Furahia Afya Bora

Furahia Afya Bora Ninasaidia jamii kutatua changamoto zote za mmeng'enyo wa chakula Bila Madhara Yoyote kwa njia za asili(Virutubisho lishe)
📞+255629609936

06/05/2025

DELIVERY

24/04/2025

TIBA YA MAUMIVU YA VIUNGO/JOINTS ZA MIGUU,MIKONO, MGONGO,MAGOTI NA KIUNO.

CHANZO CHA MAUMIVU YA MIFUPA NA VIUNGIO/JOINTS

Hii inajumuisha maumivu katika maeneo mbali mbali ya Mwili inaeza kuwa shingo, mgongo, joint za mikono ,joint za miguu ,magoti na Misuli Kuvuta,

WATU GANI WANAKUA KATIKA HATARI HII
1:wenye umri mkubwa
2:wana michezo
3:uzito mkubwa
4:wanaoenda sana gym
5:watoto wenye upungufu wa madini chuma na vitamini

SABABU YA MAUMIVU HAYO
Umri unavyozidi kusogea au kukosa madini flani ya kuimarisha mifupa hupelekea mwili hushindwa kuzalisha ute ute (synovial fluid) katika viungo vya mifupa hivyo kupelekea msuguano wa viungo na kusababisha maumivu makali kushindwa kukaa,kuinuka,kukimbia na kutembea

KWANINI KUTOKEA MAUMIVU

1.kulika kwa cartilage(Gegedu)
2.upungufu wa synovial fluid(ute ute)
3.maambukizi ya vijidudu katika viungo k**a (bacteria,fangasi na virusi
4.uzito kua mkubwa
Hivyo basi kwakua umri umeenda au kufanya mazoezi kwa wingi kuna madini yanakua yanapungu au kukosekana kabisa hasa madini Chuma, Calcium,zinc boron, copper, magnesium, potassium, phosphorus na Vitamin D ambayo haya yanahusika katika utengezwaji na uimarishwaji wa mifupa

Dalili za kawaida za maumivu haya ni:
1.Maumivu makali au ya muda mrefu kwenye viungo au mifupa
2. Uvimbe kwenye viungo
3. Ugumu wa kusonga viungo
4. Uchovu
5. Homa

Nini cha kufanya:
1. Wasiliana na daktari: Daktari atafanya uchunguzi na kukupa utambuzi sahihi na matibabu.
2. Pumzika: Epuka kufanya shughuli zinazosababisha maumivu.

3. Fanya mazoezi mepesi: Mazoezi ya kawaida yanaweza kusaidia kuimarisha misuli na kupunguza maumivu.
4 Tumia joto au baridi: Kutumia joto au baridi kwenye eneo lenye maumivu kunaweza kusaidia kupunguza maumivu.

Ni muhimu kutambua kuwa maumivu ya viungo na mifupa yanaweza kutibiwa, na kwa kufanya mabadiliko madogo kwenye maisha yako, unaweza kuondoa maumivu na kuboresha ubora wa maisha yako.

TIBA NA USHAURI.
Unashauriwa kula vyakula ambavyo vina kiwango kingi Cha madini na Vitamini ili kukusaidia kuimarisha mifupa ,kuzalisha Ute Ute na kuondoa maumivu, unaeza kula parachichi, ndizi, zabibu ,maeple, broccoli, nafaka jamii ya kunde, viazi vitamu , matumizi ya nyanya, nafaka zisizokoborewa,kula mbegu za maboga, Kula Uyoga, Nyama ,maini, samaki ,mayai, kunywa maziwa ama maziwa mtindi "yoghurt", kunywa maji magumu ,kula matunda yenye acid, pia kula mboga za majani kwa wingi ikiwemo Bamia,nyanya chungu, matembele, majani ya maboga,mlenda nk, pia tunazo dawa za virutubisho lishe, ambavyo zimesheheni viini lishe ambavyo vinasaidia kuimarisha mifupa,kuzalisha Ute Ute na Gegedu na kuondoa uchakavu wa mifupa na maumivu.
Mawasiliano +255 628403826

Eid Mubarak
31/03/2025

Eid Mubarak

25/03/2025

TIBA YA MAUMIVU YA VIUNGO/JOINTS ZA MIGUU,MIKONO, MGONGO,MAGOTI NA KIUNO.

CHANZO CHA MAUMIVU YA MIFUPA NA VIUNGIO/JOINTS

Hii inajumuisha maumivu katika maeneo mbali mbali ya Mwili inaeza kuwa shingo, mgongo, joint za mikono ,joint za miguu ,magoti na Misuli Kuvuta,

WATU GANI WANAKUA KATIKA HATARI HII
1:wenye umri mkubwa
2:wana michezo
3:uzito mkubwa
4:wanaoenda sana gym
5:watoto wenye upungufu wa madini chuma na vitamini

SABABU YA MAUMIVU HAYO
Umri unavyozidi kusogea au kukosa madini flani ya kuimarisha mifupa hupelekea mwili hushindwa kuzalisha ute ute (synovial fluid) katika viungo vya mifupa hivyo kupelekea msuguano wa viungo na kusababisha maumivu makali kushindwa kukaa,kuinuka,kukimbia na kutembea

KWANINI KUTOKEA MAUMIVU

1.kulika kwa cartilage(Gegedu)
2.upungufu wa synovial fluid(ute ute)
3.maambukizi ya vijidudu katika viungo k**a (bacteria,fangasi na virusi
4.uzito kua mkubwa
Hivyo basi kwakua umri umeenda au kufanya mazoezi kwa wingi kuna madini yanakua yanapungu au kukosekana kabisa hasa madini Chuma, Calcium,zinc boron, copper, magnesium, potassium, phosphorus na Vitamin D ambayo haya yanahusika katika utengezwaji na uimarishwaji wa mifupa

Dalili za kawaida za maumivu haya ni:
1.Maumivu makali au ya muda mrefu kwenye viungo au mifupa
2. Uvimbe kwenye viungo
3. Ugumu wa kusonga viungo
4. Uchovu
5. Homa

Nini cha kufanya:
1. Wasiliana na daktari: Daktari atafanya uchunguzi na kukupa utambuzi sahihi na matibabu.
2. Pumzika: Epuka kufanya shughuli zinazosababisha maumivu.

3. Fanya mazoezi mepesi: Mazoezi ya kawaida yanaweza kusaidia kuimarisha misuli na kupunguza maumivu.
4 Tumia joto au baridi: Kutumia joto au baridi kwenye eneo lenye maumivu kunaweza kusaidia kupunguza maumivu.

Ni muhimu kutambua kuwa maumivu ya viungo na mifupa yanaweza kutibiwa, na kwa kufanya mabadiliko madogo kwenye maisha yako, unaweza kuondoa maumivu na kuboresha ubora wa maisha yako.

TIBA NA USHAURI.
Unashauriwa kula vyakula ambavyo vina kiwango kingi Cha madini na Vitamini ili kukusaidia kuimarisha mifupa ,kuzalisha Ute Ute na kuondoa maumivu, unaeza kula parachichi, ndizi, zabibu ,maeple, broccoli, nafaka jamii ya kunde, viazi vitamu , matumizi ya nyanya, nafaka zisizokoborewa,kula mbegu za maboga, Kula Uyoga, Nyama ,maini, samaki ,mayai, kunywa maziwa ama maziwa mtindi "yoghurt", kunywa maji magumu ,kula matunda yenye acid, pia kula mboga za majani kwa wingi ikiwemo Bamia,nyanya chungu, matembele, majani ya maboga,mlenda nk, pia tunazo dawa za virutubisho lishe, ambavyo zimesheheni viini lishe ambavyo vinasaidia kuimarisha mifupa,kuzalisha Ute Ute na Gegedu na kuondoa uchakavu wa mifupa na maumivu.
Mawasiliano +255748707158

17/02/2025

Dalili za SARATANI ya UTUMBO mpana

17/02/2025

DAWA ASIRI YA ACID REFLUX/MAKOHOZI KWRNYE KOO/KIUNGULIA KIKALI
0629 609 936

22/01/2025

TIBA YA MAUMIVU YA VIUNGO/JOINTS ZA MIGUU,MIKONO, MGONGO,MAGOTI NA KIUNO.

CHANZO CHA MAUMIVU YA MIFUPA NA VIUNGIO/JOINTS

Hii inajumuisha maumivu katika maeneo mbali mbali ya Mwili inaeza kuwa shingo, mgongo, joint za mikono ,joint za miguu ,magoti na Misuli Kuvuta,

WATU GANI WANAKUA KATIKA HATARI HII
1:wenye umri mkubwa
2:wana michezo
3:uzito mkubwa
4:wanaoenda sana gym
5:watoto wenye upungufu wa madini chuma na vitamini

SABABU YA MAUMIVU HAYO
Umri unavyozidi kusogea au kukosa madini flani ya kuimarisha mifupa hupelekea mwili hushindwa kuzalisha ute ute (synovial fluid) katika viungo vya mifupa hivyo kupelekea msuguano wa viungo na kusababisha maumivu makali kushindwa kukaa,kuinuka,kukimbia na kutembea

KWANINI KUTOKEA MAUMIVU

1.kulika kwa cartilage(Gegedu)
2.upungufu wa synovial fluid(ute ute)
3.maambukizi ya vijidudu katika viungo k**a (bacteria,fangasi na virusi
4.uzito kua mkubwa
Hivyo basi kwakua umri umeenda au kufanya mazoezi kwa wingi kuna madini yanakua yanapungu au kukosekana kabisa hasa madini Chuma, Calcium,zinc boron, copper, magnesium, potassium, phosphorus na Vitamin D ambayo haya yanahusika katika utengezwaji na uimarishwaji wa mifupa

Dalili za kawaida za maumivu haya ni:
1.Maumivu makali au ya muda mrefu kwenye viungo au mifupa
2. Uvimbe kwenye viungo
3. Ugumu wa kusonga viungo
4. Uchovu
5. Homa

Nini cha kufanya:
1. Wasiliana na daktari: Daktari atafanya uchunguzi na kukupa utambuzi sahihi na matibabu.
2. Pumzika: Epuka kufanya shughuli zinazosababisha maumivu.

3. Fanya mazoezi mepesi: Mazoezi ya kawaida yanaweza kusaidia kuimarisha misuli na kupunguza maumivu.
4 Tumia joto au baridi: Kutumia joto au baridi kwenye eneo lenye maumivu kunaweza kusaidia kupunguza maumivu.

Ni muhimu kutambua kuwa maumivu ya viungo na mifupa yanaweza kutibiwa, na kwa kufanya mabadiliko madogo kwenye maisha yako, unaweza kuondoa maumivu na kuboresha ubora wa maisha yako.

TIBA NA USHAURI.
Unashauriwa kula vyakula ambavyo vina kiwango kingi Cha madini na Vitamini ili kukusaidia kuimarisha mifupa ,kuzalisha Ute Ute na kuondoa maumivu, unaeza kula parachichi, ndizi, zabibu ,maeple, broccoli, nafaka jamii ya kunde, viazi vitamu , matumizi ya nyanya, nafaka zisizokoborewa,kula mbegu za maboga, Kula Uyoga, Nyama ,maini, samaki ,mayai, kunywa maziwa ama maziwa mtindi "yoghurt", kunywa maji magumu ,kula matunda yenye acid, pia kula mboga za majani kwa wingi ikiwemo Bamia,nyanya chungu, matembele, majani ya maboga,mlenda nk, pia tunazo dawa za virutubisho lishe, ambavyo zimesheheni viini lishe ambavyo vinasaidia kuimarisha mifupa,kuzalisha Ute Ute na Gegedu na kuondoa uchakavu wa mifupa na maumivu.
Mawasiliano +255748707158

Soma Vyakula hivi MAHUSUSI, kwa mgonjwa mwenye Tezidume.
17/01/2025

Soma Vyakula hivi MAHUSUSI, kwa mgonjwa mwenye Tezidume.

15/01/2025

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255629609936

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Furahia Afya Bora posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Furahia Afya Bora:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram