Dr. Ivana Afya Plus

Dr. Ivana Afya Plus karibu afya plus healthcare center kwa matibabu mazuri na ya haraka zaidi.. Afya Plus Healthcare Center we care and cure your problem.

Contact info
0629476204
Watsap info
+255 629 476 204

*JUICE YA TENDE NA MAZIWA*📌 Huongeza nguvu na ubora wa mbegu za kiume.📌 Huondoa tatizo la kukosa choo au kupata choo kig...
08/04/2025

*JUICE YA TENDE NA MAZIWA*

📌 Huongeza nguvu na ubora wa mbegu za kiume.

📌 Huondoa tatizo la kukosa choo au kupata choo kigumu.

📌 Husaidia mmeng' enyo wa chakula tumboni.

📌 Husaidia mishipa ya fahamu kuwa vizuri na kufanya kazi vyema.

📌 Hudhibiti kasi ya kuzeeka kutokana na kupunguza (sumu) free radicals mwilini na pia kusaidia afya nzuri ya ngozi na kupunguza mikunjo usoni.

📌 Husaidia tatizo la upungufu wa damu kuongeza madini ya muhimu (iron) katika seli nyekundu
za damu.

📌 Husaidia kuimarisha nguvu na afya ya tezi dume kutokana na wingi wa madini k**a manganese, copper, selenium na magnesium.

📌 Kuimarisha afya ya mama wajawazito na mtoto, inayomfanya mama asiteseke wakati wa kujifungua

Madini yanayopatikana kwenye tende kwa asilimia 30% utayapata kwenye NATUREMIN kwa asilimia 100%

Vitamini utazozipata kwa 40% kwenye Tende utapata kwa 100% kwenye virutubisho rishe

*KARIBU INBOX KWA MASWALI NA MSAADA ZAIDI LEO*

08/06/2022
Lakini huwezi kuwa na akili K**a huna ufanisi mzuri kitandani iwe ni kwa mwanamke au mwanaume.....K**a una shida yeyote ...
03/06/2022

Lakini huwezi kuwa na akili K**a huna ufanisi mzuri kitandani iwe ni kwa mwanamke au mwanaume.....K**a una shida yeyote wakati wa tendo la ndoa basi msaada wako umekufikia Changamotoo nyingi Sana huwakumba akina baba K**a vile ukosefu wa nguvu za kiume, uume kusinyaa na kushindwa kusimama ndani ya dakika 2, kukosa hamu ya tendo la ndoa na mengine mengi akina mama hukumbana na Changamotoo za akina mama K**a vile maambukizi kwenye via vya uzazi ifahamikayo K**a PID, fungus sugu kukosa Ute wa uzazi, ugumba na mengine mengi...ikiwa una tatizo lolote kiafya kwa upande wowote ule nitafute kwa namba 0629476204...

31/05/2022

[5/29, 4:55 PM] Othama: *DermaEver imetengenezwa takriban na mimea asili 7 isiyo na kemikali na ni chakula Kwa ngozi.*

Mimea hiyo inaifanya DERM EVER kuwa mafuta Bora ya mwili na uso na kukupa faida zifuatazo👇🏾👇🏾

🍒Inaongezwa unyevu kwenye ngozi, Kwa asilimia 53%

🍒Inarudisha uwezo wa ngozi kutanuka na Kusinyaa Hivyo huondoa makunyanzi kwenye ngozi.

🍒inaleta mng'ao wa ngozi Inamfanya mtumiaji kuwa na ngozi yenye rangi Moja mwili mzima.

🍒inasaidia kuondoa uchakavu wa ngozi kwa watu wote.

🍒inasaidia ngozi kujilinda na kujitibu na magonjwa ya ngozi, k**a vile mabalango.

🍒huondoa cell zilizokufa kwenye ngozi na kuchochea uzalishaji wa cell mpya kwenye ngozi.

🍒inarekebisha ngozi iloungua na cream zenye kemikali..
[5/29, 4:57 PM] Othama: DETOXILIVE ni Bidhaa BORA na ya ASILI iliyotokana na mchanganyiko wa MIMEA na MATUNDA mbali mbali ambavyo vimekua vikitumika kutibu Maradhi SUGU katika nchi mbalimbali Duniani

Bidhaa Hii ni Muhimu sana Kwa kila BINADAMU kutokana na kazi zake MEILINI na KATIKA organs K**a vile FIGO,INI ,MAPAFU,KONGOSHO,Ubongo

1) Inatoa sumu zote mwilini.

2) Inaimarisha ubongo na kutunza kumbukumbu

3) Inaondoa madhara ya pombe kwa wanywaji na kulinda INI na FIGO

4) Inaondoa mafuta yaliyozidi mwilin, baada ya kula hutumiwa Kuzuia kuota vitambi,

5) Inaondoa sukari iliyozid mwilin Na ni nzuri kwa wenye shinikizo la damu (presha)

6) Inaleta usingizi Mzuri sana

7)Ina ondoa URIC ACID mwilini

8)Inaimarisha UTENDAJI KAZI MZURI na kuzuia madhara kwenye FIGO,INI,KONGOSHO,mapafu

9) Inazuia na kuondosha tatizo la MAWE KWENYE FIGO na KIBOFU cha mkojo

10) Inazuia kuganda Kwa mafuta Tumboni ambayo hupelekea Kitambi

NB: Nzuri kwa wagonjwa wa FIGO na INI
[5/29, 5:00 PM] Othama: *Kazi ya feminergy*

*➡Huondoa makunyanzi na michirizi.*
*➡Huondoa makovu yaliyo achwa na chunusi.*
*➡Hung'arisha ngozi na kuondoa mabakaa yasiotakiwa.*
*➡Huifadhi unyevu wa ngozi.*
*➡Huzuia magonjwa yaletwayo* na *umri k**a kansa, kisukari, Magonjwa ya moyo*

*🩺Faida za feminergy*
:
*Imetengenezwa na mbegu za zabibu. Ina matokeo Makubwa*
*-->Ina 95% ya kiini cha*
*PROANTHOCYADISM(OPC) Ambacho ndicho hupambana na uzee na kuchoka kwa ngozi. Ni salama*
*1⃣Haina madhara kwa mtumiaji. Nani haswa anatakiwa kutumia feminegy*
*2⃣Wanawake watu wazima, umri wakati na mabinti.*
*3⃣Wanawake wenye makunyanzi na wasiotaka makunyanzi.*
*4⃣Wanawake wenye mabaka ya chunusi na wasiotaka mabaka.*
*5️⃣Wanawake wasiotaka kuzeeka haraka.*
*6️⃣Watumiaji wa muda mrefu wa kompyuta, simu na TV.*
*7️⃣Mtu mwenye ugonjwa wa moyo na damu katika ubongo.*
*8️⃣Watu waliopigwa mionzi ya Chemotherapy.*
*9️⃣Mtu anayechoka haraka na matatizo ya Allegy.*

1⃣JE, NINI CHANZO CHA MIRIJA YA MAYAI KUJAA MAJI?🎯Mara nyingi mirija ya uzazi kuziba hutokana na magonjwa yafuatayo;🔄Maa...
24/05/2022

1⃣JE, NINI CHANZO CHA MIRIJA YA MAYAI KUJAA MAJI?

🎯Mara nyingi mirija ya uzazi kuziba hutokana na magonjwa yafuatayo;

🔄Maambukizi katika via vya uzazi au PID(Pelvic inflammatory disease)
🔄Maambukizi ya magonjwa ya zinaa ambayo yamekaa muda mrefu bila kutibiwa k**a vile kisonono na klamidia au pangusa.
🔄Upasuaji maeneo ya kiunoni (pelvic surgery)
🔄Saratani ya mirija ya uzazi, nk.

2⃣DALILI ZAKE

Wanawake wengi wanaweza wasiwe na dalili zozote, isipokuwa kupata matatizo katika kupata mtoto. Dalili zinazojitokeza mara nyingi huwa ni;
👇👇👇👇👇👇

🔄Maumivu ya kiuno, nayo hujitokeza mara kwa mara hasa siku chache kabla au baada ya kuingia kwenye hedhi.
🔄Uchafu kutoka sehemu za siri.
🔄Kutokushika ujauzito
0629476204

24/05/2022

1⃣JE, NINI CHANZO CHA MIRIJA YA MAYAI KUJAA MAJI?

🎯Mara nyingi mirija ya uzazi kuziba hutokana na magonjwa yafuatayo;

🔄Maambukizi katika via vya uzazi au PID(Pelvic inflammatory disease)
🔄Maambukizi ya magonjwa ya zinaa ambayo yamekaa muda mrefu bila kutibiwa k**a vile kisonono na klamidia au pangusa.
🔄Upasuaji maeneo ya kiunoni (pelvic surgery)
🔄Saratani ya mirija ya uzazi, nk.

2⃣DALILI ZAKE

Wanawake wengi wanaweza wasiwe na dalili zozote, isipokuwa kupata matatizo katika kupata mtoto. Dalili zinazojitokeza mara nyingi huwa ni;
👇👇👇👇👇👇

🔄Maumivu ya kiuno, nayo hujitokeza mara kwa mara hasa siku chache kabla au baada ya kuingia kwenye hedhi.
🔄Uchafu kutoka sehemu za siri.
🔄Kutokushika ujauzito.
Kwa mawasiliano zaidi nitafute kwa namba zifuatazo 0629476204

28/04/2022

Ndoa hupendeza na kuzidi kung'aa pale ambapo wote mpo sawa kwenye maeneo yenu yalee ya kujidai lakini mwanaume ukiwa na kitambi huwezi kumnogesha mwenzio nawe mwanamke kitambi kinakuharibia shepu yako Yan hata K**a unalo linaonekana ni shapeless kwa Sababu ya kitambi njoo Sasa upate msaada na ushauri bure 0629476204

Address

Mliman City
Dar Es Salaam

Telephone

+255629476204

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr. Ivana Afya Plus posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category