30/11/2025
๐ญ ONYO KALI JUU YA MATUMIZI YA TUMBAKU
Tumbaku ni miongoni mwa vitu vinavyoharibu afya kimya kimya lakini kwa nguvu kubwa. Watu wengi hutumia sigara, tumbaku ya kunusa, au bidhaa zingine bila kutambua madhara makubwa zinayosababisha mwilini.
๐ด ATHARI ZA MATUMIZI YA TUMBAKU
1. Magonjwa ya Mapafu โ Tumbaku huharibu mapafu hatua kwa hatua na kusababisha kikohozi cha muda mrefu, ugonjwa sugu wa mapafu (COPD), na hatimaye saratani ya mapafu.
2. Moyo na Mishipa ya Damu โ Kemikali kwenye tumbaku husababisha shinikizo la damu, mishipa kuziba, na hatari kubwa ya kupata heart attack au kiharusi.
3. Mdomo na Pua โ Huchafua meno, kusababisha harufu mbaya ya mdomo, saratani ya koo na mdomo, pamoja na kupoteza ladha na harufu.
4. Nguvu za Kiume โ Tumbaku huharibu mzunguko wa damu na kupunguza nguvu za kiume (ED), pamoja na kupunguza ubora wa mbegu za kiume na mayai ya k**e.
5. Ngozi na Uso โ Huchangia uzee wa mapema, mikunjo ya ngozi, na mwonekano wa uchovu kwa sababu ya sumu zinazoharibu seli.
6. Uharibifu kwa Familia โ Wavutaji wa moshi wa tumbaku huwaweka wapendwa wao kwenye hatari ya magonjwa kwa njia ya second-hand smoke.
โ ๏ธ Takwimu za WHO zinaonyesha zaidi ya milioni 8 hufariki kila mwaka duniani kutokana na matumizi ya tumbaku moja kwa moja au kwa kuvuta moshi wa wengine.
โ
SULUHU NI KUACHANA NA TUMBAKU
Kuacha kutumia tumbaku kunaboresha afya kwa haraka:
Baada ya saa 24 tu โ kiwango cha sumu ya carbon monoxide mwilini hupungua.
Baada ya miezi kadhaa โ mapafu huanza kujisafisha na uwezo wa kupumua huboreka.
Baada ya mwaka 1 โ hatari ya kupata magonjwa ya moyo hupungua kwa kiwango kikubwa.
๐ฟ MIRA WELLNESS TZ โ KWA AFYA YAKO
Tunatambua changamoto ya kuachana na matumizi ya tumbaku na madhara yake mwilini.
๐ MiraWellnessTz tunakuhudumia kwa virutubisho vya asili visivyo na kemikali vinavyosaidia:
Kusafisha sumu mwilini (detox ya mapafu na ini)
Kuimarisha kinga ya mwili
Kurejesha nguvu na uhai
Kupunguza msongo wa mawazo na utegemezi wa tumbaku
๐ธ Afya yako ni hazina yako. Chukua hatua leo โ acha tumbaku, linda mwili wako.
๐ Wasiliana nasi: 0713 622 699
๐ MiraWellnessTz โ Huduma za Asili kwa Afya Bora