BONGOAfya

BONGOAfya Karibu BONGOAfya, jamvi la kupeana ujanja kuhusu afya, uhuru na fursa za kuongeza kipato

πŸŒ™ HABITS 8 BORA za Usiku zitakazo saidia Kupunguza Uzito πŸŒ™Unapata shida kupungua uzito na hujui kwanini?  Tabia na Tamad...
04/07/2025

πŸŒ™ HABITS 8 BORA za Usiku zitakazo saidia Kupunguza Uzito πŸŒ™

Unapata shida kupungua uzito na hujui kwanini?
Tabia na Tamaduni zako za usiku zinaweza kuwa suluhisho au kikwazo kwa malengo yako ya kupunguza uzito.

Hizi hapa ni HABITS 8 BORA na rahisi za kufuata usiku huu kwa matokeo bora chap!

1️⃣ Kula Chakula cha Jioni Mapema
🍽️ Lenga kula chakula chako cha mwisho kati ya saa 12jioni na saa 1usiku ili kusaidia mmeng'enyo mzuri na metabolism bora. Kula mapema kunasaidia kupata usingizi bora na uchomaji mafuta mzuri.

2️⃣ Epuka Sukari na Wanga Usiku
πŸ₯— Chagua vyakula vyenye protini na mafuta bora. Sukari na wanga zitapandisha cortisol na kuathiri usingizi wako lakini pia epuka kula kupita kiasi. Mf kula: mayai + avocado au kuku k**a lishe ya usiku.

3️⃣ Punguza Kunywa kahawa
β˜• Kafeini huathiri usingizi wako, na hivyo kusababisha kupungua kwa uchomaji mafuta. Epuka kahawa au chai baada ya mchana kwa usingizi mzuri na metabolism bora.

4️⃣ Kunywa Maji
πŸ’§ Kunywa maji mengi katika kipindi cha mchana, lakini punguza kiasi cha maji kabla ya kulala ili kuepuka kuamka mara kwa mara usiku.

5️⃣ Jenga Ratiba ya Kulala Muda ule ule KILA SIKU
πŸ•°οΈ Kuweka ratiba ya kila siku ya kulala na kuamka kwa wakati huweka homoni zako sawa na kusaidia kudhibiti njaa na metabolism yako.

6️⃣ Tengeneza Utaratibu wa Kutuliza Akili
πŸ§˜β€β™€οΈ Tuliza akili yako kwa mf meditation au kutulia kimya dakika kadhaa ili kupunguza stress/mfadhaiko na kujiandaa kwa usingizi. Cortisol ikiwa chini = mwili huchoma mafuta zaidi!

7️⃣ Punguza Muda wa Kutumia Simu Kabla ya Kulala
πŸ“± Mwanga kutoka kwa simu au kompyuta unaweza kuvuruga usingizi wako. Jaribu kusoma vitabu, maandiko takatifu au kuandika mpango wa siku inayofuata, badala ya kuangalia mitandao ya kijamii angalau saa 1 kabla ya kulala.

8️⃣ Fanya Mazoezi Mepesi ya Usiku
πŸšΆβ€β™€οΈ Tembea kidogo au fanya mazoezi ya yoga, kujinyoosha viungo au "stretch" kusaidia mmeng'enyo na kutuliza akili yako tayari kwa kulala vizuri.

🌱 Ushauri wa Ziada
Acha Kula Vyakula vya Usiku: Tengeneza sheria ya kutokula vyakula baada ya saa 2 usiku ili kudumisha usawa wa mwili na kuepuka kuchukua kalori zisizohitajika!

πŸ’ͺ Je, uko tayari kuanza zingatia HABITS BORA 8 ZA USIKU katika safari yako ya kupunguza uzito?

Anza leo kwa tabia hizi na uone mabadiliko CHAP!

---

10/03/2025

TikTok | Make Your Day

08/03/2025

Watch, follow, and discover more trending content.

08/03/2025
Ramadhan Kareem
02/03/2025

Ramadhan Kareem

*Friday Special Mens Talk*Sayansi inasema baada ya kupita age ya 30yrs tunapoteza uwezo wa kuchakata testorones vizuri m...
28/02/2025

*Friday Special Mens Talk*

Sayansi inasema baada ya kupita age ya 30yrs tunapoteza uwezo wa kuchakata testorones vizuri mwilini. We lose avg of 1-2% kila mwaka. Unaathiri uwezo wa misuli n ahata nguvu za kiume.

*Baadhi ya vitu vinachangia :*
οƒ˜ Umri
οƒ˜ Stress za kazi & Maisha
οƒ˜ Sedentary Life style – tunashinda tumekaa sana.
οƒ˜ Kukosa mazoezi
οƒ˜ Pombe kupindukia
οƒ˜ Kula hovyo especially usiku. Wanga mwingi & Sukari. Hivi huzuia processes za kuzaishwa/kuchakatwa hormoes za testestorone.

Sababu hizi huchangia kwa % kubwa kupungua kwa uwezo wa misuli ya mwili na hata nguvu za kiume (s*x drive).

*Nini Cha kufanya:*
1. Mazoezi angalau kutembea mara kwa mara. Anza kufanya weight lifting angalau x2 kwa wiki, hii itaongeza uwezo wa misuli kufanya kazi ambapo pia ita boost uzalishwaji wa testosterone.
2. No wanga & sukari kula usiku.
3. Lala japo 7hrs . hii itashusha levels za stress hormone cortisol ambayo huingilia/huzuia uzalishwaji wa testorone.

*Lishe:*
β€’ Pendelea seeds & nuts; korosho, karanga, pistachios etc etc
β€’ Pata choline. Hususani kwa mayai
β€’ Pendelea protein kwa wingi badala ya wanga / sukari
β€’ Pata healthy fats za kuotsha (Omega 3)

Suppliments package kusaidia:
1. Muscle activation (contract&relax) – 60K
2. Testosterone boost – 80K
3. Cell detox – 90K
4. Omega 3 Fatty acids – 100K
TOTAL – 330K
OFA YA FUNGA MWEZI
Special offer funga mwezi – 300K

Wasiliana nasi0742 001 003
17/10/2024

Wasiliana nasi

0742 001 003

Watch, follow, and discover more trending content.

Mazoezi KUCHAMGAMSHA MWILI jambo JEMA SANA.HATA ukiwa na 5MIN tu..haswaaa moniiUnauamsha mwili vyema, tayari kwa SIKU MP...
27/09/2024

Mazoezi KUCHAMGAMSHA MWILI jambo JEMA SANA.

HATA ukiwa na 5MIN tu..haswaaa monii

Unauamsha mwili vyema, tayari kwa SIKU MPYA.

Watch, follow, and discover more trending content.

GYM.                      βœ…οΈKULA HEALTHY    βœ…οΈ SUPPLIMENTING βœ…οΈLakini bado kupungua SHIDA.....SABABU inaweza kuwa HORMON...
25/09/2024

GYM. βœ…οΈ
KULA HEALTHY βœ…οΈ
SUPPLIMENTING βœ…οΈ

Lakini bado kupungua SHIDA.....

SABABU inaweza kuwa HORMONAL IMBALANCE

Hali ya Hormone Imbalance mf. HYPOTHYROIDISM kwa WANAWAKE yaweza sababishwa na LISHE, COSMETICS, UMRI, Hata Kujifungua saa ingine (Hormones zikagoma kurudi normal) N.K.

Hii huwa ina affects homoni zingine k**a cortisol ambayo huhusika na storage of belly fats (hususani kitambi).

KUPUNGUA inaweza kuwa ngumu sana.

+255 742 001 003

Watch, follow, and discover more trending content.

22/09/2024
Sababu namba 4 ni MSONGO WA MAWAZO au CHRONIC STRESS.hii hupelekea levels za CORTISOL HORMONE kuongezeka na mwili kuzidi...
30/08/2024

Sababu namba 4 ni MSONGO WA MAWAZO au CHRONIC STRESS.

hii hupelekea levels za CORTISOL HORMONE kuongezeka na mwili kuzidi hifadhi mafuta kukup3lekea kuongezeka UZITO / OVERWEIGHT au hata OBESITY.

Kwa SULUHISHO

+255 742 001 003

Watch, follow, and discover more trending content.

Address

Tress Blng, Mwenge
Dar Es Salaam
14130

Opening Hours

Monday 00:00 - 20:00
Tuesday 00:00 - 20:00
Wednesday 00:00 - 20:00
Thursday 00:00 - 20:00
Friday 00:00 - 20:00
Saturday 10:00 - 21:00
Sunday 10:00 - 21:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when BONGOAfya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram