ACID Reflux solution.

ACID Reflux solution. Tunawasaidia wenye changamoto za ACID NYINGI TUMBONI (ACID REFLUX-GERD) kupitia mimea tiba na LISHE

1. ๐Ÿ”— ACID REFLUX HATUA YA KWANZA (Mild GERD).Katika hatua hii ,wagonjwa hupata dalili za ACID REFLUX mara moja au mara m...
23/02/2025

1. ๐Ÿ”— ACID REFLUX HATUA YA KWANZA (Mild GERD).

Katika hatua hii ,wagonjwa hupata dalili za ACID REFLUX mara moja au mara mbili kwa mwezi.

Katika hatua hii, wagonjwa wanaweza kupona Acid reflux kwa kubadili mfumo wao wa maisha hasa hasa katika ulaji lakini pia wanaweza kutumia dawa pia za kawaida kwaajili ya kuondosha dalili za ACID REFLUX.

Katika hatua hii, dalili za Acid reflux huwa zinavumilika kwa wagonjwa wengi hivyo wagonjwa wengi huchukulia kawaida na kuona hawana haja ya kubadili chochote katika maisha yao.

Wagonjwa ambao hupuuzia hatua hii huwa wanaanza kufikia hatua za juu za ACID REFLUX.

PANDEX HERBAL CLINIC
0656 198 441
pandexclinic@gmail.com
DAR ES SALAAM, ILALA

KUNDI LA NNE LA WAGONJWA WA ACID REFLUXD.๐Ÿ”— NI WAGONJWA WENYE JUHUDI KUBWAHili ni kundi la wagonjwa ambao wana juhudi kub...
22/02/2025

KUNDI LA NNE LA WAGONJWA WA ACID REFLUX

D.๐Ÿ”— NI WAGONJWA WENYE JUHUDI KUBWA

Hili ni kundi la wagonjwa ambao wana juhudi kubwa katika kupambana na Acid reflux.

Ni kundi la wagonjwa ambao wanajali sana kuhusu afya zao na wapo tayari kufuata maelekezo kwa zaidi ya asilimia 100% na kwao pesa si chochote linapokuja suala la afya.

Watu hawa wamefanikiwa sana kwenye maisha kuanzia kwenye suala la afya zao,uchumi,wanatumia muda wao vizuri nk.

Hili ni kundi la kuigwa na ni kundi lisilokuwa na misingizio vingi linapokuja suala la afya. Watu wengi hukwama kwasababau ya kuleta visingizio vya uongo kwenye mambo ya msingi.

Hata unapotapeliwa na mtoa huduma,jilaumu wewe mwenyewe kwa kutokuwa makini usitafute visingizio kwa watu wengine.

GRANT CARDONE, mwandishi wa vitabu aliwahi kusema kwamba: "Chochote kinachotokea kwenye maisha yako kizuri au kibaya basi jenga tabia ya kuona kimetokana nawewe mwenyewe"

PANDEX HERBAL CLINIC
0656 198 441
pandexclinic@gmail.com
DAR ES SALAAM, ILALA

KUNDI LA TATU LA WAGONJWA WA ACID REFLUXC.๐Ÿ”— WAGONJWA WANAOCHUKUA HATUA ZA KAWAIDA.Hili ni kundi la wagonjwa ambao wanach...
22/02/2025

KUNDI LA TATU LA WAGONJWA WA ACID REFLUX

C.๐Ÿ”— WAGONJWA WANAOCHUKUA HATUA ZA KAWAIDA.

Hili ni kundi la wagonjwa ambao wanachukua hatua za kawaida sana yaani hawachukui hatua kubwa katika kupambana na Acid reflux, hawa ndio wale ambao ukiwaambia wasile wali wao wanakula kidogo, ukiwaambia wasinywe soda wao wanakunywa mara moja moja nk.

Kundi hili wagonjwa wake wengi huwa wanaishia kupata naafuu tu ya Acid reflux yaani hawaponi kwa asilimia 100%.

Watu hawa wanatokana na sababu zifuatazo:โคต๏ธโคต๏ธ

1.๐Ÿ”— Wanaamini ukiacha kabisa kula vyakula vya wanga unaweza kufa
2.๐Ÿ”— Uroho wa vyakula walivyovizoea
3.๐Ÿ”— Ushawishi kutoka kwa watu wanaowazunguka
4.๐Ÿ”— Uvivu wa kutumia dawa hivyo wengi huacha kutumia dawa baada ya kupata naafuu.
5.๐Ÿ”— Kuwasiliana na kila mtu ambae anatoa huduma za Acid reflux yaani kila tangazo yeye hubonyeza link matokeo yake anashindwa kupata matibabu kamili

Ushauri wetu kwa kundi hili ni kwamba,waachane na hizo sababu na wafanye juhudi zaidi ili waweze kupona kabisa Acid reflux.

PANDEX HERBAL CLINIC
0656 198 441
pandexclinic@gmail.com
DAR ES SALAAM, ILALA

KUNDI LA PILI LA WAGONJWA WA ACID REFLUXB.๐Ÿ”— NI WAGONJWA WALIOKATA TAMAAHawa ni wagonjwa wa Acid Reflux waliokata tamaa k...
22/02/2025

KUNDI LA PILI LA WAGONJWA WA ACID REFLUX

B.๐Ÿ”— NI WAGONJWA WALIOKATA TAMAA

Hawa ni wagonjwa wa Acid Reflux waliokata tamaa kabisa k**a wanaweza kupona Acid reflux kutokana na sababu mbalimbali k**a ifuatavyo:โคต๏ธโคต๏ธ

1.๐Ÿ”— Wametumia madawa mengi kwa muda mrefu bila mafanikio.
2.๐Ÿ”— Hawana pesa kwaajili ya kufanya matibabu.
3.๐Ÿ”— Wamekata tamaa kwasababu wanaamini hakuna tiba ya Acid reflux.
4.๐Ÿ”— Wamekata tamaa kwasababu wamepoteza pesa nyingi bila mafanikio.
5.๐Ÿ”— Wamekata tamaa kwasababu hawawezi kubadili mfumo wao wa maisha waliouzoea.

Watu hawa tunawaambia kwamba kukata tamaa hakujawahi kuleta suluhisho la tatizo lolote hapa duniani bali kuthubutu sio siri ya mafanikio.

Lakini pia tunawashauri wajikite zaidi kwenye kulijua tatizo hili la Acid reflux kwa undani zaidi kabla ya kuanza matibabu kwasababu ni ngumu kutatua changamoto wasiyoijua hivyo wawe ni waulizaji zaidi kwa watoa huduma ili waweze kupata elimu ya ndani ya tatzo hili.

Lakini pia tunawashauri wasikate tamaa kwani muda ambao mtu huamua kukata tamaa ni karibu zaidi na mafanikio.

PANDEX HERBAL CLINIC TUNATOA TIBA NA USHAURI KWA UHAKIKA ZAIDI BIIDHNILLAAH, WEKENI IMANI KWETU HAMTOJUTIA IN SHAA ALLAH.

PANDEX HERBAL CLINIC
0656 198 441
pandexclinic@gmail.com
DAR ES SALAAM,ILALA

KUNDI LA KWANZA LA WAGONJWA WA ACID REFLUX.A.WAGONJWA WA ACID REFLUX AMBAO HAWACHUKUI HATUA YOYOTE ILI KUPATA SULUHISHO ...
22/02/2025

KUNDI LA KWANZA LA WAGONJWA WA ACID REFLUX.

A.WAGONJWA WA ACID REFLUX AMBAO HAWACHUKUI HATUA YOYOTE ILI KUPATA SULUHISHO LA ACID REFLUX.

Kundi hili hujumlisha wagonjwa wa Acid Reflux ambao tayari wanafahamu kwamba wao wana Acid reflux lakini hawachukui hatua zozote zile ili kukabiliana na tatizo hili.

Kundi hili halichukuia hatua zozote huenda kwa sababu zifuatazo:

1. ๐Ÿ”— Ujinga wa kutofahamu ukubwa wa tatizo hili
2. ๐Ÿ”— Ujinga wa kutofahamu madhara ya kukaa na tatizo hili bila kufanya matibabu
3. ๐Ÿ”— Dharau za kuona kwamba huu ni ugonjwa wa kawaida sana.
4. ๐Ÿ”— Kutoamini kwamba Acid reflux si ugonjwa wa kurogwa.
5. ๐Ÿ”— Kuhisi kwamba ugonjwa huu unaweza kuondoka wenyewe bila kufanya matibabu.
6. ๐Ÿ”— Kutojua k**a wanaumwa Acid Reflux

Kundi hili tunaliambia kwamba Acid reflux sio ugonjwa mdogo kwasababu unaweza kukuletea madhara makubwa sana k**a vile Saratani ya koo la chakula na Ngiri ya kifua ambapo matibabu ya matatizo hayo ni changamoto kubwa.

Tunawashauri waanze matibabu mapema kabla hawajachelewa kwani kila ugonjwa huwa una hatua yake ya mwisho yaani TERMINAL STAGE ambapo mgonjwa anakuwa hatibiki tena,hata malaria ikifikia hatua ya mwisho pia mgonjwa ni ngumu kutibika.

PANDEX HERBAL CLINIC
0656 198 441
pandexclinic@gmail.com
DAR ES SALAAM, ILALA

NGIRI YA KIFUA (HIATAL HERNIA) NA ACID REFLUX.NGIRI YA KIFUA (HIATAL HERNIA) ni tatzo ambapo sehemu katika tumbo la chak...
21/02/2025

NGIRI YA KIFUA (HIATAL HERNIA) NA ACID REFLUX.

NGIRI YA KIFUA (HIATAL HERNIA) ni tatzo ambapo sehemu katika tumbo la chakula (Stomach) husukuma kiwambo (diagram) kupitia eneo lenye udhaifu/tundu (hiatus) kutokana na sababu mbalimbali.

Miongoni vya visababishi vikubwa vya mtu kupata ngiri ya KIFUA ni kuwa na ACID REFLUX kwasababu Acid Reflux husababisha kudhoofika kwa kuta za tumbo karibia na koo la Chakula hali inayoweza kupelekea kutokea kwa ngiri ya kifua.

Mgonjwa wa ACID REFLUX anapopata ngiri ya kifua,dalili za Acid reflux huongezeka mara dufu na kuwa mbaya zaidi.

Ngiri ya kifua ni katika madhara ya ACID REFLUX pia.

WAHI MATIBABU MAPEMA KABLA HALI HAIJAWA MBAYA ZAIDI.

PANDEX HERBAL CLINIC
0656 198 441
pandexclinic@gmail.com
DAR ES SALAAM, ILALA

MIHOGO YA KUKAANGA KWA WAGONJWA WA ACID REFLUXK**a wewe ni MUHANGA wa Acid Reflux jiweke mbali na Utumiaji wa MIHOGO ya ...
20/02/2025

MIHOGO YA KUKAANGA KWA WAGONJWA WA ACID REFLUX

K**a wewe ni MUHANGA wa Acid Reflux jiweke mbali na Utumiaji wa MIHOGO ya Kukaanga.

Vyakula vya kukaanga sio salama kwasababu vyakula vinapokaangwa kwenye mafuta mengi haya mafuta ya mbegu,mafuta ya mbegu ni mafuta yasiyoweza kuhimili Joto hivyo mafuta hayo huvunjika vunjika na kuzalisha Radikali huru (FREE RADICALS) ambazo mtu anayekula vyakula hivyo husabisha cell za mwili wake kuungua na kwa muda mrefu mwili huwa kwenye MSONGO WA SUMU (OXIDATIVE STRESS)

Sumu hizi huweza kuchochea uzalishwaji wa Acid na kusababisha kuongeza madhara na dalili za Acid reflux.

Lakin pia yakula vya kukaanga huweza kusababisha magonjwa Magumu k**a vile SARATANI, PRESHA,KISUKARI, MAGONJWA YA MOYO NK.

PANDEX HERBAL CLINIC
0656 198 441
pandexclinic@gmail.com
DAR ES SALAAM, ILALA

ULAJI WA CAKES KWA WAGONJWA WA ACID REFLUX NA VIDONDA VYA TUMBOK**a wewe ni mgonjwa wa ACID REFLUX  NA VIDONDA VYA TUMBO...
20/02/2025

ULAJI WA CAKES KWA WAGONJWA WA ACID REFLUX NA VIDONDA VYA TUMBO

K**a wewe ni mgonjwa wa ACID REFLUX NA VIDONDA VYA TUMBO si salama kwako kutumia CAKES kwasababu CAKES zina sukari nyingi hivyo huchochea uzalishwaji wa ACID na kupelekea Dalili za Acid reflux kuwa mbaya zaidi na kuongeza Madhara zaidi kwa Wagonjwa wa Acifd reflux na Vidonda vya tumbo.

Matumizi ya CAKES mara kwa nara sio salama sana hata k**a hauna ugonjwa wowote kwasababu SUKARI NA NGANO zinazotumika kutengeneza CAKES huweza kusababisha kuwa na Uzito mkubwa na kuongeza hatari ya kuwa na magonjwa SUGU k**a Presha, Kisukari, Magonjwa ya moyo nk

PANDEX HERBAL CLINIC ni suluhisho la Changamoto za ACID REFLUX kwa Uhakika na kwa utaalamu wa hali ya juu.

PANDEX HERBAL CLINIC.
0656 198 441
pandexclinic@gmail.com
DAR ES SALAAM, ILALA.

MAZIWA NA ACID REFLUXMAZIWA aina yoyote iwe ya MGANDO AU MAZIWA FRESH si salama kwa wagonjwa wa Acid Reflux na vidonda v...
20/02/2025

MAZIWA NA ACID REFLUX

MAZIWA aina yoyote iwe ya MGANDO AU MAZIWA FRESH si salama kwa wagonjwa wa Acid Reflux na vidonda vya tumbo.

Maziwa yana Kiasi kingi cha Calcium *(Ca)* ambyo husababisha uchochezi kwenye neva inayodhibiti uzalishwaji wa Acid tumboni *( VAGUS NERVE)*

Vagus nerve inauwezo wa kuitikia uchechezi kutoka kwenye Calcium kwasababu ya uwezo wa vihisishi vya Calcium kwenye Vagus nerve yaani *vagal calcium sensing receptor (CaSR)*.

Hivyo maziwa husababisha uzalishwaji zaidi ya Acid tumboni licha ya kuwa maziwa huleta naafuu ya muda na baadae husababisha athari zaidi kwa wagonjwa wa Acid Reflux na vidonda vya tumbo.

PANDEX HERBAL CLINIC, TUNAJALI AFYA YAKO

PANDEX HERBAL CLINIC
0656 198 441
pandexclinic@gmail.com
DAR ES SALAAM, ILALA

BISCUITS NA ACID REFLUXBISCUITS ni katika bidhaa zenye sukari nying kutoka viwandani.Vyakula vyenye sukari nyingi k**a B...
20/02/2025

BISCUITS NA ACID REFLUX

BISCUITS ni katika bidhaa zenye sukari nying kutoka viwandani.

Vyakula vyenye sukari nyingi k**a BISCUITS si Salama kwa wagonjwa wa acid reflux hivyo jiepushe na matumizi ya BISCUITS ewe mgonjwa wa Acid Reflux na vidonda tumbo.

Lakini pia kwa wewe ambae hauumwi ugonjwa wowote pia Jitahidi sana kujiepusha na matumizi ya vyakula vyenye Sukari mfano wa BISCUITS nk

PANDEX HERBAL CLINIC
0656 198 441
pandexclinic@gmail.com
DAR ES SALAAM, ILALA

Address

ILALA-PANGANI & UTETE Street
Dar Es Salaam
1000

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ACID Reflux solution. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to ACID Reflux solution.:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram