Uzazi salama matibabu ya pid

Uzazi salama matibabu ya pid Suruhisho la afya kwa ajili yaa matatizo ya uzazi kwa wanawake, Fangas, miwasho, UTI, PID, uvimbe, u

01/02/2022
23/01/2022
K**a wewe ni mwanamke uliehangaika kwa muda mrefu kupata ujauzito bila mafanikio basi nina habari njema kwa ajili yako.B...
20/01/2022

K**a wewe ni mwanamke uliehangaika kwa muda mrefu kupata ujauzito bila mafanikio basi nina habari njema kwa ajili yako.

Baada ya kusaidia wanawake zaidi ya 50 kupata ujauzito nimeamua kutoa darasa la bure katika group langu la WhatsApp kutatua tatizo hilo.

K**a utapenda kujiunga na group hili nitumie ujumbe kwenda WhatsApp no 0742583919/0710531875 na nitakuunga kwenye group hili bila ya gharama yeyote ile.

Au bonyeza link itakuleta moja kwa moja.
Nasisitiza ni wanawake pekeee.

WANAUME WENYE  HAYO NA NDANI YA WEEK 1 TU UTAPONA KABISA K**A UNASUMBULIWA NA HAYA JUA UNATATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA...
01/10/2021

WANAUME WENYE HAYO NA NDANI YA WEEK 1 TU UTAPONA KABISA K**A UNASUMBULIWA NA HAYA JUA UNATATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME;
πŸ“π‘²π’–π’˜π’‚π’‰π’Š π’Œπ’–π’‡π’Šπ’Œπ’‚ π’Œπ’Šπ’π’†π’π’†π’π’Š π’˜π’‚π’Œπ’‚π’•π’Š π’˜π’‚ 𝒕𝒆𝒏𝒅𝒐.
πŸ“π‘²π’–π’Œπ’π’”π’‚ π’‰π’‚π’Žπ’– π’šπ’‚ π‘²π’–π’‡π’‚π’π’šπ’‚ 𝒕𝒆𝒏𝒅𝒐.
πŸ“π‘²π’–π’”π’‰π’Šπ’π’…π’˜π’‚ π’Œπ’–π’“π’–π’…π’Šπ’‚ 𝒃𝒂𝒂𝒅𝒂 π’šπ’‚ π’Œπ’–π’Žπ’˜π’‚π’ˆπ’‚ π’Žπ’ƒπ’†π’ˆπ’–.
πŸ“π‘΄π’Šπ’”π’‰π’Šπ’‘π’‚ π’šπ’‚ π‘«π’‰π’‚π’Œπ’‚π’“π’Š (πŸ†) π’Œπ’–π’π’†π’ˆπ’†π’‚ π’Œπ’–π’•π’π’Œπ’‚π’π’‚ 𝒏𝒂 π’Œπ’–π’‹π’Šπ’„π’‰π’–π’‚.
πŸ“π‘΄π’‚π’…π’‰π’‚π’“π’‚ π’šπ’‚π’•π’π’Œπ’‚π’π’‚π’šπ’ 𝒏𝒂 π’–π’ˆπ’π’π’‹π’˜π’‚ π’˜π’‚ π‘΅π’ˆπ’Šπ’“π’Š.
πŸ“π‘Όπ’‘π’–π’π’ˆπ’–π’‡π’– π’˜π’‚ π‘΄π’ƒπ’†π’ˆπ’– 𝑨𝒖 π’Žπ’ƒπ’†π’ˆπ’– π’Œπ’–π’˜π’‚ π’π’šπ’†π’‘π’†π’”π’Š.
πŸ“π‘΄π’‚π’…π’‰π’‚π’“π’‚ π’šπ’‚π’•π’π’Œπ’‚π’π’‚π’šπ’ 𝒏𝒂 π’–π’ˆπ’π’π’‹π’˜π’‚ π’˜π’‚ π‘²π’Šπ’”π’–π’Œπ’‚π’“π’Š,𝑷𝒓𝒆𝒔𝒉𝒂,π‘―π’†π’“π’π’Šπ’‚.
πŸ“π‘΄π’‚π’…π’‰π’‚π’“π’‚ π’šπ’‚π’•π’π’Œπ’‚π’π’‚π’šπ’ 𝒏𝒂 π’Œπ’–π’•π’–π’Žπ’Šπ’‚ π’…π’‚π’˜π’‚ 𝒛𝒂 π’Œπ’†π’Žπ’Šπ’Œπ’‚π’π’Š π’Œπ’˜π’‚ π’Žπ’–π’…π’‚ π’Žπ’“π’†π’‡π’– π’‘π’Šπ’‚ π’˜π’‚π’π’† π’˜π’‚π’π’Šπ’ π’‚π’•π’‰π’Šπ’“π’Šπ’“π’Šπ’˜π’‚ 𝒏𝒂 π’…π’‚π’˜π’‚.
πŸ“π‘΄π’‚π’…π’‰π’‚π’“π’‚ π’šπ’‚ π’Œπ’–π’•π’–π’Žπ’Šπ’‚ π’—π’šπ’‚π’Œπ’–π’π’‚ π’—π’šπ’†π’π’šπ’† π‘Ίπ’–π’Žπ’– π’Žπ’ƒπ’‚π’π’Šπ’Žπ’ƒπ’‚π’π’Š.

Ondoa Shaka Suluhisho Limepatikana Utapata Dose Ya Uhakika Na Itakayo Kuletea Matokeo Ya Kudumu Muda Mrefu Na Tatizo Lisirudi Tena.
Tiba yetu ni nzuri imesaidia Mamia Ya Wanaume waliwahi kusumbuliwa na hili pamoja na wenye maumbile madogo na imewaletea matokeo mazuri sana.
π™‰π˜½: π˜Ώπ™–π™¬π™– π™―π™šπ™©π™ͺ π™―π™žπ™’π™šπ™©π™π™žπ™—π™žπ™©π™žπ™¨π™π™¬π™– 𝙣𝙖 π™Žπ™šπ™§π™žπ™ π™–π™‘π™ž, TFDA,FDA,HALAR,OSHA
Hivyo Ondoa Shaka Kuhusu Ubora Wa Dawa Zetu hutojutia kutumia dawa zetu hizi zipo vizuri sanaa.
Gharama za Dawa Ni Hizi;
⚠️ Nguvu za kiume,Stamina,Hamu ya tendo,Kuchelewa kumaliza,Uume Mlegevu,Kuweka Misuli na mishipa Sawa. AU Kukuza Na Kunenepesha Mashine (πŸ†)
Bei ni 𝐓𝐬𝐑 πŸ•πŸŽ,𝟎𝟎𝟎/=
⚠️K**a Unahitaji Kuongeza Nguvu Za Kiume Pamoja Na Kukuza Na Kunenepesha Mashine (πŸ†) Bei Ni 𝐓𝐬𝐑 πŸπŸπŸ“,𝟎𝟎𝟎/=
KUMBUKA UKINUNUA DAWA TUNAKUPATIA TIBA LISHE AINA NNE BURE KABISA HIZI ZINATIBU KABISA TATIZO LAKO HATA K**A NI SUGU.
πŸ“Dar es salaam MWENGE LUFUNGIRA JENGO LA TANZANITE TOWER GOROFA YA TATU.
πŸ“¦Dar es Salaam Unaletewa Ulipo Ndio Ulipie Dawa Yako Au Unaweza Kuka Ukapatiwa Mkononi.
πŸ“¦Mikoani Unatumiwa Kwa Bus Utachukulia Ofisi Ya Bus Husika( Malipo ni kaabla Hujatumiwa Dawa Maana Hatuna Wakala).
*Dawa zetu zinatibu Tatizo linaisha kabisa na halitorudi tena pia hazina madhara yoyote*piga simu moja Kwa Moja au WhatsApp+255(0)742583919/+255710531875.

*tabia Moja wapo ya magonjwa ya uzazi Ni kuendelea kuwa sugu na kushika mizizi ndani yako nimekua na kutana na wanawake ...
23/09/2021

*tabia Moja wapo ya magonjwa ya uzazi Ni kuendelea kuwa sugu na kushika mizizi ndani yako nimekua na kutana na wanawake walio kaa na haya matatizo MIAKA 2 ,3 hadi 4 MIAKA 5 * HALI YA KUKAA NA UGONJWA INAKUPA UGUMU WA KUPONA NA KUONGEZA MATATIZO -K**A KUSHINDWA KABISA KUBEBA MIMBA *NA MATATIZO MENGI KUISHI NAYO SANA MWISHOWE NI WW KUPATA KANSA YA SHINGO YA UZAZI*. NA WAPA NAFASI YA KUTIBU HAYA MAGONJWA SASA πŸ‘†+255710531875 Whatsapp/ +55742583919 PIGA SIMU .

Dalili za ugonjwa wa maambukizi kwenye via vya uzazi (PID) hujitokeza baada ya wiki 1-2 tangu kupatwa na maambukizi Huwa...
02/09/2021

Dalili za ugonjwa wa maambukizi kwenye via vya uzazi (PID) hujitokeza baada ya wiki 1-2 tangu kupatwa na maambukizi

Huwa kuna athari kubwa ndani ya safu ya ukuta wa uke, mlango wa shingo ya kizazi (cervical), mji wa uzazi na mirija ya uzazi (fallopian tubes).

Ndani ya mirija ya uzazi, athari mbaya za utungisho wa usaha huwanza kujitokeza, maambukizi huenea kwenye fuko la mayai (o***y) na kusababisha maambukizi ya mirija pamoja na vifuko vya mayai

Mkusanyiko wa usaha ndani ya vifuko vya mayai na mirija husababisha majipu, mkusanyiko wa usaha huunda aina ya majimaji machafu ambayo hujaa ndani ya kizazi na kusababisha ugumba kwa mwanamke (infertility)

Ndiomana watu waliougua PID lazima watapata uvimbe tuu..

Ukiambiwa Una PID
Njoo umeze Complete vidonge 180 na utapona kabisa na haitorudia kwasbb nitakupa ushauri sahihi na ukijiachia itarudi tena...

K**a unataka kizazi chako kiwe Salama hakikisha PID haikunasi

. #+255742583919.

FAHAMU JINSI MVURUGIKO WA HOMONI (HOMONI IMBALLANCE)  UNAVYOATHIRI UZAZI WA MWANAMKE NA SULUHISHO LAKE.Mvurugiko wa homo...
16/05/2021

FAHAMU JINSI MVURUGIKO WA HOMONI (HOMONI IMBALLANCE) UNAVYOATHIRI UZAZI WA MWANAMKE NA SULUHISHO LAKE.

Mvurugiko wa homoni za mwanamke ni hali ya kuongezeka au kupungua kwa vichocheo katika mwili wa mwanamke pale anapo pata hedhi, hivyo kufanya mwili kubadilika.

Mvurugiko huo huathiri kila mwanamke kwa zaidi ya 80%. Asilimia kubwa ya wanawake mabadiliko huanza kati ya miaka 40 na 50, lakini pia kukosekana kwa usawa wa homoni huweza kuonekana mapema zaidi, kuanzia miaka 14. Mabadiliko haya asilia kubwa huanza kutokea wakati wa balehe, hedhi, ujauzito, kabla na baada ya ukomo wa hedhi.

Mvurugiko wa homoni kwa mwanamke huweza kuchangiwa kutokuwepo na usawa katika homoni zifuatazo Estrogen, Progesterone na Testosterone. Kupungua au kuzidi kwa homoni hizi kupelekea mvurugiko wa homoni kwa mwanamke.

II. VYANZO VYA MVURUGIKO WA HOMONI (HOMONI IMBALLANCE)

Mvurugiko wa homoni ni tatizo linalowakumba wanawake wengi kwa sasa, hii ni kutokanana maisha wanayoishi, elimu finyu waliyonayo juu ya afya zao na kutokula kulinganana makundi ya damu. Vyanzo vya kuvurugika kwa homoni ni:

β€’Uwepo wa takamwili nyingi na sumu mwilini
β€’Unbalanced Lifestyle (mfumo mbovu wa maisha)
β€’Umri ukienda sana
β€’Kukoma kwa hedhi
β€’Kutofanya mazoezi
β€’Uzito mkubwa
β€’Mabadiliko ya mazingira au hali ya hewa
β€’Msongo wa mawazo
β€’Kula vyakula visivyo endana na Blood Group
β€’Upungufu wa lishe mwilini
β€’Matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango
β€’Utoaji wa mimba
Family History (Upungufu au ongezeko ya homoni ya progesterone na Estrogen)
Ongezeko ya homoni ya Androgen (Kuota ndevu, sauti k**a mwanaume)
Bara (Ethnicity): Wanawake wa Afrika wengi wana hili tatizo la ongezeko ya Homoni ya Estrogen, ndiyo maana wana maumbile makubwa

III. DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI

Mfumo wa homoni ni muhimu sana kwa afya ya ubongo na mili yetu. Husaidia kuzuia magonjwa yasiyo ambukizi kadri umri unavyo songa mbele. Baadhi ya dalili zinazoweza kuonekana kwa mtu mwenye changamoto ya mvurugiko wa homoni ni k**a vile:
- Ukavu ukeni
- Maumivu wakati wa tendo la ndoa
- Kutoa jasho usiku
- Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
- Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa
- Mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7. (heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja)
- Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi
- Uchovu wa mara kwa mara
- Hasira za mara kwa mara
- Kukosa usingizi
- Homa za usiku na Kizunguzungu cha mara kwa mara
- Mzio wa vyakula (Allergie), kuchagua chagua vyakula
- Ongezeko ya tumbo na nyama uzembe
- Kuharibika kwa ngozi (chunusi, vipele… n.k)
- Maumivu ya viungo
- Upungufu wa nywele kichwani.
- Kusahau sana (kukosa kumbukumbu)
- Kuwa na hamu ya kula vyakula au vinywaji vya wa ndani.
- Kupata hedhi wakati wa ujauzito (progesterone ikiwa imezidi)
- Kutokupata hedhi (balehe) adi umri wa miaka 20 na kuendelea
- Mwili kutokukua, kuonekana k**a binti mdogo, na kutokukua kwa via vya uzazi
- Msongo wa mawazo na kukosa kujiamini
- Kusinyaa na kupauka kwa
ngozi wakati wa siku za hedhi na wakati wa utumiaji wa njia za uzazi wa mpango
- Maumivu ya kichwa mara kwa mara
- Kuwa na tabia ya hamaki (kukosa utulivu)
- Kutokupata choo kwa wakati
- Misuli hudondoka

IV. MADHARA YA MVURUGIKO WA HOMONI

Pamoja na dalili nyingi tulizoziona tungependa wanawake waelewe vitu vifuatavyo hutokea iwapo atatumia njia za kisasa za uzazi wa mpango. Njia hizo husababisha saratani ya kizazi, CD4 kushuka, sehemu ya uke kuwa baridi, huchangia kwa 50% kufanyiwa upasuwaji (operation) wakati wa kujifungua, huathiri mtoto atakayezaliwa, huathiri ubongo (inapunguza uwezo wa kufikiria), kutokwa na majimaji yenye harufu mbaya ukeni na magonjwa ya mara kwa mara.
Ukiendelea kubaki na dalili tajwa hapo awali kwa muda mrefu, kinga ya mwili itashuka kwa kiasi kikubwa na kusababisha madhara mengi k**a yafuatayo:
Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu
Mimba kuharibika mara kwa mara
Kukosa mtoto au Ugumba
Maumivu wakati wa tendo la ndoa
Kuwa na tabia na maumbile ya kiume
UTI (Urinary Tract Infection)
Kuzeeka mapema
Kuziba kwa mirija ya uzazi
Uvimbe (Fibroids and Cysts)

V. SULUHISHO

a. Suluhisho Linalopendwa

Wanawake wengi baada ya kujifahamu kuwa homoni zao haziko sawa huenda mahospitalini ambako hupewa madawa (bioidentical or synthetic hormones) na wengine hufanyiwa hormone replacement therapy.
Tiba hii huandaliwa kwa ajili ya kuzifanya homoni zifanye kazi zake k**a kawaida. Lakini hupelekea madhara k**a:
- Kuongeza uwezekano ya shinikizo la damu.
- Osteoporosis.
- Madhara katika mfumo wa uzazi.
- Saratani na mengineyo.
-Na wengine hujikuta wakishindwa kupata kabisa hedhi au kutoshika ujauzito kabisa.

b. Suluhisho La kudumu
Mvurugiko wa homoni unasababishwa na upungufu wa lishe, msongo wa mawazo, na uwepo wa sumu mwilini na hivi vyote ni vitu unavyoweza kurekebisha. Kwa wanawake wenye changamoto hii tume waandalia program ya lishe kamili na virutubisho muhimu. Program hii ni ya vyakula; sio dawa wala miti shamba. Inasaidia kuweka sawa homoni za mwanamke, kuboresha mfumo mzima wa uzazi, kuleta heshima ya ndoa maana uke utarudi katika hali yake ya asili (mnato na ute ute ukeni wenye kuleta msisimko wakati wa tendo la ndoa, na kupunguza kasi ya uzee). Sumu zikizidi mwilini mwanamke huzeeka kabla ya wakati na kupatwa na changamoto mbalimbali za kiafya ikiwemo: vimbe zinazo jipachika kwenye uzazi wa mwanamke, vidonda vya tumbo, … n.k.
Kwa yeyote anayehitaji hii program ya kuboresha na kuimarisha Afya yake awasiliane na kampuni kwa namba zifuatazo
+255710531875

UGONJWA WA BAWASIRI NA TIBA YAKE.WAtu wengi wanaosumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa waoga au kujiskia aibu k...
07/03/2021

UGONJWA WA BAWASIRI NA TIBA YAKE.

WAtu wengi wanaosumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa waoga au kujiskia aibu kueleza tatizo.

BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA.
Ni ugonjwa unaotokana nankuathirika kwa mishipa ya damu ndani au nje ya sehemu ya haja kubwa wakati mwingne mishipa hiyo yaweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kusababisha kinyama au uvimbe.

Ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalam tunaita Hermorhoids ilihali katika lugha ya kingereza inaitwa piles.
Tatizo hili huathiri watu wazima kuliko watoto na makadirio kuwa karibia 50% ya wtu wote wapo hatarini kupata tatizo hili umri wa miaka 30-50

AINA ZA BAWASIRI
1. Hii hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa na huwa haimbatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa wanatatizo hili.
Aina hii ya bawasiri imegawanyika katika madaraja manne;
● Daraja la kwanza- hii ni bawasiri ambayo haitoki mahali pake pa kawaida.
● Daraja la pili- Hii hutokea wakati wa haja kubwa na hujirudi yenyewe baada ya kujisaidia.
● Daraja la tatu- Hii hutoea wakati wa haja kubwa na mtu huweza kuirudisha ndani yeye mwenyewe.
●Daraja la nne- Hii ni bawasiri inayotoka na ngumu kurudi.

2. BAWASIRI YA NNE
Aina hii hutokea eneo la mwisho la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu hilo, pia husababisha mishipa ya vena kupasuka na kuganda na kusaabisha aina ya bawasiri hitwayo Thrombosed hermorrhoids.

CHANZO CHA BAWASIRI
β–  Kufanya mapenzi kinyume na maumbile
β–  Kutumia vyoo vya kukaa kwa muda mrefu
β–  Ujauzito
β–  Uzito mkubwa
β–  Kupata kinyesi kigumu kwa muda mrefu.

DALILI ZA BAWASIRI
β–‘ Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa.
β–‘ Kujitokeza kwa kinyama sehemu ya haja kubwa.
β–‘ Kutokewa na uvimbe sehemu ya haja kubwa.
β–‘ Kupata kinyesi chenye damu
β–‘ Kupata maumivu makali wakati wa haja kubwa.
K**a una tatizo hilo husisite kuwasiliana nami na kupata dawa ya pekee ambayo inatibu aina zote za bawasiri ndugu yangu wahi sasa dawa itakufikia popote ulipo.
share na watu wengi zaidi wapate kunufaika.
Mawasiliano fika ofisini kwetu MWENGE LUFUNGIRA AU PIGA 0710531875 watsapp 0710531875.

02/03/2021

HUNA SABABU KUTESEKA TENA NA MATATIZO YOTE YANAYOHUSU UZAZI UPO MSAADA SASA KUWEZA KUONDOKANA NAYO NA KUWEZA KUZUIA KABISA MATATIZO YA WANAWAKE .MFANO NIK**A VILE PID, UTI SUGU,UCHAFU WA RANGI TOFAUTI TOFAUTI UKENI ,KUTOA HARUFU MBAYA NA ISIYO ELEWEKA KUJIHISI TOFAUTI KWA SASA UTAKUA SMART UTAKUA SAFI K**A TAYARI UMEHANGAIKA SEHEM MBALIMBALI NAKUHAKIKISHIA KUPATA HUDUMA SALAMA NA SURUHISHO ZAIDI, KUNIPATA UNAWEZA KUJA INBOX WATSAPP NUMBER+255710531875 https://chat.whatsapp.com/LgdxDmN4pPs9tDGtxuWn2u

Address

Mliman City
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255710531875

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Uzazi salama matibabu ya pid posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Uzazi salama matibabu ya pid:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram