Owen Afya Online

Owen Afya Online kalibu afyaonline tunasadia watu kama wewe wenye shida ya unene kupitiliza, nyama uzembe, kupunguza uzito,pamoja na kukata kitambi.

*NJIA 2 ZA KUSHUSHA SUKARI*Naongea na watu wengi wenye changamoto ya sukariNa kitu kikubwa ambacho nakiona Ni wanapamban...
27/07/2024

*NJIA 2 ZA KUSHUSHA SUKARI*

Naongea na watu wengi wenye changamoto ya sukari

Na kitu kikubwa ambacho nakiona

Ni wanapambana kila siku kumeza madawa ya hospital au kuchoma sindano bila ya mafanikio

Huku wakiwa wamesahau kuwa sukari imesababishwa na mfumo mbaya WA chakula

So huwezi kutibu maradhi ya mfumo mbaya WA chakula kwa dawa peke yake

Na ndio maana una ona mgonjwa WA sukari anameza dawa au kuchoma sindano miaka nenda miaka rudi bila ya mafanikio

Wacha nikwambie kitu *dawa na sindano hazitakusaidia kutatua changamoto yako*

Lazima urudi kwenye namna nzuri ya chakula

Na leo nataka nikuelekeza njia 2 rahisi za kupambana na sukari nje ya dawa na sindano

*njia ya kwanza:* pangilia chakula chako 1vizuri

Unatumia dawa unafanya mazoezi lakini bado unahangaika KUSHUSHA sukari
Ql I'm gonna you know
Mazoezi hayatakusaidia kuondoa sukari

Lakini kupangilia chakula ndio silaha pekee itakayokuwezesha kupambana na sukari

Acha vvyakula vya sukari

Acha vyakula vya wanga

Angalia sijasema upunguze *acha kabisa*
P
Pia punguza milo yako

Hutakiwi kula mara 3 kwa siku

Hivi ni nani ambaye amesema kula ni lazima mtu ale mara 3 kwa siku??

Unatakiwa ule ukisikia njaa sio kula kuzingatia wakatia

*njia ya pili:* kupunguza uzito

Ohh hapa ndio kuna changamoto

Mtu anameza dawa na kuchoma sindano miaka nenda miaka rudi na bado sukari haishuki

Hatua ya kwanza kupambana na sukari ni kupunguza uzito k**a ni mzito

Ukifanikiwa kufanya hivo umepona sukari

Lakini k**a sio mzito chakula unapangilia vizuri na bado sukari haishuki pengine una sumu mwilini ndo mana inafanya sukari kuwa juu muda wote

Hivyo nakushauri jinyakulie program yetu uondokane na hiyo changamoto

Je umefaidika na makala hii??
Karibu sanaa kwenye mwendelezo k**a huu kwenye group zetu za WhatsApp kabla ya kujaa
Dr owenGabriel

*NJIA 2 ZA KUSHUSHA SUKARI*Naongea na watu wengi wenye changamoto ya sukariNa kitu kikubwa ambacho nakiona Ni wanapamban...
26/07/2024

*NJIA 2 ZA KUSHUSHA SUKARI*

Naongea na watu wengi wenye changamoto ya sukari

Na kitu kikubwa ambacho nakiona

Ni wanapambana kila siku kumeza madawa ya hospital au kuchoma sindano bila ya mafanikio

Huku wakiwa wamesahau kuwa sukari imesababishwa na mfumo mbaya WA chakula

So huwezi kutibu maradhi ya mfumo mbaya WA chakula kwa dawa peke yake

Na ndio maana una ona mgonjwa WA sukari anameza dawa au kuchoma sindano miaka nenda miaka rudi bila ya mafanikio

Wacha nikwambie kitu *dawa na sindano hazitakusaidia kutatua changamoto yako*

Lazima urudi kwenye namna nzuri ya chakula

Na leo nataka nikuelekeza njia 2 rahisi za kupambana na sukari nje ya dawa na sindano

*njia ya kwanza:* pangilia chakula chako 1vizuri

Unatumia dawa unafanya mazoezi lakini bado unahangaika KUSHUSHA sukari
Ql I'm gonna you know
Mazoezi hayatakusaidia kuondoa sukari

Lakini kupangilia chakula ndio silaha pekee itakayokuwezesha kupambana na sukari

Acha vvyakula vya sukari

Acha vyakula vya wanga

Angalia sijasema upunguze *acha kabisa*
P
Pia punguza milo yako

Hutakiwi kula mara 3 kwa siku

Hivi ni nani ambaye amesema kula ni lazima mtu ale mara 3 kwa siku??

Unatakiwa ule ukisikia njaa sio kula kuzingatia wakatia

*njia ya pili:* kupunguza uzito

Ohh hapa ndio kuna changamoto

Mtu anameza dawa na kuchoma sindano miaka nenda miaka rudi na bado sukari haishuki

Hatua ya kwanza kupambana na sukari ni kupunguza uzito k**a ni mzito

Ukifanikiwa kufanya hivo umepona sukari

Lakini k**a sio mzito chakula unapangilia vizuri na bado sukari haishuki pengine una sumu mwilini ndo mana inafanya sukari kuwa juu muda wote

Hivyo nakushauri jinyakulie program yetu uondokane na hiyo changamoto

Je umefaidika na makala hii??
Kwa mengine mengi k**a haya karibu katika group letu WhatsApp.
Sir owenGabriel.

Ndiyo, kuwa na uwiano mzuri wa alkaline na acid (pH balance) katika mwili ni muhimu kwa sababu kadhaa:1. **Utendaji Bora...
26/07/2024

Ndiyo, kuwa na uwiano mzuri wa alkaline na acid (pH balance) katika mwili ni muhimu kwa sababu kadhaa:

1. **Utendaji Bora wa Mfumo wa Enzymes**: Enzymes zinahitaji mazingira maalum ya pH ili kufanya kazi vizuri. Kuwiana sawa kati ya alkaline na acid husaidia enzymes kudumisha utendaji bora katika mwili.

2. **Afya ya Mifupa na Misuli**: Uwiano sahihi wa pH husaidia kuzuia mwili kuchukua madini kutoka mifupa na misuli ili kutuliza acid nyingi, hivyo kusaidia kudumisha mifupa na misuli yenye afya.

3. **Kinga ya Magonjwa**: Maji yenye alkaline inaweza kusaidia kupunguza kiwango cha acid mwilini, hivyo kusaidia kuzuia magonjwa yanayohusiana na acidity k**a vile kansa, kisukari, na magonjwa ya moyo.

4. **Usagaji Bora wa Chakula**: Mfumo wa usagaji chakula hufanya kazi vizuri zaidi katika mazingira yenye uwiano mzuri wa pH. Hii inasaidia kuepuka matatizo k**a indigestion, gesi, na kuvimbiwa.

Je, unahitaji maelezo zaidi au kuna jambo lingine unahitaji kujua?

Nipo hapa kukusaidia
Sir owenGabriel

*KWANINI MKATE WA BROWN HAIFAI KWA MGONJWA WA SUKARI*nimekuwa nafikiria kwa muda mrefu kwa nini hospitals wanashauri wag...
26/07/2024

*KWANINI MKATE WA BROWN HAIFAI KWA MGONJWA WA SUKARI*

nimekuwa nafikiria kwa muda mrefu kwa nini hospitals wanashauri wagonjwa wa sukari kutumia MKATE wa brown licha ya kuwa mkate ni wanga

Jambo linanishangaza

Licha ya MKATE wa brown wanaoshauri mgonjwa kutumia bado wanamaambia ale dona kiasi cha ngumi Awe anakula mara

Ohh nachnaganyikiwa kwanini wanashauri hivi

Ndio maana baadhi ya wagonjwa wanafata masharti yote ya hospital lakini bado sukari zao ziko juu kuliko kawaida

Hapa dhana potofu inapozaliwa utasikia wagonjwa wanasema hii sukari sio bure itakuwa nimerogwa

Inasikitisha sanaa

Leo nataka nikuelekeze kwanini MKATE wa brown sio mzuri kwa MGONJWA wa sukari

Haufai tena haufai hata kidogo

Unatakiwa kufahamu kuwa asimilia 90 ya vyakula kutoka kiwandani lazima viwekwe sukari

Hiyo ni lazima haipingiki

Kaangalie kwenye kopo la tomato utaona sukari hakuna chakula kinatoka kiwandani kikakosa sukari

Hivi ni vitu ambavyo vimo kwenye MKATE wa brown

Wameweka

*sukari 6g (sawa na vijiko 8 vya chai*

*Mafuta 4.3 gram*

*Cholestrol 0mg*

*sodium 601mg*

*potasium 223mg*

Nafikiri umeona vitu vilivyomo kwenye MKATE wa brown

MGONJWA wa sukari.

Una sukari 7,8,9,10 na kuendelea unatumia chakula ambacho kina kiwango cha vijiko 8 vya sukari halafu unategemea sukari yako kushuka

Nakushauri acha kutumia MKATE wa brown una kiwango kikubwa cha sukari ingawa hospital hujaambiwa

Utakuja kunishukuru baadae.

K**a una swali au sehemu hujaaelewa nakaribisha maswali nitakuwa hapa kwa ajili ya usaidizi

Na hiv ndivyo tunyofundisha so k**a utakuwa interested unaweza kujiunga na group letu sasa hiv kabla ya group letu kujaa.
Sir owenGabriel.

Kupunguza uzito si kitu Cha rahisi k**a watu wanavyofikiri Kuna hatua ni lazima uzifuate ndo uzito wako utaweza kunguza....
22/02/2024

Kupunguza uzito si kitu Cha rahisi k**a watu wanavyofikiri Kuna hatua ni lazima uzifuate ndo uzito wako utaweza kunguza.kwa mawasiliano Zaid! na kufuhamu hizo hatua pg 0695271166

Haina haja tena ya kuishi na kitambi ndani ya siku 12 kitambi bye0695271166
22/02/2024

Haina haja tena ya kuishi na kitambi ndani ya siku 12 kitambi bye
0695271166

Address

Kimweri Road
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Owen Afya Online posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram