Tanhelso MedLab Tanzania

Tanhelso MedLab Tanzania Karibu Upate Vipimo, Ushauri pamoja na Tiba ya Kudumu ya Maradhi Yasiyoambukiza

TIBA YA MFUMO WA UPUMUAJI, KINGA MWILINI, KANSA, KISUKARI, HOMA YA NISI, SHINIKIZO LA DAMU,
KINGA YA UBONGO, KUPUNGUZA MSONGO WA MAWAZO, MAUMIVU YA MIGUU, UCHOVU WA AKILI, MAUMIVU YA MIFUPA NA MISURI

ATHMAX.. ๐Ÿ‘‡Hii ni Dawa nyingine kati ya Dawa zetu nyingi ambayo imetengenezwa kwa Mimea Tiba ili Kuwasaidia Watu wenye Ch...
19/08/2023

ATHMAX.. ๐Ÿ‘‡

Hii ni Dawa nyingine kati ya Dawa zetu nyingi ambayo imetengenezwa kwa Mimea Tiba ili Kuwasaidia Watu wenye Changamoto ya Pumu

K**a una Changamoto ya Pumu kwa muda mrefu, Fanya hima kututembelea Ofisini kwetu upate Matibabu

Tupo SIDO House, Bibi T**i Road, Dar es Salaam

Wasiliana Nasi sasa...
Simu: 0655556666
e-mail: tanhelsotanzania@gmail.com
Facebook: Tanhelso MedLab Tanzania
Instagram:





























IFAHAMU PUMU KWA KIFUPI.. ๐Ÿ‘‡Pumu (kwa Kiingereza asthma) ni Ugonjwa wa kudumu wa Uvimbe wa makoromeo ulio na sifa za dali...
19/08/2023

IFAHAMU PUMU KWA KIFUPI.. ๐Ÿ‘‡

Pumu (kwa Kiingereza asthma) ni Ugonjwa wa kudumu wa Uvimbe wa makoromeo ulio na sifa za dalili zinazobadilika na kujirudia, hewa kuzibwa na Bronkospasimu

Dalili ni pamoja na Kukoroma, Kukohoa, Kujikaza kwa Kifua na kukosa Pumzi

Inashukiwa kusababishwa na jenetikia pamoja na hali ya mazingira. Kwa kawaida huzingatia mtindo wa dalili, matokeo baada ya matibabu ya muda, na spirometri. Imeainishwa kulingana na idadi ya dalili, wingi wa kupumua kwa nguvu (FEV1), na idadi ya juu ya kupumua. Inaweza pia kuainishwa k**a atopiki (ya nje) au isiyo ya atopiki (ya ndani) ambapo atopi inarejelea maelekezo ya kuanzia Type 1 Hypersensitivity

Dalili kali hutibiwa na Beta2-adrenergic agonist ya kuvuta (k**a vile salbutamol) na kotikosteroidi za mdomo. Katika visa vikali kotikosteroidi za mishipa, salfeti ya magnesia na ulazwaji hospitalini unaweza kuhitajika.

Dalili zinaweza kuzuiwa kwa kujiepusha na visababishi, k**a vile alajeni na vitu vinavyowasha, na kwa kutumia Kotikosteroidi za kuvuta. Beta-adrenoceptor agonist zinazofanya kazi kwa muda mrefu (LABA) au leukotriene antagonist inaweza kutumika kando ya kotikosteroidi iwapo dalili za ugonjwa hazitadhibitiwa

Uenezi umeongezeka tangu mwaka 1970. Kufikia 2011, watu milioni 235โ€“300 walikuwa wameathiriwa ulimwenguni, ikijumuisha takribani vifo 250,000

Karibu Ofisini kwetu upate Elimu, Ushauri na Tiba ya Maradhi Yasiyoambukiza na Yanayoambukiza ikiwemo Pumu kwa kutumia Dawa zilizotengenezwa kwa Mimea Tiba

Tupo SIDO House, Bibi T**i Road, Dar es Salaam

Wasiliana Nasi sasa...
Simu: 0655556666
e-mail: tanhelsotanzania@gmail.com
Facebook: Tanhelso MedLab Tanzania
Instagram:





























JE, WAJUA.. ๐Ÿ‘‡Ndizi mbivu ni Nzuri katika Kupunguza na Kuzuia Shinikizo la Damu (Hypertension) kwani ina Kiwango cha Juu ...
17/08/2023

JE, WAJUA.. ๐Ÿ‘‡

Ndizi mbivu ni Nzuri katika Kupunguza na Kuzuia Shinikizo la Damu (Hypertension) kwani ina Kiwango cha Juu cha Vitamini C, B6, Nyuzinyuzi (Fibers) na Madini ya Potasiamu

Endelea kufuatilia kurasa zetu kwa Elimu Mbalimbali za Afya

Karibu Ofisini kwetu upate Elimu, Ushauri na Tiba ya Maradhi Yasiyoambukiza na Yanayoambukiza kwa kutumia Dawa zilizotengenezwa kwa Mimea Tiba

Tupo SIDO House, Bibi T**i Road, Dar es Salaam

Wasiliana Nasi sasa...
Simu: 0655556666
e-mail: tanhelsotanzania@gmail.com
Facebook: Tanhelso MedLab Tanzania
Instagram:





























FAHAMU KUHUSU FREE RADICALS.. ๐Ÿ‘‡Free Radicals ni Atomi zisizo imara (Unstabble Atoms) ambazo zinaweza kuharibu Seli na ku...
17/08/2023

FAHAMU KUHUSU FREE RADICALS.. ๐Ÿ‘‡

Free Radicals ni Atomi zisizo imara (Unstabble Atoms) ambazo zinaweza kuharibu Seli na kusababisha Magonjwa na Kuzeeka (Aging)

Free Radicals zinahusishwa na Kuzeeka (Aging) na kuwa Chanzo cha Magonjwa mengi lakini ni Mambk machache sana yanayojulikana kuhusu jukumu la Atomi hizi katika Afya ya Binadamu pamoja na jinsi ya kuzizuia ili kuwafanya Watu wasiwe Wagonjwa

Tunaachopaswa kufahamu ni kwamba, Free Radicals hizi tupo nazo katika Mazingira tunayoishi, Vyakula tunavyokula na hata Mitindo ya Maisha tunayoishi, Hazikwepeki...!!

Vyakula vilivyosindikwa, Msongo wa Mawazo, Uchafuzi wa Anga hewa, Matumizi ya Pombe na Sigara, Uchafuzi wa Vyanzo vya Maji, Matumizi ya Kemikali mashambani na hata Matumizi ya Dawa kwa Muda mrefu huweza kuchangia kuwa Chanzo cha Free Radicals

Njia Pekee ya Kuziondoa Free Radicals katika Miili yetu ni kwa kutumia Antioxidants pekee, kwani hazitoki kwa Njia za Kawaida za Utoaji Taka za Mwili

Karibu Ofisini kwetu upate Elimu, Ushauri na Tiba ya Maradhi Yasiyoambukiza na Yanayoambukiza kwa kutumia Dawa zilizotengenezwa kwa Mimea Tiba

Tupo SIDO House, Bibi T**i Road, Dar es Salaam

Wasiliana Nasi sasa...
Simu: 0655556666
e-mail: tanhelsotanzania@gmail.com
Facebook: Tanhelso MedLab Tanzania
Instagram:





























TIBA YA LIMAO.. ๐Ÿ‘‡Limao ni tunda jamii ya Machungwa ambalo linajulikana sana kwa faida zake nyingi kiafya. Limao zina Vit...
16/08/2023

TIBA YA LIMAO.. ๐Ÿ‘‡

Limao ni tunda jamii ya Machungwa ambalo linajulikana sana kwa faida zake nyingi kiafya. Limao zina Vitamini C nyingi, Potasiamu, Magnesiamu na virutubisho vingine. Limao pia lina kalori chache na lina aina mbalimbali za Antioxidants ambazo zinaweza kusaidia kulinda mwili dhidi ya uharibifu unaosababishwa na Free Radicals

Limao ni nyongeza nzuri kwa lishe yoyote. Zimejaa virutubisho na Antioxidants ambazo zinaweza kusaidia kuboresha afya yako kwa ujumla na ustawi. Limao pia inaweza kusaidia kupunguza hatari ya Magonjwa fulani na inaweza kusaidia kuboresha Afya ya Ngozi, Usagaji chakula na kudhibiti viwango vya Mfadhaiko (Oxidative Stress)

Sasa, Leo nataka kukupa Tiba inayotumia Tunda hili. Ili kujiridhisha na Matokeo utakayoyapata baada ya Tiba hii, pima kwanza Vipimo vya Damu (FBP) na hata ujipige Picha ya "Before" ili uwe na Rekodi

Dozi kwa Mtu Mzma (18+)

Day 1 Malimao 3 (1x3)
Day 2 Malimao 6 (2x3)
Day 3 Malimao 9 (3x3)
Day 4 Malimao 12 (4x3)
Day 5 Malimao 15 (5x3)
Day 6 Malimao 18 (6x3)
Day 7 Malimao 21 (7x3)
Day 8 Malimao 24 (8x3)
Day 9 Malimao 21 (7x3)
Day 10 Malimao 18 (6x3)
Day 11 Malimao 15 (5x3)
Day 12 Malimao 12 (4x3)
Day 13 Malimao 9 (3x3)
Day 14 Malimao 6 (2x3)
Day 15 Malimao 3 (1x3)

NB: Usichanganye Malimao na Chochote mfano Maji au Sukari.

Kamua kwenye Kikombe kisha Unywe na siyo Kula moja kwa moja k**a Chungwa ๐Ÿ‘๐ŸพIkitokea huutahimili Ukali wa Limao kwenye Meno, unaweza kutumia Mrija

K**a ulikuwa na matatizo ya Figo, Fuchafuka kwa Damu, Upele, Madoa kwenye ngozi, Kufubaa kwa Ngozi n.k, Immune System inaimarika kwa kufuata Tiba hii na itaweka sawa Mifumo yako yote ya Mwili wako, Utaona Matokeo yake mwenyewe

Tupo SIDO House, Bibi T**i Road, Dar es Salaam

Wasiliana Nasi sasa...
Simu: 0655556666
e-mail: tanhelsotanzania@gmail.com
Facebook: Tanhelso MedLab Tanzania
Instagram:






















UNAHITAJI KUPUMZIKA... ๐Ÿ‘‡Afya bora hujengwa pia na kupata muda wa kutosha wa KupumzikaKumbuka kuwa Mwili wako unahitaji U...
15/08/2023

UNAHITAJI KUPUMZIKA... ๐Ÿ‘‡

Afya bora hujengwa pia na kupata muda wa kutosha wa Kupumzika

Kumbuka kuwa Mwili wako unahitaji Urejesho (Recovery)
Kulala kwa Ubora hakuhakikishii kwamba Mwili utakuwa na kinga dhidi ya Magonjwa tu, bali kunaweza kupunguza hatari ya Magonjwa kadhaa k**a vile Ugonjwa wa Moyo, Mshtuko wa Moyo, Kisukari na Kunenepa kupita kiasi

Karibu Ofisini kwetu upate Elimu, Ushauri na Tiba ya Maradhi Yasiyoambukiza na Yanayoambukiza kwa kutumia Dawa zilizotengenezwa kwa Mimea Tiba

Tupo SIDO House, Bibi T**i Road, Dar es Salaam

Wasiliana Nasi sasa...
Simu: 0655556666
e-mail: tanhelsotanzania@gmail.com
Facebook: Tanhelso MedLab Tanzania
Instagram:





























MACCA for WOMEN.. ๐Ÿ‘‡Hii ni Dawa nyingine kati ya Dawa zetu nyingi ambayo imetengenezwa kwa Mimea Tiba ili Kuwasaidia Wana...
15/08/2023

MACCA for WOMEN.. ๐Ÿ‘‡

Hii ni Dawa nyingine kati ya Dawa zetu nyingi ambayo imetengenezwa kwa Mimea Tiba ili Kuwasaidia Wanawake kuboresha Afya zao za Mfumo wa Uzazi kwa Ujumla

Dawa hii husaidia;
~ Kuongeza Hamu ya Tendo la Ndoa

~ Kusawazisha Mfumo wa Homoni za K**e

~ Kuondoa Msongo wa Mawazo na Kuleta Utulivu

~ Kuboresha Afya ya Uzazi kwa Mwanamke kwa Ujumla

Karibu Ofisini kwetu upate Elimu, Ushauri na Tiba ya Maradhi Yasiyoambukiza na Yanayoambukiza kwa kutumia Dawa zilizotengenezwa kwa Mimea Tiba

Tupo SIDO House, Bibi T**i Road, Dar es Salaam

Wasiliana Nasi sasa...
Simu: 0655556666
e-mail: tanhelsotanzania@gmail.com
Facebook: Tanhelso MedLab Tanzania
Instagram:





























WIKI YA TIBA ASILI 2023..๐Ÿ‘‡Wizara ya Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto ikishirikiana na Baraza la Taifa...
15/08/2023

WIKI YA TIBA ASILI 2023..๐Ÿ‘‡

Wizara ya Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto ikishirikiana na Baraza la Taifa la Tiba Asili Tanzania limeandaa Maonesho ya Wiki ya Tiba Asili ya Mwafrika (27 - 31 August) yatakayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja - Dar es Salaam

Lengo la Maonesho haya ni Kutoa Elimu kwa Umma juu ya Mchango wa Tiba Asili lwa Afya kamilifu na Ustawi kwa Wote na litawahusisha Wadau wa Sekta hii, Waganga wa Tiba Asili, Vyuo vya Utafiti pamoja na Vyuo Vikuu

Usipange Kukosa, ni Package Nzuri sana kwaajili Yako..!!

Nakukaribisha pia Ofisini kwetu upate Elimu, Ushauri na Tiba ya Maradhi Yasiyoambukiza na Yanayoambukiza kwa kutumia Dawa zilizotengenezwa kwa Mimea Tiba

Tupo SIDO House, Bibi T**i Road, Dar es Salaam

Wasiliana Nasi sasa...
Simu: 0655556666
e-mail: tanhelsotanzania@gmail.com
Facebook: Tanhelso MedLab Tanzania
Instagram:





























MACCA for MEN.. ๐Ÿ‘‡Hii ni Dawa nyingine kati ya Dawa zetu nyingi ambayo imetengenezwa kwa Mimea Tiba ili Kuwasaidia Wanaum...
14/08/2023

MACCA for MEN.. ๐Ÿ‘‡

Hii ni Dawa nyingine kati ya Dawa zetu nyingi ambayo imetengenezwa kwa Mimea Tiba ili Kuwasaidia Wanaume wenye Changamoto ya Upungufu wa Nguvu za Kiume

Dawa hii husaidia;
~ Kuimarisha Misuli ya Uume iliyolegea kutokana na Kujichua

~ Kuimarisha Uwezo wa Kurudia Tendo la Ndoa (Stamina)

~ Kukupa Uwezo wa Kuchelewa kufika Kileleni

~ Kuboresha Na Kuongeza Wingi wa Mbegu za Kiume (S***m Count & Quality Increase)

~ Kuboresha Afya ya Uzazi kwa Mwanaume kwa Ujumla

Karibu Ofisini kwetu upate Elimu, Ushauri na Tiba ya Maradhi Yasiyoambukiza na Yanayoambukiza kwa kutumia Dawa zilizotengenezwa kwa Mimea Tiba

Tupo SIDO House, Bibi T**i Road, Dar es Salaam

Wasiliana Nasi sasa...
Simu: 0655556666
e-mail: tanhelsotanzania@gmail.com
Facebook: Tanhelso MedLab Tanzania
Instagram:





























Upungufu wa Nguvu za Kiume ni ile hali ya Mwanaume kushindwa kushiriki Tendo na Mweza wake kwa Kiwango kinachotakiwa (10...
14/08/2023

Upungufu wa Nguvu za Kiume ni ile hali ya Mwanaume kushindwa kushiriki Tendo na Mweza wake kwa Kiwango kinachotakiwa (100% Perfection) inayopelekea kushindwa Kuzaa (Kumpa Mimba Mwanamke) na kuwa na hali ya Ugumba

Ugumba kwa Wanaume mara nyingi husababishwa na Upungufu wa Nguvu za Kiume kwa ujumla, lakini, Upungufu na Ubora wa Mbegu (Shahawa) hutumika k**a kipimo cha Ziada na cha Msingi kwa Mwanamume

Sababu za Changamoto hii zinaweza kutokana na Madhara ya Kujichua, Umri, Magonjwa Sugu k**a Kisukari, Presha, Uzito kupia kiasi, Uwepo wa Saratani ta Tezi Dume na hata Mwili kukosa Uwiano wa Homoni za Kiume (Hormonal Imbalance)

Karibu Ofisini kwetu upate Elimu, Ushauri na Tiba ya Maradhi Yasiyoambukiza na Yanayoambukiza kwa kutumia Dawa zilizotengenezwa kwa Mimea Tiba

Tupo SIDO House, Bibi T**i Road, Dar es Salaam

Wasiliana Nasi sasa...
Simu: 0655556666
e-mail: tanhelsotanzania@gmail.com
Facebook: Tanhelso MedLab Tanzania
Instagram:





























FERTILITY AID.. ๐Ÿ‘‡Fertility Aid ni Dawa maalum kwa Wanawake wenye Changamoto ya Ugumba; Kutokuwa na Uwezo wa Kubeba Mimba...
13/08/2023

FERTILITY AID.. ๐Ÿ‘‡

Fertility Aid ni Dawa maalum kwa Wanawake wenye Changamoto ya Ugumba; Kutokuwa na Uwezo wa Kubeba Mimba kutokana na Sababu kadhaa

Dawa hii husaidia kubeba Mimba, kuweka sawa Mfumo wa Homoni na Mzunguko wa Hedhi kwa Mwanamke

Karibu Ofisini kwetu upate Elimu, Ushauri na Tiba ya Maradhi Yasiyoambukiza na Yanayoambukiza kwa kutumia Dawa zilizotengenezwa kwa Mimea Tiba

Tupo SIDO House, Bibi T**i Road, Dar es Salaam

Wasiliana Nasi sasa...
Simu: 0655556666
e-mail: tanhelsotanzania@gmail.com
Facebook: Tanhelso MedLab Tanzania
Instagram:





























INFERTILITY (Ugumba).. ๐Ÿ‘‡Ugumba ni Hali ya Mtu, Mnyama au Mmea kushindwa Kuzaliana kwa Njia za Asili Kwa binadamu, Ugumba...
13/08/2023

INFERTILITY (Ugumba).. ๐Ÿ‘‡

Ugumba ni Hali ya Mtu, Mnyama au Mmea kushindwa Kuzaliana kwa Njia za Asili

Kwa binadamu, Ugumba ni kutoweza kupata Mimba baada ya kipindi cha mwaka mmoja wa Kujamiiana bila kinga na mara kwa mara kwa kuhusisha mwenzi wa Kiume na wa K**e

Makadirio ya mwaka wa 1997 yanaonyesha kwamba Ulimwenguni pote karibu 5% ya Wapenzi (Mume na Mke) wana tatizo la Ugumba. Wanandoa wengi zaidi hukutana na Changamoto ya kupata Watoto bila hiari yao kwa angalau Mwaka mmoja: makadirio yanaanzia 12% hadi 28%

Sababu kuu ya Ugumba kwa Wanadamu ni Umri; ambao unaweza kuongeza uwezekano wa kupata Mimba ya pekee wakati wa Ujauzito

Ugumba kwa Wanaume husababisha 20%โ€“30% ya visa vya Ugumba, huku 20%โ€“35% hutokana na kutokuzaa kwa Wanawake, na 25%โ€“40% husababishwa na Matatizo ya pamoja katika sehemu zote mbili

Katika 10%-20% ya kesi, hakuna sababu inayopatikana. Sababu ya kawaida ya Ugumba kwa Wanawake ni umri, ambayo kwa ujumla hujidhihirisha katika Hedhi chache au kutokuwepo kwa Hedhi

Ugumba kwa Wanaume mara nyingi husababishwa na Upungufu wa Nguvu za Kiume kwa ujumla, lakini, Upungufu na Ubora wa Mbegu (Shahawa) hutumika k**a kipimo cha Ziada na cha Msingi kwa Mwanamume

Karibu Ofisini kwetu upate Elimu, Ushauri na Tiba ya Maradhi Yasiyoambukiza na Yanayoambukiza ikiwemo Tatizo la Ugumba kwa Wanandoa kwa kutumia Dawa zilizotengenezwa kwa Mimea Tiba

Tupo SIDO House, Bibi T**i Road, Dar es Salaam

Wasiliana Nasi sasa...
Simu: 0655556666
e-mail: tanhelsotanzania@gmail.com
Facebook: Tanhelso MedLab Tanzania
Instagram:





























Address

SIDO House, Bibi Titi Road
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tanhelso MedLab Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Tanhelso MedLab Tanzania:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category