

Kuna vyakula ambavyo husaidia kulinda mifupa na pia kusaidia afya ya uzazi:
Cheese – Tajiri wa kalsiamu, muhimu kwa mifupa imara na pia kusaidia misuli ya nyonga kufanya kazi vizuri wakati wa ujauzito na kujifungua.
Broccoli – Ina vitamini K na kalsiamu, vinavyosaidia kuganda kwa damu na kuimarisha mifupa ya mama na mtoto.
Salmon – Chanzo kizuri cha vitamini D na omega-3 ambazo huimarisha homoni na kusaidia afya ya mayai ya uzazi.
Spinach – Hutoa magnesiamu na kalsiamu, husaidia kupunguza maumivu ya hedhi na kulinda mifupa.
Orange – Ina vitamini C kwa ajili ya kuongeza kolajeni, ambayo huimarisha mifupa na tishu za uzazi.
Yogurt – Ina probiotics kwa afya ya uke na utumbo, pamoja na kalsiamu na vitamini D kwa mifupa.
Almonds – Zimejaa magnesiamu na kalsiamu, husaidia utengenezaji wa homoni na kuimarisha mifupa.

✅ Mwanamke anapolinda mifupa yake, anaimarisha pia uwezo wa mwili wake kubeba mimba kwa afya, kuepuka matatizo ya nyonga, na kubaki na nguvu hata baada ya umri wa kuzaa kupita.

Haya Hapa Mambo 10 muhimu ya kuzingatia k**a una uvimbe kwenye kizazi (mfano: fibroids, ovarian cysts au uvimbe wa aina ...
08/08/2025

Haya Hapa Mambo 10 muhimu ya kuzingatia k**a una uvimbe kwenye kizazi (mfano: fibroids, ovarian cysts au uvimbe wa aina nyingine):
___________________________
✅ 10. Pata Uchunguzi wa Kitaalamu (Ultrasound)
Uvimbe wa kizazi unatofautiana kwa ukubwa, aina na madhara. Ni muhimu kufanyiwa ultrasound au kipimo kingine cha kitaalamu kuthibitisha aina ya uvimbe.

✅ 9. Tambua Dalili Zinazoambatana Na Uvimbe Huo

Dalili zinaweza kujumuisha:
▫️Hedhi nzito au isiyo ya kawaida
▫️Maumivu ya tumbo au kiuno
▫️Kujaa sana tumbo (bloating)
▫️Maumivu wakati wa tendo la ndoa
▫️Kukojoa mara kwa mara

✅ 8 Epuka Chakula Chenye Mafuta Mengi

Chakula k**a nyama nyekundu, vyakula vya kukaanga, na bidhaa za maziwa zenye mafuta mengi vinaweza kuchochea ukuaji wa uvimbe.

✅ 7. Tumia Lishe Asilia Inayosaidia Homoni

_Lishe bora inaweza kusaidia kudhibiti ukuaji wa uvimbe:_
▫️Mboga za majani (spinach, broccoli, n.k.)
▫️Matunda yenye antioxidants (parachichi, zabibu, tikiti maji)
▫️Mbegu k**a za maboga, chia, linseed

✅ 6. Kuwa Makini na Mzunguko wa Hedhi
Fuatilia mabadiliko yoyote kwenye hedhi yako. Hedhi isiyo ya kawaida inaweza kuwa ishara kuwa uvimbe unakua au unaathiri homoni.

✅ 5. Punguza Msongo wa Mawazo (Stress)
Msongo huathiri homoni za mwili na unaweza kuchangia ukuaji wa uvimbe. Tumia mbinu k**a:

▫️Meditation
▫️Mazoezi ya kawaida
▫️Usingizi wa kutosha

✅ 4. Epuka Matumizi Holela ya Vidonge vya Uzazi wa Mpango
Vidonge hivi vinaweza kuathiri homoni na wakati mwingine kuchangia ukuaji wa uvimbe.

Zungumza na Mtaalamu kabla ya kuvitumia.

✅ 3. Fanya Mazoezi Mara kwa Mara
▫️Mazoezi husaidia kudhibiti uzito na kuboresha usawa wa homoni.

Fanya angalau dakika 30 kwa siku mara 4–5 kwa wiki.

✅ 2. Tumia Package kwa Ushauri wa Mtaalamu
Program Maalum Kwa Package Maalum Ina Uwezo wa Kuondoa Uvimbe Kwenye Uterus,kwenye Mayai na Kurekebisha Hormones na Hatimae Kuondoa Chanzo Cha Uvimbe Kabisa

✅ 1. Fuatilia Maendeleo ya Package na Dose Yako

Unapoanza Tuu Dose Kila baada ya Week Unafuatilia Maendeleo Yako Kupitia Yale unayoyaona Kila Baada ya Matumizi ya Package kwa Ukiongozwa Na Mtaalamu..

📢 JE UNASUMBULIWA NA UVIMBE KWENYE KIZAZI AU MAYAI?

▫️Tunayo Tiba nzuri ya kumaliza kabisa uvimbe bila ya upasuaji!
Program yetu hufanyika kwa haraka zaidi na ina matokeo ya kuaminika.

Hatua ya kwanza: Wasiliana nasi ili kupata Package Yako kwa wakati sahihi

📌 FAIDA 7 ZA KUJUA SIKU YA OVULATION HATA K**A HUTAKI KUSHIKA MIMBA___________________________👉 Wengi hudhani siku ya ov...
08/08/2025

📌 FAIDA 7 ZA KUJUA SIKU YA OVULATION HATA K**A HUTAKI KUSHIKA MIMBA
___________________________
👉 Wengi hudhani siku ya ovulation ni muhimu tu kwa wanaotafuta mimba. Ukweli ni kwamba, kila mwanamke anapaswa kuelewa ovulation yake – hata k**a hataki kupata mtoto kwa sasa.

🔽 Zifuatazo ni faida 7 za kujua ovulation yako kwa usahihi:

1. ✅ Unajua lini uko kwenye hatari kubwa ya kushika mimba
– Husaidia kuepuka mimba zisizotarajiwa kwa kutumia njia sahihi katika siku hizo.

2. ✅ Unajua lini uko salama kufanya tendo la ndoa bila hofu
– Hii ni msingi wa uzazi wa mpango wa asili (Natural Family Planning).

3. ✅ Huongeza uelewa wa afya yako ya uzazi
– Dalili zako za mwili k**a ute, joto la mwili, maumivu madogo nk. huanza kuwa na maana.

4. ✅ Huwezesha kugundua mapema matatizo ya uzazi
– Kukosa ovulation au ovulation isiyo ya kawaida inaweza kuwa ishara ya tatizo.

5. ✅ Husaidia kugundua mabadiliko ya homoni
– Ovulation huathiri hisia, hamu ya tendo, hali ya ngozi, na hamu ya kula.

6. ✅ Huimarisha uhusiano wa kimapenzi kwa kupanga tendo kwa makubaliano
– Wapenzi huweza kuelewana vizuri zaidi kuhusu siku salama na zisizo salama.

7. ✅ Huongeza nidhamu na upendo kwa mwili wako
– Mwanamke anayefuatilia mzunguko wake huanza kuheshimu mwili wake na afya yake.

Haya Hapa Mambo 10 muhimu ya kuzingatia k**a una uvimbe kwenye kizazi (mfano: fibroids, ovarian cysts au uvimbe wa aina ...
07/08/2025

Haya Hapa Mambo 10 muhimu ya kuzingatia k**a una uvimbe kwenye kizazi (mfano: fibroids, ovarian cysts au uvimbe wa aina nyingine):
___________________________
✅ 10. Pata Uchunguzi wa Kitaalamu (Ultrasound)
Uvimbe wa kizazi unatofautiana kwa ukubwa, aina na madhara. Ni muhimu kufanyiwa ultrasound au kipimo kingine cha kitaalamu kuthibitisha aina ya uvimbe.

✅ 9. Tambua Dalili Zinazoambatana Na Uvimbe Huo

Dalili zinaweza kujumuisha:
▫️Hedhi nzito au isiyo ya kawaida
▫️Maumivu ya tumbo au kiuno
▫️Kujaa sana tumbo (bloating)
▫️Maumivu wakati wa tendo la ndoa
▫️Kukojoa mara kwa mara

✅ 8. Epuka Chakula Chenye Mafuta Mengi

Chakula k**a nyama nyekundu, vyakula vya kukaanga, na bidhaa za maziwa zenye mafuta mengi vinaweza kuchochea ukuaji wa uvimbe.

✅ 7. Tumia Lishe Asilia Inayosaidia Homoni

Lishe bora inaweza kusaidia kudhibiti ukuaji wa uvimbe:
▫️Mboga za majani (spinach, broccoli, n.k.)
▫️Matunda yenye antioxidants (parachichi, zabibu, tikiti maji)
▫️Mbegu k**a za maboga, chia, linseed

✅ 6. Kuwa Makini na Mzunguko wa Hedhi
Fuatilia mabadiliko yoyote kwenye hedhi yako. Hedhi isiyo ya kawaida inaweza kuwa ishara kuwa uvimbe unakua au unaathiri homoni.

✅ 5. Punguza Msongo wa Mawazo (Stress)
Msongo huathiri homoni za mwili na unaweza kuchangia ukuaji wa uvimbe. Tumia mbinu k**a:

▫️Meditation
▫️Mazoezi ya kawaida
▫️Usingizi wa kutosha

✅ 4. Epuka Matumizi Holela ya Vidonge vya Uzazi wa Mpango
Vidonge hivi vinaweza kuathiri homoni na wakati mwingine kuchangia ukuaji wa uvimbe.

Zungumza na Mtaalamu kabla ya kuvitumia.

✅ 3. Fanya Mazoezi Mara kwa Mara
▫️Mazoezi husaidia kudhibiti uzito na kuboresha usawa wa homoni.

Fanya angalau dakika 30 kwa siku mara 4–5 kwa wiki.

✅ 2. Tumia Package kwa Ushauri wa Mtaalamu
Program Maalum Kwa Package Maalum Ina Uwezo wa Kuondoa Uvimbe Kwenye Uterus,kwenye Mayai na Kurekebisha Hormones na Hatimae Kuondoa Chanzo Cha Uvimbe Kabisa

✅ 1. Fuatilia Maendeleo ya Package na Dose Yako

Unapoanza Tuu Dose Kila baada ya Week Unafuatilia Maendeleo Yako Kupitia Yale unayoyaona Kila Baada ya Matumizi ya Package kwa Ukiongozwa Na Mtaalamu..

📢 JE UNASUMBULIWA NA UVIMBE KWENYE KIZAZI AU MAYAI?

▫️Tunayo Tiba nzuri ya kumaliza kabisa uvimbe bila ya upasuaji!
Program yetu hufanyika kwa haraka zaidi na ina matokeo ya kuaminika.

Hatua ya kwanza: Wasiliana nasi ili kupata Package Yako kwa wakati sahihi

Kabla hujasema U.T.I yako haisikii dawa, wala kabla hujaja inbox kunambia kuwa una UTI SUGU na ya muda mrefuAndaa lita m...
06/08/2025

Kabla hujasema U.T.I yako haisikii dawa, wala kabla hujaja inbox kunambia kuwa una UTI SUGU na ya muda mrefu

Andaa lita moja ya maji kwenye sufuria

Chukua majani ya mpera chemsha pamoja na limao (ondoa mbegu na maganda ya limao ili kuepuka dawa yako kuwa chungu)

Chemsha vyote kwa muda wa dakika kadhaa kisha ipua,

Utakunywa kutwa mara tatu, asubuhi mchana na jioni, nusu kikombe cha chai katika kila awamu inatosha

Formula hii haifai kwa mjamzito

Usiache Kumfundisha Mwingine...!

Address

Makumbusho
Dar Es Salaam

Opening Hours

Tuesday 08:00 - 12:00
Wednesday 08:00 - 12:00
Thursday 08:00 - 12:00
Sunday 08:00 - 14:00

Telephone

+255693786875

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when BLN-HealthCare posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to BLN-HealthCare:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram