AJAM herbal clinic

AJAM herbal clinic TUNAWASAIDIA WAHANGA WA MAGONJWA MBALIMBALI KWA KUTUMIA MIMEA TIBA

DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUPANDA  KWA ACID KWENYE KOO LA CHAKULA ( GERD-ACID REFLUX)-Zipo dalili nyingi ambazo hu...
15/03/2026

DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUPANDA KWA ACID KWENYE KOO LA CHAKULA

( GERD-ACID REFLUX)

-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:⤵️⤵️

1.🧷 Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2.🧷 Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
3.🧷 Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.
4.🧷Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.
5.🧷Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.
6.🧷Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
7.🧷 Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.
8.🧷 Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
9.🧷Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.
10.🧷 Kupata kikokozi kisichoisha
11.🧷 Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.
12.🧷Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.
13.🧷Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
14.🧷 Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).
15.🧷 Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.
16.🧷 Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
17.🧷Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.
18.🧷 Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.
19.🧷 Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
20.🧷Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.
21.🧷 Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo.
22.🧷Kichefuchefu na kutapika.
23.🧷 Miwasho ya ngozi mwilini
24.🧷Masikio kupiga kelele/kuwa mazito.
25.🧷 Baadhi ya viungo vya mwili kutetemeka/kucheza mfano vidole na chini ya macho.
26.🧷 Mdomo kuwa mchungu/Mchachu
27.🧷 Presha kupanda mara kwa mara ikiambatana na dalili zingine za Acid reflux.

abbas
_+255748267740_
AJAM HERBAL CLINIC
TANDIKA - DAR ES SALAAM
---------------------------------------------------------

PRESHA NA MOYOJe unasumbuliwa na presha ?Au una tatizo la moyo?Wasiliana nasi sasa uweze kumaliza changamoto hizi kwa mu...
12/03/2026

PRESHA NA MOYO

Je unasumbuliwa na presha ?
Au una tatizo la moyo?

Wasiliana nasi sasa uweze kumaliza changamoto hizi kwa muda mfupi kabisa bila kutumia vidonge

■BAADHI YA DALILI ZA PRESHA
●Maumivu ya kifua
●moyo kwenda mbio
●kizunguzungu
●kutokwa jasho jingi hasa usiku
●kupata ganzi mikononi au miguuni
●mwili kuishiwa nguvu n.k
Tujitibu kwa mimea

Piga simu au tuma sms 0748 267 740
Tandika-Dar es salaam

01/03/2026

ACID REFLUX INATIBIKA
Simu 0748 267 740

📞 0748 267 740

DALILI ZA NGIRI CHANGA1.🧷Kubana tumbo khasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu.2.🧷Kupiga mingurum...
27/02/2026

DALILI ZA NGIRI CHANGA

1.🧷Kubana tumbo khasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu.
2.🧷Kupiga mingurumo tumboni.
3.🧷Kujaa gesi tumboni.
4.🧷Kuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu.
5.🧷Kupata haja ngumu k**a ya mbuzi.
6.🧷Kukaa siku kadhaa bila kwenda haja kubwa.
7.🧷Wakati fulani unakwenda haja sana, kila mara.
8.🧷Unaweza kufanya jimai mara moja tu kisha hamu inakuishia hupati nguvu tena mpaka kesho.
9.🧷Nuru ya macho hupotea taratibu.
10.🧷Hutokea wakati mwingine kufanya jimai mwanzo kabisa au katikati ya tendo gari linazimika.
11.🧷Kuvutwa makende au upande mmoja maumivu.
12.🧷Kupiga mishale sehemu za haja kubwa na pembeni karibu na tupu.
13.🧷Maumivu makali ya mgongo au kiuno
14.🧷Uume kusinyaa na kunywea k**a wa mtoto

DALILI ZA NGIRI (HERNIA) SUGU( iliyo komaa)

1.🧷kende(pumbu) moja au mbili kuvimba
2.🧷kuvimba Juu ya kinena kushoto au kulia
3.🧷kufanyiwa UPASUAJI wa hernia
4.🧷Kufanyiwa UPASUAJI kisha ika rejea tena
5.🧷kende( pumbu) kupotea zote au moja
6.🧷Kenda kujaa maji.
7.🧷Kuvimba kwa kitovu au kende uvimbe wenye kujaa k**a nyama
8.🧷Kuwa na uvimbe unaoteremka kuingia ndani ya korodani
9.🧷Kuwa na uvimbe unaojitokeza tumboni na kuteremka hadi ndani ya korodani
10.🧷Maumivu/Kusikia kichefuchefu

♦️TUNAPATIKANA TANDIKA SOKONI DARESALAAM
AJAM HERBAL CLINIC

Kwa ushauri na matibabu wasiliana nasi
⤵️⤵️⤵️⤵️⤵️

Dr_abbas
0748 267 0748 267 740

24/02/2026

DALILI ZA ACID REFLUX
___________________________
- Kifua kuwaka moto
- pumzi kubana
- mapigo ya moyo kwenda mbio
- kuwa na hofu bila sababu
- kiungulia mara kwa mara
- kuhisi kitu kukwama kooni
- maumivu ya koo
- koo kukauka
- makohozi kukauka
- kukosa usingizi
- Kuota ndoto za kutisha
- maumivu mgongoni na mabegani
- masikio kupiga kelele

● k**a una dalili hizi na unahitaji kupata. suluhisho wasiliana nasi leo

Dr abbas
0748 267 740
_______________

Tunapatikana
dar es salaam tandika

23/02/2026

DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI

1.🧷kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
2.🧷kujitokeza kwa kinyama/vinyama eneo la haja kubwa
3.🧷kupata kinyesi chenye damu
4.🧷kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
5.🧷 Kupata maumivu ya tumbo/kiuno hasa Bawasiri inapofikia hatua mbaya

Kwa msaada wa matibu⤵️

Dr.abbas
0748 267 740

AJAM HERBAL CLINIC
Dar es salaam tandika

11/02/2026

Piga simu au tuma ujumbe WhatsApp
+255748267740

Dr abbas
Dar es salaam tandika
0748 267 740

Dr _ abbas 0748 267 740 Dar es salaam - tandika
08/02/2026

Dr _ abbas
0748 267 740
Dar es salaam - tandika

MIONGONI MWA DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO NI: 🧷Kuchokachoka sana bila sababu maalumu🧷Kuuma mgongo au kiuno.🧷Kupungukiwa a...
04/02/2026

MIONGONI MWA DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO NI:

🧷Kuchokachoka sana bila sababu maalumu
🧷Kuuma mgongo au kiuno.
🧷Kupungukiwa au kupoteza kabisa nguvu au hamu ya tendo la ndoa.
🧷Usingizi wa mara kwa mara.
🧷Maumivu makali kifuani kwa ndani k**a vile unachomwa na kitu cha moto au chenye ncha kali.
Maumivu hayo wakati mwengine hutokeza mgongoni na kuchoma k**a sindano yenye sumu na kuacha maumivu makali mno.
🧷Kichefuchefu.
🧷Kiungulia
🧷Kusahau mara kwa mara.
🧷Hasira bila sababu za msingi.
🧷Tumbo kujaa gesi.
🧷Kukosa hamu ya kula.
🧷Kula kupita kiasi.
🧷Tumbo kuwaka moto.
🧷Maumivu makali sehemu kilipo kidonda.
🧷Kukosa choo
🧷 kupata choo cha shida tena kigumu na chenye kukatika k**a cha mbuzi.
🧷Kutapika nyongo.
🧷Kutapika damu
🧷kuharisha.
🧷Kupata ganzi

*.abbas*
*Cell phone: 0748 267 740*
*AJAM HERBAL CLINIC*
*Tandika-Dar es salaam*
_____________________________

DALILI ZA ACID REFLUX ___________________________- Kifua kuwaka moto - pumzi kubana- mapigo ya moyo kwenda mbio- kuwa na...
03/02/2026

DALILI ZA ACID REFLUX
___________________________
- Kifua kuwaka moto
- pumzi kubana
- mapigo ya moyo kwenda mbio
- kuwa na hofu bila sababu
- kiungulia mara kwa mara
- kuhisi kitu kukwama kooni
- maumivu ya koo
- koo kukauka
- makohozi kukauka
- kukosa usingizi
- Kuota ndoto za kutisha
- maumivu mgongoni na mabegani
- masikio kupiga kelele

● k**a una dalili hizi na unahitaji kupata. suluhisho wasiliana nasi leo

Dr abbas
0748 267 740
_______________

Tunapatikana
dar es salaam tandika

ACID REFLUX - GERD  0748 267 740 Dar es salaam tandika
02/02/2026

ACID REFLUX - GERD

0748 267 740
Dar es salaam tandika

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AJAM herbal clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AJAM herbal clinic:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram