AJAM herbal clinic

AJAM herbal clinic TUNAWASAIDIA WAHANGA WA MAGONJWA MBALIMBALI KWA KUTUMIA MIMEA TIBA

DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUPANDA  KWA ACID KWENYE KOO LA CHAKULA ( GERD-ACID REFLUX)-Zipo dalili nyingi ambazo hu...
22/09/2025

DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUPANDA KWA ACID KWENYE KOO LA CHAKULA

( GERD-ACID REFLUX)

-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:⤵️⤵️

1.🧷 Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2.🧷 Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
3.🧷 Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.
4.🧷Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.
5.🧷Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.
6.🧷Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
7.🧷 Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.
8.🧷 Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
9.🧷Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.
10.🧷 Kupata kikokozi kisichoisha
11.🧷 Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.
12.🧷Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.
13.🧷Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
14.🧷 Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).
15.🧷 Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.
16.🧷 Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
17.🧷Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.
18.🧷 Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.
19.🧷 Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
20.🧷Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.
21.🧷 Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo.
22.🧷Kichefuchefu na kutapika.
23.🧷 Miwasho ya ngozi mwilini
24.🧷Masikio kupiga kelele/kuwa mazito.
25.🧷 Baadhi ya viungo vya mwili kutetemeka/kucheza mfano vidole na chini ya macho.
26.🧷 Mdomo kuwa mchungu/Mchachu
27.🧷 Presha kupanda mara kwa mara ikiambatana na dalili zingine za Acid reflux.

abbas
_+255748267740_
AJAM HERBAL CLINIC
TANDIKA - DAR ES SALAAM
---------------------------------------------------------

MASWALI MUHIMU AMBAYO MGONJWA WA ACID REFLUX ANAPASWA KUJIULIZA KABLA HAJAANZA MATIBABU1.🧷 Ni nini chanzo cha acid reflu...
09/09/2025

MASWALI MUHIMU AMBAYO MGONJWA WA ACID REFLUX ANAPASWA KUJIULIZA KABLA HAJAANZA MATIBABU

1.🧷 Ni nini chanzo cha acid reflux?

2.🧷 Je! Kuna vyakula au vinywaji ambavyo ninapaswa kuepuka?

3.🧷 Je! Kuna dawa za kutibu asidi ambazo ninaweza kuchukua?

4.🧷 Je! Ni vipimo gani vinapatikana ili kugundua hali yangu ya acid reflux?

5.🧷 Je! Ni nini hatua ninazoweza kuchukua kupunguza dalili zangu za acid reflux?

6.🧷 Je! Ni lini ninapaswa kutafuta matibabu ya kitaalam?

7.🧷 Je! Kuna athari za muda mrefu za acid reflux?

8.🧷 Je! Ni nini hatari za kutotibiwa acid reflux?

9.🧷 Je! Ni zipi njia bora ya kuzuia acid reflux kurudi tena baada ya matibabu?

10.🧷 Je! Ni nini lishe bora na mtindo wa maisha kwa mgonjwa wa acid reflux?

*UKISHAJIULIZA NA KUPATIWA MAJIBU YA MASWALI HAYA,BASI UTAPONA ACID REFLUX KWA MUDA MFUPI SANA*

*AJAM HERBAL CLINIC*
*0748 267 740*
________________________

NAMNA ACID REFLUX INAVYOWEZA KUSABABAISHA SARATANI YA KOO LA CHAKULAAcid Reflux  inaweza kusababisha saratani ya koo kwa...
09/09/2025

NAMNA ACID REFLUX INAVYOWEZA KUSABABAISHA SARATANI YA KOO LA CHAKULA

Acid Reflux inaweza kusababisha saratani ya koo kwa njia kadhaa ikiwa ni pamoja na ⤵️⤵️⤵️

*1️⃣🧷Uharibifu wa Utando wa Ndani wa Koo:* Asidi inayorejea kutoka kwenye tumbo inaweza kusababisha uharibifu kwenye utando wa ndani wa koo. Uharibifu huu unaweza kusababisha mabadiliko ya seli za koo na hatimaye kuongeza hatari ya saratani.

2️⃣🧷 *Kuchochea Ukuaji wa Seli:* Asidi inaweza kuchochea ukuaji wa seli za koo, ambayo inaweza kuongeza hatari ya seli za koo kubadilika na kuwa saratani.

*3️⃣🧷Kuathiri Mfumo wa Kinga:* Asidi inayorejea kutoka kwenye tumbo inaweza kuathiri mfumo wa kinga ya mwili, ambayo inaweza kuathiri uwezo wa mwili kupambana na seli zenye uwezekano wa kuwa saratani.

⚫ *ACID REFLUX* ni moja tu ya sababu zinazoweza kusababisha saratani ya koo na siyo sababu pekee.

➡️ kudhibiti Acid reflux na kupata matibabu sahihi mapema ni muhimu sana katika kupunguza hatari ya saratani ya koo.

_0748 267 740_
AJAM HERBAL CLINIC
---------------------------------------------------------

*UHUSIANO KATI YA ACID REFLUX NA MAPIGO YA MOYO KWENDA MBIO*🧷Acid reflux huifanya *Cranial nerve namba X* (Vagus nerve- ...
07/09/2025

*UHUSIANO KATI YA ACID REFLUX NA MAPIGO YA MOYO KWENDA MBIO*

🧷Acid reflux huifanya *Cranial nerve namba X* (Vagus nerve- CN X) ipate mgandamizo na kuifanya ishindwe kufanyakaz yake inavyotakiwa.

Neva hii ya fahamu (vagus nerve) ndiyo inafanyakaz ya⤵️
▪️kuweka sawa Mapigo ya moyo(pulse rate)
▪️Kupumua (Breathing)
▪️na kusaidia mmeng'enyo wa chakula (Digestion).

🧷Acid reflux husababisha irritation ya Vagus nerve kwasababu neva hii ya fahamu inapita katika mfumo wa chakula. Hali hii humfanya mtu mwenye Acid reflux apumue kwa shida, mapigo ya moyo kutokwenda vizur na kupata choo kigumu.

* Abbas*
*0748 267 740*
_____________________

⚫ DALILI ZA PID     (Maambukizi kwenye via vya uzazi)🧷Uchafu mzito ukeni wa rangi nyeupe au njano🧷Uke kutoa harufu mbaya...
06/09/2025

⚫ DALILI ZA PID
(Maambukizi kwenye via vya uzazi)
🧷Uchafu mzito ukeni wa rangi nyeupe au njano
🧷Uke kutoa harufu mbaya
🧷Kuwashwa sehemu za siri
🧷maumivu makali ya tumbo chini ya kitovu
🧷Uke kuwa mlaini sana
🧷Maumivu wakati wa tendo la ndoa
🧷Kuvurugikwa kwa hedhi
🧷Kutokwa na majimaji ukeni kupita kiasi
🧷Maumivu wakati wa kukojoa
🧷Homa/uchovu na kuchoka
🧷kizungu zungu na n.k

⚫ PELVIC CARE NI SULUHISHO KWA UGONJWA WA PID

0748267740
AJAM HERBAL CLINIC
Tandika- Dar es salaam
_______________________________________________

TATIZO LA KUZIDI KWA KIWANGO CHA ACID TUMBONI ( ACID REFLUX-GERD)             [ 0748 267 740 ]           Dar es salaam T...
02/09/2025

TATIZO LA KUZIDI KWA KIWANGO CHA ACID TUMBONI ( ACID REFLUX-GERD)

[ 0748 267 740 ]
Dar es salaam Tandika

Gastroesophageal reflux disease (GERD).
-Ni hali inayotokana na kuzid kwa kiwango cha Acid tumboni (Hydrochloric Acid) ambapo hupelekea kupanda kwa acid kutoka tumboni kuelekea katika koo la Chakula (Oesophagus) na kupelekea kudhurika kwa mfumo wa chakula upande wa juu ambao unahusisha koo la chakula na mdomo pia.

⚫DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux
-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:⤵️⤵️

1.🧷 Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2.🧷 Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
3.🧷 Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.
4.🧷Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.
5.🧷 Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.
6.🧷Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
7.🧷 Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.
8.🧷 Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
9.🧷 Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.
10.🧷Kupata kikokozi kisichoisha
11.🧷Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.
12.🧷 Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.
13.🧷 Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
14.🧷 Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).
15.🧷Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.
16.🧷Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
17.🧷 Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.
18.🧷 Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.
19.🧷 Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
20.🧷 Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.
21.🧷 Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo.
22.🧷Kichefuchefu na kutapika.

⚫MAMBO YANAYOWEZA KUCHOCHEA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID TUMBONI
1.🧷 Uvutaji wa sigara
2.🧷 Unywaji wa pombe
3.🧷 Utumiaji wa vyakula au vinywaji vywenye Caffeine k**a vile Kahawa,Chocolate, Soda nk
4.🧷 Kula vyakula vyenye mafuta mengi/vyakula vilivyokaangwa
5.🧷 Kula chakula kingi kupita kiasi ama kula usiku sana.
6.🧷 Kutumia baadhi ya Madawa k**a vile ASPIRIN
7.🧷 Ngiri ya kifua pia husababisha GERD lakin pia GERD huweza kisababisha Ngiri ya Kifua(Huatal hernia)
8.🧷 Kuwa Mjamzito
9.🧷 Uzito kupita kiasi (Obesity)
10.🧷 Matatzo ya mmeng'enyo wa chakula au kuchewa Kujisaidia pindi uhisipo haja kubwa.

MATIBABU YA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID TUMBONI-GERD

-Zipo dawa nyingi asilia zenye uwezo mkubwa wa kupambana na matatzo ya ACID nying tumboni,mfano wa dawa hizo ni ACID POWDER Nk.

Wasiliana nami kwa msaada zaidi wa kitaalamu katika kupambana na tatizo hili na mengine.

DR ABBAS
AJAM HERBAL CLINIC
+255748267740
DAR ES SALAAM
TANDIKA SOKONI

PRESHA NA MOYOJe unasumbuliwa na presha ?Au una tatizo la moyo?Wasiliana nasi sasa uweze kumaliza changamoto hizi kwa mu...
05/08/2025

PRESHA NA MOYO

Je unasumbuliwa na presha ?
Au una tatizo la moyo?

Wasiliana nasi sasa uweze kumaliza changamoto hizi kwa muda mfupi kabisa bila kutumia vidonge

■BAADHI YA DALILI ZA PRESHA
●Maumivu ya kifua
●moyo kwenda mbio
●kizunguzungu
●kutokwa jasho jingi hasa usiku
●kupata ganzi mikononi au miguuni
●mwili kuishiwa nguvu n.k
Tujitibu kwa mimea

Piga simu au tuma sms 0748 267 740
Tandika-Dar es salaam

*_JINSI YA KUJUA K**A UNA UZITO WA WASTANI,UZITO ULIOPITILIZA AU UZITO WA CHINI_*Watu wengi wana uzito uliokithiri na we...
29/07/2025

*_JINSI YA KUJUA K**A UNA UZITO WA WASTANI,UZITO ULIOPITILIZA AU UZITO WA CHINI_*

Watu wengi wana uzito uliokithiri na wengine wana uzito wa chini kupita kawaida bila ya wao wenyewe kujua na yote haya ni hatar kwa Afya yaani uzito ukizid ni hatar na uzito ukiwa chini zaidi ni hatar pia kiafya hivyo mtu anatakiwa awe na uzito wa wastani *( normal weight).*

Ili kujua k**a una uzito unaostahili Uwiano kati ya Kilo (Kg) na urefu katika mita za mraba hutumika kujua yaani *_Body Mass Index_*(BMI).

*_BODY MASS INDEX (BMI)_*:
Ni uwiano kati ya Uzito wa Mwili katika kilogramu (Kg) na kimo chako katika Mita za Mraba (Meters Square).Hivyo kizio(SI UNIT) ya Body mass Index ni *Kg/m²*.

Hivyo mtu akitaka kujua k**a uzito wake upo sawa ama hauko sawa kiafya atapima uzito wake kisha atagawa kwa kimo chako kwenye mita za Mraba.

*Mfano*
Umefanya vipimo ukajikuta na

Uzito(Kilo)= 65 kg
Kimo(Cm)= 180 cm=1.8 m.

Kutafuta BMI
Formula,

BMI= Uzito(Kg)÷Kimo(m²)

=65 kg ÷ 1.8²
=20.06 ~20.1
BMI = *20.1 kg/m²*

*Kwahyo BODY MASS INDEX(BMI)= 20.1kg/m²*

⚫Ukifanya Calculations ukapata BMI basi unatakiwa ulinganishe katika BMI zifuatazo ili ujue k**a uzito wako uko sawa,umezdi ama upo chini ya uzito wa kawaida:⤵⤵

1⃣ Chini ya 18.5 kg/m²
*_CHINI YA UZITO UNAOTAKIWA (Underweight).*

2⃣ Kuanzia 18.5 hadi 24.9 Kg/m²
*_UZITO UNAOSTAHILI(normal weight*

3⃣ Kuanzia 25-29.9 kg/m²
*_UZITO ULIOZIDI KIASI (Overweight)*

4⃣ Kuanzia 30 kg/m² na zaid.
*_KITAMBI(obesity)*

Ama kwa njia fupi,Unapaswa uchukue urefu wako katika sentimita(cm) alafu utoe kwa 100.Kitakachobaki ndio kilo sahihi unazopaswa kuwa nazo na si chini au zaidi.

(( *_BMI classification. Global Database on Body Mass Index.World Health Organization.2006_*))

*MADHARA YANAYOTOKANA NA UZITO KUPITA KIASI*

Kutokana na vituo kwaajili ya kudhibiti na kujikinga na Magonjwa, *_centers for Diseases Control and Prevention(CDC)_*,yafuatayo ni madhara ya kuzidi kwa uzito wa Mwili:⤵

1.🧷Presha ya kupanda (Hypertension)
2.🧷Kuzidi kwa Lehemu (Cholesterol) mwilini
3.🧷Kisukari (type ll diabetes)
4.🧷Magonjwa ya mfuko wa nyongo(gallbladder diseases)
5.🧷Matatizo ya joints(Osteoarthritis)
6.🧷Matatizo ya upumuaji
7.🧷Saratani(Cancer) k**a vile saratani ya utumbo,matiti,figo, ini nk
8.🧷Upungufu wa nguvu za kiume (ERECTILE DYSFUNCTION)
9.🧷kupata uvimbe kwenye kizazi (fibroids)
10.🧷 kutokuwa sawa uwiano wa homoni za uzazi kwa mwanamke (Hormonal imbalabce)

*_Hatari ya kuwa na uzito wa chini kuliko kawaida(Underweight)_*

1.🧷Utapia mlo
2.🧷Anemia
3.🧷Matatizo ya mifupa(Osteoporosis)
4.🧷Kushuka kwa kinga ya mwili
6.🧷Kudumaa
7.🧷Kutokwa mimba kwa wanawake(Miscarriage) hasa katika miezi mitatu ya mwanzo(first trimester)

*_Hivyo basi hakikisha una uzito wa kawaida usizid wala usipungue_*

⚫Kwa wale ambao wana uzito uliopitiliza wanaweza kufanya mazoezi na kuweka sawa Milo yao na uzito ukarudi sawa.

⚫Kwa wale ambao uzito wao upo chini zaidi ya kawaida basi wajitahid kula mlo kamili ili waweze kuepukana na matatzo ambayo yanaweza kuwapata kutokana na kuwa na uzito wa chini zaidi ya inavyotakikana.

⚫Kwa wale ambao uzito wao upo sawa basi wajitahidi kuhakikisha wanabaki katika uzito huo bila kuzidi wala kupungua hapo.

KWA MWENYE UZITO KUPITA KIASI TUNATOA HUDUMA YA KUPUNGUZA UZITO KWA KUTUMIA DAWA YA DETOX FORMULA PAMOJA NA UTARATIBU MAALUMU WA ULAJI

Dr Abbas
+255748267740

DAR ES SALAAM TANDIKA SOKONI

*VISABABISHI VINAVYOPELEKEA MTU KUPATA ACID REFLUX*⤵️⤵️⤵️⤵️⤵️1.🧷 Kutumia sana baadhi ya vinywaji k**a vile: Pombe, vunye...
19/07/2025

*VISABABISHI VINAVYOPELEKEA MTU KUPATA ACID REFLUX*⤵️⤵️⤵️⤵️⤵️

1.🧷 Kutumia sana baadhi ya vinywaji k**a vile: Pombe, vunyeaji vyenye caffeine km Kahawa na bidhaa zake, carbonated softy drinks, Chocolate na vyakula vyenye viungo kupita kiasi, vyakula vyenye kuongeza gesi tumboni, utumiaji wa mafuta yasiyofaa.

2.🧷 Kuwa na uzito kupita kiasi (Overweight)

3.🧷Uvutaji Sigara

4.🧷 Kuwa Mjamzito

6.🧷 Msongo wa mawazo na khofu/Uoga uliopindukia

7.🧷Kuzidi kwa baadhi ya Hormones k**a vile,Oestrogen na Testosterone

8.🧷 Kutokuwa na ratiba maalumu ya kula (ulaji usiofaa).

9.🧷 Vidonda vya tumbo.

10.🧷 Kuwa na Ngiri ya kifua (Hiatus Hernia)

*NAMNA AMBAVYO ACID REFLUX HUATHIRI MIFUMO MINGINE YA MWILI* *Acid reflux* ni tatzo linaloanzia kwenye mfumo wa mmeng'en...
16/07/2025

*NAMNA AMBAVYO ACID REFLUX HUATHIRI MIFUMO MINGINE YA MWILI*

*Acid reflux* ni tatzo linaloanzia kwenye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula *(Gastrointestinal system* ) na kuathiri mifumo mingine ya mwili

⚫Mifumo ya mwili inayoathiriwa na *ACID REFLUX* ni k**a ifuatavyo :⤵️

1.🧷Mfumo wa fahamu (Central nervous system)
2.🧷Mfumo wa moyo (Cardiovascular system)
3.🧷Mfumo wa upumuaji (Respiratory system)
4.🧷Mfumo wa mifupa na misuli (Musculoskeletal system)
5.🧷Mfumo wa pua,koo na masikio (ENT)

*DALILI ZINAZOONESHA KWAMBA MFUMO WAKO WA FAHAMU UMEATHIRIWA NA ACID REFLUX*

1.🧷Kusahau mara kwa mara
2.🧷Macho kupunguza uwezo wa kuona
3.🧷Kupata ganzi kwenye vidole vya mikono na miguu
4.🧷Kuhisi kuchanganyikiwa (CONFUSION)
5.🧷Mwili kuchoma choma
6.🧷Kuwa na wasiwasi na khofu bila sababu za msingi

*DALILI ZINAZOONESHA KWAMBA MFUMO WAKO WA MOYO UMEATHIRIWA NA ACID REFLUX*

1.🧷Mapigo ya moyo kwenda mbio/kupaparika (Heart palpitations)
2.🧷Presha kupanda (temporary hypertension)
3.🧷Kupata Kizunguzungu
4.🧷Maumivu ya kifua
5.🧷Kupata ganzi mkono wa kushoto
6.🧷Kuhisi Mapigo ya moyo yapo chini sana

*DALILI ZINAZOONESHA KWAMBA MFUMO WAKO WA UPUMUAJI UMEATHIRIWA NA ACID REFLUX*

1.🧷Kupumua kwa shida
2.🧷Mafua ya mara kwa mara
3.🧷Kupata kwikwi za mara kwa mara
4.🧷Mafua yasiyoisha
5.🧷Kikohozi kisichoisha
6.🧷Maumivu makali ya kifua

*DALILI ZINAZOONESHA KWAMBA MFUMO WAKO WA PUA,MASIKIO NA KOO UMEATHIRIWA NA ACID REFLUX*

1.🧷Maumivu makali ya koo
2.🧷Kuhisi kitu kimekwama kooni
3.🧷Kupata Tonsillitis (mafidofido)mara kwa mara
4.🧷Kupata ugumu wa kumeza chakula
5.🧷Kuhisi masikio mazito
6.🧷Masikio kupiga kelele
7.🧷Mafua yasiyoisha

*AJAM HERBAL CLINIC*
*Dar es salaam*
*Tandika*
*Ugweno street*
*Cell phone* *:0748 267 740*
______

MAGONJWA SUGU NA TIBA ZAKE [ 0748 267 740 ]DAWA TULIZONAZO NA MAGONJWA TUNAYOTIBU1️⃣ACID POWDER Dawa ya kutibu ACID REFL...
14/07/2025

MAGONJWA SUGU NA TIBA ZAKE [ 0748 267 740 ]

DAWA TULIZONAZO NA MAGONJWA TUNAYOTIBU

1️⃣ACID POWDER
Dawa ya kutibu ACID REFLUX-GERD
●kifua kuwaka moto
●moyo kwenda mbio
●kuhisi kitu kukwama kooni
●kiungulia kikali
●kuhisi kuchanganyikiwa,kichwa kuvurugika na maumivu kwenye mabega

2️⃣PELVIC CARE
dawa ya PID NA UTI SUGU
●Kutokwa uchafu ukeni
●harufu mbaya na miwasho ukeni
●maumivu ya tumbo chini ya kitovu

3️⃣VTS
DAWA YA VIDONDA VYA TUMBO
●Tumbo kuwaka moto
●kukosa hamu ya kula
●tumbo kujaa ges
●kutapika na kuharisha

4️⃣HOS POWDER
DAWA YA HORMONAL IMBALANCE
●Kukosa hamu ya tendo
●uke kuwa mkavu
●kukosa hedhi baadhi ya miezi
●kukosa ute wa uzazi na kutokushika ujauzito

5️⃣HEMO POWDER & HEMO SOLUTION
DAWA YA BAWASIRI
●Kinyama sehemu ya haja kubwa
●muwasho sehemu ya haja kubwa pamoja na maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa

6️⃣CARDIO ➕️
Dawa ya presha na magonjwa ya moyo

7️⃣U POWDER
dawa ya uvimbe kwenye kizazi

8️⃣HERNIA POWDER
DAWA YA KUTIBU NGIRI (HERNIA ) AINA ZOTE

9️⃣ UZAZI NA CHANGO

1️⃣0️⃣ DETOX FORMULA
Dawa ya kupunguza uzito na mafuta mwilini

Mawasiliano
0748 267 740
Dar es salaam
Tandika
Mtaa wa ugweno

DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI[ 0748 267 740 ]____________________1.🧷kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubw...
28/06/2025

DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI
[ 0748 267 740 ]
____________________
1.🧷kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
2.🧷kujitokeza kwa kinyama/vinyama eneo la haja kubwa
3.🧷kupata kinyesi chenye damu
4.🧷kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
5.🧷 Kupata maumivu ya tumbo/kiuno

_MAMBO YANAYOWEZA KUSABABISHA MTU KUPATA BAWASIRI_

1.🧷 Uzito kupita kiasi(Overweight)
2.🧷 Ujauzito
3.🧷 Unywaji pombe
4.🧷 Kukaa sana sehemu ngumu
5.🧷 Kuingiliwa sehemu ya haja kubwa.
6.🧷Kujisaidia Choo Kigumu.Sababu za kujisaidia choo Kigumu ni:
-Vidonda vya TUMBO
-Ngiri/Hernia
-Ulaji duni
-Kuzid kwa Acid tumbon(Acid reflux)
7.🧷 Kula sana nyama nyekundu
8.🧷 Presha ya kupanda
9.🧷Kula sana pilipili
10.🧷 Kula udongo(Wajawazito na watoto wadogo)
11.🧷 Kujisaidia kwenye vyoo vya kukaa
12.🧷 Kuharisha kupita kiasi.
13.🧷 Kufanyakaz ngumu/kunyanyua vitu vizito

Karibu upate matibabu
0748 267 740
Dar es salaam Tandika
AJAM HERBAL CLINIC
---------------------------------------------

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AJAM herbal clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AJAM herbal clinic:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram