Tiba asili

Tiba asili Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Tiba asili, Mlimani city, Dar es Salaam.

Hii ni page ya tiba asili za kimarekani, utajifunza magonjwa na mambo mengi kuhusu afya zetu pamoja na suluhisho la magonjwa mbalimbali, kama presha, kisukari, shida za mifupa na maungio, bawasili, vidonda vya tumbo, nguvu za kiume, tezi dume, pid,uzazi Bf Suma ni kampuni ya kimataifa iliyojikita katika tafiti na maendeleo ya kijamii, uzalishaji na usambazaji wa bidhaa lishe asilia zisizo na kemikalu zenye kukinga na kutibu magonjwa mbalimbali Kama shida zote za uzazi kwa wanaume na wanawake, vidonda vya tumbo, bawasili, gesi tumboni nk, shida za mgongo, maunhio na mifupa kwa ujumla, kisukari, presha , vimbe, Kansa,kupunguza uzito na manyama uzembe, kuondoa sumu na kuimarisha Kinga za mwili

Ukiwa na uume mdogo legevu ni hatari sana tumia virutubisho mapema kuupa mfumo asili yake
10/03/2026

Ukiwa na uume mdogo legevu ni hatari sana tumia virutubisho mapema kuupa mfumo asili yake

🌸BF SUMA wishes a Happy Women's Day to all women worldwide! 🌟 Celebrating the strength, resilience, and beauty of women ...
08/03/2026

🌸BF SUMA wishes a Happy Women's Day to all women worldwide! 🌟
Celebrating the strength, resilience, and beauty of women everywhere.
🌸BF SUMA inawatakia wanawake wote Heri ya Siku ya Wanawake Duniani! 🌟

Tunazisherehekea nguvu, uvumilivu, na uzuri wa wanawake duniani kote.

08/03/2026

Wahi ofa sasa

Wahi upate tiba haraka
06/03/2026

Wahi upate tiba haraka

Asante bf suma, baada ya kuwa mtumwa wa kuvaa miwani miaka 9 na sasa naishi bila miwani Mungu asante
05/03/2026

Asante bf suma, baada ya kuwa mtumwa wa kuvaa miwani miaka 9 na sasa naishi bila miwani Mungu asante

UREMBO WA ASILI KWA MWANAMKE  Siri ya mwanamke kuonekana mrembo na kijana kuondoa chunusi, mabaka, makunyanzi ya usoni n...
05/03/2026

UREMBO WA ASILI KWA MWANAMKE

Siri ya mwanamke kuonekana mrembo na kijana kuondoa chunusi, mabaka, makunyanzi ya usoni na ung'arisha ngozi kwa njia ya Asili.

FEMINERGY CAPSULE* Imetengenezwa kiasili na kwa kiwango cha hali juu cha mbegu za zabibu ambazo hujulikana kuwa na kiwango kikubwa kinachopambana ba uzee kinachoitwa PROANTHOCY ANIDISM(OPC)

_Kazi ya feminergy_
➡Huondoa makunyanzi.
➡Huondoa makovu yaliyo achwa na chunusi.
➡Hung'arisha ngozi na kuondoa mabakaa yasiotakiwa.
➡Huifadhi unyevu wa ngozi.
➡Huzuia magonjwa yaletwayo na umri k**a kansa, kisukari, Magonjwa ya moyo, Macho na Alzheimer's (Watu wazima kupoteza kumbukumbu) Huifanya Organi zako kufanya kazi bila kuzeeka mapema.

_Faida za feminergy_
°Husaidia mishipa ya damu itanuke na kusinya hivyo kuiwezesha presha ya damu.
°Husaidia madhara ya mionzi ya jua, simu, Tv na mionzi mingine mwilini mwako.
°Husaidia kupambana na Allegy, Athma na mwili kukosa Nguvu.

Kwa nini uchague feminergy
--->Ni ya Asili.
Imetengenezwa na mbegu za MIMEA mbali mbali pamoja na amatunda.

NOTE: Leo inapatikana Kwa KWA BEI YA PROMOTION 0716843582

05/03/2026

ZIJUE DALILI ZA KUWA SUMU NYINGI MWILINI
1. Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi, vipele nk.
2. Kuwa na uzito wa kupindukia
3. Kutopata choo au kupata choo kigumu
4. Kukosa usingizi Na kujihisi mchovu kupitiliza
5. Kichwa kuuma kila mara
6. Kupata miwasho mzio/allergy
7. Maumivu ya viungo K**a vile mgongo,goti, nyonga
8. Kuwa na hasira mara kwa mara.
9. Tumbo kujaa gesi na matatizo ya tumbo
10. Kuwa na upungufu wa damu mara kwa mara nk

NA HAYA NDIO MADHARA YA KUWA NA SUMU NYINGI MWILINI..
• Kuondoa hamu ya tendo la ndoa
• Maumbikizi ya figo
• Maumbikizi ya Ini
• Uume kusimama kwa ulegevu
• Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba)
• Mvurugiko wa homoni kwa mwanaume
• Maumivu ya Mifupa na Maungio
• Hupelekea matatizo shinikizo la damu la juu (high blood pressure)
• Mvurugiko wa homoni na kupelekea hedhi kuvurugika, maumivu ya hedhi na kukosa hedhi ikiwa si mjamzito
• Saratani au kansa mbali mbali
• Matatizo ya moyo, kongosho na mfumo mzima wa damu ikiwemo kuganda ovyo kwa damu(arteriosclerosis, atherosclerosis ,thromboembolisim) n.k

KUPA SULUHISHO la kudumu 0716843582

04/03/2026

9BF Suma Ginseng Coffee ni kahawa ya afya yenye mchanganyiko wa kipekee wa ginseng na kahawa ya ubora wa juu, ikilenga kuongeza nguvu za mwili, kuondoa uchovu, na kuboresha mzunguko wa damu.

---

🌿 Viambato Muhimu:

Ginseng Extract – Hutoa nguvu, huimarisha kinga ya mwili, na hupunguza uchovu.

Instant Coffee Powder – Huchangamsha akili na kuongeza umakini.

---

✅ Faida za Ginseng Coffee:

Husaidia changamoto za nervous na mishipa ya fahamu

Huondoa maumivu ya kichwa na mwili

Huongeza nguvu za mwili na stamina.

Huchangamsha akili na kuboresha umakini.

Husaidia kuondoa uchovu na hali ya kuchoka kazini au nyumbani.

Huimarisha kinga ya mwili.

Huweza kusaidia kwa wanaume wenye changamoto za nguvu za kiume.

Inafaa kwa watu wa rika mbalimbali wanaohitaji nguvu na mwamko wa mwili.

---

☕ Jinsi ya kutumia:

Changanya pakiti moja ya Ginseng Coffee na maji ya moto kikombe kimoja. Tumia asubuhi au mchana kwa matokeo bora.

03/03/2026

Wpmen pack ndo suluhisho la magonjwa yote ya wanawake

03/03/2026

Je umejifunza???

03/03/2026

Kisukari kinapona kwa life style na virutubisho lishe

0716843582
02/03/2026

0716843582

Address

Mlimani City
Dar Es Salaam
234

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tiba asili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram