Ushauri_wa_mahusiano_na_maisha

Ushauri_wa_mahusiano_na_maisha Ushauri &Tiba kuhusu​�
�Maisha
�Mahusiano
�uchumba&Ndoa
�Malezi
�Stress
�Gharama Tsh 20,000 kwa simu 50,000 face 2 face
�MACHOZI

Uzuri wa maisha unatengenezwa na wawili walio mapenzini. Suala la kudumisha upendo halitakiwi kuachiwa mtu mmoja huku mw...
22/11/2025

Uzuri wa maisha unatengenezwa na wawili walio mapenzini. Suala la kudumisha upendo halitakiwi kuachiwa mtu mmoja huku mwingine ametulia tuu. Kila mmoja anapaswa kuridhika na uwepo wa mwenzake ili upendo uwe wenye maana. Ukiona kila siku mwenzako anakukumbusha majukum yako au analalamika kuhusu mambo yale yale basi tambua unapaswa kujichunguza na kubadilika.

Usikubali uwe kikwazo kwenye mapenzi yenu sababu mmetoka mbali na tambua ukimpoteza huyo mwenye upendo wa kweli basi utakuja jutia pale utakaposhindwa kumpata mwingine atakayejitoa kwa ajili yako. Tumeagizwa upendo. Tuuishi bila hata chembe ya unafika ili kutimiza malengo.

Karibu sanaa ndugu Gharama za ushauri ni Tsh 50,000 kwa face to face ukija ofisini. Na Tsh 20,000 kwa njia ya simu. Kwahio unachagua njia ipi ni rahisi kwako.

Gharama hizi hutatoa tena endapo ukihitaji ushauri utapewa mda wowote hadi ukikaa sawaa. Isipokuwa kw ushauri wa face to face utalipa kila ukija ofisini.
Tupigie/Whatsapp 0715387809

Karibu sana ndugu!* Naitwa *Dennis Dessiny M*, mshauri wa kisaikolojia (Counselor Psychologist). *Gharama za ushauri ni ...
20/11/2025

Karibu sana ndugu!*
Naitwa *Dennis Dessiny M*, mshauri wa kisaikolojia (Counselor Psychologist).

*Gharama za ushauri ni k**a ifuatavyo:*
- *Tsh 50,000* kwa ushauri wa *face to face* (ukija ofisini).
- *Tsh 20,000* kwa ushauri kwa *njia ya simu/WhatsApp*.

*Faida:*
Malipo haya ni ya mara moja tu kwa ushauri wa simu—utaendelea kupata msaada wakati wowote hadi utakapopona au kujisikia vizuri.
Kwa ushauri wa ana kwa ana, utalipia kila unapokuja ofisini.

*Malipo:*
- *Lipa namba (Airtel Money):* 13128282
- *Jina:* Ushauri wa Maisha na Mahusiano

*Wasiliana nami kwa simu/WhatsApp:*
📞 *0715 387 809*

*_Machozi sasa basi..._*

09/11/2025

Mkizidisha mazoea, mnaweza kwazana bila kutegemea. Unaweza ukawa huru kupita kiasi na kujikuta unasema au kufanya matendo ambayo mwenza wako akayatafsiri tofauti. Urafiki udumishwe lakini mazoea yasizidi.

JE?
Hali yako ikoje ndugu rafiki. Una hali gani hapo ulipo? Una amani ya moyo au umeteseka kwa muda mrefu na misongo kichwani pamoja na mizigo moyoni? Unahisi huwezi tena kuipata furaha ya kudumu sababu changamoto nyingi zimekuandama?

Hebu nisikilize. Hata wale ambao walikua wamesha kata tamaa waliweza kusaidika na kurudi kwenye hali ya kawaida. Hawakutoka huko bila juhudi yoyote hapana! Waliweka nia ya dhati na kutumia njia sahihi za kupona maumivu yao. Hata kwako pia inawezekana.

Usiendelee kung'ang'ana na changamoto. Nipo hapa kwa ajili yako. Unaweza zungumza nami na kila kitu kikawa sawa. Karibu ujipatie Ushauri Tiba na Mwongozo wa Kisaikolojia na hakika maisha yako hayatokua k**a yalivyo kua mwanzo.

By counselor psychologist Dennis Dessiny M.

🌹 LOVE CONNECT TANZANIA 🌹Kila mtu anastahili kupendwa kwa dhati… lakini si kila mtu ana bahati ya kukutana na yule sahih...
15/10/2025

🌹 LOVE CONNECT TANZANIA 🌹
Kila mtu anastahili kupendwa kwa dhati… lakini si kila mtu ana bahati ya kukutana na yule sahihi kwa urahisi.
Hapa Love Connect Tanzania, kazi yetu ni kuunganisha mioyo 💞 — wale wanaotafuta upendo wa kweli, uaminifu, na mahusiano yenye heshima na thamani.

Tunaamini kuwa kila uhusiano mzuri huanza kwa ujasiri wa kuchukua hatua moja tu — hatua ya kuamini kuwa upendo bado upo.
Hapa tunakuongoza, tunakushauri, na tunakusaidia kupata mwenza anayekufaa, si kwa bahati tu, bali kwa kuelewana, maombi, na maadili. 🙏🏽

❤️ Unatafuta mwenza wa maisha?
💬 Unataka mtu wa kuelewana naye kwa heshima na mapenzi ya kweli?
📞 Tuma ujumbe WhatsApp sasa: 0715 387809

✨ Love Connect Tanzania – Tunagusa mioyo, tunaunda familia. ✨



















Mimi ni Binti wa miaka 25 nipo Dodoma nafanya kazi private sector Lutheran Elimu degree Sijaolewa Sina mtoto HIV positiv...
13/10/2025

Mimi ni Binti wa miaka 25 nipo Dodoma nafanya kazi private sector
Lutheran
Elimu degree
Sijaolewa
Sina mtoto
HIV positive
Awe aged btn 26 to 35
Akiwa na mtoto mmoja sio mbaya na k**a Hana kabisa pia it's okay
Dini iwe Anglican, Lutheran, catholic it's okay
Awe mfanyakazi nk

🔷 USHAURI & TIBA YA KISAIKOLOJIA 🔷📍 Kwa matatizo ya:✅ Maisha ya kila siku✅ Mahusiano ya kimapenzi✅ Uchumba na ndoa✅ Male...
09/09/2025

🔷 USHAURI & TIBA YA KISAIKOLOJIA 🔷
📍 Kwa matatizo ya:

✅ Maisha ya kila siku
✅ Mahusiano ya kimapenzi
✅ Uchumba na ndoa
✅ Malezi ya watoto

💬 Tunakusaidia kuelewa, kusamehe, kupona na kusonga mbele.
🙅‍♀️ MACHOZI BASI – Sasa ni muda wa mabadiliko!

💰 Gharama nafuu:
Tsh 20,000 hadi 50,000 kulingana na huduma

📞 Piga sasa: 0715 387 809
🌟 Tunakuhudumia kwa upendo, busara na hekima.























Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ushauri_wa_mahusiano_na_maisha posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Ushauri_wa_mahusiano_na_maisha:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram