Afya ya uzazi kwa wanawake

Afya ya uzazi kwa wanawake Tunawasaidia wanawake katika matatizo yote yatokanayo na uzazi

Kwanini uke hutoa harufu mbaya馃槱鉁达笍Manii ya mwanaume anapomwagia ndani ya uke hubadilisha (vaginal PH) mazingira halisia n...
22/11/2022

Kwanini uke hutoa harufu mbaya馃槱

鉁达笍Manii ya mwanaume anapomwagia ndani ya uke hubadilisha (vaginal PH) mazingira halisia na salama ya uke(yale ambayo bakteria wazuri hukua, kutunzwa na kuzaliana n. K),

鉁达笍Sasa k**a uke wako hauna bakteria wale walinzi kwa wingi, anapomwagia tu ndani, *uke wako utashindwa kurudisha hali yake ya uhalisia(Normal vaginal PH) ndani ya muda mfupi matokeo yake hii husababisha harufu mbaya ambayo husababishwa na kuzaliana kwa bakteria wabaya kwa haraka(BV) kuliko wale wazuri na walinzi, maana mazingira halisi yamevurugwa na manii za mwanaume kwa mda ule.

鉁达笍Hali hii ikiendelea kwa muda mrefu,uke hukosa ulinzi kabisa maana utakua huna idadi ya kutosha ya bakteria wazuri,

鉁达笍Matokeo yake itakua *rahisi kwako kupata Kisamaki(Bacteria Vaginosis/BV), UTI mara kwa mara, Fungus hata PID n. K*

鉁达笍*Ndio maana tunashauri kuhakikisha unakula vizuri kila siku, KUNYWA MTINDI na kutumia viritubisholishe mara kwa mara kwa ajili ya kuimarisha kinga, kuhakikisha uke wako unaweza kujitetea wenyewe kupitia bakteria wake kwa changamoto ndogondogo k**a hizo,ili zisiliete madhara makubwa baada

饾惁饾惄饾悮饾惂饾悹饾悽饾惀饾悽饾惃 饾惉饾悮饾悺饾悽饾悺饾悽 饾惏饾悮 饾惎饾惒饾悮饾悿饾惍饾惀饾悮 饾惎饾惒饾悮饾悿饾惃 |饾悏饾悮饾惀饾悽 饾悺饾惃饾惁饾惃饾惂饾悽 饾惓饾悮饾悿饾惃 | 饾悾饾悮饾惀饾悽 饾惂饾悮饾悷饾悮饾惉饾悽 饾惒饾悮饾悿饾惃 饾惒饾悮 饾悿饾惍饾惉饾悺饾悽饾悿饾悮 饾惍饾悾饾悮饾惍饾惓饾悽饾惌饾惃 饾悿饾悽饾惈饾悮饾悺饾悽饾惉饾悽 | 饾悏饾悮饾惀饾悽 饾悁饾悷饾惒饾悮 饾惒饾悮饾悿饾惃 饾惒饾悮 ...
22/11/2022

饾惁饾惄饾悮饾惂饾悹饾悽饾惀饾悽饾惃 饾惉饾悮饾悺饾悽饾悺饾悽 饾惏饾悮 饾惎饾惒饾悮饾悿饾惍饾惀饾悮 饾惎饾惒饾悮饾悿饾惃 |饾悏饾悮饾惀饾悽 饾悺饾惃饾惁饾惃饾惂饾悽 饾惓饾悮饾悿饾惃 | 饾悾饾悮饾惀饾悽 饾惂饾悮饾悷饾悮饾惉饾悽 饾惒饾悮饾悿饾惃 饾惒饾悮 饾悿饾惍饾惉饾悺饾悽饾悿饾悮 饾惍饾悾饾悮饾惍饾惓饾悽饾惌饾惃 饾悿饾悽饾惈饾悮饾悺饾悽饾惉饾悽 | 饾悏饾悮饾惀饾悽 饾悁饾悷饾惒饾悮 饾惒饾悮饾悿饾惃 饾惒饾悮 饾惍饾惓饾悮饾惓饾悽.

ZIFAHAMU FAIDA HIZI HAPA ZA MPERA.Mapera ni matunda ya msimu yenye wingi wa vitamini A na C, madini ya potasiam, nyuzi n...
12/11/2022

ZIFAHAMU FAIDA HIZI HAPA ZA MPERA.

Mapera ni matunda ya msimu yenye wingi wa vitamini A na C, madini ya potasiam, nyuzi nyuzi nzuri yani fiber na 'lycopene' vyote hivi ni muhimu kwa afya.

Watu wengi hutumia tunda tu pasipokujua si tunda pekee lenye manufaa kwa afya zao. Majani ya mpera ni mazuri sana kwa ajili ya kisukari,ngozi, nywele na afya yako kwa ujumla.

鉁达笍FAIDA ZA KUTUMIA MAJANI YA MPERA KWA AJILI YA AFYA YAKO.
馃憠Chai ya majani ya mpera inasaidia mwili kuwa stadi, inasaidia madini ya carbohydrates yasigeuzwe kuwa sukari ndani ya mwili hivyo kupunguza hamu ya kula.

馃憠Chai ya majani ya mpera pia inashusha kiwango cha sukari mwilini na kuzuia mwili kuondoa 'insulin'. Kwa sababu hii wagonjwa wa sukari wanashauriwa kuitumia mara kwa mara.
馃憠Chai ya majani ya mpera pia hupunguza lehemu mbaya(bad cholestrol) bila kudhuru lehemu nzuri.
馃憠Chai hii ina nguvu za kudhibiti vijidudu vya magonjwa mwilini hasa kuzuia magonjwa ya kuharisha na kipindupindu.
馃憠Chai hii inalinda mchafuko wa tumbo na pia inasaidia kukabili madhara yaletwayo na chakula chenye sumu.
馃憠Chai hii hutibu kukohoa na kupumua kwa tabu.
馃憠Upatapo uvimbe wa fizi na maumivu mdomoni k**a jino kuuma, tafuna majani ya mpera.
馃憠Kwa matatizo ya homa ya dengue, chemsha glasi mbili na nusu na majani ya mpera (kadiria majani
馃憠 mpaka maji yabakie nusu ya ujazo wa awali.
馃憠Chai ya majani ya mpera imefahamika kutibu kansa na 'prostate' kwa wanaume.
馃憠Chai hii inasaidia kwa wanaume wenye tatizo la kuzalisha (Infertility).
馃憠Ponda majani ya mpera na kuweka sehemu ya kidonda au iliyokatika kuondoa maambukizi. Kwa maumivu nje ya sikio tumia chai ya majani ya mpera. Tia matone ya chai hii iliyopoa kwenye sehemu iliyoathirika.
馃憠Majani ya mpera hupondwa na kupakwa eneo lenye muwasho uletwao na allergy.
馃憠.Unapoumwa na wadudu majani yaliyopondwa ni tiba sahihi.

*HEDHI UNATAKIWA UONE KILA MWEZI* Isipokua kwa wale mnaotumia njia za uzazi wa mpango, 鉁达笍Usione kawaida kutoona hedhi nd...
10/11/2022

*HEDHI UNATAKIWA UONE KILA MWEZI* Isipokua kwa wale mnaotumia njia za uzazi wa mpango,

鉁达笍Usione kawaida kutoona hedhi ndani ya mwezi husika, ama hedhi kurukaruka,hedhi ya mabonge, yenye harufu kali am damu nyeusi n. K *SIO SALAMA* na unalea changamoto kubwa zaidi, anza kutumia *package yetu ya uzazi uondokane na changamoto hizo* bila madhara yoyote ya baadae, cha zaidi itaboost uzazi wako na kukuweka katika nafasi nzuri zaidi pindi utakapoamua kubeba ujauzito.

*NAKUFAHAMISHA*
鉁达笍 Kwa *mnaotumia uzazi wa mpango* hayo ni madhara ambayo huja na matumizi ya madawa hayo,*madhara hayo huondoka yenyewe ama kua tatizo la moja kwa moja* baada ya kuacha kutumia.

鉁达笍 *DHIBITI MAAMBUKIZI YA CANDIDA*Candida ni nini?? 馃憠馃従 Ni aina ya fangasi ambao kikawaida huishi katika mdomo, koo, tumb...
10/11/2022

鉁达笍 *DHIBITI MAAMBUKIZI YA CANDIDA*
Candida ni nini??
馃憠馃従 Ni aina ya fangasi ambao kikawaida huishi katika mdomo, koo, tumbo na ukeni, bila madhara yoyote, lakini idadi yao inahitajika kwa kiasi tu, *wanapozaliana au kuwepo kuzidi kiasi basi hapo ndipo unapata maambukizi ya fangasi*, aidha ukeni, katika damu, figo, moyo hata ubongo

鉁达笍 Fangasi hawa aina ya candida wanapozidi kiasi hasa ukeni(candidiasis) wanavuruga kabisa ute wako wa uzazi

馃憠Hukusababishia kua na *ute unaonata mda wote* katika siku zote za mzunguko wako, ute huu unaweza kua umeambatana na miwasho, kuchoma au na harufu.

馃憠 Ute huu unaonata, hua na kiwango kikubwa cha asidi, ambacho husababisha *mbegu ya mwanaume kutoogelea kabisa na hata kufa njiani kabla haijafikia yai la mwanamke* hivyo mimba kutotungwa.

馃憠 Wakati mwingi unaweza kukuta una idadi kubwa ya hawa fangasi, bila dalili yoyote k**a mwasho au harufu, ila wameathiri ute wa uzazi hauoni hasa k**a Ulishawahi kua na maambukizi kabla,vipimo husaidia kukupa majibu ya uhakika.

*FAIDA ZA MAZIWA YA MTINDI KWA MWANAMKE!*馃攩Maziwa ya mtindi yamesheheni bakteria wazuri wanaitwa *'LACTOBACILLUS'*,  amba...
08/11/2022

*FAIDA ZA MAZIWA YA MTINDI KWA MWANAMKE!*
馃攩Maziwa ya mtindi yamesheheni bakteria wazuri wanaitwa *'LACTOBACILLUS'*, ambao ndo bakteria wa jamii hii hii walioko katika uke na wanaolinda uke wako *dhidi ya maambukizi k**a fangasi, uti, BV, PID nk.*
馃敽Hapa inamaanisha yatakulinda na
馃憠Shombo za ukeni
馃憠Miwasho ukeni
馃憠Pia yanaongeza ute
馃憠Kukinga na UTI za mara kwa mara, BV, fungus, PID n. K

馃攩Mwanamke ambaye upo kwenye ndoa au mapenzi ya muda mrefu, *mwili wako mnatumia wawili sasa kwa hiyo ni rahisi sana kupata Maambukizi kwa namna moja au nyingine hasa usipojilinda na kujikinga,* kwa hiyo jifunze mbinu mbalimbali za kuongeza kinga yako ya mwili na moja wapo ni k**a kua na *desturi ya kunywa maziwa ya mtindi*

馃攩Kwa mama mjamzito kuna utafiti umefanywa kuwa mama mjamzito anayekunywa maziwa ya mtindi *hupunguza kwa asilimia kubwa uwezekano wa mtoto kuzaliwa na tatizo la eczema(pumu ya ngozi)* .

鈿狅笍Faida ya ziada ni kwamba mtindi huongeza kabila ya bakteria wazuri katika matumbo pia, hivyo *husaidia katika swala zima la umeng'enywaji wa chakula na kukukinga wewe na tatizo la choo kigumu na bawasiri(hemorrhoids)*, tatizo ambalo linasumbua wengi kwa sasa

*NOTE: 馃摑*
*K**A TAYARI UNA TATIZO LITIBU KWANZA HUKU UKIENDELEA NA DESTURI YA KUTUMIA MAZIWA YA MTINDI KWA AJILI YA KUJIKINGA MAAMBUKIZI/TATIZO LISIJIRUDIE TENA*
鈿狅笍ili uweze kuvuna faida hizi za kunywa mtindi, lazima ujijengee *desturi* ya kunywa mara kwa mara sio siku chache au mwezi mmoja!

Habari za mchana wapendwaa*MLO WA MCHANA*馃憜馃徑馃憜馃徑鉁达笍 *Punguza ulaji wa vyakula vya wanga, hasa wanga zilizokobolewa(refined c...
31/10/2022

Habari za mchana wapendwaa

*MLO WA MCHANA*馃憜馃徑馃憜馃徑

鉁达笍 *Punguza ulaji wa vyakula vya wanga, hasa wanga zilizokobolewa(refined carbs) , vyakula vya kukaanga hasa katika mafuta dhaifu & sukari*, k**a Ugali sembe,tambi, chipsi, mihogo ya kukaanga n. K

鉁达笍*Kula wanga/nafaka kamili,* k**a dona, ndizi/mihogo ya kuchemsha, wali, n. K kwa kiasi, protini kiasi na mbogamboga na matunda kwa wingi.

Mwanaume zingatia Mambo hayo ili kuweka afya yako nzurii zaidi Kupata ushauri zaidi wasiliana nami 0628254648
30/10/2022

Mwanaume zingatia Mambo hayo ili kuweka afya yako nzurii zaidi
Kupata ushauri zaidi wasiliana nami 0628254648

Habari za Jumapili wapendwa, mko poa? Naamini Jumapili yako inaenda Kwa Amani na Furaha kwako na Familia yako. *Nakukumb...
30/10/2022

Habari za Jumapili wapendwa, mko poa? Naamini Jumapili yako inaenda Kwa Amani na Furaha kwako na Familia yako.

*Nakukumbusha tu,Kama umekua ukihangaika na changamoto za uzazi kwa mda hata kukuzuia kushika ujauzito kwa mda mrefu sasa, Siri iko katika kutojikatia tamaa, Baraka yako iko njiani, fanya nafasi yako,amini Mungu peke yake,

*MPANGILIO WA VYAKULA ANAVYOTAKIWA KULA MGONJWA WA KISUKARI**ASUBUHI*-*Supu ya kuku *-*Supu ya samaki*-*Supu ya maharage...
24/10/2022

*MPANGILIO WA VYAKULA ANAVYOTAKIWA KULA MGONJWA WA KISUKARI*

*ASUBUHI*
-*Supu ya kuku *
-*Supu ya samaki*
-*Supu ya maharage*
-*Maboga ,Viazi vitamu,Magimbi na mihogo*na hivi vitafunywa tumia vilivyochemshwa na chumvi tu,na unaweza ukanywa na chai ambayo umeitengeneza kwa kutumia majani ya mchai chai ukaunga Asali mbichi ,Au ukachemsha Tangawizi ukaunga Asali mbichi ikawa ni chai yako.
*-Ndizi za kuchemsha na chumvi .*

*MCHANA*
-Kula Ugali(Dona) au wali kiwango ni size ngumi yako tu ,Kande pia ukila ni nzuri kwa mgonjwa wa kisukari.
-Kula *mboga za majani* za aina yeyote zinazopatikana maeneo unayoishi.(jitahidi upate mboga za aina 3 mpaka 4),(Bamia ni nzuri kwa wagonjwa wa kisukari kwa maana husaidia kumeng'enya sukari mwilini).

-*Vyakula vya protein* ni maharage,Njegere ,Kunde ,Nyama ya kuku ,Samaki ,mayai ya kienyeji (Hakikisha vyakula hivi vya protein usiunge mafuta au weka mafuta kwa kiwango kidogo sana)

-*Matunda* tumia Matango,Matikiti(kwa kiwango kidogo),Ndizi mbivu(kwa kiwango kidogo),Mapapai,Machungwa (tumia kwa kiwango kidogo) ,staferi ,Nanasi(Tumia kwa kiwango kidogo),Parachichi,Strawberry,Zabibu,Embe(Tumia kwa kiwango kidogo na Apple.

*USIKU*
-Matunda na mboga mboga kwa wingi .
-Supu ya samaki.
-Ndizi za kuchemsha.
-Kande

*VYAKULA NYONGEZA*
-Kwako mwanaume hakikisha kila siku unakula vyakula vifuatavyo,karanga mbichi,korosho,Mbegu za maboga,Tende,Mihogo mibichi na N**i mbichi.

*NB*:*Kama unakula wali au ugali hakikisha sahani yako ya chakula inagawanyika katika pande kuu tatu* ,*Robo ndio iwe ugali au wali ,Robo nyingine iwe ya vyakula vya protein k**a samaki au nyama ya kuku au mayai ya kienyeji,***Then Nusu nzima inayobaki iwe ya Mboga mboga na matunda.

Kuna package nzurii kwa ajili ya watoto Hali afya ya mtoto wako Wasiliana nami kuptia namba0628254648
20/10/2022

Kuna package nzurii kwa ajili ya watoto Hali afya ya mtoto wako
Wasiliana nami kuptia namba
0628254648

Usitumie kahawa za kawaida tumia kahawa lishe nzriii馃敽Inasukari yake hauhitaji kuweka sukari馃敽Inaondoa gesi tumboni馃敽 Inati...
20/10/2022

Usitumie kahawa za kawaida tumia kahawa lishe nzriii
馃敽Inasukari yake hauhitaji kuweka sukari
馃敽Inaondoa gesi tumboni
馃敽 Inatibu madonda tumbo
馃敽Hutibu UTI sugu
馃敽Huwezesha kuweka mpangilio mzuriii wa hedhi
馃敽Hukinga na kutibu kansa za Aina zote
馃敽Inaondoa Uchovu wa kila siku
馃敽 Inasaidia kurudisha hamu ya tendo la ndoa
馃敽Inaondoa sumu mwilini n.k

Address

Victoria
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ya uzazi kwa wanawake posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya ya uzazi kwa wanawake:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram