24/04/2023
Unatumia dawa ipi kwa sasa kurekebisha homoni na mpangilio wa hedhi.
Wakati ukiendelea na tiba zako namna homework ya kuzingatia kila siku walau kwa mwezi mmoja kisha uje na mrejesho
Haijalishi unaishi mazingira yapi au uchumi wako ukoje, jitahidi kuweka ulazima wa Kula parachichi zima 1 kila siku k**a huwezi walau kipande kimoja cha parachichi.
Tumia vyakula vya wanga kwa kiwango kidogo, vyakula k**a Mahindi, Ugali na Dona, Viazi, Mihogo, Ndizi, Tambi n.k, ila ongeza wingi wa mboga za majani na matunda.
Epuka kahawa, chai ya rangi, soda nyeusi na vinywaji vingine vyote vyenye kiwango kingi cha kafeina ndani yake
Relax na jipe tumaini jema, punguza msongo wa mawazo (stress) na hakikisha unapata usingizi wa kutosha kila siku (masaa walau 8-10) k**a hupati usingizi jitahidi kunywa glass ya maziwa fresh yaliyotiwa mdalasini na vijiko kadhaa vya asali mbichi, inaleta usingizi kuliko kumeza pilitoni
Usitumie vidonge vya uzazi wa mpango k**a unahitaji kuweka homoni zako sawa
Kuna vyakula tunafosi kuvitumia ila havina ulazima wowote wala havina faida mwilini, vyakula k**a chipsi, chapati, vinywaji k**a soda vinavuruga sana homoni na uzito wa mwili.... Usishindane na utandawazi kula kiasi kawaida uijenge Afya yako
Kunywa chai yako yenye tangawizi, mdalasini, iliki na mchaichai
K**a utaweza kupata Unga Wa Mbegu Ya Parachichi utumie.
Weka kijiko kimoja cha unga wa mbegu ya parachichi kwenye kikombe cha chai, unasaidia kuondoa tindikali mwilini kwa ndugu zangu ambao mmetumia au mnatumia sana uzazi wa mpango, sindano, p2, vidonge n.k
Weka nia, chukua hatua ndani ya wiki 3 hadi 4 uje na mrejesho wako
Anyway,Nambie kwa sasa unapitia changamoto gani kati ya hizi, nikusaidie kuzitatua;
• Fangasi , U.T.I au P.I.D sugu...au Mirija ya Uzazi imeziba au kujaa maji...!
• Una uvimbe kwenye vifuko vya mayai au kwenye fuko la uzazi yaani FIBROIDS or OVARIAN CYSTS...!
• Hedhi yako haina mpangilio maalumu au umekuwa ukitafuta ujauzito bila mafanikio.Huna hisia wala huna ute wakati wa tendo / siku za hatari.
Niandikie changamoto yako ya uzazi kwenda WhatsApp namba 0767202621, kupata msaada zaidi. .kimbokatz