HEATH CARE

HEATH CARE ASK HEALTH CARE

07/01/2025

.kawambwa 497 Followers, 563 Following, 494 Likes - Watch awesome short videos created by Maalim kawambwa

SULUHISHO LA KISUKARIKISUKARI ni Nini?¶ Huu ni ugonjwa ambao hufahamika kitaalamu k**a Diabetes Mellitus ambao hutokana ...
25/09/2023

SULUHISHO LA KISUKARI

KISUKARI ni Nini?
¶ Huu ni ugonjwa ambao hufahamika kitaalamu k**a Diabetes Mellitus ambao hutokana na kiwango cha sukari mwilini kuwa juu tofauti na hali ya kawaida ya mwanadamu.

KUNA AINA 3 ZA KISUKARI

1.Kisukari cha kuzaliwa nacho
2.Kisukari kitokanacho na ulaji usio faa wa chakula
mfano:-
Ulaji wa vyakula vya kisasa k**a vile kuku wa kisasa na mayai ya kisasa, vinywaji k**a vile soda au pombe
3.Kisukari ambacho hutokea kwa baadhi ya wanawake wajawazito

KISUKARI husababishwa na nini?
Kunasababu 3 ambazo hupelekea mtu kupata kisukari

1.KONGOSHO hushindwa kuzalisha homon ya INSULIN ambayo kazi yake kutoa taarifa [SIGNO] ya kiwango cha sukari kilichozidi kwenye damu.
2.Uwepo wa mafuta yasio faa mwilini [Cholestrol] ambayo huzuiya INSULINI [RESISTENS] isiwasiliane na seli za mwili ilikuruhusu sukari iliyozidi kwenye damu kuingia ndani ya sell
3.Kushuka kwa KINGA YA MWILI hii hupelekea ufanisi wa shughuli mbali mbali za mwili kutokuwa sawa ivyo sell kushindwa kuvunja vunja sukali [Glucose] ili mwili upate nguvu

DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI.

Baadhi ya dalili za KISUKARI ni pamoja na;
¶ kupata kiu kikali Mara kwa mara.
¶Uchovu mwingi wa mwili.
¶Mwili kudhoofika kukonda.
¶Kusikia njaa kila wakati na Kula sana.
¶Kupata HAJA ndogo mara kwa mara na watoto wadogo hukojoa kitandani.
¶Kuwashwa.
¶Matatizo ya macho kutokuona vizuri.
¶Ganzi.
¶Wanawake kuwashwa katika maumbile yake.
¶Wanaume kukosa nguvu za kiume na wakati mwingine kukosa hamu ya Tendo la ndoa.
¶Kuchelewa kupona vidonda au majeraha katika mwili.

KISUKARI kina madhara gani?.
¶ Ngozi haiponi haraka inapopata majeraha.
¶ Kutokuona vizuri, wakati mwingine kuwa kipofu kabisa.
¶ Kuumwa mifupa(ganzi,maumivu,udhaifu katika mifupa).
¶ Kupoteza kumbukumbu.
¶ Magonjwa ya moyo.
¶ Kiharusi.
¶ kupoteza uzito

JE,KISUKARI HUTIBIKA?
Kwa maelekezo ya wataalamu wengi husema Kisukari hakitibiki lakini kiuhalisia zipo tiba kwa ajili ya Kongosho, Kinga ya Mwili na Mfumo wa Damu kwa Sukari ambayo tayari inashambulia Mfumo wa Mzunguko wa Damu,
Hivyo Mgonjwa atakapoanza kutumia baada muda mtu huweza kupona.
Zipo bidhaa za KUTIBU na kupona kabisa
Wasiliana nasi kwa kupiga au whatsapp: 0782 053 020

31/08/2023

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255782053020

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when HEATH CARE posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to HEATH CARE:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram