Dr seba

Dr seba Naitwa Dr Sebastian natibu kisukari kwa siku 90tu na mtu anapona

***CHANZO CHA WANAWAKE WENGI KUSHINDWA KUBEBA UJAUZITO*** Wanawake wengi Sana wapo hatarini kupoteza ndoa zao kwakuwa ha...
15/01/2021

***CHANZO CHA WANAWAKE WENGI KUSHINDWA KUBEBA UJAUZITO***
Wanawake wengi Sana wapo hatarini kupoteza ndoa zao kwakuwa hawajabeba ujauzito, Furaha ya ndoa ni mtoto Leo nitafafanua kidogo kuhusu suala hili maana ni changamoto kubwa Sana katika jamii yetu.
SABABU KUU ZINAZOPELEKEA MTU ASIWEZE KUBEBA UJAUZITO.
_ Matumizi ya uzazi wa mpango iwe sindano ,vidonge ,kitanzi au dawa yoyote inayozuia usipate ujauzito kwa haraka mfano P2. 80% wanawake wengi wanashindwa kubeba ujauzito kwasababu ya huu uzazi wa mpango.
__ Hormonal imbalances mvurugiko wa hedhi yaan hedhi yako kuwa haieleki Mara uingie tarehe 27 mwezi unaofata uingie tarehe 6 siku zako zinakuwa haziko arranged hivyo kukosa siku ya hatari ukikosa siku ya hatari maana yake umekosa mtoto.
__ P.I.D majimaji yanayokuwa kwenye mirija ya folopio ambayo maji haya huua mbegu za mwanaume zikigusa maji haya zinakufa so huwezi kubeba ujauzito kwasababu mbegu zakiume hazijafika kwenye o***y.
__ U.T.I sugu na Fangasi sugu huathiri via vya uzazi wa mwanamke na kufanya mwanamke kukosa ham ya tendo na mirijj ya folopio kuharibika.

__FIBROIDS huu ni uvimbe kwenye kizazi na hupelekea mwanamke hata kushindwa kupata ujauzito kwakuwa uvimbe huu hubana mirija inayopitisha s***m na kushindwa kupita kwenda kwenye o***y.

Kwa Leo tuishie hapa but K**a kuna mtu anatatizo la kutokubeba ujauzito si vibaya akauliza maswali kuhusiana na hili na kupata Suluhisho karibu Sana kwa maswali muwe na jumapili njema. Wengi wamefanikiwa kubeba ujauzito baada ya kukutana nao na kuzungumza nao na kuwapa dose sahihi kulingana na matatizo Tofauti tofauti kwa msaada zaidi wasiliana na DR SEBASTIAN 0763199190

***CHANZO CHA WANAWAKE WENGI KUSHINDWA KUBEBA UJAUZITO*** Wanawake wengi Sana wapo hatarini kupoteza ndoa zao kwakuwa ha...
15/01/2021

***CHANZO CHA WANAWAKE WENGI KUSHINDWA KUBEBA UJAUZITO***

Wanawake wengi Sana wapo hatarini kupoteza ndoa zao kwakuwa hawajabeba ujauzito,

SABABU KUU ZINAZOPELEKEA MTU ASIWEZE KUBEBA UJAUZITO.

_ Matumizi ya uzazi

__ Hormonal imbalances mvurugiko wa hormones

__ P.I.D majimaji kwenye mirija ya folopio

__ U.T.I sugu na Fangasi sugu

__FIBROIDS huu ni uvimbe kwenye kizazi

Wengi wamefanikiwa kubeba ujauzito baada ya kukutana nao na kuzungumza nao na kuwashauri jinsi ya kuondokana na changamoto zao

DR SEBASTIAN 0763199190

P.I.DHaya ni madhara yatokanayo na bacteria ambao hushambulia via vya uzazi,mirija ya falopia,mfuko wa mayai,mfuko wa uz...
15/01/2021

P.I.D
Haya ni madhara yatokanayo na bacteria ambao hushambulia via vya uzazi,mirija ya falopia,mfuko wa mayai,mfuko wa uzazi na shingo ya kizazi.

MAAMBUKIZI KATIKA VIA VYA UZAZI.
Ni tatizo linalowakumba wanawake wengi sana na Mara nyingine bila kujua k**a ni PID.

CHANZO CHA PID.

๐Ÿฅ‘ Utoaji wa mimba.

๐Ÿฅ‘ matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango.

๐Ÿฅ‘ Ngono zembe na UTI sugu.

DALILI ZA PID

๐Ÿฅ‘ kichefuchefu na kutapika.

๐Ÿฅ‘ maumivu wakati wa kukojoa.

๐Ÿฅ‘ Homa za Mara kwa Mara.

๐Ÿฅ‘ Maumivu wakati wa tendo LA ndoa.

๐Ÿฅ‘ Uume kutoka na uchafu wakati wa s*x.

๐Ÿฅ‘ maumivu ya mgongo na tumbo chini ya kitovu.

๐Ÿฅ‘ Hedhi bila mpangilio.

๐Ÿฅ‘ harufu mbaya au shombo ukeni.

๐Ÿฅ‘ kutoka uchafu ukeni wa rangi ya maziwa,kahawia,njano na kijani.

๐Ÿฅ‘ kutoka majimaji ukeni yaliyo na harufu.

MADHARA YA PID.

๐Ÿ‘‰๐Ÿผ ugumba.

๐Ÿ‘‰๐Ÿผ mirija ya uzazi kuziba.

๐Ÿ‘‰๐Ÿผ mimba kutungwa nje ya kizazi.

๐Ÿ‘‰๐Ÿผ mabadiliko ya homoni.

๐Ÿ‘‰๐Ÿผ mimba kuharibika.

๐Ÿ‘‰๐Ÿผ Kansa ya shingo ya kizazi ambaya ni mbaya zaidi kwani matibabu yake ni gharama sana na hatari. Tumia complete na chore kumaliza tatizo changamoto yako ya P.I.D Piga au WhatsApp 0763199190 Dr sebastian

๐ŸŒนKISUKARI TYPE II๐ŸŒนKuna aina mbili za kisukari,kuna kisukari type I na kisukari type II๐ŸŒน Kisukari type I hii ni aina ya k...
15/01/2021

๐ŸŒนKISUKARI TYPE II

๐ŸŒนKuna aina mbili za kisukari,kuna kisukari type I na kisukari type II

๐ŸŒน Kisukari type I hii ni aina ya kisukari ambacho mtu huzaliwa nacho

๐ŸŒน Kisukari type II hii ni aina ya kisukari ambacho humpata mtu
mzima kulingana na mwenendo wa maisha.

๐ŸŒนAina hii ya kisukari kwa kawaida ni ugonjwa sugu unaohusiana na upungufu wa matarajio ya kuishi

๐ŸŒน Aina hii ya kisukari hupelekea magonjwa mengine K**a matatizo ya Figo, pressure, stroke,upofu, matatizo ya moyo na matatizo ya kibofu Cha mkojo.

๐ŸŒน CHANZO CHA KISUKARI TYPE II
Mtindo wa maisha ,kukosa rishe Bora,unene kupita kiasi, kutokufanya mazoezi,mafuta mengi mwilini na kukosa usingizi.

๐ŸŒน DALILI ZA KISUKARI TYPE II
Kiu kingi, kukojoa Mara kwa Mara,kuhisi njaa kila Mara, kuishiwa nguvu , kupoteza uzito mwilini

๐ŸŒนTIBA YAKE
Hakuna dawa ya hospital yenye uwezo wa kutibu ungonjwa huu Ila kwa kutumia H3 na CEF4 Itaimarisha kongosho hivyo kongosho itaanza kubalance sukari mwilini kisukari kinatibika kwa 100% TUPO MIKOCHENI DR SEBASTIAN 0763199190/0693048820

*UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS)**FIBROIDS Ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la uzazi**Uvimbe huu unaweza kuwa ndani ...
15/01/2021

*UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS)*

*FIBROIDS Ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la uzazi*

*Uvimbe huu unaweza kuwa ndani ya kizazi (Ukutani mwa kizazi)au ndani ya nyama ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi*

*AINA KUU TATU ZA FIBROIDS*

*1- Submucosal fibroids (uvimbe ndani ya kizazi)*

*2- Intramural fibroids (uvimbe ndani ya nyama ya kizazi )*

*3-Subserosal fibroids (uvimbe wa nje ya kizazi)*

*WATU WENYE HATARI YA KUPATA UVIMBE KWENYE KIZAZI*

*1- Mwanamke ambae haijawahi kupata mtoto mpaka umri mkubwa*

*2- miaka ya kuvunja ungo mpaka hedhi kukoma yaan miaka 18_45*

*3-- kurithi K**a mama au Bibi aliwahi kuwa na uvimbe na wewe unaweza kupata **

*4-- kupata period Mara mbili kwa mwezi*

*5-- unene kupindukia na manyama uzembe*

*FIBROIDS SIYO KANSA NI UVIMBE WA KAWAIDA AMBAO UNAKUA KUTEGEMEA KICHOCHEO CHA ESTROGEN HORMONE NDIO MAANA KUTOKA KUVUNJA UNGO MPAKA HEDHI KUKOMA NDO WAKO HATARINI ZAIDI*

*Dalili za fibroids*
*__ kutokwa na damu ukeni*
*___ kutokwa na uchafu mweupe ambao unaweza kuwa unatoa harufu mbaya au hautoi harufu*

*___maumivu ya kiuno hasa wakati wa hedhi*

*__Tumbo kuuma Sana chini ya kitovu*

*___Hedhi isiyokuwa na mpangilio*

*___maumivu makali wakati wa tendo la ndoa*

*___kukosa hamu ya tendo la ndoa*

*KUMBUKA UKIFANYIWA OPERATION USIDHANI UVIMBE UMEISHA UTAOTA PEMBENI HADI UTAKAPOWEKA SAWA.*

*FIBROIDS INATIBIKA KABISA BILA KUFANYIWA OPERATION KWA KUTUMIA CO/5 NA THO/4. 076399190 Dr sebastian

Address

Kinondoni
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr seba posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dr seba:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category