AJAM herbal clinic

AJAM herbal clinic TUNAWASAIDIA WAHANGA WA MAGONJWA MBALIMBALI KWA KUTUMIA MIMEA TIBA

0748 267 740  Tupo dar es salaam tandika Tiba za asili
05/12/2025

0748 267 740
Tupo dar es salaam tandika
Tiba za asili

DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI1.🧷kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa2.🧷kujitokeza kwa kinyama/vinyama e...
03/12/2025

DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI

1.🧷kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
2.🧷kujitokeza kwa kinyama/vinyama eneo la haja kubwa
3.🧷kupata kinyesi chenye damu
4.🧷kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
5.🧷 Kupata maumivu ya tumbo/kiuno hasa Bawasiri inapofikia hatua mbaya

Kwa msaada wa matibu⤵️

Dr.abbas
0748 267 740

AJAM HERBAL CLINIC
Dar es salaam tandika

0748 267 740 Dar es salaam tandika TUNATIBU BAWASIRI YA NDANI NA YA NJE
24/11/2025

0748 267 740
Dar es salaam tandika
TUNATIBU BAWASIRI YA NDANI NA YA NJE

Simu 0748 267 740 Tunatoa tiba ya ACID REFLUX Dar es salaam tandika
19/11/2025

Simu 0748 267 740
Tunatoa tiba ya ACID REFLUX
Dar es salaam tandika

DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME 🧷kuwahi kufika kileleni🧷kukosa hamu ya tendo🧷kushindwa kurudia tendo🧷kuchoka sana b...
14/11/2025

DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

🧷kuwahi kufika kileleni
🧷kukosa hamu ya tendo
🧷kushindwa kurudia tendo
🧷kuchoka sana baada ya tendo
🧷uume kusimama legelege

K**a unasumbuliwa na tatizo hili wahi sasa upate suluhisho kwa muda wa wiki mbili tu utakuwa imara kabisa

Tupigie au tuma sms kawaida na WhatsApp ⤵️

📞+255748267740

Tupo dar es salaam tandika

TATIZO LA KUZIDI KWA KIWANGO CHA ACID TUMBONI ( ACID REFLUX-GERD)             [ 0748 267 740 ]           Dar es salaam T...
10/11/2025

TATIZO LA KUZIDI KWA KIWANGO CHA ACID TUMBONI ( ACID REFLUX-GERD)

[ 0748 267 740 ]
Dar es salaam Tandika

Gastroesophageal reflux disease (GERD).
-Ni hali inayotokana na kuzid kwa kiwango cha Acid tumboni (Hydrochloric Acid) ambapo hupelekea kupanda kwa acid kutoka tumboni kuelekea katika koo la Chakula (Oesophagus) na kupelekea kudhurika kwa mfumo wa chakula upande wa juu ambao unahusisha koo la chakula na mdomo pia.

⚫DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux
-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:⤵️⤵️

1.🧷 Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2.🧷 Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
3.🧷 Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.
4.🧷Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.
5.🧷 Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.
6.🧷Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
7.🧷 Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.
8.🧷 Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
9.🧷 Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.
10.🧷Kupata kikokozi kisichoisha
11.🧷Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.
12.🧷 Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.
13.🧷 Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
14.🧷 Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).
15.🧷Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.
16.🧷Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
17.🧷 Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.
18.🧷 Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.
19.🧷 Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
20.🧷 Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.
21.🧷 Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo.
22.🧷Kichefuchefu na kutapika.

⚫MAMBO YANAYOWEZA KUCHOCHEA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID TUMBONI
1.🧷 Uvutaji wa sigara
2.🧷 Unywaji wa pombe
3.🧷 Utumiaji wa vyakula au vinywaji vywenye Caffeine k**a vile Kahawa,Chocolate, Soda nk
4.🧷 Kula vyakula vyenye mafuta mengi/vyakula vilivyokaangwa
5.🧷 Kula chakula kingi kupita kiasi ama kula usiku sana.
6.🧷 Kutumia baadhi ya Madawa k**a vile ASPIRIN
7.🧷 Ngiri ya kifua pia husababisha GERD lakin pia GERD huweza kisababisha Ngiri ya Kifua(Huatal hernia)
8.🧷 Kuwa Mjamzito
9.🧷 Uzito kupita kiasi (Obesity)
10.🧷 Matatzo ya mmeng'enyo wa chakula au kuchewa Kujisaidia pindi uhisipo haja kubwa.

MATIBABU YA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID TUMBONI-GERD

-Zipo dawa nyingi asilia zenye uwezo mkubwa wa kupambana na matatzo ya ACID nying tumboni,mfano wa dawa hizo ni ACID POWDER Nk.

Wasiliana nami kwa msaada zaidi wa kitaalamu katika kupambana na tatizo hili na mengine.

DR ABBAS
AJAM HERBAL CLINIC
+255748267740
DAR ES SALAAM
TANDIKA SOKONI

⚫ DALILI ZA PID     (Maambukizi kwenye via vya uzazi)🧷Uchafu mzito ukeni wa rangi nyeupe au njano🧷Uke kutoa harufu mbaya...
09/11/2025

⚫ DALILI ZA PID
(Maambukizi kwenye via vya uzazi)
🧷Uchafu mzito ukeni wa rangi nyeupe au njano
🧷Uke kutoa harufu mbaya
🧷Kuwashwa sehemu za siri
🧷maumivu makali ya tumbo chini ya kitovu
🧷Uke kuwa mlaini sana
🧷Maumivu wakati wa tendo la ndoa
🧷Kuvurugikwa kwa hedhi
🧷Kutokwa na majimaji ukeni kupita kiasi
🧷Maumivu wakati wa kukojoa
🧷Homa/uchovu na kuchoka
🧷kizungu zungu na n.k

⚫ PELVIC CARE NI SULUHISHO KWA UGONJWA WA PID

0748267740
AJAM HERBAL CLINIC
Tandika- Dar es salaam
_______________________________________________

*KUHISI K**A UNATAKA KUCHANGANYIKIWA KUTOKANA NA ACID REFLUX* Hii inawatokea wagonjwa wengi wenye tatizo la kuzidi kiwan...
04/10/2025

*KUHISI K**A UNATAKA KUCHANGANYIKIWA KUTOKANA NA ACID REFLUX*

Hii inawatokea wagonjwa wengi wenye tatizo la kuzidi kiwango cha Acid tumboni *(Acid reflux-Gerd)*

Ukiwa na acid reflux kuna muda unajikuta kichwa chako kinakuwa k**a kimevurugika na unahis muda wowote unaweza kuchanganyikiwa.

Hali hii inasababishwa na kuchochewa kwa Vagus nerve kutokana na Acid reflux hivyo kwasababu Vagus nerve ni katika nerves katika Ubongo (CRANIAL NERVE PAIR NO.X) Hivyo hupelekea kutokuwa sana mfumo wa nerves na kusababisha mtu mwenye Acid reflux kujihisi k**a anataka kuchanganyikiwa (CONFUSION).

Tibu Acid reflux
Tupigie
*+255748267740*
*Ajam herbal clinic*
Tandika-Dar es salaam 🇹🇿
_______________________

MASWALI MUHIMU AMBAYO MGONJWA WA ACID REFLUX ANAPASWA KUJIULIZA KABLA HAJAANZA MATIBABU1.🧷 Ni nini chanzo cha acid reflu...
09/09/2025

MASWALI MUHIMU AMBAYO MGONJWA WA ACID REFLUX ANAPASWA KUJIULIZA KABLA HAJAANZA MATIBABU

1.🧷 Ni nini chanzo cha acid reflux?

2.🧷 Je! Kuna vyakula au vinywaji ambavyo ninapaswa kuepuka?

3.🧷 Je! Kuna dawa za kutibu asidi ambazo ninaweza kuchukua?

4.🧷 Je! Ni vipimo gani vinapatikana ili kugundua hali yangu ya acid reflux?

5.🧷 Je! Ni nini hatua ninazoweza kuchukua kupunguza dalili zangu za acid reflux?

6.🧷 Je! Ni lini ninapaswa kutafuta matibabu ya kitaalam?

7.🧷 Je! Kuna athari za muda mrefu za acid reflux?

8.🧷 Je! Ni nini hatari za kutotibiwa acid reflux?

9.🧷 Je! Ni zipi njia bora ya kuzuia acid reflux kurudi tena baada ya matibabu?

10.🧷 Je! Ni nini lishe bora na mtindo wa maisha kwa mgonjwa wa acid reflux?

*UKISHAJIULIZA NA KUPATIWA MAJIBU YA MASWALI HAYA,BASI UTAPONA ACID REFLUX KWA MUDA MFUPI SANA*

*AJAM HERBAL CLINIC*
*0748 267 740*
________________________

NAMNA ACID REFLUX INAVYOWEZA KUSABABAISHA SARATANI YA KOO LA CHAKULAAcid Reflux  inaweza kusababisha saratani ya koo kwa...
09/09/2025

NAMNA ACID REFLUX INAVYOWEZA KUSABABAISHA SARATANI YA KOO LA CHAKULA

Acid Reflux inaweza kusababisha saratani ya koo kwa njia kadhaa ikiwa ni pamoja na ⤵️⤵️⤵️

*1️⃣🧷Uharibifu wa Utando wa Ndani wa Koo:* Asidi inayorejea kutoka kwenye tumbo inaweza kusababisha uharibifu kwenye utando wa ndani wa koo. Uharibifu huu unaweza kusababisha mabadiliko ya seli za koo na hatimaye kuongeza hatari ya saratani.

2️⃣🧷 *Kuchochea Ukuaji wa Seli:* Asidi inaweza kuchochea ukuaji wa seli za koo, ambayo inaweza kuongeza hatari ya seli za koo kubadilika na kuwa saratani.

*3️⃣🧷Kuathiri Mfumo wa Kinga:* Asidi inayorejea kutoka kwenye tumbo inaweza kuathiri mfumo wa kinga ya mwili, ambayo inaweza kuathiri uwezo wa mwili kupambana na seli zenye uwezekano wa kuwa saratani.

⚫ *ACID REFLUX* ni moja tu ya sababu zinazoweza kusababisha saratani ya koo na siyo sababu pekee.

➡️ kudhibiti Acid reflux na kupata matibabu sahihi mapema ni muhimu sana katika kupunguza hatari ya saratani ya koo.

_0748 267 740_
AJAM HERBAL CLINIC
---------------------------------------------------------

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AJAM herbal clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AJAM herbal clinic:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram