Health corner international

Health corner international Pata namna Bora ya kujengaa na kuimalisha Afya Yako kwa virutubisho lishe.
AFYA�

“Siku ya kwanza kuingia hedhi” inamaanisha siku ya kwanza unapoanza kuona damu ya hedhi kutoka kwenye uke. Hii ni siku y...
21/04/2025

“Siku ya kwanza kuingia hedhi” inamaanisha siku ya kwanza unapoanza kuona damu ya hedhi kutoka kwenye uke. Hii ni siku ya kwanza ya mzunguko wako wa hedhi (menstrual cycle), na ni muhimu sana kuitambua kwa ajili ya:
• Kufuatilia mzunguko wa hedhi (ni kawaida kuwa kati ya siku 21–35)
• Kupanga au kuepuka mimba
• Kutambua matatizo ya kiafya k**a mzunguko usio wa kawaida

K**a unatumia app au daftari kufuatilia hedhi, anza kuandika siku hiyo k**a “Day 1”.

Nitakupa muhtasari mzuri wa mabadiliko ya mtoto mwezi hadi mwezi katika mwaka wa kwanza, pamoja na vidokezo vya malezi b...
21/04/2025

Nitakupa muhtasari mzuri wa mabadiliko ya mtoto mwezi hadi mwezi katika mwaka wa kwanza, pamoja na vidokezo vya malezi bora kwa kila hatua

SIMULIZI NA CHANGAMOTO ZA UJAUZITO MPAKA KUJIFUNGUA
21/04/2025

SIMULIZI NA CHANGAMOTO ZA UJAUZITO MPAKA KUJIFUNGUA

Mzunguko wa Hedhi ni Nini?Mzunguko wa hedhi ni kipindi kinachoanzia siku ya kwanza unapoanza kuona damu ya hedhi hadi si...
21/04/2025

Mzunguko wa Hedhi ni Nini?

Mzunguko wa hedhi ni kipindi kinachoanzia siku ya kwanza unapoanza kuona damu ya hedhi hadi siku ya mwisho kabla ya kuanza hedhi inayofuata.
• Mzunguko wa kawaida huwa ni siku 21 hadi 35, lakini wastani ni siku 28.



2. Siku za Hatari ni Zipi?

Siku za hatari ni siku ambazo kuna uwezekano mkubwa wa kupata mimba k**a utashiriki tendo la ndoa bila kinga. Hii ni karibu na kipindi cha ovulation (yai linapotoka kwenye mfuko).

Kwa mzunguko wa siku 28:
• Ovulation hutokea siku ya 14 (kuhesabu kuanzia siku ya kwanza ya hedhi)
• Siku za hatari huwa kati ya siku ya 10 hadi 17 ya mzunguko

Kwa mzunguko mrefu au mfupi:
• Punguza 18 kutoka mzunguko mfupi kupata siku ya kwanza ya hatari
• Punguza 11 kutoka mzunguko mrefu kupata siku ya mwisho ya hatari

Mfano:
• Ikiwa mzunguko wako ni siku 26, siku za hatari ni kati ya siku ya 8 hadi 15
• Ikiwa mzunguko wako ni siku 30, siku za hatari ni kati ya siku ya 10 hadi 19

Zaidi ya asilimia 70 ya vifo vinavyotokea nchini na duniani husababishwa na magonjwa yasiyo ambukiza ikiwemo Kisukari, P...
02/07/2024

Zaidi ya asilimia 70 ya vifo vinavyotokea nchini na duniani husababishwa na magonjwa yasiyo ambukiza ikiwemo Kisukari, Pumu,Shinikizo la juu la damu,Kifua sugu, na Uzito uliopindukia.

Madhara ya ulaji wa sukari kupita kiasi kwenye mwiliKula sukari nyingi kunaweza kusababisha matatizo mbalimbali ya kiafy...
28/06/2024

Madhara ya ulaji wa sukari kupita kiasi kwenye mwili

Kula sukari nyingi kunaweza kusababisha matatizo mbalimbali ya kiafya, ni k**a ifuatavyo.

✅Kuongezeka uzito (obesity)
✅Kisukari-Aina-2
✅Athari kwenye moyo
✅Athari kwa meno (matatizo ya meno)
✅Athari kwenye ngozi
✅Madhara kwenye ini (Fatty ini)
✅Athari kwenye figo
✅Athari kwenye mifupa

Shoga angu naomba utege sikio yaani nisikie vema.Sasa nikwambie wewe shogaangu unaependa kamchezo yaani kamchezo kaleee ...
22/05/2024

Shoga angu naomba utege sikio yaani nisikie vema.

Sasa nikwambie wewe shogaangu unaependa kamchezo yaani kamchezo kaleee ka wakubwa.😋

Ndio kale ukiwa na baba chanja afu akakunyima kitu unaumia sanaa kwann ajakupa kitu.😁

Basi bhna kitu unapenda sanaa lakini shida yako ni wewe na P2 yaani kila baba chanja akirudii kazi ni moja tuu.😔

Ni mchezo bila ata ya brake mpka shununu inawaka motoo🤗 lakini shida kubwa ni apo kwenye siku zakoo😳

Kila babachanja akimqliza kazi kwenda kununua p2 na kuzibugia k**a panador🥹

NISIKILIZE VIZURII...

Izo p2 hazina msaada zaidi ya kuua kile ulichobarikiwa na Mungu.

Kitalam P2 inatakiwa kwa mwaka utumie mala 2 tu.😊🙌🏾

Basi leo naomba upate somo namna gani unaweza control siku zako na kuishi kwa amani na baba chanja.😁

Namna pekee unayoweza kuepukana na matumizi ya P2 ni kujua lini ufanye nn na lini uwe makini yaani upumzishe Shununu yako.

Basi k**a wewe unaenda siku 30-14=16 hii 16 ndio siku yako ya hatarii yaani apo ukigusa imenasa😁

Na namna unaweza kujua siku za hatari ni unachukua 16-3siku=12 siku yaani siku ya 12 ndo unaanza kuingia danger.🔥

Kisha baada ya apo chukua tena 16 + 3siku = yaani 20 yani siku ya 20 apo ndio danger zinaisha😁 sasa shununu ichekee

Najua utakua umependa somo la leo 😁k**a umejifunza kitu pls sema chchote nami ntakujibu.😋

22/05/2024
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali ulaji Samaki aina ya Sato kwa wingi unaongeza uwezo wa brain kufanya kazi. Aidha hata ma...
22/05/2024

Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali ulaji Samaki aina ya Sato kwa wingi unaongeza uwezo wa brain kufanya kazi.

Aidha hata mama mjamzito akitumia samaki hao kwa wingi hasa vichwa vyake kabla na baada ya kujifungua basi mtoto wake anakuwa na uwezekano mkubwa wa kuwa na brain nzuri zaidi.

Hali huongeza uelewa wa mtoto darasani. Samaki hao wanapatikana Ziwa Victoria.Mbali na kuongeza uwezo wa brain samaki hao pia huongeza uimara wa viungo vya mwili, ukuaji wa uhakika, pamoja na kuongeza hali ya kujiamini.n.k

Mjamzito anapotumia Tende ktk Ujauzito wake huweza kumletea faida nyingi Sana, Tende huweza kutumika kipindi chochote ch...
22/05/2024

Mjamzito anapotumia Tende ktk Ujauzito wake huweza kumletea faida nyingi Sana, Tende huweza kutumika kipindi chochote cha Ujauzito wako. Zifuatazo ni faida za kutumia Tende kwa Mjamzito;
✅KUPUNGUZA MUDA WA UCHUNGU.
✅ KUZUIA UPOTEVU WA DAMU BAADA YA KUJIFUNGUA AU MIMBA KUHARIBIKA.
✅ HUONGEZA DAMU KWA MJAMZITO NA KUZUIA MGONGO WAZI KWA MJAMZITO
✅ HUPUNGUZA UWEZEKANO WA KUPATA PRESHA YA UJAUZITO.
✅ HUPUNGUZA CHOO KIGUMU (FUNGA CHOO).
✅ HUMPA NGUVU KWA MJAMZITO

KUMBUKA: TUMIA TENDE KWA KIWANGO STAHIKI AMBAYO NI SAWA NA MATUNDA 6 KWA SIKU AU 60MG HADI 80MG KILA SIKU HUSUSANI MIMBA INAPOFIKISHA WIKI 36 MPAKA 40 AU MWEZI MMOJA WA MWISHONI MWA UJAUZITO WAKO.

Sababu za meno kuchelewa kuotaZipo sababu nyingi za meno kuchelewa kuota. Wakati mwingine tatizo la meno kuchelewa kuota...
21/05/2024

Sababu za meno kuchelewa kuota

Zipo sababu nyingi za meno kuchelewa kuota. Wakati mwingine tatizo la meno kuchelewa kuota huwa ni tatizo la kwenye familia hivyo linaweza kurithishwa kwa vizazi vinavyokuja. Mzazi pia ujiulize k**a meno yako yalichelewa kuota, k**a ni ndio basi tambua kwamba hata ya mwanao yataota tu japo kwa kuchelewa.

Sababu zinazochangia meno kuchelewa kuota kwa mtoto ni k**a zifuatazo;

Utapia mlo na upungufu wa madini na vitamini mwilini- Watoto wenye utapia mlo meno huchelewa kuota kwa sababu ya kukosa virutubisho muhimu vya ukuaji wa meno. Aidha madini ya calcium na vitamini D ni muhimu sana katika ukuaji wa meno. Hivyo mtoto akipungukiwa na virutubisho hivi meno huchelewa kuota.

Ugonjwa wa jeni unaofahamika k**a Down Syndrome- Huu ni miongoni mwa mgonjwa wa kuzaliwa nayo (congenital).Ugonjwa huu unatokana na hitilafu kwenye kinasaba cha 21 (chromosome 21). Ugonjwa huu huambatana na tatizo la meno kuchelewa kuota.

Magojwa ya yatokanayo na hitalifu kwenye chromosomes (chromosome anomalies)

Mtoto kuzaliwa njiti-Kuzaliwa njiti au na kuzaliwa na uzito mdogo kupita kawaida (chini ya 1.5kg)

kunahusishwa na kuchelewa kuota kwa meno kwa mtoto. Watoto hawa wanaweza kuwa na matatizo ya meno yenyewe.

Magonjwa k**a Amelogenesis na Regional Odontodysplasia

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Health corner international posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Health corner international:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram