Dr BILL NA AFYA

Dr BILL NA AFYA DR. BILL
MEDICAL DOCTOR
ILALA
DAR ES SALAM
0745831146

DR BILL0765302070JE UNAPITIA CHANGAMOTO YA MIFUPA ???-maumivu makali kwenye magoti-magoti kushindwa kujikunja -kusikia m...
24/10/2022

DR BILL
0765302070

JE UNAPITIA CHANGAMOTO YA MIFUPA ???

-maumivu makali kwenye magoti
-magoti kushindwa kujikunja
-kusikia milio ya magoti kusagana
-kushindwa kuinama
-kusikia ganzi kwenye miguu
-mifupa kusagana
-maumivu kwenye maungio (joints)
-kiuno kuuma
-mgongo kuuma
-pingili za vidole kuvimba (gout)

SABABU KUU INAYO SABABISHA CHANGAMOTO HIZI NI K**A !

-Ajali
-Uzito ulipindukia
-kutumika kwa viungo kupitia kiasi mfano wanamichezo
-Historia ya familia
-Umri (30+)

JE UMEHANGAIKA KWA MUDA MREFU BILA SULUHU YA UHAKIKA ?

JE ULIFANYIWA UPASUAJI NA KUWEKEWA VYUMA ILA BADO MAUMIVU NI MAKALI SANA NA MIFUPA BADO INASAGANA ?

HUNA HAJA YA KUHANGAIKA TENA TUNAYO SULUHU YA VIRUTUBISHO AMBAVYO VITAONDOA KABISA CHANGAMOTO YAKO YA MUDA MREFU YA MIFUPA NA HAITOJIRUDIA TENA :

DR BILL0745831146Whatasp link yanguhttps://wa.me/message/MJWWOE2Q4XTPG1Mtu mwenye ugonjwa wa pressure anaweza kupata str...
01/10/2022

DR BILL
0745831146
Whatasp link yangu
https://wa.me/message/MJWWOE2Q4XTPG1

Mtu mwenye ugonjwa wa pressure anaweza kupata stroke, kukosa nguvu za kiume, upofu,matatizo ya figo ambayo huambatana na changamoto ya preasure

pressure inaweza kua ya kupanda au kushuka na madhara yake hayatofautiana katika mwili.

pressure huweza kusababishwa na sababu mbalimbali ikiwemo
-mawazo mwengi au stress
- kurithi
- kuvuta sigara kwa muda mrefu
-unene uliopitiliza
_kutofanya mazoezi

watu wengi hawafahamu tiba sahihi ya mgaonjwa haya . wengi wameishia kutumia dawa za hospitalin bila kupata suluhisho sahihi

Nimewasaidia wagonjwa wengi kuondokana na changamoto hii kwa kutumia virutubisho vivyofanya kazi katika ubora mkubwa

Wasiliana nami ofisi zangu zipo ilala boma dar es salam

Dr. BILLje unazijua dalili za PID kwa wanawake
19/09/2022

Dr. BILL
je unazijua dalili za PID
kwa wanawake

Dr.BILL0745831146Tiba Asili na Jinsi ya Kukabiliana na Tatizo la Baridi Yabisi.Kwa kutumia virutubisho ukiwa nyumbani.Ma...
19/09/2022

Dr.BILL
0745831146

Tiba Asili na Jinsi ya Kukabiliana na Tatizo la Baridi Yabisi.
Kwa kutumia virutubisho ukiwa nyumbani.
Mara nyingi madactari wanapogundua una baridi yabisi, watakwandikia vidonge ambavyo ni antiinfammatory na pain killers kwa ajili ya kupunguza mpambano na maumivu kwa muda mfupi. Tatizo la tiba hii ni ya muda mfupi na mgonjwa hurejea katika hali ya mateso akishamaliza kuvitumia.
Ndiomaana nashauri kulenga chanzo cha tatizo lako na kutumia njia asili kutibu uginjwa wako. Zifuatazo ni hatua salama unazoweza kuchukua ukiwa nyumbani kwako ili upunguze makali ya ugonjwa na kutibu.
Hatua ya kwanza: Tumia Lishe inayosaidia kupunguza kuvimba na kututumka kwa tishu (Anti-inflammatory Diet)
Wataalamu wa lishe wanashauri matumizi lishe sahihi katika kupunguza kuvimba kwa tishu kutokana na kushambuliwa na kinga ya mwili. Lishe hii inajumuisha vyakula vyenye mafuta mazuri k**a mafuta ya kupikia ya nazi,mizeituni, mboga za majani, supu ya mifupa, vyakula vyenye omega 3 kwa wingi k**a walanut (lozi) na samaki wa kina kirefu.
Ni muhimu pia kuepuka vyakula vinavyoongeza kuvimba kwa tishu za kwenye maungio, vyakula vya ngano, sukari, vyakula vilivyokaushwa kwa mafuta, na vyakula vyote vilivyosindikwa.
Hatua ya pili: Kufanya mazoezi mara kwa mara
Najua unapata maumivu makali kwenye maungio kutokana na ugonjwa wa baridi yabisi. Lakini ni muhimu kushugulisha mwili wako ili kupunguza athari ya tatizo. Ndio maana unapolala ukaamuka asubuhi unapata ugumu kutembea na kuendelea. Hakikisha unafanya mazoezi mepesi kila siku wakati huo unazingatia sheria zingine nitakazofafanua.
Hatua ya tatu: Punguza msongo wa mawazo na Hakikisha unapata usingizi wa kutosha
Kupata usingizi wa kutosha kila siku kuanzia masaa 8 na kupunguza msongo wa mawazo inasaidia joint kujitibu vizuri. Msongo wa mawazo unafanya tatizo kuwa baya zaidi na kukuongezea dalili zingine mbaya k**a maumivu ya misuli, kushuka kwa kinga, kushambuliwa na magonjwa, na uzito kuongezeka kupita kiasi.
Hatua ya 4: Tumia njia za asili ili kupunguza maumivu ya jointi. Njia hizi ni k**a
kufanya masaji kwenye eneo lililoathirika kwa kutumia mafuta ya eucalyptus.
Weka kipande cha barafu kwenye eneo ya maungio yya mifupa

Dr.BILL0745831146Baridi yabisi ni moja ya magonjwa kwenye kundi la (autoimmune diseases) magonjwa yanayotokana na kinga ...
19/09/2022

Dr.BILL
0745831146
Baridi yabisi ni moja ya magonjwa kwenye kundi la (autoimmune diseases) magonjwa yanayotokana na kinga ya mwili kushambulia tishu za mwili na kupekelea tishu hizi kututumka na kuvimba.Tatizo hili huathiri maeneo ya maungo na kuletekeza maumivu makali yasiyokwisha, kuvimba kwa joint na kusababisha ugumu kukunja viungo. Changamoto inaweza kuwa kubwa pale mpambano kwenye joint (inflammation) unapokuwa mkubwa na baadae maumivu hupungua.
Kwa mgonjwa mwenye baridi yabisi ni muhimu kurekebisha lishe na mtindo wa maisha k**a ambavyo nitaelekeza hapa chini ili kupunguza makali ya ugonjwa. Ugonjwa wa baridi yabisi k**a usipochukuliwa hatua za haraka kuudhibiti unaweza kusababisha matatizo makubwa k**a kuharibika kwa maungio, neva na athari kwenye mishipa ya damu.
Baridi yabisi husababishwa na muunganiko wa sababu ikiwemo lishe, vinasaba, mtindo wa maisha, vichocheo pamoja na kinga ya mwili.Tafiti zinasema kwamba kwa mgonjwa anayeanza tiba mapema hupata nafuu zaidi na kuepuka madhara ya baridi yabisi. Pamoja na dawa za hospitali wataalamu wa tiba asili tunashauri mgonjwa azingatie zaidi lishe na mazoezi ili kupunguza maumivu.
Dalili za Mgonjwa Mwenye Baridi Yabisi.
Dalili za baridi yabisi hutokana na kupotea kwa utando mweupe uliopo mwishoni mwa mfupa (cartilage). Utando ambao hupunguza msuguano kati ya mfupa na mfupa. Kuvimba kwa tishu zinazozunguka jointi na kukaza kwa joint. Kwa mgonjwa mwenye baridi yabisi ute uliopo kati ya mfupa na mfupa hupungua na kufanya mifupa kusagana. Dalili kuu za mgonjwa mwenye baridi yabisi ni
Maumivu ya joint-Kuvimba kwa tishu zinazozunguka maungio ya mifupa husababisha maumivu makali kwa mgonjwa. Jointi zinazoathirika zaidi ni kwenye mikono, enka, vidole vya miguuni na kwenye magoti.
Ngozi ya joints kuwa nyekundu,laini na inayochoma k**a vile imeungua moto.
Maumivu na kushindwa kusonga mbele baada ya kuamka asubuhi, hali hii huchukua dakika 30 na baaade mgonjwa anaweza kuendelea kutembea.
Mwili kufa ganzi na maumivu ya misuli
Kupata ugumu kwenye kutembea, kushika kitu, kufanya mazoezi na kupanda ngazi.
Kwa baadhi ya wagonjwa hupoteza hamu ya kula na kupata homa za muda mfupi.
Madhara gani ya Muda Mrefu Anaweza Kupata Mtu Mwenye Baridi Yabisi.
Kwa baadhi ya wagonjwa wenye baridi yabisi hupata madhara ya kiafya ya muda mrefu mwilini. Tafiti zimebaini matatizo haya huzaliwa na uwepo wa arthritis.
Kuongezeka kwa hatari ya kupata magonjwa ya moyo na kiharusi.
Maumivu ya kifua, pumzi kukata na kushindwa kupumua kutokana na athari kwenye mapafu.
Maumivu ya kichwa yasiyoisha.
Matatizo ya figo na kujikusanya kwa maji mwilini
Maumivu na kudhoofika kwa mifupa
Kuishiwa damu na kupata ganzi
Kuota vinyama vidogo vidogo kuzunguka eneo la maungio ambavyo huongeza ukali wa maumivu
Nini Kinasababisha Uugue Baridi Yabisi
K**a nilivoeleza mwanzo ugonjwa huu ni moja ya kundi la magonjwa ya autoimmune. Kumanisha kwamba ugonjwa unaletekezwa na mazingira ambayo husababisha kinga yako ya mwili ishambulie kimakosa tishu zinazozunguka maungio ya mifupa.
Swali la msingi ni kwanini kinga ya mwili ishambulie tishu kimakosa? Mpambano kwenye tishu inaweza kuletekezwa na vihatarishi vifuatavyo
Kuzorota kwa afya ya mfumo wa chakula
Lishe mbaya na vyakula vinavyoleta alegi (vyakula vinavyoletekeza mpambano k**a vyakula vilivyosndikwa, sukari na vyakula vilivyokaushwa kwa mafuta)
Uzito mkubwa na kitambi hasa kwa watu chini ya umri wa miaka 55
Mazingira yenye sumu ambayo yanaathiri mwili na kuvuruga mpangilio wa homoni, ndomana tunashauri utumie Detox Care Package yetu kutoa sumu kwanza kabla hujaanza tina nyingine.
Kushuka kwa utendaji wa kinga ya mwili kutokana na athari za kiafya na
Uvutaji wa sigara

19/09/2022

Dr. BILL
0745831146
Mtalamu wa viungo na mifupa
Changamoto wanazopitia wagonjwa wa mifupa katika matibabu . wengi wanagumia dawa za kupunguza maumivu bila kuondoa chanzo cha tatizo.

19/09/2022

DR.BILL
0745831146
Mtalamu wa viungo na mifupa
Dalili zinazoonyesha unamagonjwa ya viungo na mifupa .

DR.BILL0745831146JINSI YA KUTIBU VIDONDA VYA TUMBO  KWA KUTUMIA VYAKULA VYA ASILIWatu wengi hawajui kuwa vidonda vya tum...
16/09/2022

DR.BILL
0745831146

JINSI YA KUTIBU VIDONDA VYA TUMBO KWA KUTUMIA VYAKULA VYA ASILI

Watu wengi hawajui kuwa vidonda vya tumbo husababishwa na mienendo mibaya ya maisha yetu na mfumo wa chakula cha kila siku.

Dawa k**a Omeprazole, Tagament, Cimetidine na nyingine nyingi za hospitali huwa zinapunguza maumivu kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.

1⃣: Dawa hizi hupunguza asidi (tindikali) ambayo huharibu kuta za mfuko wa chakula.
2⃣: Zinazuia asidi tu, bila kushugulika na chanzo cha kuongezeka kwa hiyo tindikali.
3⃣: Kwa hiyo, bila kuondoa chanzo kinachosababisha kuongezeka kwa asidi hiyo, huwezi kupona.
4⃣: Kwa kawaida dawa za hospitali mara nyingi huja na maudhi mbalimbali kwa kuwa ni dawa ambazo zimetengenezwa kwa kemikali.

VIDONDA VYA TUMBO NI NINI?
Ni kuharibika kwa ukuta wa tumbo la chakula na sehemu ya Mwanzo ya utumbo mwembamba.

DR. BILL0745831146JE UNAPITIA CHANGAMOTO YA MIFUPA ???-maumivu makali kwenye magoti-magoti kushindwa kujikunja -kusikia ...
16/09/2022

DR. BILL
0745831146
JE UNAPITIA CHANGAMOTO YA MIFUPA ???

-maumivu makali kwenye magoti
-magoti kushindwa kujikunja
-kusikia milio ya magoti kusagana
-kushindwa kuinama
-kusikia ganzi kwenye miguu
-mifupa kusagana
-maumivu kwenye maungio (joints)
-kiuno kuuma
-mgongo kuuma
-pingili za vidole kuvimba (gout)

SABABU KUU INAYO SABABISHA CHANGAMOTO HIZI NI K**A !

-Ajali
-Uzito ulipindukia
-kutumika kwa viungo kupitia kiasi mfano wanamichezo
-Historia ya familia
-Umri (30+)

JE UMEHANGAIKA KWA MUDA MREFU BILA SULUHU YA UHAKIKA ?

JE ULIFANYIWA UPASUAJI NA KUWEKEWA VYUMA ILA BADO MAUMIVU NI MAKALI SANA NA MIFUPA BADO INASAGANA ?

HUNA HAJA YA KUHANGAIKA TENA TUNAYO SULUHU YA VIRUTUBISHO AMBAVYO VITAONDOA KABISA CHANGAMOTO YAKO YA MUDA MREFU YA MIFUPA NA HAITOJIRUDIA TENA

Wasiliana nami kupitia 0745831146
Pia UNAWEZA KUJA WHATSAPP sasa hivi kupitia link ya whataspp kwenye tangazo.

Je unafahamu sababu zinazopelekea mtu kuwa na michirizi kwenye ngozi1. matumizi ya kemikali za kujichubua na vipodozi vi...
15/09/2022

Je unafahamu sababu zinazopelekea mtu kuwa na michirizi kwenye ngozi
1. matumizi ya kemikali za kujichubua na vipodozi vikali
2.Mimba na kujifungua kwa kina mama
3.kupungua au kuongezeka mwili
Hizi ni sababu zinazopelekea mtu kuwa na michirizi . Michirizi katika mwili inaondoka bila shida yoyote. Nimewasaidia wa mama wengi kuondokana na changamoto hii
wasiliana nami 0745831146

DR. BILL0745831146UGOJWA WA P.I.D NA TIBA YAKE(pelvic Inflammatory Disease)Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake ...
14/09/2022

DR. BILL
0745831146
UGOJWA WA P.I.D NA TIBA YAKE
(pelvic Inflammatory Disease)
Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu
🟢Zifuatazo-:

✳️Matumizi ya antibiotics Kwa wingi, kimsingi matumizi haya huuwa bacteria wote, hivyo wanapokufa unakosa ulinzi wa bacteria wa kupambana na maambukizi kadhalika ujauzito ikiwa ni pamoja na kujifungua

✳️ Pia sababu nyingine ni matumizi ya Condoms na kufanya ngono zembe .

🟢DALILI ZA UGONJWA WA PID
1️⃣ Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2️⃣ Kuwashwa sehemu za siri
3️⃣ Uke kutoa harufu mbaya
4️⃣ Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5️⃣ Uke kuwa wa ulaini sana
6️⃣ Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7️⃣ Kuvurugika Kwa hedhi
8️⃣ Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9️⃣ Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
🔟 Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula

🟢MADHARA YA PID
1️⃣ Ugumba
2️⃣ Kansa ya shingo ya kizazi
3️⃣ Mirija ya uzazi kuziba

Wasiliana nami nikusaidie kuondokana na changamoto hizi

Address

Ilala Dar Es Salam
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255745831146

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr BILL NA AFYA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram