Linda health solution1

Linda health solution1 Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Linda health solution1, Medical and health, Dar es Salaam.

📌Punguza Uzito bila njaa wala mazoezi Magumu
📌Tokomeza Bawasiri bila Upasuaji
📌Anza maisha bila Vidonda Vya Tumbo sasa Inawezekana!
💪 Ongeza Nguvu za Kiume na Urudishe Furaha ya Ndoa
Whatsap / Call +255 685 585 508
Loc : Dar 🇹🇿

🌹 MUNGU NDIYE MPONYAJI MKUU! 🌹✨ Mungu amenitumia mimi k**a daraja la uponyaji — kupitia mikono Yake, watu wengi wamepona...
29/10/2025

🌹 MUNGU NDIYE MPONYAJI MKUU! 🌹

✨ Mungu amenitumia mimi k**a daraja la uponyaji — kupitia mikono Yake, watu wengi wamepona kabisa Acid Reflux, Vidonda vya Tumbo, na Tatizo la Kukosa Choo.

Usiendelee kuteseka tena! 😔

👉 Dawa yetu ya COMPLETE ni suluhisho la kudumu, la asili, na lenye matokeo ya kweli.

Wengi waliokuwa na hofu sasa wanatoa shuhuda za furaha — wanasema wamepona kabisa! 💪
Na wewe pia unaweza kuwa mmoja wao leo! 🙏

🌿 Amua leo kuanza safari ya afya njema.
🌿 Muamini Mungu.
🌿 Amini mtoa huduma.
🌿 Tumia dawa — uone mabadiliko.

Ungana nasi leo! 💚

🔗 Bonyeza link iliyo kwenye BIO kujiunga na group letu.

📞 Ushauri & Tiba: WhatsApp/Call: +255 685 585 508


🌟 HONGERA SANA MR. SAID kutoka TEGETA! 🌟Umeonesha mfano bora wa BABA MWEMA 💪 kwa kumtuma mkeo mpendwa (Mahabu) kuja kuch...
28/10/2025

🌟 HONGERA SANA MR. SAID kutoka TEGETA! 🌟

Umeonesha mfano bora wa BABA MWEMA 💪 kwa kumtuma mkeo mpendwa (Mahabu) kuja kuchukua dawa kwa ajili ya mtoto wenu anayeumwa acid reflux 👶💊

Tunawaombea kwa moyo wa upendo, Mwenyezi Mungu amponye haraka kabisa na amrudishe kwenye afya njema 🤍🙏

Ameen! 😍🙌

Whatsap / Call +255 685 585 508

Our whatsap group link on bio👆

28/10/2025

" SIO KILA KITAMU NI SALAMA BAHADHI YA VYAKULA TUNAVYOVIPENDA VINAWEZA KUWA CHANZO CHA MAUMIVU YA TUMBO , VIDONDA NA GESI SUGU.

JIFUNZE KUVIEPUKA MAPEMA KABLA HAVIJAHARIBU AFYA YAKO YA NDANI "

N;B ; OUR WHATSAP GROUP LINK ON BIO👆

USHAURI & TIBA
+255 685 585 508


🔥 Sababu kwanini wagonjwa wetu wanaipenda dawa ya Complete:✅ Inatibu vidonda vya tumbo kutoka kwenye chanzo na ukipona u...
27/10/2025

🔥 Sababu kwanini wagonjwa wetu wanaipenda dawa ya Complete:

✅ Inatibu vidonda vya tumbo kutoka kwenye chanzo na ukipona umepona moja kwa moja.
✅ Inaondoa Acid reflux na kiungulia😍
✅ Inasaidia kupata choo kwa urahisi 🚽✨
✅Inaboresha Afya ya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kwa ujumla
✅ Ya asili na salama 🌿💚
✅ Wateja wanaona matokeo ya haraka na ya kudumu na kurudi kwenye maisha ya kawaida kwa furaha 🙌

👉 Usingoje kesho! Anza leo ufurahie tumbo lenye afya na maisha yenye amani.

Nina shuhuda za watu wengi waliopona Vidonda vya tumbo, Acid reflux, Tatizo la kukosa choo e.t.c

✅Tunajiamini na bidhaa yetu yenye matokeo makubwa sana.

✅Muamini Mungu tumia Dawa yetu ya Complete subiria uponyaji😍

✅Matokeo utaanza kuyaona kuanzia siku ya 3 tu !

"USIPOPONA TUNAKURUDISHIA PESA YAKO"

N;B; K**A CHANGAMOTO YAKO YA VIDONDA VYA TUMBO, ACID REFLUX & KUKOSA CHOO NI

👉MIAKA 1- 2 ; UTATUMIA KOPO 2 ZA DAWA YA COMPLETE 170,000

👉MIAKA 3-10; UTATUMIA KOPO 3 ZA DAWA YA COMPLETE SH 255,000

N;B : Our Whatsap group link on bio 👆


27/10/2025

NDANI YA SIKU 4 TU DAWA YA COMPLETE IMETENDA MIUJIZA MIKUBWA KWA MGONJWA WETU KUTOKA SINGIDA

TUNAPOSEMA DAWA YA COMPLETE NI SULUHISHO LA KUDUMU KWA ACID REFLUX , ULCERS NA TATIZO LA KUKOSA CHOO HUWA TUNAMAANISHA

MGONJWA WETU AMETESEKA SANA TATIZO LA ACID REFLUX ZAID YA MIAKA 4 NA AMEJARIBU KUTUMIA DAWA NYINGI SANA NA HAKUFANIKIWA KUPONA CHANGAMOTO YAKE

SIKU MOJA ALIONA TANGAZO LANGU FACEBOOK NA AKASEMA DR LINDA KWELI HII DAWA INATIBU

NIKAMWAMBIA HII DAWA YA COMPLETE NI TIBA YA KUDUMU NA UHAKIKA UKILIPIA LEO KOPO 1 NA UKIANZA KUTUMIA NDANI YA SIKU TATU HADI 4 UTANIPIGIA SIMU NA KUNIPA MREJESHO.

NA KWELI NDANI YA SIKU ALIONA MATOKEO

✅MAUMIVU MAKALI YA TUMBO ALIYOKUWA ANAYASIKIA KWA SASA YAMEPOTEA

✅ KIUNGULIA KIMEISHA

✅MAUMIVU YA KICHWA YAMEPONA NA HAYAPO TENA

✅CHOO ANAPATA MARA (2) KWA SIKU

HIVYO MPAKA SIKU ATAKAYOMALIZA KOPO LA 3 NAAMINI ATAKUWA AMEPONA TATIZO LA ACID REFLUX

NISEME KUWA MUNGU NDIYE MPONYAJI MKUU HIVYO MUAMINI MUNGU , AMINI MTOA HUDUMA NA AMINI DAWA YETU YA COMPLETE NA SUBIRIA UPONYAJI AMEN

N;B; KUJIUNGA NA GROUP LETU BONYEZA LINK ILIYOPO KWA BIO 😍


24/10/2025

💊 “Matumizi ya mara kwa mara ya dawa za kutuliza maumivu bila ushauri wa daktari yanaweza kuharibu ukuta wa tumbo. Tumia dawa kwa uangalifu.”

Kujiunga na group bonyeza link iliyopo kwa bio👆


🩺 KUMBUKA RAFIKI YANGU!Matibabu ya Acid Reflux, Vidonda vya Tumbo, na Kukosa Choo yanahitaji nidhamu na ufuatiliaji mzur...
23/10/2025

🩺 KUMBUKA RAFIKI YANGU!

Matibabu ya Acid Reflux, Vidonda vya Tumbo, na Kukosa Choo yanahitaji nidhamu na ufuatiliaji mzuri wa dozi.

💊 Anza dozi yako kwa wakati, na umalize dozi yote ili kupata nafuu kamili na kuzuia kurudi kwa tatizo.

✅ Usiache dawa ukiwa umeanza kuhisi vizuri — mwili wako bado unahitaji muda wa kupona kabisa.
✅ Kumbuka kunywa maji ya kutosha, kula kwa mpangilio, na epuka vyakula vya asidi au mafuta mengi.

Afya yako ni muhimu — kamilisha dozi, upone kabisa! 🌿

N;B; Our whatsap group link on bio👆

USHAURI & TIBA
WHATSAP/ CALL +255 685 585 508


23/10/2025
🔥 Sababu kwanini wagonjwa wetu wanaipenda dawa ya Complete:✅ Inatibu vidonda vya tumbo kutoka kwenye chanzo na ukipona u...
19/10/2025

🔥 Sababu kwanini wagonjwa wetu wanaipenda dawa ya Complete:

✅ Inatibu vidonda vya tumbo kutoka kwenye chanzo na ukipona umepona moja kwa moja.
✅ Inaondoa Acid reflux na kiungulia😍
✅ Inasaidia kupata choo kwa urahisi 🚽✨
✅Inaboresha Afya ya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kwa ujumla
✅ Ya asili na salama 🌿💚
✅ Wateja wanaona matokeo ya haraka na ya kudumu na kurudi kwenye maisha ya kawaida kwa furaha 🙌

👉 Usingoje kesho! Anza leo ufurahie tumbo lenye afya na maisha yenye amani.

Nina shuhuda za watu wengi waliopona Vidonda vya tumbo, Acid reflux, Tatizo la kukosa choo e.t.c

✅Tunajiamini na bidhaa yetu yenye matokeo makubwa sana.

✅Muamini Mungu tumia Dawa yetu ya Complete subiria uponyaji😍

✅Matokeo utaanza kuyaona kuanzia siku ya 3 tu !

"USIPOPONA TUNAKURUDISHIA PESA YAKO"

N;B; K**A CHANGAMOTO YAKO YA VIDONDA VYA TUMBO, ACID REFLUX & KUKOSA CHOO NI

👉MIAKA 1- 2 ; UTATUMIA KOPO 2 ZA DAWA YA COMPLETE 170,000

👉MIAKA 3-10; UTATUMIA KOPO 3 ZA DAWA YA COMPLETE SH 255,000

N;B : Our Whatsap group link on bio 👆


19/10/2025

Faida za Kula Mboga za Majani

Kula mboga za majani (k**a sukuma wiki, spinachi, mchicha, kale, n.k.) kuna faida nyingi kwa afya ya mwili. Hapa kuna baadhi ya faida kuu:

✅ Zina virutubisho vingi muhimu

Mboga za majani zina:

Vitamini k**a A, C, K, na baadhi ya vitamini B (k**a folate).

Madini k**a chuma (iron), kalsiamu, potasiamu, na magnesiamu.

Antioxidants ambazo husaidia kupambana na sumu mwilini.

✅ Husaidia kuimarisha kinga ya mwili

Vitamini C na antioxidants zilizomo kwenye mboga husaidia mwili kupambana na magonjwa na kuongeza uwezo wa kinga.

✅ Hupunguza hatari ya magonjwa sugu

Kula mboga mara kwa mara husaidia:

Kupunguza shinikizo la damu.

Kupunguza hatari ya kisukari cha aina ya pili.

Kulinda moyo dhidi ya magonjwa.

✅ Husaidia kupunguza uzito

Mboga za majani zina kalori chache lakini nyuzinyuzi nyingi (fiber), hivyo husaidia kushibisha haraka na kudhibiti hamu ya kula.

✅ Huboresha mmeng’enyo wa chakula

Mboga za majani ni muhimu sana kwa afya ya mfumo wa mmeng’enyo wa chakula, kwa sababu:

Zina nyuzinyuzi nyingi (fiber) zinazosaidia chakula kupita vizuri kwenye utumbo, hivyo kuzuia kuvimbiwa (constipation).

Huchochea uzalishaji wa vimeng’enya vya usagaji (digestive enzymes) vinavyosaidia kuvunja chakula mwilini.

Husaidia kulainisha kinyesi kutokana na kiasi kikubwa cha maji kilichomo ndani yake.

Hudumisha usawa wa bakteria wazuri tumboni (gut microbiota), hivyo kuboresha afya ya utumbo.

Hupunguza hatari ya magonjwa ya tumbo na utumbo mpana k**a vidonda vya tumbo na saratani ya utumbo (colon cancer).

Hupunguza gesi na uvimbe tumboni kwa kusaidia usagaji wa chakula kufanyika kwa utaratibu.

✅ Husaidia kulinda macho

Vitamini A na virutubishi k**a lutein na zeaxanthin husaidia kulinda macho dhidi ya uharibifu unaosababishwa na mwanga mkali au uzee.

✅ Huchangia afya ya ubongo

Baadhi ya tafiti zinaonyesha kuwa kula mboga za majani mara kwa mara husaidia kupunguza hatari ya kupoteza kumbukumbu na magonjwa ya ubongo k**a Alzheimer's

N;B; HAKIKISHA KILA SIKU UNAKULA MBOGA ZA MAJANI😍

Our Whatsap group link on bio👆


16/10/2025

🩺 Ushauri wa Kiafya:

Ukianza kupata dalili k**a kutapika damu, kinyesi cheusi, au maumivu makali ya tumbo, tafadhali nenda hospitali mapema.

Hizi ni dalili hatarishi zinazoweza kuashiria matatizo makubwa ya ndani ya tumbo.

Kulingana na muda wa changamoto, tiba ya kusaidia mwili kurejea katika hali nzuri inaweza kuhitaji:

Changamoto za miaka 1–2: Kopo 2 za Complete

Changamoto za miaka 3–10: Kopo 3 za Complete

Kumbuka: Ni muhimu kupata ushauri wa kitaalamu kabla ya kuanza tiba yoyote. Afya yako ni mtaji wako — chukua hatua mapema. 💚

Our Whatsap group link on bio👆


HONGERA KWA KUANZA DOSE PASTOR ELIAS FROM SINGIDA HAKIKISHA TU UNAMALIZA DOSE ILI UWEZE KUPONA KABISA😍USHAURI & TIBAWHAT...
16/10/2025

HONGERA KWA KUANZA DOSE PASTOR ELIAS FROM SINGIDA HAKIKISHA TU UNAMALIZA DOSE ILI UWEZE KUPONA KABISA😍

USHAURI & TIBA
WHATSAP / CALL 0685 585 508

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Website

https://chat.whatsapp.com/IhBNyUWYfr065EYwyYTpRf?mode=ac_t

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Linda health solution1 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Linda health solution1:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram