Afya ya uzazi

Afya ya uzazi Ninatatua matatizo yote ya Uzazi kwa Wanawake/&Wanaume Kwa kutibu.Pia nafanya vipimo vya mfumo mzima wa Uzazi
+255718013125.

K**a ungepewa nafasi ya kuchagua ungechagua wa kwanza awe mtoto wa jinsia gani kwako😇🤱👼
20/08/2025

K**a ungepewa nafasi ya kuchagua ungechagua wa kwanza awe mtoto wa jinsia gani kwako😇🤱👼

Umewahi kujiuliza kuwa "Bibi Yako Alizaa Watoto 12 Ila Wewe Kupata Wa Pili Ni Shughuli…! Hii inawezekanaje??✍️✍️ Hizi Nd...
20/08/2025

Umewahi kujiuliza kuwa "Bibi Yako Alizaa Watoto 12 Ila Wewe Kupata Wa Pili Ni Shughuli…! Hii inawezekanaje??

✍️✍️ Hizi Ndizo Sababu 10 ambazo huenda mojawapo inakufanya hadi leo Mwajuma umeshindwa kupata katoto ka pili..”

Leo hii wanawake wengi wanashangaa: “Kwanini vizazi vya zamani walizaa kwa urahisi, bila vipimo vya hospitali wala dawa nyingi, lakini sisi tunahangaika hata kupata mtoto wa pili?”

1️⃣ Kuchafuka kwa mazingira
Siku hizi tunaishi na kemikali nyingi (plastics, BPA, dawa za kilimo) zinazoharibu mfumo wa homoni.

2️⃣ Lishe ya kisasa yenye vyakula vya viwandani
Chipsi, soda, fast food na sukari nyingi zinaharibu mayai kwa wanawake na mbegu kwa wanaume

3️⃣ Maisha ya kukaa bila mazoezi
Wanawake wa zamani walifanya kazi za mikono na miili yao ilidumu imara. Leo tunakaa ofisini masaa marefu bila harakati. (Hili ni zaidi)

4️⃣ Stress na msongo wa mawazo
Kazi, maisha ya mijini, na changamoto za kifamilia huathiri uzazi moja kwa moja kwa wote mume na mke.

5️⃣ Umri wa kuchelewa kuolewa/kuzaa
Zamani walizaa wakiwa na miaka 18–22. Sasa wengi huanza safari ya kupata mtoto wakiwa zaidi ya miaka 30.

6️⃣ Magonjwa ya kuambukiza ya siri
PID, STIs na maambukizi mengine husababisha mirija kuziba, kuvimba, kujaa maji, kujikunja au mayai kuharibika.

7️⃣ Ulevi na uvutaji
Vitu hivi havikuwa sehemu ya maisha ya vizazi vya zamani, lakini sasa vimeenea na vinapunguza uzazi.

8️⃣ Dawa nyingi za hospitali na family planning zisizo sahihi
Zikitumika bila mpangilio, huathiri homoni na kuchelewesha mimba kupatikana tena.

9️⃣ Uzito usio sawa (obesity au underweight)
Hili limekuwa janga jipya, likiharibu ovulation na ubora wa mbegu.

🔟 Kutofanya uchunguzi mapema
Zamani walikuwa hawana stress kubwa walikuwa wakijua mimba inakuja. Leo, wengi wanakaa miaka wakijaribu bila vipimo, na tatizo linakuwa kubwa zaidi.

✅ Habari njema ni kwamba suluhisho lipo, lakini inahitaji mabadiliko ya mtindo wa maisha, vipimo sahihi na tiba yenye kulenga chanzo.

K**a unapitia changamoto ya kuchelewa kupata mtoto mwingine unadhani ni sababu na namba ngapi kwako ndiyo sababu ya kutopata mtoto hadi sasa..

"NIANDIKIE KWENYE COMMENT"

Baadhi ya shuhuda hizoHitaji la Tiba 0689301145
01/07/2025

Baadhi ya shuhuda hizo
Hitaji la Tiba 0689301145

VIPIMO,,, USHAURI NA MATIBABU KWA BEI YA PUNGUZO Shirika la Afya  kutoka CHINA/ GCAT HOSPITAL, IMETOA  OFA KWA WATU WATA...
26/05/2025

VIPIMO,,, USHAURI NA MATIBABU KWA BEI YA PUNGUZO

Shirika la Afya kutoka CHINA/ GCAT HOSPITAL, IMETOA OFA KWA WATU WATAKAO fika katika vituo vyake vyote, KUPATA HUDUMA YA VIPIMO NA MATIBABU,,Ofa hii niya👇👇
▪️ Vipimo vya mfumo mzima wa uzazi pamoja na Kutibiwa magonjwa yote ya uzazi..k**a vile Tezi dume,ngiri pamoja na Kushindwa kurudiaTendo.Upande wa wanawake tiba ni k**a vile Kuondoa uvimbe,kuondoa p.i.d sugu,mvurugiko wa hommon,ugumba nk.Kumbuka kipimo ni Tshs 30,000/= tu
▪️ Punguzo la bei 20% kwa kila dawa( bidhaa zetu )

Magonjwa tunayo tibu ni;

✅Matatizo yote yanayo wakabili wanawake.
✅Matatizo yote yanayo wakabili wananume

TIBA ZETU NI TIBALISHE NA VIRUTUBISHO.
Ambavyo hufanya kazi kuu nne ( 4 ) mwili
👉 Kuosha
👉 Kulinda/ Kukinga
👉 Kujenga
👉 Kutibu

Karibu sana Upate huduma Zetu imara . Tupo Dar es salaam Majumba sita Airport na Mikoani pia tunapatikana

Wasiliana nasi
0718013125

UGOJWA WA P.I.D NA TIBA YAKE    👇 Pelvic Inflammatory Disease Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbu...
24/05/2025

UGOJWA WA P.I.D NA TIBA YAKE
👇
Pelvic Inflammatory Disease
Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu zifuatazo-:

👉 Matumizi ya antibiotics Kwa wingi, kimsingi matumizi haya huuwa bacteria wote, hivyo wanapokufa unakosa ulinzi wa bacteria wa kupambana na maambukizi . Kadhalika ujauzito ikiwa ni pamoja na kujifungua . Pia sababu nyingine ni matumizi ya condoms na kufanya ngono zembe .

DALILI ZA UGONJWA WA PID
1️⃣ Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2️⃣ Kuwashwa sehemu za siri
3️⃣ Uke kutoa harufu mbaya
4️⃣ Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5️⃣ Uke kuwa wa ulaini sana
6️⃣ Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7️⃣ Kuvurugika Kwa hedhi
8️⃣ Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9️⃣ Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
🔟 Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
MADHARA YA PID
• Ugumba
• Kansa ya shingo ya kizazi
• Mirija ya uzazi kuziba
• Majeraha kwenye mirija ya uzazi

Wahi sasa tiba yipo iliyoandaliwa kitalamu zaidi Virutubisho lishe wasiliana nami . Tunapatkana

PIGA/WHATSAPP 0718013125

MWANAUME! UNAJUA "PERVIC FLOOR MUSCLE "NI NINI!??🔸️🔸️🔸️HUU NI MSULI AMBAO UNAMUWEZESHA MWANAUME KUSIMAMISHA UUME WAKE KW...
22/05/2025

MWANAUME! UNAJUA "PERVIC FLOOR MUSCLE "NI NINI!??

🔸️🔸️🔸️HUU NI MSULI AMBAO UNAMUWEZESHA MWANAUME KUSIMAMISHA UUME WAKE KWA MUDA MREFU, "HUU NDIO MSULI MKUBWA AMBAO UMESHIKILIA UUME.
💪IKIWA HUU MSULI UMEPATA UDHAIFU, UUME HUSIMAMA KWA MUDA MFUPI, UNALEGEA, HATIMAE KUSINYAA KABISA!.
💪MSULI HUU UMEUNGANISHA UUME NA TUNDU LA HAJA KUBWA, NA SEHEMU YA MWANZO WA UTI WA MGONGO.

💪💪VITU VINAVYOFANYA MSULI HUU KULEGEA NA KUWA DHAIFU 💪💪
1.BAWASILI-Kutokwa na vinyama sehemu ya haja kubwa.
2.KUPATA CHOO KIGUMU-Hii ninpale unavyokuwa ukitumia nguvu kubwa kupata haja, hivyo husababisha msuli huu kulegea.
3.KUVIMBIWA (TUMBO KUJAA GESI)-Tumbo linavyojaa gesi baada ya kushindwa kumeng'enya chakula fulani,basi msuli huu kulegea.
4.KUJICHUA (PUNYETO)-Punyeto pia husababisha msuli huu kulegea! Na dalili utaiona wakati wa kukojoa, au kutoa mbegu za kiume, (shahawa) hazitoki kwa kasi k**a kawaida, haziruki, zinafanya kudondoka k**a matone ya mvua.
5.UZITO MKUBWA-Kitambi pia hulegeza msuli huu.
piga simu au njoo kwenye watssap no 0718013125

MAWASILIANO+255718013125
22/05/2025

MAWASILIANO+255718013125

Matokeo ni ndani ya Siku tatu,Wengi wamepona kabisa.MAWASILIANO ZAIDI+255718013125
21/05/2025

Matokeo ni ndani ya Siku tatu,Wengi wamepona kabisa.

MAWASILIANO ZAIDI+255718013125

TUWE makini sana
06/05/2025

TUWE makini sana

HATA WEWE unaweza kupona+255718013125
07/04/2025

HATA WEWE unaweza kupona+255718013125

Kufanikiwa NI laZma 0718 013 125
06/04/2025

Kufanikiwa NI laZma 0718 013 125

Address

Dar Es Salaam
2222

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ya uzazi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya ya uzazi:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram