Health_farm_tz

Health_farm_tz Elimika, Hamasika, Chukua Hatua, Afya Yako Jukumu Lako!

Health_farm_tz inapatikana kwenye Instagram, WhatsApp na Facebook kwa jina Hilo hilo.karibuni Sana kwaajili ya elimu ya afya ya binadamu.

K**a wewe ni binti wa umri miaka 26+ na huna mtoto epuka sh**ha/ sigara Kwa gharama yoyote Ile!!Sigara/ sh**ha huathiri ...
09/09/2025

K**a wewe ni binti wa umri miaka 26+ na huna mtoto epuka sh**ha/ sigara Kwa gharama yoyote Ile!!

Sigara/ sh**ha huathiri uzalishaji wa Ute Ute muhimu ukeni,
hupunguza uwezo wa kuchavusha mayai,
lakini pia hudhoofisha ukuta wa mji wa mimba,

hivyo kwa ujumla sigara hupunguza uwezekano wa kushika mimba!

na zaidi tafiti zinasema sigara huchangia kupata mimba zinazotunga nje ya mji wa uzazi!

Elimika, Hamasika, Chukua Hatua, Afya Yako Jukumu Lako!

#2025

Polycystic Ovarian syndrome haidhibitishwa kwa macho, Nenda hospital kwa ajili ya vipimo, epuka matumizi holela ya dawa....
02/09/2025

Polycystic Ovarian syndrome haidhibitishwa kwa macho, Nenda hospital kwa ajili ya vipimo, epuka matumizi holela ya dawa.

Elumika, Hamasika, Chukua hatua, Afya yako Jukumu Lako!

πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

Ni mwezi mpya sasa, imarisha afya kwa kuzingatia mambo haya :- lishe Bora, mazoezi ya mwili, kunywa maji ya kutosha, pat...
01/09/2025

Ni mwezi mpya sasa, imarisha afya kwa kuzingatia mambo haya :- lishe Bora, mazoezi ya mwili, kunywa maji ya kutosha, pata usingizi wa kutosha na epuka vilevi.

ELIMIKA, HAMASIKA CHUKUA HATUA, AFYA YAKO JUKUMU LAKO!

Happy nane nane day Tanzania! Elimika, Hamasika, Chukua hatua, Afya yako, Jukumu lako!
08/08/2025

Happy nane nane day Tanzania!

Elimika, Hamasika, Chukua hatua, Afya yako, Jukumu lako!

Ni nafasi nyingine ya kuanza mtindo Mpya wa maisha! Hujachelewa! Elimika, Hamasika, Chukua hatua Afya yako jukumu lako! ...
01/08/2025

Ni nafasi nyingine ya kuanza mtindo Mpya wa maisha!

Hujachelewa! Elimika, Hamasika, Chukua hatua Afya yako jukumu lako!

Sanuka!        πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
01/06/2025

Sanuka!

πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

Mara yako ya mwisho kutembea kwa muda wa dakika 30 ni lini?
23/04/2025

Mara yako ya mwisho kutembea kwa muda wa dakika 30 ni lini?

Tunawatakia pasaka njema yenye amani, furaha, na upendo!ELIMIKA, HAMASIKA, CHUKUA HATUA, AFYA YAKO, NGAO YAKO!
20/04/2025

Tunawatakia pasaka njema yenye amani, furaha, na upendo!

ELIMIKA, HAMASIKA, CHUKUA HATUA, AFYA YAKO, NGAO YAKO!

Pombe 🚫         🍻  πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
11/03/2025

Pombe 🚫

🍻 πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

Vyakula vinavyoweza kudhuru figo zako:-1. Vyakula Vyenye Sodiamu Nyingi. E.g matumizi ya chumvi nyingi k**a ulaji wa  fa...
05/03/2025

Vyakula vinavyoweza kudhuru figo zako:-

1. Vyakula Vyenye Sodiamu Nyingi.
E.g matumizi ya chumvi nyingi k**a ulaji wa fast foods ambazo Mara nyingi huwa na chumvi nyingi.

2. Vyakula Vyenye Phosphorus Nyingi :
Phosphorus nyingi inaweza kujikusanya kwenye damu hasa endapo figo zako hazifanyi kazi vizuri, na kusababisha mifupa dhaifu na magonjwa ya moyo. E.g Vinywaji vya Cola na Soft Drinks zenye asidi ya phosphoric & Baadhi ya bidhaa za maziwa k**a yogurt.

3. Vyakula Vyenye Potasiamu Nyingi:
K**a figo zako zimeathirika tayari punguza vyakula hivi. E.g nyanya, viazi vitamu, na ndizi

4. Vyakula Vyenye Sukari Nyingi:
e.g Sodas, energy drinks, na chai zenye sukari, Keki, biskuti, na p**i.

5. Ulaji wa nyama nyekundu kupindukia
Ulaji mkubwa wa nyama au vyakula vyenye protini kwa wingi unaweza kuweka mzigo kwa figo zako, hasa ikiwa zimeathirika tayari. Vyakula vilivyochakatwa pia vina chumvi nyingi na kemikali. E.g sausages, Steak na nyama nyekundu:

6. Pombe:
Pombe husababisha upungufu wa maji mwilini na kuongeza hatari ya shinikizo la damu, ambalo ni chanzo kikubwa cha uharibifu wa figo.

7. Vichocheo vya utamu vya Bandia (Sweeteners):
Utafiti mwingine unaonyesha kuwa matumizi ya vichocheo vya bandia yanaweza kuathiri kazi za figo. E.g soda, soft drink

Endapo umebainika kiwa na tatizo la figo, Zungumza na daktari wako juu ya vyakula unavyopaswa kutumia au kuepuka.

Mtag ndugu, rafiki au jamaa anaepaswa kujifunza hili!

Siri ya kuanza siku, ukiwa fresh! πŸš°πŸ’§Chagua maji badala ya kahawa! Good morning health farmers πŸŒ…
28/02/2025

Siri ya kuanza siku, ukiwa fresh! πŸš°πŸ’§

Chagua maji badala ya kahawa!

Good morning health farmers πŸŒ…

Hebu tuambie kwa upande wako ukifanya mazoezi unajisikiaje!?Waringishie wasiofanya mazoezi πŸ˜€
26/02/2025

Hebu tuambie kwa upande wako ukifanya mazoezi unajisikiaje!?
Waringishie wasiofanya mazoezi πŸ˜€

Address

Gongo La Mboto
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Health_farm_tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Health_farm_tz:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram