22/11/2025
Uzuri wa maisha unatengenezwa na wawili walio mapenzini. Suala la kudumisha upendo halitakiwi kuachiwa mtu mmoja huku mwingine ametulia tuu. Kila mmoja anapaswa kuridhika na uwepo wa mwenzake ili upendo uwe wenye maana. Ukiona kila siku mwenzako anakukumbusha majukum yako au analalamika kuhusu mambo yale yale basi tambua unapaswa kujichunguza na kubadilika.
Usikubali uwe kikwazo kwenye mapenzi yenu sababu mmetoka mbali na tambua ukimpoteza huyo mwenye upendo wa kweli basi utakuja jutia pale utakaposhindwa kumpata mwingine atakayejitoa kwa ajili yako. Tumeagizwa upendo. Tuuishi bila hata chembe ya unafika ili kutimiza malengo.
Karibu sanaa ndugu Gharama za ushauri ni Tsh 50,000 kwa face to face ukija ofisini. Na Tsh 20,000 kwa njia ya simu. Kwahio unachagua njia ipi ni rahisi kwako.
Gharama hizi hutatoa tena endapo ukihitaji ushauri utapewa mda wowote hadi ukikaa sawaa. Isipokuwa kw ushauri wa face to face utalipa kila ukija ofisini.
Tupigie/Whatsapp 0715387809