Dr Moses-tiba ya afya yako

Dr Moses-tiba ya afya yako Karibu tukutibu magonjwa mbali mbali kama vile sukari bawasiri pressure ,vidonda vya tumbo na mengineyo
0673834827

23/09/2025

Je umekuwa ukiteseka na miguu kuwaka moto pamoja na kufa ganzi kwenye vidole pamoja na miguu tumekuletea matibabu ya kutibu changamoto hii kwa njia rahisi kabisa bila kutumia madawa yenye kemikali nyingi Wasiliana nasi sasa kwani NINI CHANZO CHA MIGUU KUWAKA MOTOKatika mwili wa binadamu, kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kuwaka moto na kufa ganzi kwa viungo vya pembezoni mwa mwili yaani miguu na mikono. Tatizo hili kitaalamu hujulikana kwa jina la Peripheral Neuropathy.Mwili wa binadamu hutawaliwa na mifumo ya neva au kwa kitaalamu Nervous System, ambapo katika mifumo hii kuna mfumo mkuu, central nervous system (ubongo na uti wa mgongo) na pia kuna mfumo wa pembezoni ambao ni kazi za mwili mbali na ubongo na uti wa mgongo (peripheral nervous system), mfumo huu wa pembezoni hujumuisha kazi za misuli, mapigo ya moyo, mmeng’enyo wa chakula tumboni, uwezo wa kuhisi baridi au joto, kugusa vitu na kujua ukali wa ncha ya kitu na kadhalika.Matatizo haya ya kiafya (miguu au mikono kuhisi ganzi, baridi au maumivu) husababishwa na kuumia au kudhoofika kwa neva za pembezoni mwa mwili (miguuni au mikononi) na hivyo kupotea kwa uwezo wa kufanya kazi wa neva katika sehemu husika, miguuni au mikononi.Dalili zinazoambatana na ugonjwa huu ni hizi zifuatazo: 1. Mtu kuhisi ganzi2.Maumivu au kuwaka moto maeneo ya miguuni au mikononi,3. Kuhisi k**a umevaa soksi au gloves wakati hujavaa,4. Kuhisi k**a kuna kitu cha ncha kali kinakuchoma miguuni au kwenye vidole,5. Kushindwa kushika au kunyanyua kitu,6. Kuchoka kwa misuli na kadhalika.Miongoni mwa mambo ambayo hupelekea neva hizi za pembezoni kudhoofika na kushindwa kufanya kazi vizuri ni haya yafuatayo naomba uyafahamu:1. Kupungua kwa virutubisho mwilini, katika hili tunamaanisha mwili kutokuwa na vitamini vya kutosha na hasa mkusanyiko wa vitamini B, (Vitamin B Complex).2.Matumizi ya dawa, mtu kuwa katika matumizi ya baadhi ya dawa, mfano dawa za kutibu kifua kikuu au za kupambana na virusi vya ukimwi huweza kumsababishia mtumiaji matatizo ya neva.3. Uzito mkubwa wa mwili: Hali hii hupelekea maumbile ya viungo vya mwili mfano umbile la uti wa mgongo lionekane tofauti na ilivyo kawaida, kubadilika huku husababisha baadhi ya neva katika uti wa mgongo zikandamizwe zaidi na misuli au uzito wa mwili na hivyo kusababisha neva hizo zishindwe kufanya kazi vizuri, matokeo yake ni wewe kuanza kuhisi maumivi au kufa ganzi kwa miguu.4. Ugonjwa wa kisukari: Mtu mwenye tatizo la kisukari huwa hatarini zaidi kuugua au kupata matatizo ya neva, (diabetic polyneuropathy).Shinikizo la damu: Mtu kuwa na shinikizo kubwa la damu (High blood pressure) pia ni kihatarishi kinachoweza kumfanya mtu apate ugonjwa huu wa neva. Baadhi ya vitu hatarishi vinavyoweza kumfanya mtu apate matatizo haya, vinaweza kuepukika kwa mtu kuyabadili maisha yake mfano, k**a ulikuwa hufanyi mazoezi ya mwili, basi ujitahidi kuupa mwili mazoezi ili kupunguza uzito wa mwili, kuepuka magonjwa ya kisukari na kuepuka kuwa na shinikizo kubwa la damu, kula chakula chenye virutubisho vya kutosha k**a vile PHYTOGUARD, NEOTONIC, nk.Kama UKIMWI , PRESSURE, KISUKARI, KANSA, MATATIZO YA UZAZI,........ na mengine mengi tu Phytoscience piga 0673834827

27/08/2025
Sukari inatibika piga 0673834827
26/08/2025

Sukari inatibika piga 0673834827

Karbu ndugu tukuhudumie
26/08/2025

Karbu ndugu tukuhudumie

Suluhisho la nguvu za kiume
26/08/2025

Suluhisho la nguvu za kiume

08/08/2025

Tibu kisukari sasa

01/08/2025

Je umekuwa ukiteseka na miguu kuwaka moto pamoja na kufa ganzi kwenye vidole pamoja na miguu tumekuletea matibabu ya kutibu changamoto hii kwa njia rahisi kabisa bila kutumia madawa yenye kemikali nyingi Wasiliana nasi sasa kwani NINI CHANZO CHA MIGUU KUWAKA MOTOKatika mwili wa binadamu, kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kuwaka moto na kufa ganzi kwa viungo vya pembezoni mwa mwili yaani miguu na mikono. Tatizo hili kitaalamu hujulikana kwa jina la Peripheral Neuropathy.Mwili wa binadamu hutawaliwa na mifumo ya neva au kwa kitaalamu Nervous System, ambapo katika mifumo hii kuna mfumo mkuu, central nervous system (ubongo na uti wa mgongo) na pia kuna mfumo wa pembezoni ambao ni kazi za mwili mbali na ubongo na uti wa mgongo (peripheral nervous system), mfumo huu wa pembezoni hujumuisha kazi za misuli, mapigo ya moyo, mmeng’enyo wa chakula tumboni, uwezo wa kuhisi baridi au joto, kugusa vitu na kujua ukali wa ncha ya kitu na kadhalika.Matatizo haya ya kiafya (miguu au mikono kuhisi ganzi, baridi au maumivu) husababishwa na kuumia au kudhoofika kwa neva za pembezoni mwa mwili (miguuni au mikononi) na hivyo kupotea kwa uwezo wa kufanya kazi wa neva katika sehemu husika, miguuni au mikononi.Dalili zinazoambatana na ugonjwa huu ni hizi zifuatazo: 1. Mtu kuhisi ganzi2.Maumivu au kuwaka moto maeneo ya miguuni au mikononi,3. Kuhisi k**a umevaa soksi au gloves wakati hujavaa,4. Kuhisi k**a kuna kitu cha ncha kali kinakuchoma miguuni au kwenye vidole,5. Kushindwa kushika au kunyanyua kitu,6. Kuchoka kwa misuli na kadhalika.Miongoni mwa mambo ambayo hupelekea neva hizi za pembezoni kudhoofika na kushindwa kufanya kazi vizuri ni haya yafuatayo naomba uyafahamu:1. Kupungua kwa virutubisho mwilini, katika hili tunamaanisha mwili kutokuwa na vitamini vya kutosha na hasa mkusanyiko wa vitamini B, (Vitamin B Complex).2.Matumizi ya dawa, mtu kuwa katika matumizi ya baadhi ya dawa, mfano dawa za kutibu kifua kikuu au za kupambana na virusi vya ukimwi huweza kumsababishia mtumiaji matatizo ya neva.3. Uzito mkubwa wa mwili: Hali hii hupelekea maumbile ya viungo vya mwili mfano umbile la uti wa mgongo lionekane tofauti na ilivyo kawaida, kubadilika huku husababisha baadhi ya neva katika uti wa mgongo zikandamizwe zaidi na misuli au uzito wa mwili na hivyo kusababisha neva hizo zishindwe kufanya kazi vizuri, matokeo yake ni wewe kuanza kuhisi maumivi au kufa ganzi kwa miguu.4. Ugonjwa wa kisukari: Mtu mwenye tatizo la kisukari huwa hatarini zaidi kuugua au kupata matatizo ya neva, (diabetic polyneuropathy).Shinikizo la damu: Mtu kuwa na shinikizo kubwa la damu (High blood pressure) pia ni kihatarishi kinachoweza kumfanya mtu apate ugonjwa huu wa neva. Baadhi ya vitu hatarishi vinavyoweza kumfanya mtu apate matatizo haya, vinaweza kuepukika kwa mtu kuyabadili maisha yake mfano, k**a ulikuwa hufanyi mazoezi ya mwili, basi ujitahidi kuupa mwili mazoezi ili kupunguza uzito wa mwili, kuepuka magonjwa ya kisukari na kuepuka kuwa na shinikizo kubwa la damu, kula chakula chenye virutubisho vya kutosha k**a vile PHYTOGUARD, NEOTONIC, nk.Kama UKIMWI , PRESSURE, KISUKARI, KANSA, MATATIZO YA UZAZI,........ na mengine mengi tu Phytoscience piga 0673834827

Address

Mlimani City
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Moses-tiba ya afya yako posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dr Moses-tiba ya afya yako:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram