21/05/2024
Kwa Hali Ya Kawaida, Kila Binadamu amekuwa na vitu vyake anavyovipenda sana na vingine kuvichukia sana. Vipo anavyovipenda kidogo na vingine anavichukia kidogo, lakini vipo ambavyo haiui anavipenda ama anavichukia.
Wanawake pia k**a sehemu ya binadamu hao, pia wana vitu wanavyovipenda na kuvichukia.
Ukiwa katika uhusiano unaweza kuviona vitu vingi zaidi kutoka kwa mwenza wako. K**a ilivyo asili yake, vipo ambavyo utavipenda kutoka kwa mwenza wako na vipo ambavyo utavichukia ama havita kufurahisha.
LEO NITAKUDOKEZEA VITU 7
AMBAVYO HUFANYWA NA WANAUME AMBAVYO HUWACHUKIZA NA KUWAKERA SANA WANAWAKE WAKATI WA TENDO LA NDOA.
1. Mwandume kumaliza s*x na kuondoka;
Unapomaliza kus*x na kuinuka unaondoka anaumia, anahisi kukatiliwa vibaya kihisia, anaweza asije tena, mwanamke anahitaji angalau dk 20 za kuongea Nae.
2. Usifike kitandani na kuanza s*x
Mwanamke anahitaji maongezi kiasi fulani ili akili yake iwe active kwaajili ya tendo, unapofika na kuanza tendo anasikia kuvamiwa.
3. Kukojoa na kuchomoa papo hapo;
Wanawake wengi hutamani mwanaume unapomaliza usichomoe haraka, uendeleze kwa dk kadhaa 2 au 3 mpaka uume usinyae wenyewe, kwao inawapa raha fulani, ukichomoa haraka unamkosesha kitu fulani.
4. Usimwage nje;
Baadhi ya wanawake bila kukojolewa ndani hawapati raha ya tendo, hao mara nyingi huwa makini na kalenda zao, ukipiga show ukamwaga nje anaumia sana, sometimes wengine kumwagiwa ndani huwasaidia kufika kileleni haraka.
5. Epuka matumizi ya simu kitandani;
Mwanaume kutumia simu wakati mmekubaliana mpo chumbani kwaajili ya s*x, mwanamke anakwazika, unamfanya ahisi thamani yake akiwa chi ipo chini kuliko simu yako, unamuumiza kutojaliwa.
6. Kutozisoma nyakati zake kihisia;
Kuna wakati atakuonyesha kwa matendo kuwa yupo tayari kwaajili ya s*x, halafu wewe unapuuza, unakuwa unataka mpaka aseme yeye? Hi inamkata sana
Steam, jiongeze Mwanaume!.
7. Kutoshukuru au kutoonyesha Appreciation;
Mwanaume unamaliza k**a bubu, hakuna "Asante" au hata kusema umefeel vipi au kwa kiasi gani umekuwa impressed na s*x yake, anaweza kusema Asante yeye, basi na wee sema kitu (rate/ recommend/feedback) ajue alichofanya.
Ipi ulikuwa hufanyi na utaanza kuzingatia???