24/03/2023
UKWELI JUU YA MAGONJWA YANAYO TESA WATU WENGI KWA SASA;
1... K**a mwili wako unaweza kubadilika kutoka uzima wa afya Hadi ugonjwa
Basi hii inamanisha ugonjwa unao kusumbua unaweza kupona kwa mwili wako kufanya mabadiliko ya kutoka ugonjwa kwenda afya
📍Mwili umeumbwa kwa namna ya kubadilika kulingana na Nini unakula, Nini kinabakia ndani ya mwili na Nini kinatoka nje ya mwili.
2..K**a Kuna chanzo Cha ugonjwa au tatizo la kiafya
Basi pia ipo namna ya kulishinda au kupona ugonjwa huo au tatizo hilo la kiafya
3...Ugonjwa unaweza kumpata mtu yoyote sababu UKWELI ni kuwa kila mtu anakutana na mabadiliko ya maisha ya kijamii, kiuchumi , kihisia na kimazingira hivyo basi kila mtu yupo kwenye hatari ya kupata ugonjwa wowote kulingana na mapokeo ya mabadiliko hayo na namna ya kuyaishi.
Hivyo usijione mwenye hatia sana juu ya tatizo lako la kiafya... Kwani wewe ni nani usikutane na mabafiliko ya kimaisha.
5...UHALISIA ni kwamba Kuna ugonjwa moja tu ambao ni upungufu au ukosekanaji wa mahitaji muhimu ya seli za mwili na ndio maana karibia magonjwa yote yanafanana dalili zake au dalili zake kuingiliana.
Hii Ina maana majina ya magonjwa hutokana na upungufu huo upo sehemu gani ya mwili na umeathiri ufanyaji kazi wa mfumo gani wa mwili.
Hii inamanisha nafasi ya kushinda magonjwa upo kwenye kuupa mwili unachohitaji kuwa sawa.
6... Kila mwili wa mtu una lugha ya kutoa taarifa kwamba una ugonjwa au tatizo la kiafya au upo hatarini kupata tatizo la kiafya au ugonjwa au pia HAUPO sawa kiafya
Je wewe unajua lugha ya mwili wako?
Ni muhimu kujua mwili wako unakuambia nini juu ya afya yako ili kujiazari au kuchukua hatua ya kutatua tatizo la kiafya mapema K**a unalo kabla halijawa kubwa.
7... Ni muhimu kujua kuwa sio kila ugonjwa au tatizo la kiafya unalipata ili likuangamize. Mengine yanakuja kukuamsha au kukupa taarifa ya mabadiliko unayo takiwa kufanya kwenye maisha yako ili Kujenga au kurejesha afya yako bora
Kumbuka Kila unacho kiamini na kukizingatia zaidi katika afya yako ndio kinacho kuangamiza au kukuponesha na sio ugonjwa au tatizo lenyewe la kiafya.
Je umejifunza kitu kwenye hili?
Share kwenye comment 👇
By. GGL