oasishealth_tz

oasishealth_tz Vision is to provide high quality healthcare services that are easily accessible, convenient and affordable.

28/10/2025

(Part 01 of 04) Saratani ya matiti ni aina ya saratani inayopatikana kwa wingi zaidi duniani na ndiyo chanzo kikuu cha vifo vinavyohusiana na saratani kwa wanawake.
Kila dakika wanawake wanne hugunduliwa kuwa na saratani ya matiti.
Utambuzi wa mapema ni muhimu sana katika kuboresha matokeo na kuongeza uwezekano wa kupona.

πŸŽ€
____________________________________
Tunapatikana Ubungo-Makuburi mkabara na Barabara ya Mandela-kituo cha gereji
____________________________________
Wasiliana nasi 0687522222

27/10/2025

(Part 01 of 04) Elimika kuhusu saratani ya Matiti na Dr Raphael Nyamhanga wa Oasis Health Center πŸŽ€

Je wajua Saratani ya matiti inaathiri jinsia Zote mbili? Kwa haya na mengine mengi ungana na mtaalamu watu wa Afya Dr Ra...
27/10/2025

Je wajua Saratani ya matiti inaathiri jinsia Zote mbili? Kwa haya na mengine mengi ungana na mtaalamu watu wa Afya Dr Raphael Nyamhanga, katika kuufahamu na kuuelewa ugonjwa huu sugu. ............................
Tunapatikana Ubungo-Makuburi mkabara na Barabara ya Mandela-kituo cha gereji .............................
Wasiliana nasi 0687522222

Watoto chini ya miaka 5 lazima wachanjwe, Pata chanjo ya polio, zuia kupooza Hudhuria kliniki ya baba, mama, na mtoto OA...
24/10/2025

Watoto chini ya miaka 5 lazima wachanjwe,
Pata chanjo ya polio, zuia kupooza
Hudhuria kliniki ya baba, mama, na mtoto OASIS HEALTH CENTER
_______________________________________
Tunapatikana Ubungo-Makuburi, mkabara na barabara ya Mandela kituo cha daladala Gereji
_______________________________________
Wasiliana nasi 0687522222

20/10/2025

πŸ₯ Huduma Bora, Faraja na matibabu ya Kipekee 🌿
Tunatoa huduma ya kulaza wagonjwa katika vyumba vyenye madaraja matatu,
1. VIP wards
2. Private wards
3. General wards

Huduma hizi hutolewa kwenye mazingira safi na ya kisasa, wahudumu wenye upendo, na huduma bora saa 24 ili kuhakikisha unapata nafuu ukiwa na utulivu wakati wote. ✨

πŸ’™ Afya yako ndiyo kipaumbele chetu.

πŸ“ Mahali: ubungo, makuburi, mtaa wa mwongozo
πŸ“ž Mawasiliano: 0687 522 222
πŸ“§ Barua pepe: admin@oasishealth.co.tz

Tunawatakia Watanzania wote afya njema na heri ya kumbukizi ya  Baba wa Taifa.Afya njema ndio msingi wa mafanikio Yetu__...
14/10/2025

Tunawatakia Watanzania wote afya njema na heri ya kumbukizi ya Baba wa Taifa.
Afya njema ndio msingi wa mafanikio Yetu
_______________________________

Tunapatikana Ubungo-Makuburi mkabara na Barabara ya Mandela-kituo cha gereji

_______________________________

Wasiliana Nasi 0687522222

Tumejidhatiti kwenye ubora na viwango katika utoaji huduma za afya            .msangi   ________________________________...
11/10/2025

Tumejidhatiti kwenye ubora na viwango katika utoaji huduma za afya
.msangi

___________________________________________
Tunapatikana Ubungo-Makuburi mkabara na Barabara ya Mandela-kituo cha gereji

___________________________________________
Wasiliana Nasi 0687522222

11/10/2025
πŸ‘€ Leo ni  !Zaidi ya watu bilioni 2 duniani wana upungufu wa kuona wa karibu au wa mbali. πŸ‘“Utambuzi wa mapema huokoa uono...
09/10/2025

πŸ‘€ Leo ni !

Zaidi ya watu bilioni 2 duniani wana upungufu wa kuona wa karibu au wa mbali. πŸ‘“
Utambuzi wa mapema huokoa uono. Uchunguzi wa macho wa mara kwa mara husaidia kugundua magonjwa mapema na kuzuia upotevu wa uono.

Linda afya ya macho yako. Panga uchunguzi wako leo πŸ•’

Tumejidhatiti kwenye kutoa huduma Bora Sana za afya, ---------------------------------------------------------------Tupo...
06/10/2025

Tumejidhatiti kwenye kutoa huduma Bora Sana za afya,
---------------------------------------------------------------
Tupo Ubungo-Makuburi, Barabara ya Mandela-kituo cha daladala gereji

---------------------------------------------------------------
Simu 0687522222

Afya yako Kwanza ndio kipaumbele chetu Mwenzi October tunajali afya yako.__________________________________Tunapatikana ...
01/10/2025

Afya yako Kwanza ndio kipaumbele chetu
Mwenzi October tunajali afya yako.

__________________________________
Tunapatikana Ubungo-Makuburi mkabara na Barabara ya Mandela-kituo cha gereji
_________________________________
Tupigie 0687522222

Maabara kubwa ya kisasa yenye ithibati ya kimataifa toka SADCAS.Tumejikita kwenye ubora, viwango, ufanisi, na majibu Kwa...
26/09/2025

Maabara kubwa ya kisasa yenye ithibati ya kimataifa toka SADCAS.
Tumejikita kwenye ubora, viwango, ufanisi, na majibu Kwa wakati.

---------------------------------------------------------

Tupo Ubungo-Makuburi mkabara na Barabara ya Mandela-kituo cha gereji

---------------------------------------------------------
Tupigie 0687522222

Address

Mwongozo Street, Makuburi Graveyard, Makuburi-Ubungo, Dar-es-Salaam
Dar Es Salaam
BARABARAYAMANDELAKITUOGARAGE,KARIBUNABETHELMISSION

Opening Hours

Monday 08:00 - 19:00
Tuesday 08:00 - 19:00
Wednesday 08:00 - 19:00
Thursday 08:00 - 19:00
Friday 08:00 - 19:00
Saturday 09:00 - 19:00
Sunday 09:00 - 15:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when oasishealth_tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to oasishealth_tz:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category