The_union_health

The_union_health Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from The_union_health, Medical and health, Dar es Salaam.

Nani ako online Saa Hii anataka biashara  nimuonyeshe 🙋 Comment "YES" for quick guidelines, ,    +255 625 027 913 Whatsa...
02/11/2022

Nani ako online Saa Hii anataka biashara nimuonyeshe 🙋 Comment "YES" for quick guidelines, , +255 625 027 913 Whatsapp I show you.

*WAKALA ATAPATA FAIDA ZIFUATAZO*âž¡ *FAIDA ZA REJA REJA ZOTE NI ZAKE*âž¡ *MALIPO YA KILA MWISHO WA MWEZI KULINGA NA KAZI YAK...
03/10/2022

*WAKALA ATAPATA FAIDA ZIFUATAZO*

âž¡ *FAIDA ZA REJA REJA ZOTE NI ZAKE*

âž¡ *MALIPO YA KILA MWISHO WA MWEZI KULINGA NA KAZI YAKE KUTOKA KWENYE KAMPUNI*

âž¡ *ZAWADI ZA KILA MWAKA K**A*

* #* Safari za kwenda Marekani,China,Dubai na kwingine kwingi kujifunza na kutalii.

* #* Magari (Kwa Tanzania sasa imekwisha Toa magari 22 kwa washindi.

* #* Nyumba (Nyumba hutolewa ukifika ngazi ya 11 na 12 kwa sababu kampuni ina vyeo vyake 12 kwa mawakala wake)

Pia kuna promotion mbalimbali zinazotolewa ndani ya kampuni.

Licha ya hivyo kampuni inatoa Mafunzo bure kwa kila wakala wake.

*Malipo*
*JE HAYA MALIPO YANATOKEA WAPI...?*

Katika kila bidhaa ambayo kampuni inazalisha, kampuni imeweka *POINTS* . Hizi points ndizo zinazo tumika kuhesabiwa kila mwisho wa mwezi na mwaka ili mtu aweze lipwa na kampuni pia uweze pata zawadi za kila mwisho wa mwaka.

Hivyo basi kampuni kwa kuthamini Mawakala wake ikaonelea vyema ili kila wakala alipwe pesa nyingi ikaruhusu wakala kutafuta mawakala wengine watano watakao jiunga kwa jina lake ambapo sasa huyu aliyetafuta mawakala hao watano naye atakuwa anapata *FAIDA* kutoka kwa wale mawakala kwa mfano wewe umefanya points 100 kwa mwezi na wale wengine wamefanya points 100 kila mmoja kwa maana kuwa wale watano kwa pamoja watakuwa wamezalisha points 500 ukijumlisha na za kwako zitakuwa points 600 hivyo basi kwa mwezi husika hutolipwa kwa pointi 100 ulizo Fanya Bali utalipwa kwa points 600 ukijumlisha na za wale mawakala uliowafanya wawepo kwenye kampuni vivyo hivyo zawadi za kila mwaka pia zinatolewa kulingana na points ambazo umezifanya wewe na mawakala uliowaleta ndani ya kampuni na mawakala walioletwa na mawakala uliowaleta. Hivyo basi unapokuwa na points nyingi kila mwisho wa mwezi ndivyo *MALIPO* yako yanavyokuwa makubwa zaidi.

*KUMBUKA*
POINTS ZINAPATIKA KWA KUNUNUA BIDHAA NDANI YA KAMPUNI AMBAZO ZAWEZA KUWA KWA MATUMIZI YAKO MWENYEWE AU KWA KUUZA

*UNAWEZAJE KUWA WAKALA...?*
Mtu yeyote anaweza kuwa wakala k**a anamtaji wa kuanzia shilingi *46,000/=,* tu kwa mtaji huo Wakala mpya atapewa vitendea kazi pamoja na bidhaa za kuanzia kulingana na mtaji ulianzia.

*Faida*
Faida za kujiunga na kuanza biashara na kampuni ya BF SUMA.

*1. FAIDA YA REJA REJA*
kampuni inakuwezesha kujipatia kiapo kutokana na mauzo ya bidhaa unazofanya! Yaan kampuni imepunguza bei Kwa 20% so unanunua Kwa bei ya chini na kuuza Kwa bei ya faida.

*2. BONUS ZA KILA MWEZI* .
Kila mwisho Wa mwezi kampuni inakupatia bonus za aina ZAIDI ya NNE!
*Mmoja* Bonus ya utendaji, bonus hii inatokana na utendaji wako wewe mwenyewe, yaan ukinunua kitu chochote points zako zinarekodiwa, points hizo zitakuwezesha kupata hiyo bonus kuanzia 5%-28% kutokana na level uliokuwepo.

*Mbili* Bonus kutokana na mauzo ya team, hapa kampuni inakupa kutokana na namna team ambavyo imefanya mauzo, na hapa napo NI kuanzia 5%-28% kulingana na watu Wa chini jinsi walivyo.

*Tatu* Bonus ya uongozi, hii unaipata baada ya kufika katika ngazi ya leadership. Yaan baada ya kufika leader kampuni inakupa 5%-25% ya mauzo ya team.

*Nne* Bonus ya kuwaleta watu kwenye kampuni. Hapa kila MTU utajayemleta kwenye kampuni unapata 6.5% ya mauzo atakayofanya yeye na team yake yoote baada ya yeye kufika leader.

*Tano* Gawio LA faida ya ulimwengu. Hapa kampuni inakupa kuanzia 0.75%-3% ya faida ya mauzo yoote yaliyofanyika katika kampuni ya BF SUMA.

*PIA KUNA CASH SUPPORT KUTOKANA NA LEVEL ULIOPO, YAAN MFANO UKO STAR 4&7, UNAPATA CASH KUANZIA $50,$75. K**A SUPPORT KWAKO*

*3.TRIP ZA KIMATAIFA.*
Hapa unajipatia nafasi ya kusafiri kwenda likizo katika nchi moja wapo ambayo imechaguliwa.

Safari za nje ya bara LA afrika yenye thamani ya *$2000* na Safari za ndani ya bara LA afrika yenye thamani ya *$4000*

*4.MAGARI*
Hapa kampuni inatoa fursa ya wewe kujipatie gari kutokana na namna ambavyo umeperfome kwenye kampuni.

Normal Car, thamani ya kuanzia *$12,500* Na Luxury Car Thaman ya kuanzia *$25,000*

_Hayo yoote unapata bureee kabisa, baada ya tu kufikisha vigezo fulan_

*5. NYUMBA*

Hapa kampuni inakupa nafasi ya kumiliki nyumba yako kubwa na nzuri eneo lolote ambapo ungependa!

Karibu sana ktk fursa hii au tupigie kwa 0710023347 dr prosper ofisi zipo mikoa yote

01/10/2022

KWA MSAADA ZAIDI 0710023347 DR PROSPER

INAPATIKANA KWA BEI YA Tsh 15000 /=tu OFISI ZETU ZIPO MIKOA YOTE NI RAHISI KUPATA HUDUMA EPUKA MATAPELI KWA MSAADA ZAIDI...
30/09/2022

INAPATIKANA KWA BEI YA Tsh 15000 /=tu OFISI ZETU ZIPO MIKOA YOTE NI RAHISI KUPATA HUDUMA EPUKA MATAPELI KWA MSAADA ZAIDI WASILIANA NA MIMI DR PROSPER 0710023347 AU DR HIKMAT 0625027913 OFISI ZIPO WAZI SIKU ZOTE

ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP
Leo nawaletea kitu tofauti sana. Ni sabuni, wengi wetu hutumia sabuni za viwandani ambazo zimewekwa magadi, sasa leo nakuletea sabuni ambayo imetengenezwa kiasili na kwa kutumia teknolojia kubwa sana, nzuri sana kwa watoto,wasichana,wavulana,wazee nk

I: ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP
Hii sabuni imetengenezwa na:
1)Asali wa nyuki wa mwitu
2)Mafuta ya n**i
3)Mafuta ya mchikichi
4)Majani ya mchaichai

FAIDA ZA ANATIC SOAP

1;Inaondoa makovu na mabaka mwilini
2:Inaondoa miwasho,vipele
3:Ni nzuri kuitumia k**a after shave kwa wanaume
4:Huua bakteria kwenye ngozi
5:Inatibu chunusi, upele, harara
6: Nzuri kwa watu wenye mapunye,mafua
7:Inasaidia kukuza nywele na kulinda zisikatike hovyo kwa kuoshea k**a shampoo
8:Inalinda ngozi yako na mionzi ya jua. Nzuri pia hata kwa wale wanaotumia cream kali
9: Nzuri kwa watoto hata awe mchanga
10:Inazuia malengelenge unapokuwa umeungua na maji au mafuta baada ya kupaka povu lake

Wanaoitumia wanajua hii ni sabuni kwa nje lakini kwa ndani ni zaidi ya sabuni kwa kazi zake. Mnunulie mwanao au familia yako leo

Ijaribu leo hakika hutojuta na utapenda uitumie kila siku na kila mara.hii ndio mkombozi wa ngozi yako na matatizo yako. Jaribu leo

30/09/2022

C0%chemical BEI NI TSH 15000/= TUPO MIKOA YOTE HAPA TANZANIA KWA MSAADA ZAIDI PIGA SIMU NAMBA 0710023347 &0625027913 DR PROSPER

ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP
Leo nawaletea kitu tofauti sana. Ni sabuni, wengi wetu hutumia sabuni za viwandani ambazo zimewekwa magadi, sasa leo nakuletea sabuni ambayo imetengenezwa kiasili na kwa kutumia teknolojia kubwa sana, nzuri sana kwa watoto,wasichana,wavulana,wazee nk

I: ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP

Hii sabuni imetengenezwa na:

1)Asali wa nyuki wa mwitu
2)Mafuta ya n**i
3)Mafuta ya mchikichi
4)Majani ya mchaichai

FAIDA ZA ANATIC SOAP
1;Inaondoa makovu na mabaka mwilini
2:Inaondoa miwasho,vipele
3:Ni nzuri kuitumia k**a after shave kwa wanaume
4:Huua bakteria kwenye ngozi
5:Inatibu chunusi, upele, harara
6: Nzuri kwa watu wenye mapunye,mafua
7:Inasaidia kukuza nywele na kulinda zisikatike hovyo kwa kuoshea k**a shampoo
8:Inalinda ngozi yako na mionzi ya jua. Nzuri pia hata kwa wale wanaotumia cream kali
9: Nzuri kwa watoto hata awe mchanga
10:Inazuia malengelenge unapokuwa umeungua na maji au mafuta baada ya kupaka povu lake

Wanaoitumia wanajua hii ni sabuni kwa nje lakini kwa ndani ni zaidi ya sabuni kwa kazi zake. Mnunulie mwanao au familia yako leo

Ijaribu leo hakika hutojuta na utapenda uitumie kila siku na kila mara.hii ndio mkombozi wa ngozi yako na matatizo yako. Jaribu leo

USITESEKE MWANAMKE SOMA HAPADAWA YA P.I.D NA UVIMBEP.I.D (Pelvic Inflammatory Disease) ni maambukizi katika mfumo wa uza...
30/09/2022

USITESEKE MWANAMKE SOMA HAPA

DAWA YA P.I.D NA UVIMBE

P.I.D (Pelvic Inflammatory Disease) ni maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke

PID huenezwa na vimelea jamii ya Neisseria, Gonorrhea pamoja na Chlamydia.

MWANAMKE HUPATAJE P.I.D
*Japo kuna sababu nyingi zinazosababisha PID, lakini Mara nyingi mwanamke hupata PID baada ya kushiriki tendo bila kinga

DALILI ZA PID
*Kutoka uchafu sehemu za Siri k**a maziwa mgando, mara nyingi uchafu huu huambatana na harufu mbaya
*Kupata maumivu wakati wa tendo na kukosa ute
*Kupata maumivu ya tumbo hasa chini ya kitovu

MADHARA YA P. I.D
*Mwanamke kushindwa kubeba mimba
*Ujauzito kutoka hasa katika miezi mitatu ya mwanzoni
*Maumivu wakati wa period, damu kutoka mabonge meusi
*Harufu mbaya

MATIBABU
*FEMICARE NA YHUNZ ni dawa ya asili iliyotengenezwa na virutubisho lishe iliyothibitika kutibu na kumaliza tatizo la PID, uvimbe katika kizazi, in**ibua mirija ya uzazi, Inarudisha uwezo wa kutungisha mimba
*Dozi ni siku 21
*DOZI yhunz chupa moja inauzwa Tsh 80,000/=×3 femicare Tsh 40000

OFISI ZETU ZIPO MIKOA YOTE HAPA TANZANIA NI RAHISI TU KUPATA DAWA AU KWA MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE 0710023347 WHATSAPP NAMBA 0625027913 DR PROSPER

12/09/2022

Address

Dar Es Salaam
100

Telephone

+255710023347

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when The_union_health posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram