Afya kwanza 24hrs

Afya kwanza 24hrs Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya kwanza 24hrs, Women's Health Clinic, kigamboni, Dar es Salaam.

AFYA YA MWANAUME NA MWANAMKE
Afya | Lishe | Mazoezi | Ushauri |
Karibu Tukusaidie Kuijenga Afya yako Kupitia Ushauri Sahihi Wa Vyakula, Mtindo wa Maisha Na Utumiaji Wa Virutubisho.

Kuchelewa au kukosa hedhi kwa muda wa miezi 3–4 (ambayo kitaalamu huitwa amenorrhea)  kuna sababu mbali mbali zinazo pel...
25/10/2025

Kuchelewa au kukosa hedhi kwa muda wa miezi 3–4 (ambayo kitaalamu huitwa amenorrhea) kuna sababu mbali mbali zinazo pelekea zinazohusiana na homoni, afya ya uzazi, au hata maisha ya kila siku.

Sababu zinazoweza kusababisha kutokupata hedhi kwa muda mrefu:

1. Maradhi ya PID..haya ni maambukizi ya kwenye mfumo wa uzazi wa mwanamke yani kizazi (uterus),mirija ya uzazi(fallopian tubes) na ovary.
PID huleta adhari za kama

● Uharibifu wa mirija na kizazi
Maambukizi ya muda mrefu huleta makovu (scarring) na kuziba kwa mirija ya uzazi.
Hii inaharibu usawa wa homoni na mzunguko wa kawaida wa hedhi.

●Kuzorotesha kazi ya ovari
PID ikifika kwenye ovari, huleta uvimbe na kovu linalozuia kutolewa kwa mayai (ovulation).
Bila ovulation, hedhi inaweza kusimama au kupungua sana.

2. Mabadiliko ya homoni – mfano PCOS (Polycystic Ovary Syndrome), matatizo ya tezi (thyroid), au homoni za uzazi kutozunguka vizuri.

3. Msongo wa mawazo au kupungua/kuzidi uzito – stress, kula isivyo sahihi, au kufanya mazoezi kupita kiasi.

4. Matatizo ya mfumo wa uzazi – kama kuziba mirija ya uzazi, shida ya mfuko wa uzazi, au kovu kwenye uterasi.

5. Matumizi ya dawa fulani – mfano vidonge vya homoni, au dawa zinazobadilisha usawa wa homoni.

6. Magonjwa sugu – mfano kisukari, upungufu mkubwa wa damu, au matatizo ya ini/figo.

WASILIANA NASI KWA
WHAT'SAPP/PIGA
0769287659

👉🏽 SABABU (CHANZO) 10 ZA MAUMIVU YA KIUNO, NYONGA AU CHINI YA KITOVU KWA MWANAMKE.Maumivu haya yanaweza kutokana na mata...
20/10/2025

👉🏽 SABABU (CHANZO) 10 ZA MAUMIVU YA KIUNO, NYONGA AU CHINI YA KITOVU KWA MWANAMKE.
Maumivu haya yanaweza kutokana na matatizo kwenye:
✔ Mfumo wa uzazi
✔ Njia ya mkojo
✔ Mfumo wa chakula
✔ Misuli na mifupa ya nyonga/kiuno

1️⃣ Pelvic Inflammatory Disease (PID) – Maambukizi kwenye mfumo wa uzazi
Huanzia kwenye uke, husambaa kwenye kizazi, mirija ya uzazi (fallopian tubes) na ovari. Husababisha maumivu ya muda mrefu, usaha uke, homa na maumivu wakati wa tendo la ndoa.

2️⃣ Fibroids – Vivimbe kwenye mji wa uzazi
Husababisha tumbo kujaa, presha kwenye nyonga, maumivu ya kiuno, hedhi nzito au isiyoisha kwa wakati.

3️⃣ Endometriosis – Tishu za uzazi kuota nje ya eneo lake
Husababisha maumivu makali kabla au wakati wa hedhi, uchovu, maumivu ya tendo la ndoa na tumbo kuchoma upande mmoja.

4️⃣ Dysmenorrhea – Maumivu makali ya hedhi
Maumivu yanayokuja kila mwezi kabla au wakati wa hedhi, yanaweza shuka hadi kiunoni au kwenye mapaja.

5️⃣ Ovarian Cyst – Uvimbe wenye maji kwenye ovari
Huleta maumivu upande mmoja wa tumbo, tumbo kuuma ghafla, kichefuchefu na hata maumivu makali yanayoleta kizunguzungu.

6️⃣ UTI – Maambukizi ya njia ya mkojo
Huleta maumivu ya chini ya tumbo, kiuno, kuchoma wakati wa kukojoa, mkojo kunuka au kuwa na damu.

7️⃣ Maambukizi ya zinaa (Chlamydia, Gonorrhea n.k.)
Husababisha maumivu ya nyonga, ute usio wa kawaida ukeni, maumivu ya tendo la ndoa na PID ikiwa hayajatibiwa.

8️⃣ Adhesions – Vishikizo baada ya upasuaji au maambukizi
Tishu za ndani hushikana na kusababisha maumivu ya nyonga ya muda mrefu, hasa baada ya operation au mimba kuharibika.

9️⃣ Matatizo ya mfumo wa chakula (constipation, gesi kushikamana, IBS)
Kuchelewa kupata choo, tumbo kujaa gesi, pressure chini ya kitovu na maumivu yanayokuja na kuondoka.

🔟 Matatizo ya misuli na mifupa ya nyonga/kiuno (Musculoskeletal Pain)
Yanayotokana na kukaa muda mrefu, mkao mbaya, misuli ya nyonga kuwa dhaifu, au majeraha ya mgongo/kiuno.

WASILIANA NASI KWA
WHAT'SAPP/PIGA
0769287659

08/10/2025

YOUNG FOREVER MUONEKANO MZUURI NA NGOZI
YA KUVUTIA ZAIDI MAKUNYANZI WALA MIKUNJO
YA AINA YEYOTE PIA INAKINGA MARADHI YA UZEENI
KAMA SUKARI, PRESHA, SARATANI MOYO NK
NB: WANATUMIA JINSIA ZOOTE NA INATUMIKA
MWEZI MZIMA

WASILIANA NASI KWA
0769287659

04/10/2025

KWA OFA YA SIKU MBILI TU (TSH 40,800)
FEMICARE NI NINI...?
Ni tiba maalum kwa maambukizi katika via vya uzazi kwa mwanamke.

FAHAMU KAZI ZA VIGINAL CLEANSER
1 Huondoa harufu mbaya ukeni, uchafu na kuongeza bacteria walinzi, ni nzuri kwa wanaoshare vyoo.
2 Inatibu Fangasi sugu ukeni, na U.T.I sugu
3 Inatibu ugonjwa wa PID sugu iki ambatana na dawa ya yuhnzi. Yuhnzi essence ni vidonge vya kumeza
4 Huondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa na kurudisha ute ute unaohitajika.
5 Inafanya uke kuwa msafi na mkavu muda wote.
6 Inazibua Mirija ya Uzazi iliyoziba na kurekebisha hedhi iliyovurugika.
7 Inakaza misuli ya uke uliolegea na kuwa tight.
8 Inaondoa maumivu ya tumbo chini ya kitovu. (chango)
9 Inaondoa michubuko ukeni.
10 Inatibu PID ikitumika na refined, Refined ni ya vidonde unameza
11 Hutumika kama njia salama ya uzazi wa mpango
Ipo kwenye Offer..lipia 40,800/= badala ya 58, 500/=lli Kupata
Bidhaa Hii Wasiliana Nasi Moja kwa moja.
+255769287659

LINDA AFYA YAKO NA YA UWAPENDAO KWA KUTUMIA VIRUTUBISHO LISHE
23/09/2025

LINDA AFYA YAKO NA YA UWAPENDAO KWA KUTUMIA VIRUTUBISHO LISHE

🧔‍♂️ TEZI DUME NA AFYA YA MWANAUME  Tezi dume ni tezi ndogo ya mfumo wa uzazi wa kiume, ipo chini ya kibofu cha mkojo na...
29/08/2025

🧔‍♂️ TEZI DUME NA AFYA YA MWANAUME 

Tezi dume ni tezi ndogo ya mfumo wa uzazi wa kiume, ipo chini ya kibofu cha mkojo na huzunguka mrija wa mkojo. 

💡 Usisubiri dalili! Ni muhimu wanaume kuanzia miaka 40 kupima afya ya tezi dume mara kwa mara. 

🌿 PROSTATE RELAX  SULUHISHO ASILI BILA UPASUAJI 

Faida zake kwa afya ya tezi dume: 
✅ Kupunguza uvimbe na shinikizo la tezi dume (BPH) 
✅ Kurejesha mkojo kutoka vizuri bila kubanwa au kukatika 
✅ Kupunguza kukojoa mara kwa mara hasa usiku 
✅ Kuimarisha nguvu za kiume na afya ya uzazi 
✅ Kupunguza maumivu ya nyonga na mgongo kutokana na tezi dume 
✅ Kuongeza nguvu ya mfumo wa mkojo na kibofu 
✅ Kuimarisha mzunguko wa damu kwenye sehemu za siri za mwanaume 
✅ Kupunguza hatari ya saratani ya tezi dume 
✅ Kulinda mbegu za kiume dhidi ya uharibifu (oxidative stress) 
✅ Kuongeza stamina na kujiamini kwa mwanaume 

✨ Uko tayari kurudisha nguvu zako za kiume bila upasuaji? 
Chukua hatua leo na linda afya yako ya tezi dume! 

🧔‍♂️ TEZI DUME NA AFYA YA MWANAUME  Tezi dume ni tezi ndogo ya mfumo wa uzazi wa kiume, ipo chini ya kibofu cha mkojo na...
27/08/2025

🧔‍♂️ TEZI DUME NA AFYA YA MWANAUME 

Tezi dume ni tezi ndogo ya mfumo wa uzazi wa kiume, ipo chini ya kibofu cha mkojo na huzunguka mrija wa mkojo. 

💡 Usisubiri dalili! Ni muhimu wanaume kuanzia miaka 40 kupima afya ya tezi dume mara kwa mara. 

🌿 PROSTATE RELAX  SULUHISHO ASILI BILA UPASUAJI 

Faida zake kwa afya ya tezi dume: 
✅ Kupunguza uvimbe na shinikizo la tezi dume (BPH) 
✅ Kurejesha mkojo kutoka vizuri bila kubanwa au kukatika 
✅ Kupunguza kukojoa mara kwa mara hasa usiku 
✅ Kuimarisha nguvu za kiume na afya ya uzazi 
✅ Kupunguza maumivu ya nyonga na mgongo kutokana na tezi dume 
✅ Kuongeza nguvu ya mfumo wa mkojo na kibofu 
✅ Kuimarisha mzunguko wa damu kwenye sehemu za siri za mwanaume 
✅ Kupunguza hatari ya saratani ya tezi dume 
✅ Kulinda mbegu za kiume dhidi ya uharibifu (oxidative stress) 
✅ Kuongeza stamina na kujiamini kwa mwanaume 

✨ Uko tayari kurudisha nguvu zako za kiume bila upasuaji? 
Chukua hatua leo na linda afya yako ya tezi dume! 

🧔‍♂️ TEZI DUME NA AFYA YA MWANAUME  Tezi dume ni tezi ndogo ya mfumo wa uzazi wa kiume, ipo chini ya kibofu cha mkojo na...
22/08/2025

🧔‍♂️ TEZI DUME NA AFYA YA MWANAUME

Tezi dume ni tezi ndogo ya mfumo wa uzazi wa kiume, ipo chini ya kibofu cha mkojo na huzunguka mrija wa mkojo.

💡 Usisubiri dalili! Ni muhimu wanaume kuanzia miaka 40 kupima afya ya tezi dume mara kwa mara.

🌿 PROSTATE RELAX SULUHISHO ASILI BILA UPASUAJI

Faida zake kwa afya ya tezi dume:
✅ Kupunguza uvimbe na shinikizo la tezi dume (BPH)
✅ Kurejesha mkojo kutoka vizuri bila kubanwa au kukatika
✅ Kupunguza kukojoa mara kwa mara hasa usiku
✅ Kuimarisha nguvu za kiume na afya ya uzazi
✅ Kupunguza maumivu ya nyonga na mgongo kutokana na tezi dume
✅ Kuongeza nguvu ya mfumo wa mkojo na kibofu
✅ Kuimarisha mzunguko wa damu kwenye sehemu za siri za mwanaume
✅ Kupunguza hatari ya saratani ya tezi dume
✅ Kulinda mbegu za kiume dhidi ya uharibifu (oxidative stress)
✅ Kuongeza stamina na kujiamini kwa mwanaume

✨ Uko tayari kurudisha nguvu zako za kiume bila upasuaji?
Chukua hatua leo na linda afya yako ya tezi dume!
0769287659

Bei ya ofa ya package hii ni tsh 452,800 Zijue Dalili 7 Za Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Tiba Zake.Upungufu wa nguvu za ...
26/07/2025

Bei ya ofa ya package hii ni tsh 452,800

Zijue Dalili 7 Za Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Tiba Zake.
Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamilifu au kushindwa kusimamisha uume vizuri. Shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, hisia na mishipa ya damu, misuli ya uume. Tafiti zinaonesha kuwa katika wanaume watano (5) basi mmoja kati yao ana tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

Dalili Za Upungufu Wa Nguvu Za Kiume:

1) Kukosa Hamu Ya Kufanya  Tendo La Ndoa.

2) Kutokuwa Na Uwezo Wa Kurudia Tendo La Ndoa Zaidi Ya Mara Moja.

3) Kutokuwa  Na Uwezo Wa Kusimamisha Uume Kabisa.

4) Kuwahi Kufika Kileleni.

5) Kuchoka Sana Baada Ya Tendo La Ndoa Na Hata Kukinai Kabisa/Hata Kusikia Kichechefu.

6)  Kuhisi Maumivu Wakati Wa Tendo La Ndoa/Baada Ya Tendo La Ndoa.

7) Kuchelewa  Sana Kufika Kileleni/Kushindwa Kufika Kileleni Kabisa.

Usihofu tatizo hili lina tatulika kwa tiba iliyo sahihi...Wasiliana nasi tukusaidie kutatua yako kwa ukaribu zaidi na kupata suluhusiho la kudumu.

WASILIANA NASI KWA:
whatsapp/piga
+255769287659 👈🏼

 
 
 
 
 
 
 
 
 

 
 
 
 
 
 
 
 
 

Address

Kigamboni
Dar Es Salaam
15110

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya kwanza 24hrs posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya kwanza 24hrs:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram