Jay clinic and health care

Jay clinic and health care kwa ushauri zaidi wa kiafya
0746015628

UGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO (peptic ulcers ),Dr Ndimbo Changamoto hii ya kiafya husababishwa na kuwepo kwa michubuko ka...
15/04/2023

UGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO (peptic ulcers ),Dr Ndimbo
Changamoto hii ya kiafya husababishwa na kuwepo kwa michubuko katika kuta za tumbo au utumbo wa chakula.

Chanzo cha ugonjwa huu ni kuzidi kwa tindikali ya hydrochloric (HCl) ambayo huzalishwa kwa lengo la kusaidia usagaji wa chakula.kutokana na kuwa nyingi sana hivyo huanza kuchubua kuta za tumbo au utumbo wa chakula.
:::ongezeko hili za tindikali linaweza sababisha kufa kwa bacteria wazuri na kusababisha mazingira mazuri kwa bacteria aina ya( h.pylory)wabaya katika mfumo wa chakula.
Bacteria hawa nao pia huanza kutafuna kuta za tumbo na utumbo hivyo kufanya mgonjwa aanze kuhisi maumivu makali ya tumbo lkn pia wanapozidi kuchanganyikana na tindikali huzalisha gesi ambayo huleta maumivu katikati ya kifua na ukiwa ni kwa muda mrefu basi husababisha changamoto ya gani na shida ya kupumua(sasa "partial Pressure ya damu" imeongezeka)

Changamoto hii ya Vidonda vya tumbo huambatana dalili k**a
-maumivu makali ya tumbo na wakati mwingine husambaa hadi kwenye mgongo.
-tumbo kujaa gesi na kiungulia pia wakati mwingine Mgonjwa anaweza hisi maumivu makali katikati ya kifua.
-kujisaidia choo cheusi au cha ranging ya kahawia na wakati mwingine Mgonjwa kupata choo kigumu k**a cha mbuzi au kukosa choo kwa muda mrefu k**a matokeo ya athari katika utumbo(duodenal ulcers)
-kutapika damu kiashiria ya kuwa damu imeshaanza kuvilia ndani ya mfumo wa chakula
-hali ya kichefuchefu ,kukosa hamu ya kula na kuhisi kushiba haraka.

:::changamoto hii ya Vidonda vya tumbo inapoachwa kwa muda mrefu ni hatari kwasababu hukua na kuongezeka kila siku hivyo hata gharama sake kimatibabu huongezeka pia na wakati mwingine Mgonjwa hufariki kabisa.
Baadhi ya madhara ya Vidonda vya tumbo ni pamoja na.;
-kuziba kwa njia ya chakula na kutoboka kwa kuta za tumbo au utumbo.
-sarartani ya tumbo au utumbo.
-upungufu wa nguvu za kiume na changamoto ya bawasiri endapo Mgonjwa atazidi kukosa choo na kupata choo kigumu
-kuathirika kwa INI na kongosho. Hivyo Mgonjwa kupata athari ya kisukari na presha.
-kifo.
::kiukweli Vidonda vya tumbo sio changamoto ya kupuuzwa kabisa.
Watu wengiwamekata tamaa katika matibabu yake na kuamini ugonjwa huu hauponi kabisaa na hata baadhi ya wataalamu wa afya wamekuwa wakiwashauri wakubali tu kuishi nao kwa kuepuka baadhi ya vyakula.

KWA NINI HAUPONI.!?
Haijalishi ni gharama kiasi gani umetumia ,wataalamu kiasi gani umekutana nao k**a dawa ulizo tumia ni "proton pump inhibitors ".so rahisi kumaliza chanzo cha tatizo bali utakuwa tu unapunguza gesi ,kiwango cha tindikali na kiwango cha H.pylori lakini baadaye mambo yanarudi k**a mwanzo kwa sababu haziwez tengeneza ute kwenye kuta za tumbo au utumbo lakini hazimalizi chanzo.

VIDONDA VYA TUMBO VINATIBIKA endapo chanzo chake kitamalizwa kabisaa na watu wengi wametoa shuhuda baada ya kupona changamoto hii waliokaa nayo miaka mingi na kufanya matibabu mengi bila mafanikio.

Kwa maswali na ushauri kuhusu afya .Dr ndimbo 0676204363.

01/01/2023
Njia salama ya kutibu bawasiri(mgolo) bila kufanyiwa upasuaji ipo...kwa ushauri zaidi +255766113445
01/01/2023

Njia salama ya kutibu bawasiri(mgolo) bila kufanyiwa upasuaji ipo...kwa ushauri zaidi +255766113445

Njia salama zaidi ya matibabu ipo..kwa ushauri zaidi +255766113445
01/01/2023

Njia salama zaidi ya matibabu ipo..kwa ushauri zaidi +255766113445

Kwa ushauri zaidi wa kiafya ..+255766113445
01/01/2023

Kwa ushauri zaidi wa kiafya ..+255766113445

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jay clinic and health care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram