Mchomvu_Organic

Mchomvu_Organic TUNA TOA USHAUR,KIPIMO ๐Ÿฉบ PAMOJA NA SULUHISHO,TUNA UZA BIDHA ZA AFYA,YA MENO,NGOZI, UZITO,NA UZAZI

*_HABARI NJEMA KWA WATU WOTE WENYE CHANGAMOTO YA KIAFYA;  MNATANGAZIWA OFA YA MATIBABU NA VIPIMO VYA MWILI MZIMA_* !OFA ...
15/02/2026

*_HABARI NJEMA KWA WATU WOTE WENYE CHANGAMOTO YA KIAFYA; MNATANGAZIWA OFA YA MATIBABU NA VIPIMO VYA MWILI MZIMA_* !

OFA hii imeambatana na mambo mazuri usiyoyapata kwingine k**a vile;

+ Kuonana na Daktari bingwa BURE!
+ Ushauri wa kiafya BURE!
+ Punguzo la 10% kwa dawa!
+ Huduma za ziada zikiwemo!
+ Huduma ya kuondoa Sumu mwilini kwa Mashine za kisasa
+ Huduma ya masaji inapatikana pia.

*_Ni Mhimu sana kwa Wale Walioteseka kwa Magonjwa kwa Muda Mrefu* ._

Huna haja ya kupoteza muda wako kwenda nje ya nchi kutafuta matibabu tena

Sasa wataalam bingwa wa Tiba Lishe wapo ktk Clinic ,Zetu wakitoa huduma bora kwa kutumia virutubisho asilia๐ŸŒฑ vinavyosaidia mwili kujijenga na kupona?

Tunapatikana GCAT HOSPITAL๐Ÿฉบ yenye matawi mengi nchi nzima!
Tunatibu kwa umahiri magonjwa Sugu yanayojirudiarudia na yasiyoambukiza k**a:

Vidonda vya tumbo

Shinikizo la damu

Kisukari

Tezi dume

Moyo, figo na ini

Gazi na miguu kuwaka moto

Matatizo ya macho, meno, kinywa

U.T.I sugu, PID, Typhoid

Matatizo ya ngozi

Magonjwa ya mgongo, kupooza/stroke

Afya ya uzazi kwa wanawake na wanaume..na mengine mengi!

Karibu sana tukusaidie changamoto yako amini utapona kabsa na utasahau.

Usikubali mateso ya ugonjwa yaendelee. Fika kituoni leo, pata tiba yenye suluhisho la kudumu!

Ili kupata Appointment ya kukutana na daktari bingwa Wasiliana nasi sasa kupitia Simu namba

๐Ÿ“ž+255 654 664 466

๐ŸŒŸ OFA KUBWA YA MWEZI HUU NDANI YA CLINIC ZETU! ๐ŸŒŸJe, unasumbuliwa na magonjwa kwa muda mrefu?Je, unajali afya yako ya sas...
09/02/2026

๐ŸŒŸ OFA KUBWA YA MWEZI HUU NDANI YA CLINIC ZETU! ๐ŸŒŸ

Je, unasumbuliwa na magonjwa kwa muda mrefu?
Je, unajali afya yako ya sasa na ya baadaye? ๐Ÿฉบ

Kwa 30,000/= tu, fanya CHECK UP YA MWILI MZIMA na upate majibu kamili kuhusu:

โœ… Afya ya Uzazi (wanawake na wanaume)
๐ŸŽ— Mimba kuharibika au kutoshika mimba
๐ŸŽ— PID (UTI sugu)
๐ŸŽ— Uchafu ukeni na harufu mbaya

โœ… Kwa akina baba
Kulegea kwa uume, kiwango cha mbegu

โœ… Mfumo wa Upumuaji
โœ… Vidonda vya tumbo & gesi tumboni
โœ… Ubongo & mfumo wa fahamu
โœ… Ini & Figo
โœ… Moyo & Shinikizo la Damu (Presha)
โœ… Kisukari
โœ… Ngozi & Maumivu ya Mwili
โœ… Bawasiri
โœ… Misuli & Maumivu ya Viungo
โœ… Uchunguzi wa Magonjwa Yanayojificha Mapema

๐Ÿ‘‰ Vipimo hivi vitakusaidia kugundua matatizo ya kiafya mapema kabla hayajawa makubwa.

๐Ÿ’ฅ MATIBABU: Kwa njia ya kuosha, kutibu, na kuongeza kinga ya mwili.
๐Ÿ’ฅ Punguzo la 40% kwenye gharama za matibabu!

๐Ÿ“ž Mawasiliano:0654664466
๐Ÿ“ Eternal Health Clinic
Dar es Salaam | Mikoani | Zanzibar

ETERNAL INTERNATIONAL CLINICAfya yako ni kipaumbele chetu.Je, unajali afya ya mwili wako kwa ujumla?Eternal Internationa...
24/01/2026

ETERNAL INTERNATIONAL CLINIC
Afya yako ni kipaumbele chetu.
Je, unajali afya ya mwili wako kwa ujumla?
Eternal International Clinic tunakuletea OFa MAALUM ya uchunguzi wa mwili mzima kwa Tsh 30,000 tu.

๐Ÿ” Uchunguzi huu unahusisha mifumo mbalimbali ya mwili, ikiwemo:
๐Ÿง  Mfumo wa neva (magonjwa ya mishipa ya fahamu, maumivu ya kichwa, ganzi n.k.)
๐Ÿฆด Mfumo wa mifupa na misuli (maumivu ya mgongo, viungo, goti n.k.)

๐Ÿฝ๏ธ Mfumo wa mmengโ€™enyo wa chakula (tumbo, gesi, vidonda vya tumbo, choo n.k.)
โค๏ธ Mifumo ya magonjwa yasiyoambukiza k**a shinikizo la damu na kisukari
๐Ÿ‘จโ€๐Ÿ‘ฉโ€๐Ÿ‘ง Mfumo wa uzazi (ushauri na uchunguzi wa afya ya uzazi)

๐Ÿ’š Faida kwako:
โœ” Kugundua matatizo ya afya mapema
โœ” Ushauri wa kitaalamu kutoka kwa wataalamu wa afya

โœ” Huduma bora, salama na zenye kuaminika
โœ” Gharama nafuu kwa afya yako ya muda mrefu

๐Ÿ“ž Wasiliana nasi sasa:
0654664466

Usisubiri hadi ugonjwa ukuumize โ€” chukua hatua leo kwa afya Bora ya kesho.

Huduma Ya Vipimo Vya Mwili MzimaJe,Unajiuliza Wapi,Utapata Huduma Ya Upimaji Wa Mwili Mzima kwa haraka Na gharama Rahisi...
22/11/2025

Huduma Ya Vipimo Vya Mwili Mzima

Je,Unajiuliza Wapi,Utapata Huduma Ya Upimaji Wa Mwili Mzima kwa haraka Na gharama Rahisi Zaidi
Kumbuka Afya Yako Ndio Msingi Wa Mambo Yote....

Tumekuandalia OFA Maalumu Ya Upimaji Wa Mwili Mzima Kuelekea mwisho wa mwezi

utalipia TSH 30,000/= tu k**a nawe Utakuwa Miongoni Mwa Watu 20 Wa Mwanzo

Gharama Halisi za Vipimo ni 150,000/= Lakini k**a Utakuwa Miongoni Mwa Watu Hawa Ishirini Utalipia 30,000/= tu na utaokoa Zaidi Ya Tsh 120,000/= Nzima

Natumaini k**a ni Miongoni Mwa Watu wanaopenda Afya Zao Basi Huwezi Kukosa OFA hii

KIPIMO KINAONYESHA;

1.Tatizo husika
2.Chanzo Cha tatizo
3.Viashiria Vya tatizo lingine
Kipimo kinahusika zaidi na magonjwa sugu ambayo hayaambukizi

Tunafanya Vipimo vya Mwili mzima Katika Mifumo ifuatavyo;

1.Mfumo wa Ubongo
2.Mfumo wa Upumuaji
3.Mfumo wa Tumbo
4.Mfumo wa Ngozi
5.Mfumo wa Mifupa na Misuli
6.Mfumo wa Uzazi Kwa wanawake na wanaume
7.Mfumo wa Macho

Pia Tunatoa huduma ya MATIBABU Kwa Magonjwa sugu k**a Ifuatavyo
_Vidonda Vya Tumbo, Presha, Kisukari,
Moyo, Figo, INI, Cholesterol, Bawasili,
_Tezi dume, fangasi , Uzazi Kwa wanawake na wanaume, Figo, Macho, Allergy, Mifupa, Ngozi
Tunatibu Uvimbe Aina zote bila upasuaje, stroke (Kupooza),Miguu, Magoti, Ganzi,Uzito mkubwa na UneneUvimbe kwenye vyia vya Uzazi, Ukuaji mbovu Kwa watoto n.k

Ili OFA Hii Isikupite basi fanya hivi Piga Simu/Tuma Sms au WhatsApp inbox kwenda namba

๐Ÿ“ฑ+255 654 664 466

Tunapatikana Dar es salaam na mikoani

๐ŸŒฟ VIPIMO VYA MWILI MZIMA ๐ŸŒฟAfya yako ni mtaji wako โ€“ usisubiri mpaka dalili ziwe kali!Karibu kwenye kituo chetu cha afya ...
09/10/2025

๐ŸŒฟ VIPIMO VYA MWILI MZIMA ๐ŸŒฟ

Afya yako ni mtaji wako โ€“ usisubiri mpaka dalili ziwe kali!
Karibu kwenye kituo chetu cha afya kwa huduma ya full body checkup ili kugundua mapema magonjwa yasiyoambukizwa na kupata mwongozo sahihi wa matibabu.

๐Ÿ”Ž Vipimo vinavyofanyika:

โœ… Shinikizo la damu (Blood Pressure)
โœ… Kisukari (Blood Sugar)
โœ… Cholesterol
โœ… Figo na Ini
โœ… Uzito na BMI
โœ… Vipimo vya moyo & macho

๐Ÿ’ก Kwanini ni muhimu?
๐Ÿ‘‰ Magonjwa yasiyoambukizwa k**a Kisukari, Pressure, Matatizo ya Uzazi,matatizo ya figo na moyo mara nyingi huanza kimya kimya bila dalili.
๐Ÿ‘‰ Ukigundua mapema unaweza kuepuka madhara makubwa na gharama kubwa za matibabu.

๐Ÿ“ Huduma inapatikana katika Vituo Vyetu Vya Afya Vilivyopo Dar es salaam na Mikoani .
๐Ÿ’ฐ Gharama: [30,000/=] tu โ€“ nafuu kwa kila mtu!

๐Ÿ“ฒ Wasiliana nasi sasa kupitia
WhatsApp/Simu: [0654664466]
kuhifadhi nafasi yako au kupata maelezo zaidi.

๐ŸŒŸ Afya yako ni kipaumbele chetu โ€“ chukua hatua leo, kwa kesho yenye uhakika! ๐ŸŒŸ

โš ๏ธ Sababu Kuu Zinazo sababisha Vidonda vya Tumbo? ๐ŸฉบMaambukizi ya bacteria H. pylori  ๐ŸฉบMatumizi ya muda mrefu ya dawa za ...
20/09/2025

โš ๏ธ Sababu Kuu Zinazo sababisha Vidonda vya Tumbo?

๐ŸฉบMaambukizi ya bacteria H. pylori
๐ŸฉบMatumizi ya muda mrefu ya dawa za maumivu (NSAIDs) ๐Ÿ’Š
๐Ÿฉบ Kunywa pombe kupita kiasi ๐Ÿบ
๐Ÿฉบ Kuvuta sigara ๐Ÿšฌ
๐ŸฉบMsongo wa mawazo ya muda mrefu ๐Ÿ˜”
๐Ÿฉบ Ulaji wa vyakula vyenye viungo vikali mara kwa mara ๐ŸŒถ๏ธ

๐Ÿ‘‰Kwa ushauri na Tiba tupge sm hapa popote ulipo,Tu weze kuku saidya

๐Ÿ“ฑ0654664466

Address

Kariakoo Gerezan Nasra Tower
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mchomvu_Organic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Mchomvu_Organic:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram