Mira Wellness Tz

Mira Wellness Tz Karibu upate ushauri wa kiafya na tiba ya magonjwa yasiyo ya kuambukizwa kwa mifumo yote ya mwili.

TANGAZO TANGAZO TANGAZO Kampuni Yetu imefungua Tawi Jipya - Dar-es-Salaam TanzaniaTuna upungufu wa watu (Wafanyakazi) wa...
03/12/2025

TANGAZO TANGAZO TANGAZO

Kampuni Yetu imefungua Tawi Jipya - Dar-es-Salaam Tanzania

Tuna upungufu wa watu (Wafanyakazi) wa kufanya MASOKO na MAUZO bila kujali kigezo cha umri.

Yawezekana wewe ni kijana uliyemaliza chuo, mama lishe, baba lishe, bodaboda, au huna kazi yoyote rasmi unayofanya lakini pia yawezekana ukawa umeajiriwa na bado huoni matokeo yoyote pamoja na jitihada kubwa unazofanya, pengine hata kipato chako wewe uliyejiajiri au kuajiriwa bado hakikidhi gharama za maisha, Karibu ofisini kwetu au tuwasiliane kwa whasap:
0713 622 699
tutakusaidia na kwa kipindi kifupi utarudisha furaha yako ya kweli kwa kutumia muda wako wa ziada au full-time wa kufanyakazi itategemea na Mazingira yako mwenyewe.

Upatapo ujumbe huu mjulishe na mwingine
Nyote mnakaribishwa

03/12/2025

๐ŸŒฟ CHAI ASILIA YA KUSAFISHA INI ๐ŸŒฟ
Unajisikia mzito, mchovu, au ngozi yako haing'ai?
Inawezekana ini lako limechoka na linahitaji kusafishwa.

๐Ÿฅ„ Tumia chai yetu ya detox ya ini โ€”
โœ” 100% Asili
โœ” Harufu nzuri ya kutuliza
โœ” Husaidia kuondoa sumu mwilini
โœ” Kuboresha mmeng'enyo wa chakula
โœ” Kuongeza nguvu na ngozi kung'aa

๐Ÿต Kunywa kikombe kimoja kila siku na uanze kujisikia tofauti ndani ya siku chache!

๐Ÿ“ž Wasiliana nasi leo upate chai yako:

0713 622 699

๐Ÿ“ Mira Wellness Tz
"Ishi Maisha Bora na yenye Afya"

ya ini

๐Ÿšญ ONYO KALI JUU YA MATUMIZI YA TUMBAKUTumbaku ni miongoni mwa vitu vinavyoharibu afya kimya kimya lakini kwa nguvu kubwa...
30/11/2025

๐Ÿšญ ONYO KALI JUU YA MATUMIZI YA TUMBAKU

Tumbaku ni miongoni mwa vitu vinavyoharibu afya kimya kimya lakini kwa nguvu kubwa. Watu wengi hutumia sigara, tumbaku ya kunusa, au bidhaa zingine bila kutambua madhara makubwa zinayosababisha mwilini.

๐Ÿ”ด ATHARI ZA MATUMIZI YA TUMBAKU

1. Magonjwa ya Mapafu โ€“ Tumbaku huharibu mapafu hatua kwa hatua na kusababisha kikohozi cha muda mrefu, ugonjwa sugu wa mapafu (COPD), na hatimaye saratani ya mapafu.

2. Moyo na Mishipa ya Damu โ€“ Kemikali kwenye tumbaku husababisha shinikizo la damu, mishipa kuziba, na hatari kubwa ya kupata heart attack au kiharusi.

3. Mdomo na Pua โ€“ Huchafua meno, kusababisha harufu mbaya ya mdomo, saratani ya koo na mdomo, pamoja na kupoteza ladha na harufu.

4. Nguvu za Kiume โ€“ Tumbaku huharibu mzunguko wa damu na kupunguza nguvu za kiume (ED), pamoja na kupunguza ubora wa mbegu za kiume na mayai ya k**e.

5. Ngozi na Uso โ€“ Huchangia uzee wa mapema, mikunjo ya ngozi, na mwonekano wa uchovu kwa sababu ya sumu zinazoharibu seli.

6. Uharibifu kwa Familia โ€“ Wavutaji wa moshi wa tumbaku huwaweka wapendwa wao kwenye hatari ya magonjwa kwa njia ya second-hand smoke.

โš ๏ธ Takwimu za WHO zinaonyesha zaidi ya milioni 8 hufariki kila mwaka duniani kutokana na matumizi ya tumbaku moja kwa moja au kwa kuvuta moshi wa wengine.

โœ… SULUHU NI KUACHANA NA TUMBAKU

Kuacha kutumia tumbaku kunaboresha afya kwa haraka:

Baada ya saa 24 tu โ€“ kiwango cha sumu ya carbon monoxide mwilini hupungua.

Baada ya miezi kadhaa โ€“ mapafu huanza kujisafisha na uwezo wa kupumua huboreka.

Baada ya mwaka 1 โ€“ hatari ya kupata magonjwa ya moyo hupungua kwa kiwango kikubwa.

๐ŸŒฟ MIRA WELLNESS TZ โ€“ KWA AFYA YAKO

Tunatambua changamoto ya kuachana na matumizi ya tumbaku na madhara yake mwilini.
๐Ÿ‘‰ MiraWellnessTz tunakuhudumia kwa virutubisho vya asili visivyo na kemikali vinavyosaidia:

Kusafisha sumu mwilini (detox ya mapafu na ini)

Kuimarisha kinga ya mwili

Kurejesha nguvu na uhai

Kupunguza msongo wa mawazo na utegemezi wa tumbaku

๐ŸŒธ Afya yako ni hazina yako. Chukua hatua leo โ€“ acha tumbaku, linda mwili wako.

๐Ÿ“ž Wasiliana nasi: 0713 622 699
๐Ÿ“ MiraWellnessTz โ€“ Huduma za Asili kwa Afya Bora

๐Ÿฉบ TEZI DUME INATIBIKA โ€“ USINGOJE SARATANI!Tezi dume ni kiungo kidogo katika mfumo wa uzazi wa mwanaume, lakini madhara y...
30/11/2025

๐Ÿฉบ TEZI DUME INATIBIKA โ€“ USINGOJE SARATANI!

Tezi dume ni kiungo kidogo katika mfumo wa uzazi wa mwanaume, lakini madhara yake huweza kuwa makubwa endapo haitagunduliwa na kutibiwa mapema. Mara nyingi wanaume huipuuzia hadi dalili zinapozidi kuwa mbayaโ€”wakisubiri hadi tatizo liwe kubwa au kuwa saratani. Hili ni kosa kubwa!

๐Ÿ“ Dalili za matatizo ya tezi dume:

Kukojoa mara kwa mara hasa usiku

Kukojoa kwa shida au kwa maumivu

Mkojo kutoka kwa nguvu ndogo au kwa matone

Maumivu ya mgongo, kiuno au nyonga

Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa

โš ๏ธ Umuhimu wa Kuwahi Matibabu:

Matibabu ya mapema huokoa maisha na huzuia tezi dume kubadilika kuwa saratani, ambayo ni hatari na gharama kubwa kuitibu. Wanaume wengi wakifika hatua ya saratani, huwa wamechelewa sana kupata nafuu.

๐Ÿ›‘ Madhara ya kuchelewa:

Kuishi kwa mashine ya kusaidia mkojo

Kupoteza nguvu za kiume

Maumivu makali ya mifupa

Matibabu ya mionzi au upasuaji mgumu

Hatari ya kifo kutokana na saratani

๐ŸŒฟ Habari njema kutoka Mira Wellness TZ!

Tunatoa ushauri na matibabu ya asili kwa tezi dume bila upasuaji wala kemikali hatarishi. Tiba zetu:

Hazina madhara na ni salama

Zinasaidia kuondoa maumivu na kurejesha afya ya uzazi

Zimefanyiwa majaribio na kusaidia wanaume wengi nchini

๐Ÿ“ž Wasiliana Nasi Leo kwa Ushauri na Tiba Salama

๐Ÿ“ฒ Simu/WhatsApp: 0713 622 699
๐Ÿ“ Mira Wellness TZ โ€“ Ishi Maisha Bora na yenye Afya

Unapowahi kutibu, unajiokoa!
Tuchukulie hatua kabla haijawa saratani.

UKIJIONA una dalili hizi saba(7) na ukazipuuzia, itafika siku utaanza kuwa na changamoto ambayo itaanza kukupotezea kati...
30/11/2025

UKIJIONA una dalili hizi saba(7) na ukazipuuzia, itafika siku utaanza kuwa na changamoto ambayo itaanza kukupotezea kati ya laki (3) hadi milioni (1) kwa wiki, na itafika kipindi utatumia hadi kati ya milioni tano (5) mpaka milioni (15) ili kuokoa maisha yako

Hapa naongelea changamoto ya Homa ya Ini(Hepatitis B na C) hivyo kuwa makini kuangalia dalili hizi k**a unazo:-

-Maumivu ya tumbo na viungo
-Kuvimba tumbo na miguu
-Kupungua uzito kwa haraka
-Kupata choo nyeupe
-Kupata manjano kwenye macho na kucha
-Mkojo kuwa na rangi ya kahawia na
-Ngozi kukosa nuru

Sababu kubwa ni:-

-Mtindo wa maisha
-Sababu za kijenetic
-Mazingira
-Matumizi ya madawa na
-Maambukizi ya muda mrefu

Ili kuepuka gharama kubwa kupitia program yetu tumekuandalia matibabu pamoja na ushauri

Tunapatikana Dsm au tupigie kwa namba 0713 622 699 hili pia unaweza kuwasiliana nasi kwa WhatsApp kwa namba hizo pi

MWANAMKE FUTA MACHOZIโ–  Wewe siyo mgumbaโ–  Unabeba mimbaโ–  Utanyonyesha mtoto k**a wanavyonyonyesha wengine     Unataka kum...
30/11/2025

MWANAMKE FUTA MACHOZI
โ–  Wewe siyo mgumba
โ–  Unabeba mimba
โ–  Utanyonyesha mtoto k**a wanavyonyonyesha wengine
Unataka kumaliza UTI sugu, PID sugu, Fangasi sugu, Vimbe tumboni na Kuzibua mirija ya uzazi, hujachelewa kwani tumedhamilia kurudisha furaha yako.
Tiba zetu bora na salama na tumelenga maeneo makuu yafuatayo
โ— Kusafisha mwili
โ— Kulisha seli mwilini
-- kwa magonjwa yasiyoambukiza chanzo chake ni seli, k**a seli hazipati chakula maana yake zinakufa
โ— kujenga tishu
โ— kuunganisha mifumo
--- hapa tunahakikisha katika mifumo yote ya mwili inafanyakazi na kurudi katika utekerezaji wa majukumu yake, hivyo kurudia hali yako ya kawaida
na mwenye afya njema
WASILIANA NASI KUPITIA NAMBA:
0713 622 699 kupata huduma bora na salama

๐Ÿฉบ TEZI DUME INATIBIKA โ€“ USINGOJE SARATANI!Tezi dume ni kiungo kidogo katika mfumo wa uzazi wa mwanaume, lakini madhara y...
30/11/2025

๐Ÿฉบ TEZI DUME INATIBIKA โ€“ USINGOJE SARATANI!

Tezi dume ni kiungo kidogo katika mfumo wa uzazi wa mwanaume, lakini madhara yake huweza kuwa makubwa endapo haitagunduliwa na kutibiwa mapema. Mara nyingi wanaume huipuuzia hadi dalili zinapozidi kuwa mbayaโ€”wakisubiri hadi tatizo liwe kubwa au kuwa saratani. Hili ni kosa kubwa!

๐Ÿ“ Dalili za matatizo ya tezi dume:

Kukojoa mara kwa mara hasa usiku

Kukojoa kwa shida au kwa maumivu

Mkojo kutoka kwa nguvu ndogo au kwa matone

Maumivu ya mgongo, kiuno au nyonga

Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa

โš ๏ธ Umuhimu wa Kuwahi Matibabu:

Matibabu ya mapema huokoa maisha na huzuia tezi dume kubadilika kuwa saratani, ambayo ni hatari na gharama kubwa kuitibu. Wanaume wengi wakifika hatua ya saratani, huwa wamechelewa sana kupata nafuu.

๐Ÿ›‘ Madhara ya kuchelewa:

Kuishi kwa mashine ya kusaidia mkojo

Kupoteza nguvu za kiume

Maumivu makali ya mifupa

Matibabu ya mionzi au upasuaji mgumu

Hatari ya kifo kutokana na saratani

๐ŸŒฟ Habari njema kutoka Mira Wellness TZ!

Tunatoa ushauri na matibabu ya asili kwa tezi dume bila upasuaji wala kemikali hatarishi. Tiba zetu:

Hazina madhara na ni salama

Zinasaidia kuondoa maumivu na kurejesha afya ya uzazi

Zimefanyiwa majaribio na kusaidia wanaume wengi nchini

๐Ÿ“ž Wasiliana Nasi Leo kwa Ushauri na Tiba Salama

๐Ÿ“ฒ Simu/WhatsApp: 0713 622 699
๐Ÿ“ Mira Wellness TZ โ€“ Ishi Maisha Bora na yenye Afya

Unapowahi kutibu, unajiokoa!
Tuchukulie hatua kabla haijawa saratani.

PATA SULUHISHO LA KISUKARI KWA NJIA ASILIAUnaishi na Kisukari? Usikate tamaa!Katika Mira Wellness Tz, tunatoa huduma maa...
30/11/2025

PATA SULUHISHO LA KISUKARI KWA NJIA ASILIA

Unaishi na Kisukari? Usikate tamaa!
Katika Mira Wellness Tz, tunatoa huduma maalum zinazolenga mizizi ya tatizo:

โœ… Tiba ya kusaidia Kongosho kuzalisha Insulin kwa ufanisi
โœ… Kuboresha viwango vya NAD+ kwa uimara wa seli na nishati
โœ… Kuondoa mafuta mabaya (Cholesterol) yanayoathiri mwili kwa ujumla
โœ… Mwongozo wa lishe sahihi kwa maisha yenye afya na usawa wa sukari

๐ŸŒฟ Huduma zetu hutumia mimea, matunda, na virutubisho vya asili visivyo na madhara.
๐Ÿ“ž Wasiliana nasi sasa kwa ushauri na tiba:
0713 622 699
๐Ÿ“ Mira Wellness Tz โ€” โ€œIshi Maisha Bora na yenye Afyaโ€

๐๐€๐“๐€ ๐’๐”๐‹๐”๐‡๐ˆ๐’๐‡๐Ž ๐‹๐€ ๐Š๐”๐ƒ๐”๐Œ๐” ๐‹๐€ ๐‡๐Ž๐Œ๐€ ๐˜๐€ ๐ˆ๐๐ˆ " ๐‡๐„๐๐€๐“๐ˆ๐“๐ˆ๐’ ๐".                      ๐ฆ๐š๐ญ๐ข๐›๐š๐›๐ฎ ๐ง๐ข ๐ฌ๐ข๐ค๐ฎ ๐ญ๐ข๐ฌ๐ข๐ง๐ข ( ๐Ÿ—๐ŸŽ ).     Imekuwa...
29/11/2025

๐๐€๐“๐€ ๐’๐”๐‹๐”๐‡๐ˆ๐’๐‡๐Ž ๐‹๐€ ๐Š๐”๐ƒ๐”๐Œ๐” ๐‹๐€ ๐‡๐Ž๐Œ๐€ ๐˜๐€ ๐ˆ๐๐ˆ " ๐‡๐„๐๐€๐“๐ˆ๐“๐ˆ๐’ ๐".
๐ฆ๐š๐ญ๐ข๐›๐š๐›๐ฎ ๐ง๐ข ๐ฌ๐ข๐ค๐ฎ ๐ญ๐ข๐ฌ๐ข๐ง๐ข ( ๐Ÿ—๐ŸŽ ).
Imekuwa ni kawaida kwa wagonjwa wengi wa Homa ya ini kutokuonesha dalili zozote hasa kipindi cha miezi sita ya awali ( Acute stage ).

Hii ni kwa sababu virusi wanapoingia mwilini huchukua muda kidogo kabla ya kuanza kulishambulia Ini. Sababu hii ndiyo hupelekea watu kuamini kwamba ugonjwa huu ni wa kawaida na unaweza kuondoka wenyewe pasipo kutumia dawa.

Mara nyingi miezi sita ya awali KINGA ya mwili hua inajaribu kupambana na virusi hawa ili kuona k**a inaweza kuviondoa mwilini . Kwa bahati mbaya virusi sio k**a bacteria hivyo ni vigumu sana kuondoka pasipo msaada wa dawa sahihi .

Mtu anapokuwa na virusi vya Homa ya Ini ( HBV ) kwa miezi sita au zaidi tayari ugonjwa unakuwa SUGU ( Chronic ) na dalili k**a maumivu ya tumbo upande wa juu kulia , maumivu ya viungo , uchovu , homa za mara kwa mara , miwasho , kukosa hamu ya kula , kichefuchefu na kutapika hujitokeza.

Dalili hatarishi zaidi ni k**a tumbo kujaa maji, rangi ya njano machoni na hata mwili mzima pamoja na mkojo wenye rangi nyeusi. Viashiria hivi hujitokeza zaidi katika hatua ya tatu ya huaribifu wa Ini ( Liver cirrhosis ).

Ukweli ni kwamba Homa ya Ini ni Ugonjwa hatari sana. Mtu mwenye Homa ya Ini ana wastani mdogo wa kuishi kuliko mwenye HIV/AIDS ( UKIMWI ), hii ni kwa sababu HEPATITIS B huathiri zaidi INI ambalo ni kiungo muhimu sana mwilini.

Baadhi ya majukumu ya INI ni pamoja na kuzalisha nyongo ambayo hutumika kwenye mmeng`enyo wa chakula, Ini ndilo huzalisha seli nyekundu za damu pamoja na Vitamini K ambayo husaidia kugandisha damu pale mtu anapopata jeraha. Ini ndilo huifadhi madini, nishati na vitamini mbalimbali ambazo humsaidia mtu pale ambapo hajapata chakula kwa siku kadhaa.

Lakini pia Ini ndilo huchuja sumu zote kutoka kwenye vyakula / madawa na vinywaji mbalimbali kabla hazijaingia kwenye mzunguko wa damu .

KNOWLEDGE IS POWER , Watu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
K**a wewe ni miongoni ama una ndugu mwenye changamoto hii, ujumbe huu ni muhimu sana kwako.

Karibu kupata suluhisho la kudumu la Homa ya Ini ili kuepuka kupata saratani ya Ini ( Liver cancer ).

Homa ya ini HEPATITIS B INATIBIKA IKIGUNDULIKA NA KUTIBIWA MAPEMA.

Kupata ushauri na matibabu wasiliana nasi kwa kupiga / what`s app

0713 622 699

29/11/2025

๐ŸŽฏ JE, WEWE NI MWANAUME MWENYE UMRI WA MIAKA 50 AU ZAIDI?

Huu ni umri ambapo afya yako huanza kukabiliwa na changamoto mbalimbali, hasa kuhusiana na tezi dume. Wanaume wengi huanza kuona dalili k**a:
โœ… Kupata shida wakati wa kukojoa
โœ… Kukojoa mara kwa mara usiku
โœ… Maumivu ya nyonga au mgongo wa chini

Zikipuuzwa, dalili hizi huweza kusababisha uvimbe wa tezi dume, na kwa baadhi ya wanaume, hata kufikia hatua ya saratani ya tezi dume. Hatua ya mwisho mara nyingi huwa ni upasuaji, ambao usalama wake si asilimia 100

Lakini usiwe na hofu!
Tuna suluhisho rahisi, salama na la asili kwa kutumia teknolojia ya mimea, matunda, na mizizi. Njia hii haina madhara na imewasaidia wanaume wengi kurudisha afya yao na kuzuia matatizo makubwa kabla hayajatokea.

๐Ÿ‘‰ Usisubiri hadi iwe too late!
Piga simu sasa kupitia namba hii:
0713 622 699
Tupo tayari kukuhudumia haraka!

๐ŸŒฟ Mira Wellness Tz โ€“ Live your best life

!

๐๐€๐“๐€ ๐’๐”๐‹๐”๐‡๐ˆ๐’๐‡๐Ž ๐‹๐€ ๐Š๐”๐ƒ๐”๐Œ๐” ๐‹๐€ ๐‡๐Ž๐Œ๐€ ๐˜๐€ ๐ˆ๐๐ˆ " ๐‡๐„๐๐€๐“๐ˆ๐“๐ˆ๐’ ๐".                      ๐ฆ๐š๐ญ๐ข๐›๐š๐›๐ฎ ๐ง๐ข ๐ฌ๐ข๐ค๐ฎ ๐ญ๐ข๐ฌ๐ข๐ง๐ข ( ๐Ÿ—๐ŸŽ ).     Imekuwa...
29/11/2025

๐๐€๐“๐€ ๐’๐”๐‹๐”๐‡๐ˆ๐’๐‡๐Ž ๐‹๐€ ๐Š๐”๐ƒ๐”๐Œ๐” ๐‹๐€ ๐‡๐Ž๐Œ๐€ ๐˜๐€ ๐ˆ๐๐ˆ " ๐‡๐„๐๐€๐“๐ˆ๐“๐ˆ๐’ ๐".
๐ฆ๐š๐ญ๐ข๐›๐š๐›๐ฎ ๐ง๐ข ๐ฌ๐ข๐ค๐ฎ ๐ญ๐ข๐ฌ๐ข๐ง๐ข ( ๐Ÿ—๐ŸŽ ).
Imekuwa ni kawaida kwa wagonjwa wengi wa Homa ya ini kutokuonesha dalili zozote hasa kipindi cha miezi sita ya awali ( Acute stage ).

Hii ni kwa sababu virusi wanapoingia mwilini huchukua muda kidogo kabla ya kuanza kulishambulia Ini. Sababu hii ndiyo hupelekea watu kuamini kwamba ugonjwa huu ni wa kawaida na unaweza kuondoka wenyewe pasipo kutumia dawa.

Mara nyingi miezi sita ya awali KINGA ya mwili hua inajaribu kupambana na virusi hawa ili kuona k**a inaweza kuviondoa mwilini . Kwa bahati mbaya virusi sio k**a bacteria hivyo ni vigumu sana kuondoka pasipo msaada wa dawa sahihi .

Mtu anapokuwa na virusi vya Homa ya Ini ( HBV ) kwa miezi sita au zaidi tayari ugonjwa unakuwa SUGU ( Chronic ) na dalili k**a maumivu ya tumbo upande wa juu kulia , maumivu ya viungo , uchovu , homa za mara kwa mara , miwasho , kukosa hamu ya kula , kichefuchefu na kutapika hujitokeza.

Dalili hatarishi zaidi ni k**a tumbo kujaa maji, rangi ya njano machoni na hata mwili mzima pamoja na mkojo wenye rangi nyeusi. Viashiria hivi hujitokeza zaidi katika hatua ya tatu ya huaribifu wa Ini ( Liver cirrhosis ).

Ukweli ni kwamba Homa ya Ini ni Ugonjwa hatari sana. Mtu mwenye Homa ya Ini ana wastani mdogo wa kuishi kuliko mwenye HIV/AIDS ( UKIMWI ), hii ni kwa sababu HEPATITIS B huathiri zaidi INI ambalo ni kiungo muhimu sana mwilini.

Baadhi ya majukumu ya INI ni pamoja na kuzalisha nyongo ambayo hutumika kwenye mmeng`enyo wa chakula, Ini ndilo huzalisha seli nyekundu za damu pamoja na Vitamini K ambayo husaidia kugandisha damu pale mtu anapopata jeraha. Ini ndilo huifadhi madini, nishati na vitamini mbalimbali ambazo humsaidia mtu pale ambapo hajapata chakula kwa siku kadhaa.

Lakini pia Ini ndilo huchuja sumu zote kutoka kwenye vyakula / madawa na vinywaji mbalimbali kabla hazijaingia kwenye mzunguko wa damu .

KNOWLEDGE IS POWER , Watu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
K**a wewe ni miongoni ama una ndugu mwenye changamoto hii, ujumbe huu ni muhimu sana kwako.

Karibu kupata suluhisho la kudumu la Homa ya Ini ili kuepuka kupata saratani ya Ini ( Liver cancer ).

Homa ya ini HEPATITIS B INATIBIKA IKIGUNDULIKA NA KUTIBIWA MAPEMA.

Kupata ushauri na matibabu wasiliana nasi kwa kupiga / what`s app
0713 622 699

29/11/2025

๐Ÿ”ด USIPUUZE DALILI ZA FIGO!
Figo zako ni injini muhimu mwilini โ€” zikiharibika, maisha hubadilika kabisa!

Dalili za mwanzo za matatizo ya figo huwa ni pamoja na:
โœ… Kuvimba miguu, uso au macho
โœ… Kukojoa mara nyingi sana au mara chache mno
โœ… Mkojo kuwa na harufu kali, kuwa na povu au damu
โœ… Uchovu wa mara kwa mara
โœ… Kichefuchefu, kupungua hamu ya kula
โœ… Maumivu ya kiuno upande wa nyuma (renal angle)

๐Ÿ”” USHAURI MUHIMU:
Usisubiri hali iwe mbaya! Ukiona dalili hizi, wahi kutafuta msaada wa kiafya. Matibabu ya awali yanaweza kuzuia uharibifu wa figo kabla haujaenea.

โš ๏ธ UFAHAMU KUHUSU DIALYSIS:

๐Ÿฉธ Dialysis SI tiba ya ugonjwa wa figo, bali ni msaada wa muda kwa figo zilizoshindwa kufanya kazi.
Inachosha mwili, ina athari nyingi k**a:
โ˜ ๏ธ Kupungua nguvu za mwili
โ˜ ๏ธ Maambukizi ya damu
โ˜ ๏ธ Gharama kubwa kila wiki
โ˜ ๏ธ Kunyimwa uhuru wa maisha ya kawaida
โ˜ ๏ธ Hatari ya kushuka kwa presha na matatizo ya moyo

Kwa nini kufika huko wakati bado unaweza kuzuia mapema?

๐ŸŒฟ MIRA WELLNESS TZ inakuletea tumaini jipya!
Tunatoa huduma bora kwa kutumia tiba asilia โ€“ mimea, miti tiba na matunda โ€“ zenye uwezo wa:
๐Ÿƒ Kusafisha figo
๐Ÿƒ Kuondoa sumu mwilini
๐Ÿƒ Kuimarisha mfumo wa mkojo
๐Ÿƒ Kurejesha nguvu na afya ya figo

Tiba hizi hazina madhara, hazikuumizi, na zinatibu kiini cha tatizo โ€“ si dalili tu.

๐Ÿ“ž Wahi sasa kwa ushauri au matibabu:
๐Ÿ“ Mira Wellness Tz
๐Ÿ“ฒ Piga/WhatsApp: 0713 622 699
๐Ÿฉบ "Ishi Maisha Bora na yenye Afya"

Address

Kimara Dar-es-Salaam
Dar Es Salaam
ยฑ255713622699

Telephone

+255622622699

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mira Wellness Tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Mira Wellness Tz:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram