Afya ya Mifupa na Mwili

  • Home
  • Afya ya Mifupa na Mwili

Afya ya Mifupa na Mwili Karibu tukusaidie kuondoa tatizo la maumivu ya viungo mgongo, magoti, kiuno n.k. Pia tunakusaidia kupunguza uzito kwa kutumia virutubisho sahihi na sio dawa.

tunafanya delivery mikoa yote. Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi/ Whatsapp Call no: 0714932552

Hii Ni kwa ajiri ya Watu ambao Magoti yao yanajaa maji au Kuvimba (knee effusion).◾Magoti Kuvimba (Knee Effusion)Ni Hali...
28/01/2022

Hii Ni kwa ajiri ya Watu ambao Magoti yao yanajaa maji au Kuvimba (knee effusion).

◾Magoti Kuvimba (Knee Effusion)
Ni Hali ya magoti kupata maumivu na kujaa maji kuzunguka kwenye kofia ya goti.Msuguano wa mifupa kwenye magoti husababisha tishu kukusanya maji kwenye goti na goti kuwa la Moto.

◾Dalili Za Kuvimba Kwa Magoti

1.kujaa maji
2.kushindwa kukunja goti
3.Maumivu makali na kuwaka Moto
4.Kushindwa kuchuchuma
5.Kukaza kwa Misuli inayozunguka goti.

◾Sababu Za Kuvimba kwa Magoti

1.Gout
2.Umri hususani kwa wazee
3.Magoti kutumika sana(over use) K**a mpirani ,mashindano ya mbio na mazoez ya viungo kupita kiasi
4.Rheumatoid arthritis
5.Ajali
6.Uzito mkubwa
◾Tahadhari nakushauri usije yavuta Yale maji kwa sindano madhara yake watu wengi katika research zilizofanywa wamekak**aa magoti na kutengeneza kilema .

◾Wasiliana nasi kwaajili ya kupata suluhisho la maumivu unayopitia.

☎️WhatsApp/ Call 0714932552

Feedback kutokwa kwa Mpendwa Mteja ambaye ameondokana na tatizo la kukosa choo. Sasa anasema anapata lazima apate choo a...
27/01/2022

Feedback kutokwa kwa Mpendwa Mteja ambaye ameondokana na tatizo la kukosa choo. Sasa anasema anapata lazima apate choo asubuhi mpk anaskia raha.

Ni muhimu kusafisha miili yetu hata mara 2 kwa mwezi ili kuondoa taka mwili zilizomo ndani ya miili yetu. Hii husaidia kuepukana na magonjwa nyemelezi ya mara kwa mara.

Karibu upate ushauri wa kiafya

☎️ Whatsapp / Call 0714932552

Feedback kutokwa kwa Mpendwa Mteja ambaye alikuwa anasumbuliwa na maumivu ya mgongo na kuwaka moto sasa hasikii tena mau...
27/01/2022

Feedback kutokwa kwa Mpendwa Mteja ambaye alikuwa anasumbuliwa na maumivu ya mgongo na kuwaka moto sasa hasikii tena maumivu.

K**a nawe unapitia tatizo la maumivu ya viungo usiyavumilie tu bila kupata suluhisho la tatizo lako. Usije kuchelewa tatizo likawa kubwa.

Tumia virutubisho lishe k**a chakula usije ukatumia dawa k**a chakula.

☎️ WhatsApp/ Call 0714932552



Usiendelee kuteseka na maumivu ya kiuno tena. SULUHISHO LIPO LA TATIZO LAKO. NJOO VIRUTUBISHO LISHE KWAAJILI YA KUONDOA ...
27/01/2022

Usiendelee kuteseka na maumivu ya kiuno tena.

SULUHISHO LIPO LA TATIZO LAKO. NJOO VIRUTUBISHO LISHE KWAAJILI YA KUONDOA MAUMIVI MAKALI YA NYONGA.

☎️ 0714932552


Usiendelee kuteseka na maumivu ya kiuno tena. SULUHISHO LIPO LA TATIZO LAKO. NJOO VIRUTUBISHO LISHE KWAAJILI YA KUONDOA ...
27/01/2022

Usiendelee kuteseka na maumivu ya kiuno tena.

SULUHISHO LIPO LA TATIZO LAKO. NJOO VIRUTUBISHO LISHE KWAAJILI YA KUONDOA MAUMIVI MAKALI YA NYONGA.

☎️ 0714932552

Hizo hapo juu ndiyo faida za FAT BURNER ambayo itakusaidia kufika haraka katika safari yako ya kupunguza uzito uliopitil...
26/01/2022

Hizo hapo juu ndiyo faida za FAT BURNER ambayo itakusaidia kufika haraka katika safari yako ya kupunguza uzito uliopitiliza.

FAT BURNER si dawa yenye chemicals ni virutubisho tiba asili kabisa na salama kwa afya yako.

Tupigie kupitia 0714932552 na uagize leo usichelewe kwani zimebaki chache.

Wapi hujaelewa nikuelekeze ? ☺☎️ WhatsApp/ Call  0714932552
26/01/2022

Wapi hujaelewa nikuelekeze ? ☺

☎️ WhatsApp/ Call 0714932552

Wapi hujaelewa nikuelekeze ? ☺☎️ WhatsApp/ Call 0714932552
26/01/2022

Wapi hujaelewa nikuelekeze ? ☺

☎️ WhatsApp/ Call 0714932552


HIVI UNAJUA K**A BANA TUNBO SI SALAMA KWA AFYA YAKO?🔶Watu wengi hutumia mikanda hii ili kupunguza tumbo lakini je unajua...
26/01/2022

HIVI UNAJUA K**A BANA TUNBO SI SALAMA KWA AFYA YAKO?

🔶Watu wengi hutumia mikanda hii ili kupunguza tumbo lakini je unajua madhara yake?

🔶Unajua kwamba mikanda hii hubana mapafu na kuminya utumbo ilimradi tu uonekane mwenye umbo zuri?

🔶Unajua madhara/magonjwa yatokanayo na kubana vitu hivi muhimu?

🔶kwanini upoteze pesa yako kununua kitu ambacho kinakuletea athari kubwa baadae?

🔶kwanini ujitaftie maradhi wakati kuna njia
sahihi za kuondoa mwilini na mafuta yaliyoganda?

🔸Use our clean9 weightloss package made with stabilized aloevera, fanya mazoezi na kunywa maji mengi utapunguza tumbo kwa kuondoa sumu zilizo mwilini.

Kwa Maelezo zaidi na ushauri wa kiafya WhatsApp/ Call 0714932552

Plantar fasciitis ni kuvimba kwa mmea wa Fascia kwenye mguu na mara nyingi hutumiwa wakati wa kutembea na miguu. Pia hus...
26/01/2022

Plantar fasciitis ni kuvimba kwa mmea wa Fascia kwenye mguu na mara nyingi hutumiwa wakati wa kutembea na miguu.
Pia husababishwa na sababu kadhaa pamoja na aina ya viatu na hutoka kwenye mfupa wa kisigino hadi kwenye vidole.

SABABU ZA PLANTAR FASCIITIS
👉UMRI: Plantar fasciitis mara nyingi huathiri watu walio katika miaka 40-20.
👉UNENE KUPITA KIASI(UZITO): Hii pia ina athiri na kuleta shida zaidi chini ya nyayo na mguu.
👉KAZI: hasa kwa wale wanaobeba mizigo mizito.
👉MICHEZO: Aina ya michezo pia huleta shida nyingi juu ya kisigino na miundo inayohusiana k**a kukimbia mbio za umbali mrefu, mazoezi ya viungo nk.

DALILI ZA PLANTAR FASCIITIS:
👉 Maumivu ya visigino.
👉Maumivu wakati wa kuinuka.
👉 Maumivu yanayosumbua wakati wa kusimama.

NOTE:
Maumivu ya kisigino ya plantar fasciitis ni kawaida zaidi kwa watu wenye hali ya tezi.
Ikiwa una mmea ya fasciitis utajua tu kwa sababu utakuwa na maumivu makali kwenye kisigino chako unapotembea asubuhi au baada ya kukaa kwa muda mrefu.

Wasiliana nasi kwa WhatsApp/Call 0714932552

Plantar fasciitis ni kuvimba kwa mmea wa Fascia kwenye mguu na mara nyingi hutumiwa wakati wa kutembea na miguu. Pia hus...
26/01/2022

Plantar fasciitis ni kuvimba kwa mmea wa Fascia kwenye mguu na mara nyingi hutumiwa wakati wa kutembea na miguu.
Pia husababishwa na sababu kadhaa pamoja na aina ya viatu na hutoka kwenye mfupa wa kisigino hadi kwenye vidole.

SABABU ZA PLANTAR FASCIITIS
👉UMRI: Plantar fasciitis mara nyingi huathiri watu walio katika miaka 40-20.
👉UNENE KUPITA KIASI(UZITO): Hii pia ina athiri na kuleta shida zaidi chini ya nyayo na mguu.
👉KAZI: hasa kwa wale wanaobeba mizigo mizito.
👉MICHEZO: Aina ya michezo pia huleta shida nyingi juu ya kisigino na miundo inayohusiana k**a kukimbia mbio za umbali mrefu, mazoezi ya viungo nk.

DALILI ZA PLANTAR FASCIITIS:
👉 Maumivu ya visigino.
👉Maumivu wakati wa kuinuka.
👉 Maumivu yanayosumbua wakati wa kusimama.

NOTE:
Maumivu ya kisigino ya plantar fasciitis ni kawaida zaidi kwa watu wenye hali ya tezi.
Ikiwa una mmea ya fasciitis utajua tu kwa sababu utakuwa na maumivu makali kwenye kisigino chako unapotembea asubuhi au baada ya kukaa kwa muda mrefu.

Wasiliana nasi kwa WhatsApp/ Call 0714932552

Address


Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ya Mifupa na Mwili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya ya Mifupa na Mwili:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram