Strong Health Clinic

Strong Health Clinic 🔘Bidhaa bora za Stem-cells
🔘Suluhisho La Magonjwa sugu
🔘Karibu Tukuhudumie Kwa Matokeo Bora

Hawa ndio Maadui wa Afya na Maisha yako. Haijalishi Umri mkubwa yanaweza mpata hata kijana ni vigumu kukwepa changamoto ...
26/06/2025

Hawa ndio Maadui wa Afya na Maisha yako. Haijalishi Umri mkubwa yanaweza mpata hata kijana ni vigumu kukwepa changamoto hizi za Afya zinazotesa wengi hapa Duniani.
Changamoto hizi usipokua Makini nazo pesa zote ulizozitafuta Ujanani kwa Nguvu kubwa utazitumia kutibu haya Magonjwa Tena bila Mafanikio Chanya k**a Usipochagua tiba sahihi
✅KISUKARI KINATIBIKA 100%
✅STROKE INATIBIKA 100%
✅PRESHA INATIBIKA 100%
Suluhisho la Magonjwa hayo ipo Strong health clinic pekee.
Bidhaa bora za STERM CELL hutibu kuanzia chanzo cha tatizo kwa Uharaka na Uhakika zaidi.
Matokeo ya awali ni ndani ya Siku 3,7 Mpaka 21
Matumizi ya Miezi mi 3 Humaliza tatizo kabisa
Kwanini uendelee kuteseka ? Karibu tukusaidie kupona changamoto hizi
☎️0787 466 466

01/05/2025

Bidhaa hizi ni suluhisho kwa magonjwa sugu bila kujali yamekuwa mwilini kwa muda mrefu au mfupi kiasi gani.
Ufanyaji wake upo katika njia kuu tatu.
1• Ni Huuisha Seli k**a zimelala
2• Hukarabati Seli k**a Zimechakaa na
3• Huzalisha Seli mpya mwilini k**a zimekufa.
Matokeo mazuri ya Matumizi au Upandikizwaji wa seli shina mwilini nikukundoa kwenye changamoto za Magonjwa mbalimbali yanayokukabili, magonjwa hayo ni pamoja na👇
▪️ Kisukari
▪️ Presha
▪️ Kiharusi
▪️ Siko Seli
▪️ Pumu /Asthma
▪️ Saratani aina zote
▪️ Matatizo ya Mifupa
▪️ Homa ya ini
▪️ Tezi dume
▪️ Presha ya Macho
▪️ Uvimbe kwenye kizazi
▪️ Vidonda vya tumbo
▪️ Matatizo ya Mapafu
▪️ Matatizo ya Moyo
▪️ Matatizo ya Figo
▪️ Uvimbe kwenye Ovari
▪️ Kupoteza kumbukumbu
▪️ Matatizo ya Mgongo
▪️ Matatizo kwenye Ngozi
▪️ Matatizo ya Misuli
▪️ Kutomudu tendo la ndoa
▪️ Homa ya mapafu kwa watoto
▪️ Kuongeza CD4 /Kinga ya mwili
▪️ Na Magonjwa mengine mengi
Usiendelee kuteseka wala kuona ndugu yako anateseka, mjulishe hizi Habari Njema. Wengi wamepata matokeo ndani ya siku 21 mpaka 90.
0787 466 466
Maelezo zaidi au ushauri piga bonyeza alama ya WhatsApp au kitufe cha WhatsApp kutupata Moja kwa Moja na ukapokea Huduma popote utakapokuwa. 0787 466 466

Hawa ndio Maadui wa Afya na Maisha yako. Haijalishi Umri mkubwa yanaweza mpata hata kijana ni vigumu kukwepa changamoto ...
06/04/2025

Hawa ndio Maadui wa Afya na Maisha yako. Haijalishi Umri mkubwa yanaweza mpata hata kijana ni vigumu kukwepa changamoto hizi za Afya zinazotesa wengi hapa Duniani.
Changamoto hizi usipokua Makini nazo pesa zote ulizozitafuta Ujanani kwa Nguvu kubwa utazitumia kutibu haya Magonjwa Tena bila Mafanikio Chanya k**a Usipochagua tiba sahihi

✅KISUKARI KINATIBIKA 100%
✅STROKE INATIBIKA 100%
✅PRESHA INATIBIKA 100%

Suluhisho la Magonjwa hayo ipo Strong health clinic pekee.
Bidhaa bora za MIIRA CELL hutibu kuanzia chanzo cha tatizo kwa Uharaka na Uhakika zaidi.
Matokeo ya awali ni ndani ya Siku 3,7 Mpaka 21
Matumizi ya Miezi mi 3 Humaliza tatizo kabisa

Kwanini uendelee kuteseka ? Karibu tukusaidie kupona changamoto hizi
☎️0787466466 au 0717050533.

20/10/2023

JE WEWE NI MWANAMKE UNAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? HEBU TEGA SIKIO.

SABABU 12 ZA MWANAMKE KUSHINDWA KUPATA UJAUZITO

1. Kutokuwa na uwiano mzuri wa homoni (Hormone Imbalance)
2. Ovaries kushindwa kutoa mayai
3. Kuziba kwa mirija ya uzazi
4. Mirija ya uzazi kujaa maji
5. Uvimbe katika kizazi (Uterine Fibroid)
6. Magonjwa k**a vile PID, kisonono, kisukari n.k
7. Kuwa na msongo wa mawazo
8. Utoaji wa mimba (Abortion)
9. Kuwa na uzito kupita kiasi (Over-weight)
10. Matumizi ya pombe, bangi, sigara, ulevi kupindukia
11. Matumizi ya madawa
12. Endometriosis, Hii ni hali ambayo seli za ndani ya mfuko wa uzazi huanza kuota nje ya fuko hilo au hata sehemu nyingine

DALILI ZA MWANAMKE KUSHINDWA KUPATA UJAUZITO

1. Mwanamke anayesumbuliwa na maumivu chini ya tumbo mara kwa mara naye yupo katika hatari hii kwani upo uwezekano wa kuathiri mirija yake ya uzazi na ikaziba kabisa, mzunguko wa hedhi unavurugika na kupoteza hamu ya tendo la ndoa
2. Wanawake wengine hupata maumivu ya kiuno na tumbo kwa muda mrefu sio dalili nzuri, matiti au chuchu kutoa maziwa pia huathiri kwa kiasi kikubwa uzazi na inakua vigumu kupata ujauzito hasa kwa wasichana
3. Maumivu wakati wa hedhi pia si dalili njema katika mfumo wa uzazi kwani inaweza kuwa una maambukizi sugu ya kizazi (chronic pid), uvimbe katika kizazi (uterine fibroid) na nyinginezo.

Maelezo zaidi tafadhali wasiliana nasi 0787466466 / 0717050533

UMEKUNYWA MAJI LEO?Kunywa mwaji angalau lita 3 kwa siku itakusadia sana kwenye upande wa kuilinda figo yako iweze kuwa s...
09/02/2023

UMEKUNYWA MAJI LEO?
Kunywa mwaji angalau lita 3 kwa siku itakusadia sana kwenye upande wa kuilinda figo yako iweze kuwa salama.

TEZI DUME NI NINI?.Tezi dume hii kitaalamu hufahamika k**a (PROSTATE GLAND) ,Hii Ni tezi inayopatikana katika mfumo wa u...
17/12/2022

TEZI DUME NI NINI?.

Tezi dume hii kitaalamu hufahamika k**a (PROSTATE GLAND) ,Hii Ni tezi inayopatikana katika mfumo wa uzazi wa kiume.Tezi hii inapatikana jirani na kibofu Cha mkojo na mirija ya mkojo.Tezi hii Ina kazi ya kuzalisha majimaji ambayo hubeba mbegu za kiume.
Majimaji hayo ndio Yale anayotoa mwanaume anapofikia kilele.Hivyo tezi hii Ni muhimu sana katika mfumo wa kizazi wa mwanaume.Tezi hii si kubwa saana inapata sentimita zisizozidi 4,lakini tezi hii hukuwa kadiri umri unavyoenda.

DALILI ZA KUVIMBA KWA TEZI DUME:-

✓Kukojoa Mara kwa mara.
✓kubakiza mkojo kwenye kibofu.
✓kukojoa saana usiku.
✓Maumivu wakati wa kukojoa na mkojo usioenda mbali.
✓Kupungukiwa nguvu za kiume
✓UTI ya Mara kwa mara.
✓Mawe kwenye kibofu kutokana na mrundikaniko wa mkojo.
✓Figo kujaa maji,hii Ni kwasabab mkojo huo unarudi nyuma kuelekea kwenye figo.
✓Kupoteza fahamu.
✓Maumivu ya Mara kwa mara ya kiuno kwa nyuma ya mgongo na mapaja.
✓Uume kushindwa kusimama vizur.
✓Kuwa na wakati mgumu wakati wa kukojoa na kuzuia mkojo.

ATHARI ZA TEZI DUME K**A HAITAWAHI KUTIBIWA:-
1)Kushindwa kabisa kukojoa.
2)Kupatwa na maambukizi ya UTI
3)Kupatwa na vijiwe kwenye kibofu.
4)Uharibifu wa kibofu unaweza kutokea.
5)Figo inaweza kuharibika.

Suluhisho la uhakika bila tatizo kujirudia ni Ugcare plus stemcell ambayo inaenda kurekebisha mfumo mzima wa seli za eneo husika hivyo kuondoa chanzo cha tatizo na kupona kabisa. Karibu tukusaidie ☎️0787466466 au 0717050533

Kwa wateja wetu waliopo Nje ya Dar es salaam yaani Mikoani. Kuna aina 3 za utaratibu ambazo unaweza kuchagua moja ambayo...
17/12/2022

Kwa wateja wetu waliopo Nje ya Dar es salaam yaani Mikoani. Kuna aina 3 za utaratibu ambazo unaweza kuchagua moja ambayo unaona utakua na Amani na kuridhika nayo.
1: Unaweza kutembelea ofisi zetu zilizopo Dar es salaam Mwenge.
2: Unaweza kumuagiza mtu wa kukuwakilisha kuja kuchukua dozi yako ambaye yupo Dar es salaam
3: Unaweza kutumia Namba zetu za simu kufanya malipo au Account no yetu ya CRDB halafu sisi tukusafirishie mzigo wako Mpaka ulipo bila gharama yoyote(Free delivery)

Bado tunaendelea kugusa maisha ya watu na kurejesha Tabasamu katika Nyuso zao
wasiliana nasi 0787466466

Niliwaambia wanangu wasihangaike tena na mimi juu ya tatizo langu kwani walitumia gharama nyingi sana kunisaidia ili nio...
11/10/2022

Niliwaambia wanangu wasihangaike tena na mimi juu ya tatizo langu kwani walitumia gharama nyingi sana kunisaidia ili niondokane na tatizo hili na nilifanyiwa upasuaji mara ya kwanza nkajua nimepona ila baada ya mda wa miaka miwili tatizo lilianza tena
Nilitumia kila aina ya njia kujaribu ili nipone lakini niliambulia kupoteza pesa zangu tu. Ndipo nilipo wazuia wanangu kuhangaika namie tena juu ya tatzo langu la kuvimba kwa tezi dume pamoja na presha
Binti yangu alikuja kuniambia sku moja kuwa kakutana na njia nyepesi yakuweza kutatua tatizo langu kwamda mfupi nitapona, nilimkatalia kabisa kwani nilijua atatoa pesa tu huko na nisipone nikijiangalia na umri wangu miaka 53 skuona haja tena
Aliendelea nisisitiza sana nkaona acha nijaribu kutumia ili nimlizishe tu
Skuamini kabisa wiki ya tatu tangu nitumie njia hii maumivu wakati wa haja ndogo yaliisha naskupata haja ndogo mara kwa mara tena wala mkojo kutoka kidogo kidogo,pia nilikua nakojoa mkojo umechanganyikana na damu, hata uvimbe kupungua kabisa na baada ya wiki kadhaa wakanipeleka hospitali kuangalia nikaambiwa sina tena tatizo lile, skuweza kuamini kwakweli namshukuru Mungu kwa msaada wa suhulisho hili
Ngelipenda nawazee wezangu waijue njia hii kwa kuwasiliana na huyu kijana alie weza kunisaidia kupitia njia hii nyepesi mpigieni awasaidie 0787466466 / 0717050533

Address

Mkulima House, Mabibo Hostel
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Strong Health Clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Strong Health Clinic:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram