Life and Health Care

Life and Health Care Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Life and Health Care, Alternative & holistic health service, Dar es Salaam.

Teknolojia ya karne ya 21 ambayo imekuja kwa ajili ya kuleta mapinduzi ya kimatibabu ambayo inawezesha kuondoa au kupona Kabisa magonjwa sugu kama kisukari,presha,kansa,uvimbe aina zote ,kupooza Nk
Karibu tuwasiliane zaidi 0718792210

*Usiulize ni dawa gani nitumie ili nishike Ujauzito maana hakuna dawa inayosababisha Ujauzito*👉Bali tuna program ya Mago...
06/01/2023

*Usiulize ni dawa gani nitumie ili nishike Ujauzito maana hakuna dawa inayosababisha Ujauzito*

👉Bali tuna program ya Magonjwa sugu ambayo yanazuia usishike Ujauzito
*Mfano*👇👇

➡️Kuziba Kwa mirija ya kupitisha mayai.
➡️Ovari kushidwa kutoa mayai ya uzazi au kutoa mayai yasiyokuwa na nguvu.
➡️Ugonjwa wa PID(Pelvic Inflammatory Disease) na hormone Imbalance (mvurugiko wa homoni).
➡️Mirija ya mayai kujaa maji.
➡️Utoaji mimba usio Salama.
➡️Upasuaji maeneo ya kiuno.
➡️Ugonjwa wa Endometriosis.
➡️Sababu ya Ovari kutoa mayai yasiyokuwa na nguvu

*Wahi kutibu Tatizo Lako kabla halijawa sugu ili lisikusumbue zaidi.* tumia link kufaham zaid jins ya kutibu tatizo lako
https://bit.ly/3ZlxKuK

https://bit.ly/3ZlxKuK
Call 0718792210

STROKE (KIHARUSI)Ni Tatizo Linalotokea Ghafla Kwenye Ubongo Ambapo Mtiririko Wa Damu Kwenye Eneo Fulani La Ubongo Husiti...
06/01/2023

STROKE (KIHARUSI)
Ni Tatizo Linalotokea Ghafla Kwenye Ubongo Ambapo Mtiririko Wa Damu Kwenye Eneo Fulani La Ubongo Husitishwa Ghafla Au Kupungua Sana Hivyo Kusababisha Eneo Hilo La Ubongo Kukosa Damu Na Virutubishi Muhimu Na Seli Za Eneo Hilo Kuanza Kufa.

Hili Linaweza Kutokea Pale Mishipa Ya Damu Ya Kuelekea Kwenye Eneo Hilo Ikiiziba Au Mishipa Ndani Ya Ubongo Katika Eneo Hilo Kupasuka. Seli Za Ubongo Za Eneo Hilo Zikianza Kufa Kwa kukosa Damu, Shughuli Zote Zinazoendeshwa Na Eneo Hilo La Ubongo Husimama Kwa Mfano Kumbukumbu Na Utashi.

Kupooza
Hii Ni Ile Hali Ya Kiungo Kupoteza Utendaji Kazi Wake Kwa Sababu Ya Neva Za Fahamu Kuathiriwa.

Dalili Za Kiharusi (Stroke)

✓Kuchanganyikiwa
Mtu Kupata Shida Ya Kuongea Na Kuelewa Anachoambiwa
✓Maumivu Ya Kichwa Na Kupoteza Fahamu.
✓Ganzi Katika Viungo Vya Uso, Mkono Na Mguu Na Hasa Vikiwa Vya Upande Mmoja Wa Mwili
✓Kupata Shida Ya Kuona Kwa Jicho Moja Au Yote
✓Kupata Shida Ya Kutembea, Kizunguzungu, Kupepesuka Mwili.

VIKO VICHOCHEZI/SABABU ZA HATARI ZINAZOWEZA KUPELEKEA KIHARUSI KUTOKEA

✓Umri
Mtu Anapozeeka Hatari Ya Kupata Kiharusi Huongezeka Zaidi.
✓Jinsia
Wanawake Wako Katika Hatari Kubwa Ya Kuwa Na Kiharusi Tofauti Na Wanaume.
✓Kiharusi Kilichopita Ikiwa Tayari Mtu Amepata Kiharusi, Hatari Ya Kupata Tena Kiharusi Kingine Ni Kubwa.
✓Historia Ya Familia
Ikiwa Mtu Katika Familia Kuna Historia Ya Watu Kupata Stroke, Basi Hatari Ya Kupata Kiharusi Ni Kubwa.

Sababu Za Kiuchochezi
✓Uvutaji Sigara, Madawa Ya Kulevya Na Vilevi
✓Shinikizo La Damu
✓Cholesterol Nyingi
✓Ugonjwa Wa Moyo
✓Unene Kupita Kiasi
✓Kisukari
✓Kuganda Kwa Damu

MADHARA YA STROKE
Stroke Inapokua Sugu Dalili Zake Hugeuka Kuwa Maradhi, Mfano Kupata Ulemavu, Kupooza Kabisa, Kupoteza Kumbukumbu Na Utashi.

https://bit.ly/3ZlxKuK
Call/WhatsApp 0718792210

HIZI NDIO FAIDA 10 ZA KUTUMIA BIDHAA ZETU ZA UG CARE PLUS STEMCELL1. Suluhisho kwa magonjwa zaidi ya 2002. Kulinda seli ...
06/01/2023

HIZI NDIO FAIDA 10 ZA KUTUMIA BIDHAA ZETU ZA UG CARE PLUS STEMCELL

1. Suluhisho kwa magonjwa zaidi ya 200
2. Kulinda seli shina za ngozi na mionzi hatari ya UV
3. Kuchelewesha kuzeeka kwa ngozi
4. Kuondoa sumu mbalimbali mwilini
5. Hulinda au kupunguza hatari ya uharibifu wa macho
6. Kuongeza kinga ya mwili na kuwa imara
7. Huongeza afya ya mfumo wa moyo
8. Huimarisha mishipa, viungo na mmeng'enyo wa chakula
9. Kuweka sawa mzunguko wa damu na cholesterol
10. Husaidia kuongeza damu kwenye mwili kwa wale wenye shida ya upungufu wa damu

Wengi wamepata matokeo ndani ya siku 21 mpaka 90

Usiendelee kuteseka wala kuona ndugu yako anateseka, mjulishe hizi habari njema na siku 1 atakuja kukushukuru

Tunafanya Delivery popote ulipo Dar es Salaam na mikoani tunatuma kwa uaminifu (FREE DELIVERY)

Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana nasi 0718792210

https://bit.ly/3ZlxKuK

02/01/2023

Sikutegemea Kabisa!!Ni baada ya kuhangaika muda mrefu bila kupata mtoto.Nimetafuta suluhu ya tatizo hili kwa zaidi ya miaka saba(7)bila mafanikio.Aaaah magojwa yasikie tu kwa mwenzio😌.NILIKUA NAPATA MAUMIVU MAKALI WAKATI WA HEDHI,.KUTOKWA NA UCHAFU WENYE HARUFU MBAYA UKENI,.MAUMIVU WAKATI WA TENDO,
Maana pia nilikua na tatizo la.KUWA MKAVU KWENYE SEHEMU ZANGU NYETI,
Yote hayo yalinipelekea kupata
..UVIMBE KWENYE KIZAZI(fibroid)
Ambao ulinitesa sana na nilifanyiwa upasuaji ukatolewa
Baada ya mwaka na miezi nane(8) UVIMBE UKARUDI TENA .
Namshukuru sana Mungu kwa ajili ya dada yangu wa hiari aliyenikutanisha na mkombozi wa matatizo yangu aliyeweza kunipa NJIA RAHISI NA NYEPESI NIMEPONA KABISA NA NIMESHAPAKATA MTOTO WANGU..
Nilipokutanishwa na wataalamu hawa wa matatizo ya uzazi nilkua siamini ila nikasema NGOJA NIJARIBU maana pesa nimeshapoteza nyingi bila mafanikio..
Nime share haya na wewe ili uweze kutimiza haja ya moyo wako k**a ilivyokua KIU YANGU KUITWA MAMA imetimia..
Pitia link hapo chini ili uweze kufahamu zaidi

https://chat.whatsapp.com/G52RPIufzQCBNdbdRitnWd
📞 0718792210

Teknolojia ya karne ya 21 ambayo imekuja kwa ajili ya kuleta mapinduzi ya kimatibabu ambayo inawezesha kuondoa au kupona Kabisa magonjwa sugu k**a kisukari,presha,kansa,uvimbe aina zote ,kupooza Nk
Karibu tuwasiliane zaidi 0718792210

Je unafahamu kuhusu ugonjwa wa vitiligo???Teknolojia mpya ambayo imeweza kugusa Maisha ya wengi(stemcell therapy)..Ugonj...
30/11/2022

Je unafahamu kuhusu ugonjwa wa vitiligo???Teknolojia mpya ambayo imeweza kugusa Maisha ya wengi(stemcell therapy)..Ugonjwa huu ni hatari zaidi ukiendelea kuishi nao kwa muda mrefu…
Afya yako Maisha yako.
Wasiliana nasi no;0718792210

https://chat.whatsapp.com/G52RPIufzQCBNdbdRitnWd

Usiendelee kuteseka!!usiendelee kuteseka!! Anza kwa kupokea habari njema..TEZI DUME inapona bila upasuaji.Wasiliana nasi...
30/11/2022

Usiendelee kuteseka!!usiendelee kuteseka!! Anza kwa kupokea habari njema..TEZI DUME inapona bila upasuaji.
Wasiliana nasi:0718792210

Kwa wateja wetu waliopo Nje ya Dar es salaam yaani Mikoani. Kuna aina 3 za utaratibu ambazo unaweza kuchagua moja ambayo...
23/10/2022

Kwa wateja wetu waliopo Nje ya Dar es salaam yaani Mikoani. Kuna aina 3 za utaratibu ambazo unaweza kuchagua moja ambayo unaona utakua na Amani na kuridhika nayo.
1: Unaweza kutembelea ofisi zetu zilizopo Dar es salaam Mwenge.
2: Unaweza kumuagiza mtu wa kukuwakilisha kuja kuchukua dozi yako ambaye yupo Dar es salaam
3: Unaweza kutumia Namba zetu za simu kufanya malipo au Account no yetu ya CRDB halafu sisi tukusafirishie mzigo wako Mpaka ulipo bila gharama yoyote(Free delivery)

Bado tunaendelea kugusa maisha ya watu na kurejesha Tabasamu katika Nyuso zao
wasiliana nasi 0718792210

UJUE UGONJWA WA KANSAKansa ni ugonjwa unaotokea baada ya kuharibika pia kubadilika kwa seli na kuanza kuzaliana katika m...
23/10/2022

UJUE UGONJWA WA KANSA

Kansa ni ugonjwa unaotokea baada ya kuharibika pia kubadilika kwa seli na kuanza kuzaliana katika mili nazo huitwa seli za kansa, Kansa hutokea kwa binadamu, wanyama na viumbe hai wengine. Seli huharibika,hurekebishika au kufa, ila seli zisipokufa au zisipo rekebishika huwa seli zisizo za kikawaida (hazihitajiki mwilini) ndipo huanza kuzaliana na kuwa seli za kansa. Seli za kansa hutumia seli za kawaida kuzaliana, kusafiri kwa kutumia damu na lymph. Seli za kansa huzaliana na kuhama tokea upande mmoja wa mwili kwenda mwingine hii hali huitwa metastasis

Kansa ni ugonjwa unaouwa kwa kiasi .Aina za kansa zinazoongoza kuua kila mwaka ni pamoja na kansa ya mapafu, kansa ya tumbo, kansa ya ini, kansa ya utumbo, kansa ya matiti

AINA ZA KANSA

Kuna aina zaidi ya 100 za kansa,

Aina za kansa na idadi ya Vifo iliyofanyika na Taasisi ya kansa duniani (National Cancer Institute 2016

DALILI ZA UGONJWA WA KANSA
Dalili hutofautiana kulingana na aina ya kansa,Ila hulingana baadhi ya tabia kwakua zote huwa ni seli zisizohitajika mwilini na huzaliwa kansa mwilini na kusambaa.
☑uzito kubadilika bila sababu hasa kupungua uzito,kuongezeka ni asilimia ndogo
☑kuwa na mabonge au nundu au uvimbe mwilini hasa sehemu iliyo athirika na kwenye ngozi
☑ngozi kubasilika,yaweza kubadilika rangi kuelekea unjano kiasi,weusi,wekundu kiasi, na ngozi kutokua na hisia
☑mkojo na choo kubadilika
☑kiubadilika kwa sauti
☑kikohozi cha muda mrefu na kupata maumivu au shida wakati wa kupumua
☑kupata shida ya kushindwa kumeza chakula
☑kupata homa isiyo eleweka
☑kutokwa na michubuko au damu
☑kuwa na maumivu ya misuli au viungo yasiyo eleweka
☑waweza kupata tatizo la mmeng'enyo na kusumbuka baada ya kula
☑kupata uchovu.
CHANZO CHA UGONJWA WA KANSA
kuna vyanzo vingi vya kansa vinavyo weza kuharibu seli na kujiunda mwilini kwa kasi.huweza kusababishwa na mazingira na mtindo wa maisha.
☑kuvuta sigara
☑magonjwa yanayo ambatana na virusi na bakteria
☑uzito uliopita kiasi na unene ulio zidi
☑magonjwa yanayo ambatana na virusi
Kwa kutumia stem cell therapy utapona kabisa
0718792210

TATIZO LA FIGO: Moja ya tatizo sugu linalosumbua watu wengi katika jamii yetu hata kupelekea vifo na kuwafanya watu kuis...
23/10/2022

TATIZO LA FIGO: Moja ya tatizo sugu linalosumbua watu wengi katika jamii yetu hata kupelekea vifo na kuwafanya watu kuishi vibaya na kupoteza fedha nyingi kwa ajili ya kupata tiba ni tatizo la FIGO

Kwa mujibu wa tafiti unaambiwa palipo na mkusanyiko wa watu 10 ni lazima mtu mmoja kati yao awe mwathiriwa au muhanga wa tatizo hili la FIGO

Tatizo la FIGO husababishwa haswa na ongezeko la sukari mwilini, shinikizo la damu, unene kupitiliza, kuwa na mafuta kuzidi mwilini na kuwa sababu ya kuongezeka umajimaji wa creatin ndani ya damu na kwa sababu hiyo hupelekea figo kusinyaa na kufeli kufanya kazi inavyotakiwa

Dalili za tatizo hili ni pamoja na kuvimba miguu, uso, tumbo, kushindwa kula au kukosa hamu ya kula, kupanda kwa shinikizo la damu na hata kukosa damu, kuwa na hali ya udhaifu pamoja na kupata matatizo kwenye njia ya mkojo

Ikiwa una tatizo la FIGO au kujiona una dalili zote za haya tulioyataja hapa tafadhali usisite kututafuta mapema tukupatie bidhaa zetu za stemcell

Ugcare plus Stemcell ni bidhaa zitakazo kuondoa kwenye kadhia hii na kubakia salama na mzima kabisa. Bidhaa hizi ni 100% NATURAL na 100% HALAL

Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana nasi 0718792210
LIFE HEALTH CARE]
LIFE HEALTH CARE]

BAWASIRI (HEMORRHOID)ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa Damu ya ndani na ya nje ya sehemu ya haja kubwa. Wa...
22/10/2022

BAWASIRI (HEMORRHOID)
ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa Damu ya ndani na ya nje ya sehemu ya haja kubwa. Wakati mwingine mishipa hiyo inaweza kupasuka na kuvuja damu chini ya haja kubwa na kusababisha kutoka kinyama au uvimbe sehemu ya haja kubwa. Tatizo hilo huathiri watu wote ila zaidi huathiri watu wazima.
KUNA AINA MBILI ZA BAWASIRI
1.BAWASIRI YA NDANI
-Ni aina ya Bawasiri ambayo hutokea ndani ya mfereji wa hajakubwa na huwa haimbatani na maumivu yoyote yale na watu wengi hushindwa kujua kua wanatatizo hili.
2.BAWASIRI YA NJE
Hii hutokea eneo la mwisho la mfereji wa hajakubwa na huwa inaambatana na maumivu makali na kuwasha kwa ngozi eneo la tundu.
CHANZO CHAKE :
-kufanya mapenzi kinyume na maumbile
-Kuhara kwa muda mrefu
-Tatizo la kutopata choo
-Uzito wa mwili uliopitiliza
-Kukaa kitako kwa muda mrefu
-Matumizi ya vyoo vya kukaa kwa muda mrefu
DALILI ZAKE :
•ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
•kupata maumivu wakati wa kujisaidia
•kutokea uvimbe katika tundu la haja kubwa
•kinyesi kuwa na Damu na kunuka harufu mbaya sana.
MADHARA YAKE :
1:kupata upungu wa Damu
2:kutokwa na Damu nyingi
3:kupata tatizo la kutokuhimili choo
4:kupata upungufu wa nguvu za kiume
5:kuondoa hamu ya tendo la ndoa hasa kwa wanawake
6:kukosa hamu ya kufanya kazi kutokana na maumivu makali
7:kuathirika kisaikolojia

Je wajua tiba sahihi na uhakika ni Ugcare plus stemcell pekee? Karibu tukusaidie kumaliza tatizo bila kujirudia rudia.
Tafadhali wasiliana nasi 0718792210

https://chat.whatsapp.com/G52RPIufzQCBNdbdRitnWd

FAHAMU AINA ZA MAGONJWA YA MOYOMagonjwa ya moyo ni magonjwa yanayo ambatana na kuathiri moyo. Mara nyingi magonjwa ya mo...
22/10/2022

FAHAMU AINA ZA MAGONJWA YA MOYO

Magonjwa ya moyo ni magonjwa yanayo ambatana na kuathiri moyo. Mara nyingi magonjwa ya moyo yanaambatana na mishipa ya damu kuwa na tatizo ambapo moyo hushindwa kufanya kazi, moyo hutegemea damu ambayo hubeba oxygen, madini, vitamins, kinga ya mwili, joto, homoni na vingine vingi

Zaidi ya theluthi ya vifo vyote vinavyotokana na ugonjwa wa moyo na mishipa ya damu hutokea ndani ya nchi zenye uchumi wa chini na uchumi wa kati

AINA ZA MAGONJWA YA MOYO

1. Ugonjwa wa moyo unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu (Coronary artery disease) Hili ni tatizo linalowakuta watu wengi, mishipa ya damu hupasuka na kuharibika hii hutokana na mishipa ya damu kuwa na uchafu na mafuta mengi na kufanya damu isipite vizuri

2. Mapigo ya moyo kwenda tofauti (Heart Arrhythmias) Hii hutokea pale mapigo ya moyo kwenda taratibu isivyo kawaida au kwenda haraka isivyo kawaisda, pia mapigo ya moyo kwenda ovyo. Hii ni hatari sana na huua sana

3. Moyo kushindwa kufanya kazi (Heart Failure) Hii ni hali moyo hushindwa kufanya kazi yake k**a kupampu na kusambaza damu, kusambaza oxygen. Hii inaweza kutokea kwa mtu mwenye magonjwa k**a ugonjwa wa moyo wa misipa kuathirika, Shinikizo la damu, na magonjwa mengine

4. Magonjwa ya moyo ya kuzaliwa (Congenital heart disease) Haya ni magonjwa ambayo wengi huzaliwa nayo, yanaweza kuwa ni baadhi ya kasoro katika mwili k**a baadhi ya chemba za moyo kuziba au kupasuka, oxygen kupita kwa shida na vinginevyo

5. Ugonjwa wa valvu na misuli ya moyo (Heart Valve Disease & Cardiomyopathy (Heart Muscle Disease)) Katika moyo kuna chema nne nazo zinapitisha damu na oxygen kutoka kwenye mapafu, valvu hufunguka na kufunga. Valvu na misuli ikiwa imepasuka na kuharibika husababisha tatizo la moyo

6. Moyo kutanuka. Hii hutokea pale damu ikiingia ndani ya moyo harafu mishipa ya kutoa damu ikiwa na tatizo ikashindwa kutoa damu nje ya moyo moyo utaanza kutanuka siku hadi siku

Je, wajua Ug care plus stemcell ni suluhisho kwa aina zote za magonjwa ya moyo? maelezo zaidi wasiliana nasi 0718792210

FAHAMU KUHUSU STEM CELLSStem Cells ni Seli Shina/Seli Mama ➡️ Chanzo Cha Seli.Seli Shina Ni Malighafi Ya Mwili Ni Seli A...
05/10/2022

FAHAMU KUHUSU STEM CELLS

Stem Cells ni Seli Shina/Seli Mama ➡️ Chanzo Cha Seli.

Seli Shina Ni Malighafi Ya Mwili
Ni Seli Ambazo Kupitia Hizi, Seli Zingine Zote Zilizo Na Kazi Maalum Hutengenezwa.

Chini Ya Hali Inayofaa Katika Mwili Au Maabara, Seli Shina Hugawanyika Kuunda Seli Zaidi Zinazoitwa Seli Binti (Zao la Seli Shina /Seli Mama).
Hakuna Seli Nyingine Mwilini Iliyo Na Uwezo Wa Asili Wa Kuzalisha Aina Mpya ya Seli Isipokua STEM CELLS

KAZI KUBWA ZA STEM CELLS (SELI SHINA)

01. Kuzalisha Seli na Tishu
Seli Shina Hutoa Seli Mpya Kwa Mwili Wakati Unakua, Na Kuchukua Nafasi Ya Seli Maalum Ambazo Zimeharibiwa Au Kupotea.
✓Zinaweza Kugawanya Tena Na Tena Ili Kutoa Seli Mpya.
✓Zinapogawanyika, Zinaweza Kubadilika Kuwa Aina Zingine Za Seli Ambazo Zinaunda Mwili.

02. Matibabu Ya Magonjwa Ya Moyo Na Mishipa
Seli Shina Hurudisha Misuli Ya Moyo Kwenye Hali Yake Kabla Ya Shambulio La Moyo.
Husaidia Katika Matibabu Ya Maradhi ya Moyo K**a
✓Ugonjwa Wa Mishipa Ya Moyo (CAD).
✓Infarction Ya Myocardial (Mshtuko Wa Moyo) ✓Moyo Kushindwa Kufanya Kazi.
✓Ugonjwa Wa Ateri Ya Pembeni.
✓Kiharusi

03. Matibabu ya Magonjwa Ya Ubongo
Seli Shina Zinaweza Kuhamia Kwenye Tishu Za Ubongo Zilizoharibika, Kisha Kushiriki Katika Ukarabati Wa Tishu Hizo Kwa Kujigawanya Zaidi.

Huchukua Nafasi Ya Seli Zilizoharibiwa, Huku Zikipambana Na Hali Za Vimbe Kwenye Ubongo Na Kuboresha Ukuaji Wa Hizo Seli Mpya, Na Matokeo Yake Kuboresha Utendaji Wa Mfumo wa Neva.
Mfano wa Magonjwa Ubongo
✓Alzheimers
✓Kuumia Kwa Uti Wa Mgongo
✓Kiharusi
✓Cerebral Palsy (Kupooza Kwa Ubongo)
Mara Nyingi hutokea baada ya Kujifungua.
✓Ugonjwa Wa Battens
✓Amyotrophic Lateral Sclerosis
✓Tatizo La Kupoteza Uoni (Uwezo wa Kuona)
✓Magonjwa Mengine Ya Kupungua Kwa Neuro

04. Tiba Ya Saratani,Vimbe Na Hormones
05. Matibabu Ya Magonjwa Ya Damu Na Kupungukiwa Damu.
06. Matibabu Ya Kisukari, Magonjwa ya Figo, Ini.
07. Maradhi Yanayoathiri Kinga Za Mwili K**a HIV/AIDS, HEPATITIS B, CORONA NK.
08.Nzuri Kwa Watoto Wenye Matatizo Ya Ukuaji

Kwa maelezo zaidi
Call/WhatsApp +255718792210

TUNATUMA BIDHAA NDANI NA NJE YA NCHI

KARIBU SANA

https://chat.whatsapp.com/G52RPIufzQCBNdbdRitnWd

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 07:00 - 18:00
Tuesday 07:00 - 18:00
Wednesday 07:00 - 18:00
Thursday 07:00 - 18:00
Friday 07:00 - 18:00
Saturday 07:00 - 18:00
Sunday 07:00 - 18:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Life and Health Care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram